Тёмный
No video :(

Nondo Muhimu za Othman Masoud.Muungano wa Tanganyika na Zanzibar 

ACT Wazalendo Digital
Подписаться 6 тыс.
Просмотров 5 тыс.
50% 1

Опубликовано:

 

22 авг 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 35   
@binmasoud4150
@binmasoud4150 3 месяца назад
Nondo ziko sawa sana, tuwe wakeli tu huu sio muungano ni kitu chengine...
@suleimanmuhammad-bu7pe
@suleimanmuhammad-bu7pe 3 месяца назад
Nguvu moja tuu haturudi nyuma hapa mpaka kieleweke
@salyali7807
@salyali7807 3 месяца назад
Very intelligent Mh OMO 🔥🔥🔥
@mgungulem3187
@mgungulem3187 3 месяца назад
Mzee uko very clear and loud kongole kwako kiongozi tumechoka kufichwafichwa kama watoto wadogo
@solomonadams6337
@solomonadams6337 3 месяца назад
Mrs Othman Masoud inshaallah ukija United Kingdom njoo unione nikupeleke ukasomeshe Oxford University na Cambridge University wanafunzi wa hizo University mbili ndio watakufahamu Watanganyika hawawezi kukufaghamu maanayke wao ni ma illiterate sawa.thankx
@kadirduchi192
@kadirduchi192 3 месяца назад
😮
@mgungulem3187
@mgungulem3187 3 месяца назад
Siyo Mrs!!
@user-eg2nb1ml7w
@user-eg2nb1ml7w 3 месяца назад
KERO KUBWA KWA UPANDE WA BARA NI TUNAITAKA TANGANYIKA YETU.
@sultansallah8772
@sultansallah8772 3 месяца назад
Hicho kulio ni cha wazanzibar KWA miaka mingi. Unapisikia wazanzibar wanadai serikali tatu wanamaanisha Tanganyika iwe na srikal yake
@AliSalim-yu4mo
@AliSalim-yu4mo 3 месяца назад
Nani sasa WA kuwapa Tanganyika yenu!lkn nyie ni watu wa ajabu kweli kweli ni vpi munataka Tanganyika yenu wakati kila tarehe 9 December munasherehekea nini?🎉😮
@SuleimanMussa-x5i
@SuleimanMussa-x5i Месяц назад
Sio kwli hamuitaki kma muna itaka munge idai
@natafutamatatizo4382
@natafutamatatizo4382 3 месяца назад
WATANGANYIKA AKILI ZETU NI KTK HELA TU, HATUJIELEWI, NA SASA WAZANZIBARI WANAANZA KUTUTAWALA KWA UJINGA WETU😂😂😂?! CCM OYEEE
@hajiameir8688
@hajiameir8688 3 месяца назад
Na wala bado tutakutawaleni kweli kwa ujinga wenu kwani hamtaki kudai tanganyika yenu
@user-gd2xj3xd1b
@user-gd2xj3xd1b 3 месяца назад
Ukweli ndo huo
@muuminsaid-bd6cm
@muuminsaid-bd6cm 3 месяца назад
Hatutaki mungano
@user-eg2nb1ml7w
@user-eg2nb1ml7w 3 месяца назад
NEMBO YA MUUNGANO ILITAKIWA IWE NA PICHA YA RAIS TOKA BARA NA ZANZIBAR; LAKINI KWA SASA INA PICHA YA WAZANZIBAR WOTE! SASA MUUNGANO HAPO UKO WAPI??
@nyumbanituthegendaheka7222
@nyumbanituthegendaheka7222 3 месяца назад
Upuuzi mtupu...tunataka Afrika kuungana bado mnakosoa ujinga na vitu vya kitoto...pelekeni huduma kwa wananchi zanzibar na bara wote wanalia umaskini...umaskini ujinga na magonjwa ndio adui wetu...sio ubara na uzanzibar
@Allybinamour
@Allybinamour 3 месяца назад
hakuna nchi ya africa itayofanya muungano wa uonevu kama huu. nyinyi watanganyika mkiambiwa ubovu wa muungano huu mnajitoa fahamu na kukimbia mada. ukweli ndo huo mkataka msitake. zanzibar mpaka bandari mmeiua mnajenga kwenu tu.
@pavillioncry5241
@pavillioncry5241 3 месяца назад
Hatutaki
@nyumbanituthegendaheka7222
@nyumbanituthegendaheka7222 3 месяца назад
Fanyeni kazi nyie ma mwinyi...mnataka serikali ukupe pesa mfukoni...haujui wazawa wa zanzibar walitokea bara kama watumwa au wavuvi? Au mnadhani mlitokea kwa sultani wa Oman? Someni historia ya hvyo visiwa...kwanza nchi iwe moja tu na serikali moja kwisha...
@HafidhKhamis-ph8qg
@HafidhKhamis-ph8qg 3 месяца назад
Toka uko huna ukijuacho ww
@MingaBoy-xr4bw
@MingaBoy-xr4bw 3 месяца назад
@@nyumbanituthegendaheka7222 ccm mnateseka sana kiufupi huu ni muungano wa ccm tu ila watanganyika wengi na wa Zanzibar wasio kua ccm hawautaki
@kclpaints2981
@kclpaints2981 3 месяца назад
Acheni chokochoko watu wenye maarifa wanaungana nyie mnatafuta kutengana?
@fahmysaid-zw4np
@fahmysaid-zw4np 3 месяца назад
wanaungana kwa haki sawa kwa wote sio mmoja kumyonya mwenziwe
@abubakarshamuhuni3894
@abubakarshamuhuni3894 3 месяца назад
Wenye maarifa wepi
@salimali-rf9er
@salimali-rf9er 3 месяца назад
Chokochoko ndio nn? Tufahamishe tufaham​@@fahmysaid-zw4np
@user-et9vf2ro2k
@user-et9vf2ro2k 3 месяца назад
Wewe ni nani unajitathmini kiasi gani ni upi utu wako katika kufanya uadilifu wako ju ya mambo yanayo kukabili hiv unaifahamu zanzibar
@pavillioncry5241
@pavillioncry5241 3 месяца назад
Ungana ww na familia yako
Далее
LIVE : OTHMAN MASOUD NA WAANDISHI WA HABARI (MKUTANO)
1:45:46
SHUHUDIA TUKIO LA AJABU ALILOFANYA SHEIKH OTHMAN PEMBA
7:26