Тёмный

PART 2: HILI ni BALAA RC MAKONDA AMUWASHIA MKURUGENZI -''SIPOTEZI MUDA MIMI Kwa HAYA MADUDU.. 

Wasafi Media
Подписаться 4,8 млн
Просмотров 80 тыс.
50% 1

𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2024 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm

Опубликовано:

 

14 окт 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 223   
@HanziKalitus-df3wn
@HanziKalitus-df3wn 4 месяца назад
Huyu jamaa anaakili sana, sema mda ukifika tutamuelewa tu, he is very talented man, the thinking capability is very higher, hongera wakwetu, haiwezi kupita siku sijakufatilia
@aishahemedi8452
@aishahemedi8452 4 месяца назад
He has all the qualities of a true leader
@beatricekatunzi3721
@beatricekatunzi3721 4 месяца назад
Hongera Mh Ta Makonda..Mungu zaidi kukuinua..Damu ya Yesu ikufunike
@lucykristensen7145
@lucykristensen7145 4 месяца назад
Asante Mh. MAKONDA kwa kumsaidia Rais wetu mpendwa Mama Samia na kutetea haki za Watanzania wanyonge na kusimamia haki za wanyonge. Mwenyezi Mungu akubariki sana akupe maisha marefu.
@felixkamkala3303
@felixkamkala3303 4 месяца назад
Nimekuangalia Mkuu Makonda karibu mara 20 sichoki kukuangalia Kijana mwenzangu tulio zaliwa miaka ya 1982 seemu yoyote kama umepewa Majukumu ya kulisaidia nchi fanya kama Makonda safi kabisa
@jedidahbintidaudi8241
@jedidahbintidaudi8241 4 месяца назад
Mh Mkuu wa Mkoa-Arusha tunaomba ktk shuguhuli za kutetea haki siku moja basi nendaga magerezani ukakutane na wafungwa na kesi zao kiongozi wangu. Asante
@giftluyana1390
@giftluyana1390 4 месяца назад
Mungu skubariki. Na. Kukulinda. Paul. Makonda
@Lundege_Hips
@Lundege_Hips 4 месяца назад
Nipo Zanzibar ila kila nikingia ktk RU-vid nataman sana nimuone makonda anaongea kitu ni role model wangu
@frednyangwechi774
@frednyangwechi774 4 месяца назад
Rc uko vizuri mno naona huyu ni Magu kwa njia nyingine
@jamalkishangu
@jamalkishangu 4 месяца назад
Magu amekufa mwili ila fikra zake zitaendelezwa.
@muzzoonlinetv7446
@muzzoonlinetv7446 4 месяца назад
Kazi nzuri Makonda tunahitaji wakuu wamikoa kama hawa angalau 10 tutasogea mbele
@Lundege_Hips
@Lundege_Hips 4 месяца назад
Wakuu wa mikoa wengine wapo wapo tu kimihemko
@AngelSunta-c6j
@AngelSunta-c6j 4 месяца назад
Siku hz namfatilia makonda kuliko bunge. Baba ana hekima huyu❤❤❤
@AishaOman-k6f
@AishaOman-k6f 4 месяца назад
Umeonaeee
@hezronsanga5197
@hezronsanga5197 4 месяца назад
Mungu akubariki sana Makonda
@shekinahrwabyo8150
@shekinahrwabyo8150 4 месяца назад
God bless you Mr Makonda. Imenifundisha kusikiliza Kwanza...ndipo utoe majibu
@Lundege_Hips
@Lundege_Hips 4 месяца назад
Hzi clip nimezirudia zaid ya mara 3 sichoki kumsikiliza
@ernestmbago848
@ernestmbago848 2 месяца назад
Kiukweli mh. Makonda mungu akubariki sana kwa kuitetea tanzania hii inakuletea ubaya kwa baadhi ya viongozi ambao sio waminifu
@joycemwango943
@joycemwango943 4 месяца назад
I am a Kenyan,,,lkn hongera Kwa kusikiliza kero za wanyonge 🙏
@PaulinaNyanzalashija
@PaulinaNyanzalashija 4 месяца назад
Mhe Makonda mwanangu upo saaafi sanasana Mungu atakugania na damu ya yesu itakufunika
@user-rt5fb8kw9b
@user-rt5fb8kw9b 4 месяца назад
