Тёмный

CASSIAN AWAPA ONYO MKUU WAMKOA NA MWAMPOSA KUUNGANA KUPOTOSHA EV PAACHAL CASSIAN 

PASCHAL CASSIAN OFFICIAL  YOUTUBE
Подписаться 146 тыс.
Просмотров 22 тыс.
50% 1

#0766998994 #call0688199370 #

Развлечения

Опубликовано:

 

5 июл 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 475   
@bernardbaitan6539
@bernardbaitan6539 18 дней назад
Barikiwa sana mtumishi wa Mungu. Mungu akupe ulinzi. Malaika zake wakuzingile na panga za moto, mbele , nyuma, kulia na kushoto. Amen.
@charlesrweyemamu8352
@charlesrweyemamu8352 17 дней назад
Asante sana bwana Cassian K kwa kuwa ujasiri; umetuwakilisha kusema kweli tena kweli tupu, barikiwa!
@jovettedenise2591
@jovettedenise2591 19 дней назад
Mungu wambingu akulinde sana manaa maaduwi wataluwa wengi kwa sababu injili yako niya ukweli lakini watu sikuhizi hawapendi ukweli Mungu akuyinuwe❤❤❤❤
@JacklineMroso-gy6ej
@JacklineMroso-gy6ej 19 дней назад
Paza sauti mtumishi wa Mungu hata wakati wa nuhu wapo waliomdharau lakini gharika ilivyokuja waliita sana Nuhu tufungulie lakini hawakupata msaada.Wenye kuokolewa kwa hudumu yako wataokolewa wengi usikate tamaa fanya hudumu uliyoitiwa na Mungu.
@jesusfirstchurch4162
@jesusfirstchurch4162 19 дней назад
Kweli watu wengine ni mifano ya watu duniani..nafsi ziko kuzimu.. Mungu mtie nguvu na ULINZI mtumishi wako Cassiani . Siku za mwisho tunagundua mengi..maboxi yanaongoza watu duniani mpaka wapagani wanashangaa..Wana WA MUNGU tusonge mbele .tuzalishe Wana WA MUNGU Kona zote ..Agizo kuu linatusubiri Mathayo 28:19-21
@amanimushagalusa8752
@amanimushagalusa8752 18 дней назад
Naitwa Amani z naishi kwa inchi ya Africa ya kusini nakufatiliya kiumakini Sana Kazi zako naipenda sana Mungu anaendeya kutulinda nakukutiya nguvu
@user-yj5es1jw8c
@user-yj5es1jw8c 19 дней назад
Nakukubali sana mahubili Safi yasio goshiwa mtu imala tukopamoja
@goldermeirshoo1228
@goldermeirshoo1228 19 дней назад
Mkuu wa Mkoa safi saaana, Mtumishi Cassian uwaache Mungu awashughulikie wenyewe, kwani aliyowaumba anajua, Chalamila kwa upeo wake kashuhudiwa kuwa Kwa Mwamposa yupo Mungu, siyo kwa upeo wako, nimeona tatizo ulilonalo ni Huna Elimu na wengine woote wanaosema wenzao ni ukosefu wa ELIMU
@geeoutfitdesgner
@geeoutfitdesgner 19 дней назад
kweli kabisa,halafu nilichogungua huyu kadian anawivu anataman yeye ndo angekuwa BBM,,duh kwel watumishi wa mungu wanavita
@tezrantangeki5845
@tezrantangeki5845 19 дней назад
Urudi bss kijana! Acha kupotosha Nawe kusanya umati wako...
@AGM19697
@AGM19697 18 дней назад
Atuonyeshe Mungu wake na sio maneno tu. Hata Yesu alikuja na Neno lake na kulidhobitisha pia kwa matendo
@clarisbanza6066
@clarisbanza6066 18 дней назад
Nyinyi wote mnaopinga ukweli huu na kuteteya uyo agent wa shetani mwamposa nyinyi wote ni wajinga na vipofu wa kiroho
@FestoYohana-ll4wk
@FestoYohana-ll4wk 10 дней назад
ww ndio kipofu mbona yy kaz yake haionekani kaz mdomomdomo hata mgonjwa wamafua hajawahi kumuombea akapona
@irenemuia2718
@irenemuia2718 19 дней назад
DAMU ya YESU ikufunike daima 🙏🙏🙏
@ZachaliaJoseph-rp7nt
@ZachaliaJoseph-rp7nt 14 дней назад
Mungu akulinde mtumishi Cassian najua vita ipo juu yako lakini Mungu kasema vita ni vya BWANA piga nyundo
@isacksimonmahungilo
@isacksimonmahungilo 19 дней назад
Iko Sawa hapa naona machawa wanawaka wazee wa mikate na bia piga nyundo Kaka usiangalie mashabiki Hata akiwa mmoja mtu nmuhimu kuliko Hao vipofu
@AGM19697
@AGM19697 18 дней назад
Z 10:18 humo humo kwenye mikate na bia watu wamepata neema ya kumjua Kristo
@justinocarlitosduas7357
@justinocarlitosduas7357 19 дней назад
Wewe umebarikiwa na mungu ntumisi
@christopherkaroli9365
@christopherkaroli9365 18 дней назад
Mungu azidi kukuinua mtumishi wa Mungu, endelea kuwafua maajenti ya mashetani yote.
@SifaMwakisambwe-kn3yl
@SifaMwakisambwe-kn3yl 18 дней назад
Mwamposa ni mtumishi wa Mungu. Anamuhubiri Yesu hadharani kwa hekima kubwa Sanaa. Usiwe kama Baalamu na Baalack. Mungu alitumia punda kuubariki mji. Mkuu Mungu kamtumia kama punda kudhihirisha hakika huyu ni mtumishi wa Mungu. Usihukumu mbingu huna. Unapenda watumishi wa Mungu tuwe wanyongeee. Hubiri neno tukusikilize hii haijakaa sawa. Unampinga kristo.
