Pole ongeza Imani Wenda huamini kama mungu anaumwa❤ jifunze kwanza Vita so yao ni ya bwana usishindane na mwenye kibali ashapewa jifunze katokea wapi unahukumu tuuu agano la mungu ni la mungu tuui kama kila kitu kizuri ni kuzimu back hatuna mungu acha mungu ainuliwe maaana wakwako hatujamwona naishala hizi zitaaambatana na wamwaminio tunakpenda Ila Vita ni ya bwana labda upambane na mungu😢😢😢
Mm unajua xiwaelew mtumish wa mung akimtumia nabii wa uong ken mnamchukuliaj mung yy mnazn anafany mamb madog madog ndy mxem mtumixh wa mung mung nimkuu jaman naawz xhul mwenyew atuxaidie xhid zet anatumia watumixh wak kututatulia xhid zet na mwampox mung akimtumia Kam alivy kuw akiwatumia wakinaelia,elixh,samweli na mtum yohn na Petro ximtaxem ni maxhetan juen kuxom bible achn kujadil kit uxich kijua alf nilaan kuwaxem watumixh wamug mung ndy atawahukum anajua wap walio wak ww mtu Kam mm kaa kimya xaw
Kwanza ktk hiyo orodha ebu atutolee mwamposa hapo na sijui kwanini watu wengine wanaacha kuhubiri neno la mungu kazi kuwahukumu watumishi wa mungu wanaingilia kazi ya mungu tu💔🤔
Ww unaakiri kwsbb imeandikwa hv watu wangu wanaagamia kwa kokosa maahalifa km inalipa fanya hata ww mwenyewe unatafuta pesa kupitia kuwasema watumishi wa Mungu ww nimpuuzi
Nenda na wewe uko kuzimu ili upate nguvu tena kona mkutukana kuhani musa huyu ni jitu la mbinguni utakufaa ohio we endelea kuish na mapokeo tena usimfananishe kuhani musa panyawwww
Huenda unachokisema kinamashiko lakini ulikofikia ni mbali Kaka hayo mamlaka ya kuhukumu watu hao umeyatoa wapi? Iyo KAZI mwachie mwenyezi mungu mwenyewe😮😮😮😮😮😮
Kama unahisi huduma za watu wa Mungu zinakukera kaa kimya usiseme watumishi wa Mungu mwamposa hakuua watu jua chanzo ys kitu kabla ya kusema na ukiendelea kusema watumishi wa Mungu Mungu afunge hicho kinywa chako milele kwa Jins la Yesu
Tumtete Yesu kristo tusiwatetee manabii hawa maana hata hyo unaemwamini huwez jua maana kilichonyuma yake ebu watu wa kizazi hiki tufunguke macho tuone tulikofikia na utakapojua ulikofika utajua anaekuongoza ninani bila kujua majira hatutajua nabii tunaemfata ni wa namna gani
Pole sana kwa kweli ufahamu wako ni mdogo sana for example have done thorough research on the prophet Owuor...have you visited the many people healed in his meetings...are you aware that even the international tv BBC did a through research and made a follow-up on the many healed in the meetings HIV,cripples,blind,deaf...healed without giving a penny...what about the powerful message of rapture of the church,resurrection and eternal judgment...I mean are you sobber enough...why dare to mock the mouth piece of God... even with the help of the internet, you can easily do a follow-up...please be careful,and born again properly for the Messiah is coming...
