Тёмный

PART 2: BAHATI BUKUKU AWAULIZA WANAWAKE, MWENYE 'V8' NA MCHOMA MAHINDI ATAKUOA NANI? | HARD TALK 

Global TV  Online
Подписаться 5 млн
Просмотров 72 тыс.
50% 1

PART 2: BAHATI BUKUKU AWAULIZA WANAWAKE, MWENYE (V8) NA MCHOMA MAHINDI ATAKUOA NANI? | HARD TALK
HII ni sehemu ya pili ya mahojiano ya Mtumishi wa Mungu Lilian Mwasha na mwimbaji wa injili, Bahati Bukuku, kwenye kipindi cha Hard Talk..
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/gl...
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
⚫️ VISIT COMEDY PLAYLIST: • GLOBAL COMEDY/MOVIES
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 657 693 210), ( +255 784 888982)
⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com OR abbymrisho@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_y...
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globa...
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusiv...
⚫️ Subscribe Global TV bit.ly/globaltv...

Опубликовано:

 

15 окт 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 238   
@globaltv_online
@globaltv_online 2 года назад
Global App ni ya kwanza kwa BREAKING NEWS🗞, MICHEZO⚽ na BURUDANI🎷 *DOWNLOAD sasa👍 iOS 👉 apple.co/38HjiCx Android 👉 bit.ly/38Lluc8
@sylvesteramwai7192
@sylvesteramwai7192 2 года назад
Jameni niko Kenya wapi likes za huyu mteule wa mungu,bahati bukuku umegonga ndipo!
@robertgwelela2301
@robertgwelela2301 2 года назад
Kweli ndoa inamuhitaji Mungu hii ni point kubwa sana.
@shekinahshimeni8320
@shekinahshimeni8320 2 года назад
Nimependa hii interview Mungu akubariki mama Bukuku😘
@happynescostat7420
@happynescostat7420 2 года назад
Nilisikia sauti ya bahati na Lilian mwasha nachanganyikiwa kwa muda😭🙏🙏🙏natamani nionane na nyie uso kwa uso,mungu amewainua Sana moyo wangu unazimia Sana juu yenu,muishi milele mungu anawaona🙏🙏
@mariamkasongo1906
@mariamkasongo1906 2 года назад
Umeongeya ukweli wote dada Bahati Mungu akubariki
@sikujuahamisi7252
@sikujuahamisi7252 2 года назад
Bahati bukuku mtumishi wa mungu nahtaji mawasiliano yako wewe ni mshauli mzuri sana napenda kujifunza kupitia wewe
@jeanbaraka1008
@jeanbaraka1008 9 месяцев назад
MAMA BAHATI ni mtu muimu sana maishani mwangu MUNGU mbariki sana mama huyu nimpendae kwa sikimapenzi bali kwa maono na mashauri yake ktk neno la MUNGU kwa nyimbo na mahubiri...