@user-xd7gb9ub4t
@user-xd7gb9ub4t 18 дней назад
Huyu Cassian Huwa anasoma Neno ila hatafakari Neno hiyo ndio shida yake na Wala sio Mtumishi mbaya ila anahitaji Elimu tu ya Neno la MUNGU, roho wa BWANA ampatie HEKIMA yake, Ili kuyafikia mataifa ila sio katika njia hii Maana hataweza kuleta faida katika ufalme wa MUNGU, zaidi ni kupotosha...(Wanajuhudi katika MUNGU lakini si katika maarifa.
@osmondulotu2701
@osmondulotu2701 18 дней назад
Hakuna Mungu hapo kwa Mwamposa hakika, Tumaini la wanaadamu nimeangukia kwenye kutegemea mafuta ya Mwamposa , na kuacha kumtumaini Mungu, !!! Imefikia maali watu wanatembea na mafuta kwenye mikoba yao , Sikia wewe Mtu wa Mungu hakika huo Ni Ushirikina,!!!! Aina tofauti na mtu anayetembea na irizi,, !! Maana Tumaini lake huyo mtu lipo kwenye irizi aliyobeba,!!! Asikiaye Ujumbe huu na kuacha hizo aImani mbaya potofu, Ataokoka, Asema Bwana wa Majeshi,
@Namaize-lc8sh
@Namaize-lc8sh 18 дней назад
Hakika
@DaimonMwapelele
@DaimonMwapelele 18 дней назад
Amin cassian ni mtumish wa mungu Tena akiwa na ujumbe wa bwana Kama unawaamin akina mwaposa jua umetekwa ma umepotea akinawamposa ndio manabii wa uongo waliotabiliwa
@barakaelias1116
@barakaelias1116 18 дней назад
Mungu akusaidie ndio Maan anakuuzia mafuta
@user-xd7gb9ub4t
@user-xd7gb9ub4t 19 дней назад
Wewe una roho ya mpinga kristo ndani yako, nahisi roho wa MUNGU alisha kuacha umebakiza maneno yasiyo na nguvu.
@user-ri9gj8uh2c
@user-ri9gj8uh2c 19 дней назад
Sio kweli nafikir ww biblia husomi
@WilsonEmmanuel-bs6op
@WilsonEmmanuel-bs6op 19 дней назад
Achaseme ukwel watu waende mbingun wew
@JJTSUPERCLEANER
@JJTSUPERCLEANER 19 дней назад
Acha kumsema mtumishi wa Mungu vibaya je unataka na wewe uhalalishe kuwa pombe ni soda😊?
@GeofreyKalo-ot3we
@GeofreyKalo-ot3we 19 дней назад
@@user-xd7gb9ub4t ndugu yangu Mimi nilishaona Muda mrefu sana kuwa huyu mtu ni mpinga Kristo anaejificha kwenye uinjilist
@deniskilumile612
@deniskilumile612 19 дней назад
No .paschal yuko sahihi..na ukiona kitu kinaongelewa jua kipo au kipo njiani..au know that kuna something wrong
@dorahisinika7576
@dorahisinika7576 19 дней назад
Mathew 14:13b-16..[.I LOVE JESUS SO MUCH ] ❤
@ignatiomatimba3554
@ignatiomatimba3554 19 дней назад
Usihukumu usije ukahukumiwa na toa kibanzi kilichomo jichoni kwako na ndipo utoe boriti kwenye hicho la mwenzio. Pascal anajinadi kuwa alikuwepo huko kwenye ujenzi huru na akajitoa, je, amepewa uhalali na nani kuwasema watumishi wa Mungu ambao hakubaliani nao? Tuendelee kumhuburi Mungu wetu wa kweli bila kunyoosheana vidole hakuna ubaguzibwote tunaitaka Pepo njema ya YESU KRISTO WA NAZARETH
@DottoMussa-ro6rw
@DottoMussa-ro6rw 19 дней назад
sio kweli nyamaza kabisa,,sauli alikuwa wapi na mtu wa namna Gani kabla hajawa Paulo,,je maisha ya manabii na wafalme yalikuwaje na hatmae za manabii zilikuwaje?,,km unapenda maneno Laini muujiza na upako,,basi huo sio utume wa paschal,na Mungu anao watu wake sehemu mbali mbali wengine bado ni makahaba kwa sasa,ila watakapo itwa ndipo mtakapo pishana milango wataingia nanyi ntatoka,,km neno limekukera basi Kuna shida ndani Yako,,omba sana hio roho iondoke ili uridhike na maonyo yakubadilishe na yasikukasirishe
@SteveMulenga-i1c
@SteveMulenga-i1c 19 дней назад
Mtumishi wa mungu paza sauti kukemea uovu Ili watoto wa mungu wasipotee Asante sana mtumishi wa mungu ubalikiwa na bwana.