SI ndo hapo Kazi kupoteza Muda hapa Mungu mwenyewe ndo atahukumu Ndo mama Yesu alisema acha magugu na ngano vikue pamoja Bwana wa mavuno akija itafahamika tu
Siyo hupendi ww ni miongoni mwa wajinga wengi ambao maarifa kwenu ni tatizo mtu anakuambia yeye aliongea na Mungu uso kwa uso na wew unasadiki tukuiteje kama siyo punguani ni nan ww
Lkn pamoja na kumponza huyu aliesema haya hata Yesu alisema watakuja manabii wa uongo kwa jina langu na watapoteza wengi na hata wateule ko wakati wakuchangamka ww uliemjua huyu Yesu wa kweli ili usije kupotea kwa ajili ya hawo watu waliotabiliwa na tayari tuanona wameshatokea asomaye na afahamu
Wakrito mnanini lakini mbona hamshituki mnaambiwa ukweli lakini bado hawa ni manabii wauongo mlitaka hao manabii wa uongo waje kwa sura ipi ndio muelewe
@@aminajuma1156 jifunze kumtafuta Mungu. Ukitaks kumjua Mungu ruhusu moyo wako acha kuwa na mambo hasi. Unaweza ukafikir unajua kumbe unaowaona ndo wanajua kukiliko. Shida ya watu tunamwabudu Mungi kwa akili zetu badala ya Moyo. Mtafute Yesu naye awe ndani yako ukifika hapo kila kitu kinacho kuzunguka kinakuwa na nguvu ya Mungu yaani upako.
VIPI KAMA KATIKA WATUMISHI ULIOWAWEKA PICHANI KUNA AMBAO WANAMTUMIKIA MUNGU KTK KWELI MA WANAVUNA NAFSI NYINGI KWA KRISTO!! UNAFIKIRI HUKUMU YA MUNGU ITAKUACHA???????
Kisa usichokijua ni kama usiku wa kiza. Na ukiona zinduna na ambari ipapo.kunao utofauti mkubwa sana baina ya manabii wa kuzimuni Kama ulivyo utangulizi wako na nabii wa ukweli.Utawajua kwa matendo yao. Soma kumbukumbu ya torati 18:18 na kuendelea.
Repent and prepare the way for the coming of the Messiah. Are you aware that everyday you are moving closer to your grav? How will you appear before God. Repent of homosexuality, nudity, witchcraft, lust, corruption, devil-worshipping, hatred, etc. GOD is not a joke. The prayers on your burial day won't save your soul.
@@patsonkyando1732 unafikiri ni kila mmoja anayejiita Mtumishi ni wa Bwana Yesu. Tunawajua kwa Roho sio kwa macho ya nyama tu! Ni mbwa mwitu ni vile wamevaa ngozi ya kondoo.
@patsonkyando1732 walizi wake ni vipofu, wote pia hawana maarifa; wote ni MBWA walio bubu, hawawezi kulia; huota ndoto, hulala hupenda usigizi. Isaiah 56:10. Bibilia inasema ni Mbwa sababu kazi yao ni kufaidi vitumbo tu! Kazi ni kuhubiri baraka, na mafuta na vitambaa na mahitaji; Kama Yesu alisulubishwa kwa ajili ya ujinga huo pekee wa mahitaji basi inamaana kazi ya msalaba haina maana na wokovu ni bure. Wamepotea njia walafi hawa, hawashibi kamwe, wamefunga nafsi za wana wa Mungu kazi yao ni kuwatolea matoleo na hawashibi, wasio fahamu neno. Funguka macho ni nyakati za Mwisho
Hahaha Kwamba we neir wa kweli wengine wa uongo? Tukuamini kwa sbb gani? As for me, namuamini Mungu tu aliyejifunua kupitia YESU kristo Sbb hata watumishi wote watajibu kutokana na assignment zao ,so kupoteza kuda kusema yule wa uongo yuoe wa kweli ni kupoteza muda ti Mtafute Mumgu wewe binafsi
We unatafuta laana tu, kwanini umewaweka watumishi wa MUNGU na hujawaelezea tuhuma zao? Kutaka hela za youtube kusikuingize kwenye laana wewe na kizazi chako, huwezi kumuongelea vibaya Mtumishi wa Mungu halafu ukabaki Salama, maana utakiwa pia imemudhihaki Mungu mwenyewe aliyemtuma
Watu wangu wanaangamia kwa kukosa maarifa .kweli kabisa nyie mnaompinga paschal mbona mmepungukiwa na maarifa kiasi hiki hao kwenu ni watumishi wa Mungu kweli nimeamini wajinga ndio waliwao paschal waanike wasenge hao