@nurunuru7834
@nurunuru7834 2 года назад
Somo nimelipenda sana asante dada Bahati kwa somo na dada Lily
@saidgwakisa5880
@saidgwakisa5880 2 года назад
The interview was so fantastic Be blessed my lovely mom Bahati bukuku😍😍
@melodietina9877
@melodietina9877 10 месяцев назад
Woman of wisdom ❤❤
@dorcasosano3626
@dorcasosano3626 Год назад
Mama Bahati ana hekima sana, mimi nimekumbuka mwaka wa 2009 nilikua kituko nilipotoka kwa ndoa juu ya kuwachana na mme wangu, I thank God wapendwa wengine waliponiona mwenye Dhambi Mungu akinipa nguvu ya kuendelea Leo niko Sawa bila huyo mwanaume, ningeendelea kukaa ningeaga Dunia kitambo
@monicastephen8796
@monicastephen8796 2 года назад
I didnt know if Bahati is this intelligent...You talked the only truth
@babyhamisi1437
@babyhamisi1437 2 года назад
You can say that again
@nassorsaid1034
@nassorsaid1034 2 года назад
Dada Lilian kama unajua jinsi unavyotitengeneza katika kipindi hiki,we Acha Tu ,watu unaowaleta Kwa kweli ni madarasa muhimusana kwetu .asante sanaaaaa Sana Sana kama isingekua tambu ungekibadilisha jina kipindi ukakiita nawatengeneza maana kwakweli unatutengeneza Sana Allah akubariki
@ayshahussen7452
@ayshahussen7452 2 года назад
Nakupenda sana Bahati wangu Mungu akutunze kipenzi changu 😘
@Adventsumari-dl5mc
@Adventsumari-dl5mc Год назад
Baati bukuku namependa uvaaji wako . Lakin pia na mtangazaji nimempenda sana na ana tabasamu zuri. I love you kwa wote❤❤❤❤
@mwamuyenyamawi1456
@mwamuyenyamawi1456 Год назад
Umenipandisha kiwango kingine mama Bahati🙏🙏🙏 Mungu akubariki sana mama
@MareMa-kb3iy
@MareMa-kb3iy Месяц назад
Mungu akubariki dada kwa mafunzo mazuri
@nicolenabintu2509
@nicolenabintu2509 2 года назад
Ila Mungu iko very strong kwa alie washagua, nyieee sikieni maneno anayo towa kinywanyi da Bahati uwii , God you’re so good kwa wanao kuamini nakukutegemea , Asante dada Liliane Ubarikiwe pia 💕👏🏾
@lovenesspeter6329
@lovenesspeter6329 2 года назад
🙏
@carolinenyemba2412
@carolinenyemba2412 4 месяца назад
Woow wonderful,this woman is a woman full of wisdom am encouraged by your message my sister be blessed
@rashealmwikali2424
@rashealmwikali2424 2 года назад
Congratulations mtumishi wa Mungu bahati bukuru...umeogea points...
@julianamkonda5693
@julianamkonda5693 2 года назад
Nimebarikiwa sana pia nimecheka sana, ubarikiwe mtumishi wa Mungu dada Bahati bukuku
@yassintaibrahim3541
@yassintaibrahim3541 2 года назад
M/MUNGU Awabariki Saana Wapendwa Wetu 🙏🙏🙏
@ayubukedimundi3221
@ayubukedimundi3221 Год назад
Mungu nipe hekima na upendo nifike na mke wangu mama happy tufike mbali tumetoka maisha Magumu Sana
@AngelaMwangulumba
@AngelaMwangulumba 5 месяцев назад
Nawapenda sana Dada zangu,hayo yapo saana kwenye ndoa tunayapitia mnoo Mungu atusaidie
@MaureenOmondi-kz7sx
@MaureenOmondi-kz7sx 5 месяцев назад
Leo nimepata chakula cha roho na sitakufa kwa dowa thanks sana bahati
@magdalenakibinga8102
@magdalenakibinga8102 2 года назад
I Like this mama Bahati Bukuku jmn so much brave and intelligent , thanks Mwasha kwa kutuletea such a blessed servant of GOD
@rechonjogo228