@user-ko5it5hz6b
@user-ko5it5hz6b 19 дней назад
Mungu akutunze maana taji Yako ni kubwa wachungaji wetu wamekaaa kimya Wala hawasemi kwa kwa jina la Bwana
@agnesspaul1866
@agnesspaul1866 8 дней назад
❤❤Amina mtumishi wa Mungu Mungu awe nawe daima ponya nafusi za watu zinazopotea
@dyanamotz
@dyanamotz 19 дней назад
We nae unatuvuruga!! Yaan mtu anatani akufatilie lkn kutwa hutii moyo watu unaongelea mabaya watu tu !! Sasa siuwatafute uwaambie mbona unazunguka
@CatherineDaniel-t5b
@CatherineDaniel-t5b 13 дней назад
@@dyanamotz Hizi siyo nyakati za kutiana moyo mpendwa mara utanunua gari utajenga nyumba wewe amka
@FrancisHaonga-mp8oy
@FrancisHaonga-mp8oy 11 дней назад
Wenye maskio na wasikie neno ilo mwenye macho watazame bwana yu karibu Mungu azidi kukupa maisha marefu mpaka kusudi lake litimie kwako
@FrankBororo-dk1fv
@FrankBororo-dk1fv 17 дней назад
Hata waumini wenu sasa wanachoka na mahubiri yenu ya watu badala ya kuwasaidia matatizo yao. Wanakuja makanisa kumtafuta Mungu aliyewaahidi ahadi nyingi katika neno lake. Mungu ameahidi kuwaponya magonjwa yao,kuwainua na kuwatanirisha,kuwafungua kufungwa kwao,na wanataka waone hizo ahadi za Mungu zikifanyika kweli kwenye maisha yao. Sasa ikatokea hawajazipata chini yako,na wakaenda kwa huyo mnaemuita ana nguvu za shetani,na wakapokea hizo ahadi za Mungu,sahau kuwaona tena kwako. Mnamuinua sana shetani mpaka inashangaza! Mtu kapona uvimbe wewe unasema ni shetani! Mtu kapona kifafa wewe unasema ni shetani,mtu alikua fukara sasa kainuka wewe unasema ni shetani,watu wanafunguliwa mapemo na vifungo mbalimbali wewe unasema ni nguvu za shetani!
@christopherkaroli9365
@christopherkaroli9365 16 дней назад
@@FrankBororo-dk1fv umeandika mambo mengi sana lkn itoshe kukuambia hivi kuwa hata shetani ana miuujiza yake, na palipo na Mungu wa kweli panajulikana tu, Mungu wetu anatafuta utakatifu sana na mengine yote tutazidishiwa je kwa nini mtu ahubiri injili ya mafanikio tu bila injili ya utakatifu? au kukemea dhambi pia nikuambie kuwa Mungu anajitegemea hatumii vitu mfano mafuta, maji mara udongo kumponya mtu, tumeambiwa kwa jina la Yesu tutatoa pepo na kuponya wagonjwa.
@PeterGabriel-vm5yy
@PeterGabriel-vm5yy 16 дней назад
Ukiponywa magonjwa ukabaki kua mzinzi inakusaidia niji? Ukinunua mafuta na kwenda kunyunyiza baa na ukajaza wateja ukapata pesa inakusaidia nini? Ukipata pesa lakini ukawa hujui kumuheshimu Mungu kwa pesa zako inakusaidia nini? Miujiza yooote ikiwa jina lako halijaandikwa katika kitabu cha uzima ni bure. Na Mungu hutenda kwa wakati wake na hata asipotenda bado anabaki kua Mungu.
@joycelucas405
@joycelucas405 15 дней назад
Tatizo hajielewi na sio vizur kumsema mtumishi mwenzako vibaya.
@FestoYohana-ll4wk
@FestoYohana-ll4wk 10 дней назад
kama mnafikiri kasian yupo sawa mtajikuta mnaenda moron msihukumu maine mkahukumiwa mungu mwenyewe ndio anajua wakwake
@unileverldsengineering9541
@unileverldsengineering9541 10 дней назад
Dikika 53:32
@agnesspaul1866
@agnesspaul1866 8 дней назад
Hutabaki pekee yako tupo nyuma yako tunao jua Neno la Mungu Ubarikiwe sana Muny akulinde
@jesusfirstchurch4162
@jesusfirstchurch4162 19 дней назад
Wanaalika watu kwenye maadhimisho ya ugonjwa wa figo na tunaambiwa pombe ni chanzo kikuu wanadai matibabu ni gharama kubwa na watu wanakufa leo kiongozi anahamasisha kweupeee..si uislamu wala ukristo unakubaliana na kauli hiyo.. Mungu akutane nae uso kwa uso
@user-lt1bi5nr1x
@user-lt1bi5nr1x 19 дней назад
Kazi imeanza wao kwa wao
@epifaniamilinga2848
@epifaniamilinga2848 19 дней назад
Mungu anasema.ombeni lolote.mtapata.Basi mwuombeeni Mwaposa.kuliko kukashifu.hapo hamna jibu.
@Anza_tz
@Anza_tz 19 дней назад
Sasa kaka pascal hivi unashindwa kuongea bila kukioromesha hiyo sauti yako watu tunasikia vizuri tuu ukiongea kwa ukawaida wako maana sauti mpaka tunasahau ulianzia wapi na umeishia wapi....Jambo lingine kama ni kweli Roho wa Mungu amekuambia mwamposa sio mtumishi wake basi mimi ninakupa support 100000% lakini mtumishi kama una hubiri kwa hisia zako nataka nikupe tuu onyo kuna siku unachokiumba kitakurudia na wewe kuna watu watainuka juu yako kwa maana auae kwa upanga atapigwa sawa sawa
@martinahlighare6495
@martinahlighare6495 19 дней назад
Kujaza watu na kutenda miujiza sio hoja, hoja ni kuhubiri neno la Mungu kikamilifu kwa moyo wako wote. Naam, baki mwenyewe kuihubiri haki ya Mungu kwa wahitaji wanaona kweli yako, nao waokoke na kufanyika wana wa Mungu. Mungu akutunze na akuepushe na adui.
