Hallelujah Hallelujah, Ni wakati wa toba na matengenezo ukitubu, na kutengeneza na Bwana. kukaa katika kauli na sheria za Mungu utainuliwa bila kupokezwa baraka za uongo. Wachungaji wa mchongo ambao wameenea kila mahali na kuhubiri kubarikiwa wanawalaani wengi sana utabariki aje mtu aliyeasi na kumwambia pokea mchumba, nyumba, gari haiwezekani kupokea chochote kama wewe mwenyewe dhambi. Ukishatubu na kuomba rehema kwa Bwana omba kama ni mke au ni mume na kwakweli roho wa Bwana atakuelekeza mpaka kwa yule aliye wa kwako. Lakini mahusiano yeyote bila kuwa na msingi kwa Kristo mtasalitiana. Ubarikiwe sana mtumishi kanisa liko topeni watu wamefungwa katika maneno za watu na hawako tena katika NENO la Kristo. Ni wakati wa kurejea kwa Bwana ni sekude chache na Kristo atareje
Tukirejea katika injili ya TOBA kwa hakika kila mmoja atakuwa salama. Kila mmoja ataenenda kwa hofu ya Mungu na kutunza uaminifu wa Mungu mahali popote. Ubarikiwe sana mtumishi. Asate kwa neno hili nimepiga hatua ingine mbele.🎉
Hakika Kila mtumishi anashika mahali pake ili ajaze kanisa... pascal Mungu akutunze wewe ni sauti iliyotumwa kuleta matengenezo....Mungu akulinde daima
Mm hakuna mafundisho ya kweli zaidi ya mafanikio eee BWANA sababisha moyo wangu kuwa na Toba ya kweli kweli kabisa kusema kweli umeitwa na BWANA MUNGU atusaidie kuyashika mafundisho ya kweli ya MUNGU
habari ya mahusiano ipo ndani ya biblia,kwa hiyo sio dhambi kufundisha,toba,mafanikio,mahusiano,utumishi nk,lakini msingi ni kristo mafanikio ndani ya yesu sio dhambi,kanisa linatakiwa kufundishwa,watu wapate maarifa,kama mkikubali na kutii mtakula mema ya nchi,watu wakishaokoka wanafundishwa mafundisho kuyashika yote alitufundisha ila ukihubiri toba ndiyo msingi maana ni kristo,mafundisho ya ndoa ,utumishi,kuwaleta watu kwa yesu nk ,paulo na petro wamefundisha sana mahusianona kufanya kazi
🤝🙇😭😭😭 tunapotezwa jmn huku kwenye makanisa yetu,,,😭😭😭 MUNGU tusaidie Dunia inawayawaya 😭😭😭 natamani nisimame nihubiri neno la Mungu kanisani kwangu MUNGU niinue😭😭😭🙏 YESU kristo nitie nguvu 😭😭😭😔😔😔