Mhe makonda hongera saana, hakuna ubishi kuwa uongozi unajua, mkurugenzi amekosea kwa km nyingi saaana, amekosa ile professionalism, hawezezekani kabisa mkurugenzi kuita vyombo vya habari na kutoa siri za mteja( mfanyabiashara) amekosa KYC-Know Your Customer, mfanyabiashara ana washindani wake, ana wadau wengine anafanya nao biashara, hakuna ubishi mkurugezi alikuwa na lengo la kumchafua mfanyabiashara ambaye ni mlipa kodi! Pia alishindwa kujua anapoongea anaongea kwa niaba ya ofisi na siye yeye! Very unethical kwa mkurugenzi kumchafua mfanyabiashara bila evidence!!
@majaliwaslayomajaliwaslayo
@majaliwaslayomajaliwaslayo 4 месяца назад
Hawa wakuu wa mkoa wengeni mlio baki igeni kwa makonda anacho kifanya arusha makonda kila akipita sehemu anaacha pengo na pengo lake halisibiki na kitu chochote 🤝
@abdallahmmary8591
@abdallahmmary8591 4 месяца назад
Makonda nadhani unachikiwa kwakuwa nmkweli na ukweli ni ibada natumaini kwakua upo sahihi kwa kutojiingiza kwenye Kwenye mitego ya rushwa ni utakuwambali mno mashaalah
@GodTimbaland
@GodTimbaland 4 месяца назад
Mwamba baba keagani. Mungu akupe cheo cha uraisi mwaka 2030
@marugumsira4695
@marugumsira4695 4 месяца назад
Geniuses Makonda!!!!!
@MrTop-wj7no
@MrTop-wj7no 4 месяца назад
Daah huyu MAKONDA naona Tanzania itafikia mahali tutafanya maandamano tukiomba awe RAISI 😂😂😂
@jeremiahmollel5583
@jeremiahmollel5583 4 месяца назад
Hongera sana mkuu
@MAGIDACHIMIJA
@MAGIDACHIMIJA 4 месяца назад
Bora kumsikiliza Makonda kuliko bunge
@peninashungu6633
@peninashungu6633 4 месяца назад
Kuna mda ata unataman. Makonda afanye kazi ata weeked❤😂Mungu akulinde je miko mingine ikoje, iyo sura ya mkurungez tu kama mla watu haya mambo ndo vile unakuta mfanya biashara ameuliwa masikin au katupwa mtoni kumbe mambo ndo hayo
@tanzaniantraveller
@tanzaniantraveller 4 месяца назад
Mr Paul ana ujasiri, hekima na busara ya Hali ya juu sana, pia ana utu, akili na utambuzi wa haraka sana kiasi kwamba hata akikosea unajuwa ni bahati mbaya. Namuamini sana na kupitia yeye nchi itafika mbali sana. Ma RC wengine, igeni mfano wa huyu mtu.
@sss3s867
@sss3s867 4 месяца назад
yaani makonda ukasomee sheria zaidi ili hao watu wako wasijewakakuroga wakakuingiza kwenye shimo. kwa sababubwashafanya madudu ya hovyo na waanaangalia njia ya wao kupona. wataennda mahakamani
@silasjonathan1952
@silasjonathan1952 4 месяца назад
Hili naungana na wewe 100% wakuu wote wakuu wengine wachukue mfano kwako
@IbrahimSandagila
@IbrahimSandagila 4 месяца назад
We want that kind of leadership ❤❤
@jokhamohammed976
@jokhamohammed976 4 месяца назад
Hongera sanaaa mh makonda M/mungu akurinde Kila atua unayo piga🤲
@NiyongabireEgide-h4g
@NiyongabireEgide-h4g 4 месяца назад
I'm not from Tanzania but I'm very proud of this leader 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉 i wish this guy he would be a president not only tanzania i hope whole africa we will enjoy his present 🎉🎉🎉🎉
@mpanderashidi2078
@mpanderashidi2078 4 месяца назад
Pga Kaz kiongoz nakuona Cku moja ukiwa rais wa Nchi
@totonata5384
@totonata5384 4 месяца назад
Wahasibu wa tanesco nao waizi sana. Wanajenga majumba kwa pesa za wananchi😢😢
@deniskaguo4698
@deniskaguo4698 4 месяца назад
Ahhaha broo cc tunakopa tu usiumie ukituna tunaishi kwenye yumba kali tunamadeni balaaa
@masalakulwa7601
@masalakulwa7601 4 месяца назад
​@@deniskaguo4698ukute unajimwambafai hapa kumbe kapuku balaa..mhasibu hawezi jitapa hivyo
@sss3s867
@sss3s867 4 месяца назад
Aiseebwee acha tu. mtejabanatakabumeme anaambiwa atafute mkandarasibwa nje. yaani unapitishwq chobingo ili gharama zipande wale nje kwa nje