@AGM19697
@AGM19697 18 дней назад
10:18 Fika ukajionee mwenyewe usihadithiwe mitaani na vijiweni. Kila siku watu wanafungiliwa na kumpokea Yesu bila shida. Baada ya kujua kumbe Mungu ni halisia na sio maneno matupu
@AGM19697
@AGM19697 16 дней назад
@@martinahlighare6495 Ndugu achana na story za vijiweni chukua hatua msikilize Mtumishi Mwamposa hata kwa utube ndio uncomment. Huwa anahubiri neno kwa ufasaha, anafungua watu vifungo vyao kwa njia rahisi kabisa, mwisho anaongoza watu sara ya toba kwa yeyote atakaye kumpokea Yesu. Mm nimwokoka na natokea mojawapo ya madhehebu makubwa ya kilokole, nimemsikiliza mara nyingi sana na sijaona wapi pa kumpigia mawe. Acha ushabiki chukua hatua binafsi kufatilia
@user-mn2hb7xt9k
@user-mn2hb7xt9k 17 дней назад
Hata waumini wko walienda Kwa mtumishi WA mungu mwamposa mpakwa mafuta
@laurentraphael5470
@laurentraphael5470 17 дней назад
Hawa manabii wa uongo waabudu mashetani watakokota wengi kuzimu. Wateule tuwe macho, Yesu yu karibu malangoni.
@Pendopasilika
@Pendopasilika 19 дней назад
Mweeee!! Jamani😢😢😢😢 pamoja na cheo alicho nacho lakini shetani anasema sikuachii lazima unitukuze
@GiftMkwizu
@GiftMkwizu 19 дней назад
Amen mungu akubariki
@asteriashios1852
@asteriashios1852 19 дней назад
Pambaneni Mimi sipo nacomment tuu hapo wanangangania sadaka 😅😅😅
@reginamarwa8636
@reginamarwa8636 19 дней назад
Sauti ya mtu aliaye nyikani......
@renatus5687
@renatus5687 19 дней назад
Wewe casian muhuni tu sem unajua wa tz wanapenda umbeya ndo maana unawapiga kanisa ulilokuwa ukiomba sadaka umalizie kulijenga liko wapi kama n ww sio muhuni tena unachuki sana ww jamaa na wivu mkubwa
@feddymwanga5462
@feddymwanga5462 19 дней назад
Cassian hubiri neno
@user-zz9gr1vd9h
@user-zz9gr1vd9h 19 дней назад
Siku Mungu ashuke na gadhabu yake ndipo watakapojua nisawa kama hawajarudi kuwambia watu watubu kwa gadhabu aliyoshusha
@user-jc1do5gf3w
@user-jc1do5gf3w 19 дней назад
Du mnyukano huu,yangu macho
@jubilethfestourio450
@jubilethfestourio450 13 дней назад
Sema kweli watu waponeDamu yayesu ikulindi mtmsh wa Mungu aliehai
@EnaraMfwango
@EnaraMfwango 18 дней назад
Nakupend xàn kak but tuhubilie nen la mungu usituhubilie abar za mwamposa tumechok ndug tuhubilie abàri za mungu na namn gan tutaingia mbinguni kil xik mwampox mpak tumechok mpak tut kuj tukuon unamuhubur mwampox
@PiusMaira
@PiusMaira 19 дней назад
SoMa maandiko mtumishi , Mwamposa anafuata maandiko , acha kashifa unatenda dhambi na usipo badilika utakinyea kikombe. Na tutajuaje umetumwa na Mungu make inaonesha hufahamu neno .
@Berenaldo77
@Berenaldo77 19 дней назад
No
@Leeeeeeee-96
@Leeeeeeee-96 19 дней назад
una akili sana kuna manabiii wanaomsema kana kwamba anatumia biblia ya kuzimu kila mtu na wito wake naona angezingatia kuhubiri zaidi wati wafunguliwe
@MosesWiliam-ms8hu
@MosesWiliam-ms8hu 19 дней назад
Ira usiwe unagusa viogoz kaka hao ndo wenye madaraka
@BYAMUNGUGERLASMASHAURI
@BYAMUNGUGERLASMASHAURI 13 дней назад
Endelea Ku pasa sauti Zaidi na Zaidi. Tunakuombea Mungu Aendelee kukusimamia
@faridashabanifaridashabani5950
@faridashabanifaridashabani5950 19 дней назад
Kwakweli Mungu ndo anasitahili cheo hicho Ila ukiona Mungu kanyamaza basi siku ikifika msiseme hamkuwambiwa kiongozi waserikali unaongea hivyo kweli shetani amewalewesha Mungu atusaidie 🙏
@AGM19697
@AGM19697 18 дней назад
Nijuavyo mm taarifa za kiongozi ni za nyakati mbili tofauti. Moja kabla hajafikiwa na neema ya Mungu na nyingine baada na yeye kufikiwa na neema hiyo. Mtu haukumiwi kwa matendo ya kale. Anahukumiwa kwa matendo ya sasa
@irenemuia2718
@irenemuia2718 19 дней назад
JAMANI Vijana na WATOTO wetu ,eee MUNGU wa huruma tuhurumieee 😭😭😭😭😭
@GiftMkwizu
@GiftMkwizu 19 дней назад
Mungu akubariki
@user-cz7bd9tc5k
@user-cz7bd9tc5k 17 дней назад
Mkuu wa Mkoa sio Mtumishi Wa MUNGU Yeye ni Mtumishi wa Selikali Na jua Yeye Ha muamini Mungu kwa imani yako Wewe kwake kila kitu sawatu Makahaba ni Mali ya MUNGU Walevi pia Yeye ndie Aliye Waumba
@bernardmushi4869
@bernardmushi4869 18 дней назад
Kukusanya watu wengi hata MICHAEL JACKSON alikusanya watu wengi sana lakini usingeweza kusema MICHAEL JACKSON ni MTUMISHI WA MUNGU.PASCHAL CASSIAN AMETUMWA NA MUNGU,WENYE JICHO LA ROHO MTAKATIFU TUNAONA.WENGI WANAANGAMIA KWA KUKOSA MAARIFA.