@rechonjogo228 2 года назад
Asanteni sana mimi nilijaribu ndoa nkashindwa nilivumilia nika fika mwisho nkaamua kutoka sai nko saudia natafutia watoto wangu na sirigret kutoka kwa ndowa wacha mungu anipiganie
@sharonjanery983
@sharonjanery983 2 года назад
Mama Bukuku umenigusa sana mungu akubariki
@sairismsigwa2682
@sairismsigwa2682 2 года назад
Mnatufunza mengi sana ahsante sana Dada Lilian na Bahath, Nawapenda mnooo ♥️💞🥰
@margaretasiko6950
@margaretasiko6950 2 года назад
Jameni. Unanibariki. Sana. Dadangu. Mungu. Akubariki
@violinenyakara5028
@violinenyakara5028 Год назад
Deep, very powerful, much ❤️❤️❤️❤️
@ngowibeatrice1701
@ngowibeatrice1701 2 года назад
Dada Bahati MUNGU akubariki sana umeongea point sana zaidi ya sana
@neemaloy889
@neemaloy889 Год назад
umeongea point sana Mtumishi Bahati Bukuku
@venerandachimoi6646
@venerandachimoi6646 2 года назад
Salamu kwa mtumishi wa Mungu mama Bahati jamani
@lonelady3368
@lonelady3368 2 года назад
Aki Bahati wewe unavyo jibu ni kama unafanya comedy vile ..akika umenichekesha sana. na nimejifuza mengi..zindi kumbarikiwa..Lillian be blessed too
@angelinasamson697
@angelinasamson697 2 года назад
Daah!! Bahati umeongea point saana
@BrownEyez-zy2jv
@BrownEyez-zy2jv 3 месяца назад
Nafatilia Mungu akubaliki
@Joyce-w1y
@Joyce-w1y 5 месяцев назад
Ukweli kabisa asante mungu akubariki sana
@JohaKilinda
@JohaKilinda 8 месяцев назад
Ubarikiwe kwa ushuuda.
@Joyce-w1y
@Joyce-w1y 5 месяцев назад
Hapo umesema dadangu yaani ukweli utupu waaa ubarikiwe sana na bwana
@pastorboscokatembo629
@pastorboscokatembo629 2 года назад
Ubarikiwe Mtumishi wa kwa Majibu ya kihekima
@rebeccawekaya2342
@rebeccawekaya2342 8 месяцев назад
God bless you the woman of God
@annamaturo6449
@annamaturo6449 Год назад
Dada Bahati nakupenda sana na unaongea point za kweli
@josephinajosephu6859
@josephinajosephu6859 2 года назад
Nawapenda Sana mungu aendelee kuwatunza ili mtupe madini adimu kama haya❤️❤️❤️nacheka huku nalia
@uiptv365
@uiptv365 Месяц назад
Nimependa sana ihi conversation 🙏🙏🙏❤️❤️💯
@judythasiko8648
@judythasiko8648 2 года назад
Am always here to take notes, more love women of God🇰🇪🇰🇪🇰🇪🙏
@floridaalega7387
@floridaalega7387 2 года назад
Bahati wewe ni mama Wa Busara sana 🙏🏼🙏🏼🙏🏼🙏🏼Barikiwa sana 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
@neematito5767
@neematito5767 2 года назад
MUNGU awabaliki Sana MAMA zetu BAHATI BUKUKU na LILIAN kiukweli mnanibaliki na kwa kipindi hiki mmeponya ndoa za watu wengi na mioyo ya watu wengi.
@hyacintagugu7
@hyacintagugu7 Год назад
Umenibariki Dada bahati
@neemamassawe8091
@neemamassawe8091 2 года назад
Aki nmecheka🤣🤣🤣🤣🤣barikiwa sana dada Bahat Bukuku
@susanndegwa4900
@susanndegwa4900 2 года назад
Love you girl doing good job and help us
@robertgwelela2301
@robertgwelela2301 2 года назад
Duuuh! hii ni babu kubwa sijawahi kuisikia.nimeipenda sana hii hard talk ya leo.
@alpiusmwageni475
@alpiusmwageni475 2 года назад
Mimi mwanangu akiniletea mwenziwe mwenye heshima na adabu inatosho,utajiri usomi siyo muhimu anaweza kuwa msomi akakosa utu.