@christianmwasakogo5579
@christianmwasakogo5579 18 дней назад
You're right
@geeoutfitdesgner
@geeoutfitdesgner 19 дней назад
anawivu huyuuuuuuuuu kaaah pole sana na kanisan kwako hatuji hutuacheee😂😂,mbona huwasemi dini zngine unasema wakristo wenzio acha wivu baba😂
@gilbertbidimbuka9104
@gilbertbidimbuka9104 19 дней назад
Hakuna Mkristo aliyesemaa hapo ila kawasema waganga wakienyeji na waovu wale wa mfuatao
@geeoutfitdesgner
@geeoutfitdesgner 18 дней назад
kwa kuna waganga wanaotaja jina la yesu????,au wakristo ndo huwa wanajata jina la yesu mkuu tafakar na uelewe bac
@user-jn4vw5mv5s
@user-jn4vw5mv5s 16 дней назад
Nyie msio elewa ndo mnapotea sasa na vile hamtaki kulielewa neno la MUNGU linasema nini mnajiona mko sawa kabisa
@SifaMwakisambwe-kn3yl
@SifaMwakisambwe-kn3yl 18 дней назад
Usihukumu usije ukahukumiwa. Tukifika mbinguni utashangaa taji zao zinang'aaa. Mungu akusaidie mtu wa Mungu.
@goldermeirshoo1228
@goldermeirshoo1228 19 дней назад
Hawa unaowazungumzia mtumishi hawana mbingu, achana na habari zao, wewe hubiri neno la Mungu bila kuwataja watu majina yao, kweni huwezi kutoa neno bila wao,labda hawamuabudu Mungu wako, wewe hubiri neno la Mungu, Chalamila ni Mroma, wanaruhusiwa kunywa, hubiri neno achana na Mambo ya watu
@jeniphermyingajeniphermyin8029
@jeniphermyingajeniphermyin8029 19 дней назад
Binafsi namwamini huongea vinginr kweli,lkn kwann wnahubiri kwamajina yawatu jamani,ama WOTE waongo YEYE ndiye mkweli PEKEE.,mmmh ALISEMA MTU mmoja SK zinakuja wakristo mtapigana wenyewe kwawenyewe.
@Leeeeeeee-96
@Leeeeeeee-96 19 дней назад
basi dunia n nzima yeye ndo wa kweli umeongea point sana kila madhabahu anaisema 😊​@@jeniphermyingajeniphermyin8029🎉🎉🎉🎉
@mwakatimbamahenge3196
@mwakatimbamahenge3196 19 дней назад
Umenena vema sana, yaani kama yeye ametumwa kuwaokoa watu basi awahubirie watu hata siku moja. Anasema tusiwaamini hawa sawa enhe tusipowaamini tukamwamini yeye then anatuhubiria nini sasa?
@eliagospel
@eliagospel 19 дней назад
Cassia Yuko sahihi
@eliagospel
@eliagospel 19 дней назад
Jaman Cassian ametumwa tusipuuze ipo siku huyu mtumishi atakumbukwa na mungu ana makusudi naye
@barakaelias1116
@barakaelias1116 18 дней назад
Amina niko na wew mtumishi niko zanzibar nakufatilia
@jesusfirstchurch4162
@jesusfirstchurch4162 19 дней назад
Usipokuwa wa rohoni Kuna mengi yatapongezwa na mawakala wa dunia hii maana wako kazini.. Hata Afrika kusini Kuna kanisa la wanywa bia.. Fimbo ya Bwana itembee
@feddymwanga5462
@feddymwanga5462 13 дней назад
Kaka Acha Mungu awaumbue
@user-zj9op4fb7w
@user-zj9op4fb7w 18 дней назад
Mungu akulinde Kaaian
@goldermeirshoo1228
@goldermeirshoo1228 19 дней назад
Wanaokwenda huko wanalijua neno , ina maana Mungu anaongea na wewe tu duniani, watumishi woote hawaendi anavyopenda Mungu, jichunguzeee vizuri mtumishi, ina maana dunia hii ni wewe tu unaejua neno la Mungu
@user-ks9ui8td7y
@user-ks9ui8td7y 19 дней назад
soma BIBLIA utaona kwaba anasema ukweli
@clarisbanza6066
@clarisbanza6066 18 дней назад
@goldermeirhoo1228 wewe ni ibilisi isiye jitambuwa kuwa makini ujuwe kwamba hapa ni mazabauni pia MUNGU atakupiga vibaya kama utoacha kizarau neno la kweli
@julianajeremiah4353
@julianajeremiah4353 16 дней назад
Nawe unapenda kukosoa sana Sasa we ndio umetumwa na Mungu kila kitu unakosoa umewaita wewe? Na ukifika Mungu hayuko hivyo we inuka hubiria injili watu waokoke unadhani ukisema ivyo ndio utazuia? Na Bado unataka michango ya watu ukianza kuhubiri injili tutachanga lkn kukandia watu hapana
@agnesspaul1866
@agnesspaul1866 8 дней назад
Ukweli ndo huo na haupingiki Muñgu alishakazaza vileo casssia mtumishi ubarikiwe
@goldermeirshoo1228
@goldermeirshoo1228 8 дней назад
@@clarisbanza6066 Mungu Ahache kukupiga wewe unae simama na madhabahu za wenzako, ACHA KUSIMAMA NA MADHABAHU ZA WATUMISHI WENGINE, HUBIRI NENO, ACHA KUHUBIRI MADHABAHU ZINGINE HATA KAMA HAWAENDI MBINGUNI SI UWAACHE
@renatus5687
@renatus5687 19 дней назад
Iyo mazabahu ipo geton kwake kama anabisha mwambieni aionyeshe wakati alikua akiomba sadaka za kujenga kanisa
@user-jf2gp7wb9i
@user-jf2gp7wb9i 18 дней назад
Sasa wewe shida iko wapi km Chalamila na mwamposa wanamamakosa wewe sio Jaji muachie Mungu mwenyewe unaweza wewe ukakuta una makosa wivu anao Mungu wewe nyamaza unampenda mama Samia wengine hawampendi acha wivu mchungaji
@bithiasizimwe660
@bithiasizimwe660 10 дней назад
Damu ya Yesu ikufunike
@rastheunique
@rastheunique 19 дней назад
Kuna balehe huwa hazikati hata uzeeke!! Huyu atakuwa ana tatizo hilo😮
@WiltodiMgombela-cn2ec
@WiltodiMgombela-cn2ec 18 дней назад
Amina kubwa mtumishi wengine wanaingia mikataba na shetani kupofosha watu Kwa maneno
@bethmahela2182
@bethmahela2182 18 дней назад
Acha uongo bwana toka lini pepo akamtoa pepo mwenzie,
@user-fw6tj8kt4n
@user-fw6tj8kt4n 14 дней назад
Kwanini hatutaki kusoma neno la Mungu . Binadamu tusimame kwa neno la Mungu mbona linatufundisha vizuri.
@Leeeeeeee-96
@Leeeeeeee-96 19 дней назад
kaka tuonyeshe mungu alie ndani yako na kazi zake zizihirike akuna aja ya kupambana na mwamposa wala manabiii wengine sioni kiutumishi kama inaleta afya
@GeofreyKalo-ot3we
@GeofreyKalo-ot3we 19 дней назад
Huyu Jamaa ni mnafiki na wivu
@DamianUlaya
@DamianUlaya 19 дней назад
Afya gan unaitaka wacha waseme ukwel
@misscesty5817
@misscesty5817 19 дней назад
​@@GeofreyKalo-ot3wewanadamu hampendi ukweli ndio maana neno la mungu hamjisomei wenyewe
@WilsonEmmanuel-bs6op
@WilsonEmmanuel-bs6op 19 дней назад
​@@misscesty5817Amin umeongea ukwel dada
@Leeeeeeee-96
@Leeeeeeee-96 19 дней назад
@@DamianUlaya aendelee kuongea mdomo mali yake lkn kiutumishi kila mtu anatakiwa kuwa na hekima 😂😂😂😂😂
@WinbirdFrancis
@WinbirdFrancis 19 дней назад
Mungu hakuweke milele
@kayombotv9758
@kayombotv9758 18 дней назад
Hatukuelewi una hubiri enjili au kazi yako kuwasema watu. Tena untumia hasira nyingi sana ya nini ndugu.
@user-ds5qs3wt4p
@user-ds5qs3wt4p 19 дней назад
Kemea kwa nguvu zote mtumishi
@andreachanai6658
@andreachanai6658 19 дней назад
watumishi wa Mungu mnatuchanganya sana badala la ya kuhubiri neno mnatumia muda mwingi kusemana nyie watumishi we hubiri neno watakakufuata watakufuata lakn sio kutupiana madongo kwa kuwataja watu majina hapo unakosea mtumishi
@geeoutfitdesgner
@geeoutfitdesgner 19 дней назад
kweli
@chrisophermazanza6499
@chrisophermazanza6499 19 дней назад
Kasome biblia yohana mbatizaji alikuwa akifanya Nini juu yaungoz
@user-kr9xx8br4o
@user-kr9xx8br4o 3 дня назад
Soma Neno la Mungu, usijiegemeze kwenye wanadamu, wala hutachanganyikiwa.
@ShukraniChomolla
@ShukraniChomolla 19 дней назад
Kwani lazima ukihubiri utaje watumishi wengin sasa mwamposa anaingiaje hapo badala uwahubirie watu neno la Mungu
@justinmayback5552
@justinmayback5552 18 дней назад
huyu jamaa anajiona yeye yuko sahihi mpuuz sana anaongelea watumishi tu
@ShukraniChomolla
@ShukraniChomolla 18 дней назад
@@justinmayback5552 yeye ahubirie watu wapone na si kutaja watumishi wengine bana
@epifaniamilinga2848
@epifaniamilinga2848 19 дней назад
Mnahukumu ninyi ni Mungu?