@joycemkeka3769
@joycemkeka3769 4 месяца назад
Tena kwenye maisha usiombe ukakutana na mume au mke alie soma alafu akaacha elimu shule akachukua cheti kuja kutishia watu mtaani ndugu utakoma yani hana utu hana huruma nafasi ya mungu aipo utajuta heri ukutane na muuza mkaa mwenye utu utafuraiya maisha
@elizabethnamwinga3210
@elizabethnamwinga3210 2 года назад
Barikiwa Sana mtumishi nakupenda sana
@roidaalphonceyou2227
@roidaalphonceyou2227 2 года назад
Asante kwa fundisho mama ndivyo ilivyo Kama umeniona
@azizakwileka1641
@azizakwileka1641 2 года назад
Bahati anazungumza kisela sana😀😀 napenda namna anavyozungumza...♥️
@listangalala9892
@listangalala9892 10 месяцев назад
Sana afu points
@vailetheanyambilile9749
@vailetheanyambilile9749 2 года назад
Daaaaaah Mungu atu sadiye wa dada Ambao atuja olewa
@mariamramadhani3860
@mariamramadhani3860 2 года назад
Tutafute fulusi tu7
@violethndowo-fr3rc
@violethndowo-fr3rc Год назад
Mashallah unajua❤ kututia moyo
@winfridahamenya-pb7qt
@winfridahamenya-pb7qt Год назад
Gods with you bahati ,, from Kenya . U say the truth
@veroniquegershomu9197
@veroniquegershomu9197 2 года назад
Asanteeee sana bahat nimepata kitu hapa
@Mariam-h2f
@Mariam-h2f 3 месяца назад
Sasa mariam kajaje tena dada angu bahati😂😂sema nakupenda sana dada angu
@sophielishindu1335
@sophielishindu1335 2 года назад
Weeeh mungu wangu kuwa na huruma juu ya maisha yangu.
@christinamesso2148
@christinamesso2148 2 года назад
Nakupenda sana bahati bukuku
@Winfridankalupia-t8d
@Winfridankalupia-t8d 5 месяцев назад
Shukrani sana ❤❤❤❤❤
@reginaandrew6891
@reginaandrew6891 2 года назад
Amazing interview nimewapenda mno. Mbarikiwe sana
@hellennthambi8379
@hellennthambi8379 8 месяцев назад
Woman full of wisdom
@ayubukedimundi3221
@ayubukedimundi3221 Год назад
Jmn kwa kweli ukisikia ukatili kiukweli sijui ila vingi ni wivu wa mapenzi na kiukweli Nsiwe wao go wanaume tunaumia Sana moyo unawaka moto kwenye usaliti sababu tunawaza Sana hasa usaliti wa wanawake unaweza ukawa unahisi au kweli lakini moja kwa moja usaliti unagusa uwanaume wetu yaani unakuwa kama umedharau mme wako so.... Wamama acheni usaliti kweli kabisa wababa wanaumia Sana
@saumusulaiman4742
@saumusulaiman4742 11 месяцев назад
Kweli dada bahati❤
@deborahdelly6254
@deborahdelly6254 2 года назад
Nakuelewa sana pst bukuku
@aoman5214
@aoman5214 2 года назад
Kweli kabisaa mtumishi wa Mungu bahat mm niliwah omba Mungu anipe mchumba ilikuja pic ya mtu mweny Hali ngumu na kavaa kawaida, na alikuj kutokea mwingine yeye alikua vizur siku ya siku alikuj huyu mwenye maisha magum na nilimkata baadae nikamfuata aliekua amesoma mwisho wa siku nikaja kuambilia maumivu, siku ya siku nikaingia kwenye maombi nilionyeshwa Ile pic ya Yule maskini kuwa nilimktaa na ndio alikua mume wangu Acha kabisa Mungu ana makusudi anapokupa maskini
@aureliayuktankabebwa5066
@aureliayuktankabebwa5066 2 года назад
Pole sana ndugu
@تةامممن
@تةامممن 2 года назад
Iyo kwer kabisa 🤝🤝🤝🤝🤝🤲🤲🤲🤲🤲🙏✍
@josephinejumba9923
@josephinejumba9923 2 года назад
great advice mama bukuku
@christinemuthama6625
@christinemuthama6625 2 года назад
Asante sana kwa ushauri mwema. Mungu awabariki
@catenzoka2003
@catenzoka2003 2 года назад
We yesu hangalia ndoa yangu imekuwa ndoa ya machozi Na mapito magumu kama ya Dada huyu bukuku.yesu inua macho yako uturehemu.