@SafiAkinyi8361
@SafiAkinyi8361 19 дней назад
Mimi husoma tu comment za watu lakini acheni niwaambie watu ambao mnatusi huyu mtumishi wa BWANA na ametumwa jueni ya kwamba mnajichimbia kaburi lenyu wenyewe na ndo huwa mnasikia watu wakisema tumerogwa na kumbe ni nyinyi wenyewe mnajiroga kwa kutukama mtumishi wa MUNGU huyu MWINJILISTI Cassian ametumwa na BWANA Aliye hai so endeleeni kukaidi mtakipata cha kwenu Amen God cannot be mocked ukweli utajulikana as soon as possible
@GeorgeChitemo-kt8sw
@GeorgeChitemo-kt8sw 19 дней назад
@@SafiAkinyi8361 Acha kusema mtumishi WA Mungu wakati muadu rusifa
@cellinamuro6872
@cellinamuro6872 19 дней назад
Hizi ni zilebnyakati mbaya wanakuja kama kondoo lakini ndani ni mbwa mwitu asikiae na afahamu kuwa hu ni ule wakati wa manabii wa uongo ndio huyoooooo watu watasombwa sana kuzimu hata wateule biblia imesema
@YOSHUAMWAMPETA
@YOSHUAMWAMPETA 19 дней назад
CASSIAN PASCHAL anampinga Mungu hakuna aliyempinga Mungu akafanikiwa . NAJUA HILO TOKEA KITAMBO NA Nimemshauri sana kwa njia hii AMESHUPAZA SHINGO.NAMWACHIA MUNGU ATAMJIBU KWA WAKATI NA MAJIRA YAKE
@user-jl5un4wf3u
@user-jl5un4wf3u 19 дней назад
shetani hana chamkuuwa mkoawala wafalme wala wenye akili baali ana vivutio vyakukupeleka kwenye aanguko akiwemo namwenyewe swalanikujua kweli yaneno huge nimkuuwa moka wakuzimu siwaraiawa wa jamuhuri ya Tanzania hatagamoliayake hata viongoziwakeanawadhalilisha hatofautishi mvinyowa wayahudi wa wakatiule navyakula vyao vyamikate hiyo walishushia kunywa juice zabibuiliziwasaidie kupatahajakubwa kwa urahisi saanyingine niushamba uliopitiliza kutamukamaneno sawanamatapishi yakomwrnyewe mbele yaumawadunia nzima halafu unadhalilisha walikuteua kujaza watusisikitu chakipimo chawenye hekima wewe. Charamila mpingakiristo uliwahikuona analoga? au anajifanya yeyekamakiristo ...hujifanya yeyenizaidi ya Mungu hivyo chungasana ulimiwako we ye jamii. Wananchi wanaujuzuzi kulikowewe chukuahilo.
@user-tt7cu2et1x
@user-tt7cu2et1x 19 дней назад
Yahn watu wako tayari kujaa kwenye maovu na cyo kutubu uovu wao😢😢😢ole wa inchi na wote wakaao juu yakee..mwamposaa siend mybe niwe maiti at Roho mt amenishuhudia saana alishaasi.njia ya msalaba tulianza naye maimoriaa. Akiwa na hema na mikesha ya maombi alikua vizuri.after kufika dar basii iman ya kwel aliichia mosh😢😢😢😢jamn watu mkikanywa msikiee
@EnockMozess
@EnockMozess 19 дней назад
Mungu akutunze mutumishi
@PatrickTimoth
@PatrickTimoth 19 дней назад
Mi naona haina haja ya kuongelea watumishi wote kikubwa Mungu ndiye anaejua nakila mtu ataenda kwa wakati wake Mungu tu atusaidie
@user-kr9xx8br4o
@user-kr9xx8br4o 3 дня назад
HAONGELEI WATUMISHI WA MUNGU
@EmmanuelErnest-r7g
@EmmanuelErnest-r7g 18 дней назад
Chapa kazi baba kemea fundisha onya, watu wengi hawaitaki kwel wanatak mahubiri ya mafanikio tu
@FestoYohana-ll4wk
@FestoYohana-ll4wk 19 дней назад
jichunguze vizuri unahubili majina ya watu unaacha kuhubili watu waache dhambi jilekebishe ndugu hakuna anaekusikiliza maneno yak usipo jilekebisha utaenda moton ss wt biblia tunaijua hebu niambie mwamposa anakosea wp au kujaza watu inakuuma umtafute mungu acha majungu ndio maana nguvu za mungu huna mungu kakusahau unamajungu sana
@happnesskitumbo5713
@happnesskitumbo5713 19 дней назад
Siku ukijikuta jehanam na huyo mwamposa wako ndio utajua kama alikuwa anawaongoza kuwapeleka kuzimu.
@christopherkaroli9365
@christopherkaroli9365 17 дней назад
Lazima ukweli usemwe hatuwezi fumbia maovu kisa eti unamtaja mtu. Acha mgongwe nyundo enyi maajenti wa shetani aliye kuzimu
@FestoYohana-ll4wk
@FestoYohana-ll4wk 10 дней назад
mungu ndio anajua mwamposa nimtumishi wa mungu au siyo mtumishi wa mungu siyo huyo kasian wako kafika lin mbingun akaambiwa mwamposa siyo mtumishi wake acha kumttea kasian wako mbona humshauli ahubili watu waache dhambi huduma yake yenyewe imedumaa hata mgonjwa wamafua hajawahi kumuombea akapona kaz majungu
@christopherkaroli9365
@christopherkaroli9365 10 дней назад
@@FestoYohana-ll4wk we ni ajenti wa shetani kama yeye tu hakuna tofauti ndo maana unadiliki kuandika hata jina la Mungu kwa kuanza na herufi ndogo
@user-fw6tj8kt4n
@user-fw6tj8kt4n 14 дней назад
Njia ni mobility za kwenda mbinguni tukumbuke njia nyembamba watakao ingia ni wachache . Na njia pana watakao ingia ni wengi.
@user-pl6et5uu6w
@user-pl6et5uu6w 16 дней назад
Hubiri neno la mungu achana na watu simamia malengo yako
@FestoYohana-ll4wk
@FestoYohana-ll4wk 19 дней назад
ww kasian sikiliza acha kupotosha watu kila siku unaponda watumish wenzak unajifanya ww ndie mtumishi kulik acha ujinga utumish wak hauonekan usihukumu
@ed2simon
@ed2simon 18 дней назад
EV CASSIAN-- UMENENA VYEMA MUNGU AKUBARIKI SANA ZIDI KUFICHUA YALE YANAYOFANYA ILI KOMBOA NDUGU ZETU WANAO ANGAMIA HUKO
@pastormichaelkayombopendec2497
@pastormichaelkayombopendec2497 8 дней назад
Tunakupenda tuko pamoja na wewe kupigwa sio kosa acha wakupinge lkn kweli imefika
@epifaniamilinga2848
@epifaniamilinga2848 19 дней назад
😮kama challamila.anasikilizwa.Hata ww utasikilizwa.
@bernardmakengochuma5989
@bernardmakengochuma5989 19 дней назад
Ebu mwone anavyojifuta jasho na tisheti ndo mumone karukwa na akili hili lijamaa walifungie kwani anaupungufu wa akili
@epifaniamilinga2848
@epifaniamilinga2848 19 дней назад
Waombeni.mtawaokoa.lakini njia hiyo unayotimia.No.
@jedidahbintidaudi8241
@jedidahbintidaudi8241 19 дней назад
jmni huyu mchungaji kasema kweli kwa kweli..natamani Albert Chalamila asikie hili Mungu wangu..Mama Samia ni mama mwenye hekima mno mama huyu..35:02-41:32 dah kwa kweli. Mtumishi wa Mungu Paskali, tunaomba umege kipande hiki ikweke kwa channel yako ili kiongozi wetu Chalamila awezek kusikia..titled "Maoni ya Rais mama Samia kwa kijana wake Mh Chalamila" tutashukuru sana mchungaji wetu
@GeofreyKalo-ot3we
@GeofreyKalo-ot3we 19 дней назад
Acha wivu imekuuma sanaaaaa! Na bado
@christopherkaroli9365
@christopherkaroli9365 18 дней назад
Acha mpigwe na shetani wenu
@imanimwanjoka2671
@imanimwanjoka2671 19 дней назад
Na huo ni uchokozi sana , ukibanwa kidogo na serikali kelele nyingi
@christopherkaroli9365
@christopherkaroli9365 18 дней назад
Serikali gani inaweza kushinda mbele ya Mungu
@Advancedkingdomministries
@Advancedkingdomministries 19 дней назад
1 Kor 12:3 SUV BHNSUVNenoSRUV Kwa hiyo nawaarifu, ya kwamba hakuna mtu anenaye katika Roho wa Mungu, kusema, Yesu amelaaniwa; wala hawezi mtu kusema, Yesu ni Bwana, isipokuwa katika Roho Mtakatifu.
@RUBENNGAYA
@RUBENNGAYA 19 дней назад
EE MUNGU TUREHEMU,TUFUNZE KUHUBIRI NENO LA MUNGU KAMA MWINJILISTI CHRISTOPHER MWAKASEGE,Sijui kama kuwasema wengine ndo KUHUBIRI?? TUOMBE TOBA NI MAKOSA KUWASEMA WENGINE,MUNGU MWENYEWE AMEKATAA,LET LOVE OF JESUS CHRIST LEAD US.
@geeoutfitdesgner
@geeoutfitdesgner 19 дней назад
mmh huo wivu wa maendeleo sasa😂😂,,yaan ww uenda kwel una Mungu ila kinachonikela kwako ww unaroho mbaya hupend wachungaj wenzio waendelee yaan ww unaamin uchawi hauamin km mungu anaweza kutenda na ndiomaana unawasema wengine,,ebu ifike kipind uache kufatilia watu ufanye mambo yako,ebu ifike mahali utafute waumini kialali sio hvo unavyochafua wenzio ..wakat unaumwa tulikuchangia pesa na hao unaowasema walisaidia kupona kxako😂 kweli mfadhili mbuz binadamu anamauzi.
@haloterinternant
@haloterinternant 18 дней назад
Achaa unafiki we ubili neno la MUNGU Achana na mwamposa mtumishi wa MUNGU
@mercykariithi7919
@mercykariithi7919 19 дней назад
Cassian ana sema ukweli juu ya mwamposa huyu mwamposa ni mwongo na ni agent wa shetani
@user-yj5es1jw8c
@user-yj5es1jw8c 19 дней назад
Kauli za jaaa huyu mungu amponye
@ObadiahKabulente
@ObadiahKabulente 18 дней назад
Nenda mwamposa atakupea 16ml Bure
@mashakalupindo
@mashakalupindo 19 дней назад
Acha wivu
@shakuratradeservices5919
@shakuratradeservices5919 13 дней назад
Mungu gani kamtuma mtumishi kushambulia wengine kila siku? TUJITAFAKARI
@victorngimbwa5558
@victorngimbwa5558 17 дней назад
Wewe kweli unaona,Wewee Ni kipofu ambaye hujui kama kipofu
@mussamathayomadole8401
@mussamathayomadole8401 18 дней назад
Songa mbele kuisema kweli ya JEHOVA mtumishi, tuko pamoja.
@OfficialsamiraTv
@OfficialsamiraTv 17 дней назад
Huyo mungu wa mwamposa kakukosea nn 😂😂😂 hebu na wewe tuonyeshe mungu wako
@user-sp7cm8pm4w
@user-sp7cm8pm4w 19 дней назад
Naifikria siku ya unyakuo itakuaje,maana aibu nying zitaonekana
Далее
MCH HANAJA APIGA NONDO NZITO KUHUSU KIBOKO YA WACHAWI
28:20
Dhambi mpya  Hiihapa :  Mch Abiud Misholi
34:25
Просмотров 64 тыс.
MKE WANGU ALINI KIMBIA EV PASCHAL CASSIAN
31:44
Просмотров 37 тыс.
МЫ ПОХОДУ ЧТО-ТО НАПУТАЛИ
0:20
Поймали акулу
0:51
Просмотров 1,8 млн
Ещё и в кредит
1:01
Просмотров 780 тыс.