@jescajulius8023
@jescajulius8023 2 года назад
Poleni sana
@keyafrankline8616
@keyafrankline8616 Год назад
Bahati Bukuku is so funny. Thank you Lilian for this.
@adelphinebizimana2658
@adelphinebizimana2658 2 года назад
Ubarikiwe sana
@findinghope3096
@findinghope3096 4 месяца назад
She's so funny 😁 😂 😀 I love her 💚💚💚💚💚
@etonyemyaesau1433
@etonyemyaesau1433 2 года назад
Iyo ni kweli kabisa
@ماربيلا-ب4ن
@ماربيلا-ب4ن 2 года назад
Am pam watching from saudia l really like the way i talk be blessed dear
@christinemwavula2283
@christinemwavula2283 2 года назад
Daah da bahati Mungu akueke😂😂😂
@irendocompany3080
@irendocompany3080 2 года назад
Nakupenda Dada bahati & Lilian mbarikiwe sana
@mireillemanirakiza6398
@mireillemanirakiza6398 2 года назад
Asante maman yangu from Burundi. Nakupenda saana
@tumainmwamatenge4575
@tumainmwamatenge4575 4 месяца назад
Kweli inasaidia saana❤
@neemamwalyego4543
@neemamwalyego4543 2 года назад
Barikiwa
@rashealmwikali2424
@rashealmwikali2424 2 года назад
Following up from Kenya Nairobi
@lynsabina7307
@lynsabina7307 2 года назад
From Kenya nawapenda sana
@chocolatevivian830
@chocolatevivian830 2 года назад
Kweli ndoa n Mungu relationships pia inahitaji Mungu
@gladyskerubo6075
@gladyskerubo6075 5 месяцев назад
Wisdom
@officialyustinauliza1305
@officialyustinauliza1305 2 года назад
Kweli kabsa
@officialyustinauliza1305
@officialyustinauliza1305 2 года назад
Nawapenda bure apo studio dada bukuku anatema point tu mbarikiwe
@suziehellen6871
@suziehellen6871 Год назад
Nipo hapa tena kumsikiza Bahati Bukuku. Kenyan's mpo?
@rahelikaaya7611
@rahelikaaya7611 2 года назад
Ni kweli mtumishi
@elizabety3871
@elizabety3871 2 года назад
Amina mama
@mwamvuakayanda8730
@mwamvuakayanda8730 2 года назад
Ni sahihi
@neemamaballa2344
@neemamaballa2344 2 года назад
Love u Lily and Bahati
@khadijazuberi9788
@khadijazuberi9788 2 года назад
I laughed the whole show😂😂😂😂congrats dada mwasha i wish to do the hard talk with you,tho am not a famous person ❤️❤️❤️
@judithsarakikya6498
@judithsarakikya6498 2 года назад
Dada bahati una maono makubwa sana.
@annamwanyilu7020
@annamwanyilu7020 2 года назад
waoooooo umeongea kitu muhimu, dhiki usiijengee fensi, nakupenda
@joskyshams4758
@joskyshams4758 Год назад
Mmenichekesha😄😄
Далее
When Khabib dropped Conor McGregor 👀 #nocommentary
00:59
WARAKA WA AMANI ESTER
12:55
Просмотров 172 тыс.
BAHATI BUKUKU ASEMA NENO KWA PASTOR EMANUEL MDOE
8:48
THE BEST PLAYLIST SONGS- BAHATI  BUKUKU -GOSPEL MUSIC
1:35:12
When Khabib dropped Conor McGregor 👀 #nocommentary
00:59