@totonata5384
@totonata5384 4 месяца назад
@@deniskaguo4698 Aaah wapi? Matumizi makubwa mshahara mdogo. Natamani mawaziri wote wangekua kama Dr Slaa na Makonda
@abdulymaeda2697
@abdulymaeda2697 4 месяца назад
Kaka store kipa tanesco wao pia wanapiga mbya wanashusha mijengo 2​@@deniskaguo4698
@shadyaomary
@shadyaomary 4 месяца назад
Makonda mungu akulinde
@LusajoEduward
@LusajoEduward 2 месяца назад
Munguwamajeshi yupo
@mansulkassim9509
@mansulkassim9509 4 месяца назад
KIONGOZI WANGU BORA ZAIDI TANZANIA nakuomba uwe mkuu wa mkoa wa MOROGORO
@EmanuelyMbagalla-rt2vm
@EmanuelyMbagalla-rt2vm 4 месяца назад
Hakika, akitolewa Arusha aje Moro. Pananuka mno mnoooo!
@MwanaishaShattry
@MwanaishaShattry 4 месяца назад
Makonda nimekuzaa mie weye unapenda haki. Mungu akulinde na akuhifadhi katika haki.
@hbdina
@hbdina 4 месяца назад
🇹🇿 🇹🇿 🇹🇿 Tanzania tuna watu wenye vichwa vibovu utashangaa Halmashauri nyingine zina madudu ya aina gani!!!
@thomaskiponda6079
@thomaskiponda6079 4 месяца назад
MAKONDA MTU WA MAANA KABISA❤❤❤❤❤❤😂❤❤
@alexnyigo8864
@alexnyigo8864 4 месяца назад
Mungu akulindee makonda
@marcondokeji8982
@marcondokeji8982 4 месяца назад
Ubarikiwe Sana Mkuu wa mkoa wanadamu wasipokupenda especially wale wanyanyasaji, wema na Mungu mpenda haki atakuvisha taji la utukufu wake.
@AnnaAntony-k5p
@AnnaAntony-k5p 3 месяца назад
Kwa mara yangu ya kwanza nmekuwa nafuatitilia daaah.MUNGU AKUBARIK MUHESHIMIWA MAKONDA
@benardpeter3562
@benardpeter3562 4 месяца назад
Hongera sana Mkuu wa Mkoa Mungu akulinde
@SaimonKisegenya
@SaimonKisegenya 4 месяца назад
Mh Makonda unaweza Mungu akuongoze
@GetuliBasso
@GetuliBasso 4 месяца назад
U kijana sana Makonda natamani uje kuwa Raisi muda ukifika. Unawatetea wanyonge.Hongera baba.
@TM-zs3rm
@TM-zs3rm 4 месяца назад
Hawezi kuwa Raisi sababu uongozi wake hauna mipaka na haifuati katiba.
@josephgnzunda5631
@josephgnzunda5631 4 месяца назад
Uko vizuri tunakuombea from mbeya
@mustapherpandu6475
@mustapherpandu6475 3 месяца назад
Tokea nianze kufuatilia kazi anazofanya makonda kwenye mikutano yake nimetokea kuwa mfuatiliaji sana kiasi kwamba ss hiv naijua vizur sana serikal kuanzia chini mpaka juu jamaa yupo vizur sana anaijua kazi yake ..big up
@jamessimba749
@jamessimba749 4 месяца назад
Tukibagiliwa kuwa sisi weusi hatuna akili tunaandamana .kumbe kuna kenge wanatuponza .hivi hiz halmashauri mmerogwa na nani
@geraldleger5793
@geraldleger5793 4 месяца назад
Hawajalogwa , ni wezi tu kama wzi wengine.
@hillshipping5117
@hillshipping5117 4 месяца назад
MashaAllah, kaka uko vizuri mm nakupataje ?nina jambo langu tumedhulumiwa mpaka leo tuko maskini na mkwe wangu mhhh mtihani wallah
@SaadaZubery
@SaadaZubery 4 месяца назад
Mama samia mungu akulinde kwa ku leta makondo tena kwenye system nadhani wananchi wanatamaviongozi wa namna hii
@MtessaAlly-rd4hf
@MtessaAlly-rd4hf 4 месяца назад
Big up sana mh makonda.. Baraka nyingi sana kwako
@furahinimanya7700
@furahinimanya7700 4 месяца назад
From Arusha!! Mzaliwa the real face, the real mind!! And you talking all your mind!!!! Do I go on
@petrobukerebe215
@petrobukerebe215 4 месяца назад
Huyu ndo mkuu wa mkoa ninaemfahamu sasa mimi, wow❤❤❤
@alibilashaka3003
@alibilashaka3003 4 месяца назад
Mm Ni mkenya but napenda uongozi wa makonda ama kweli amezaliwa Kua kiongozi
@sr.elizabethmbuligwe5540
@sr.elizabethmbuligwe5540 4 месяца назад
Babaangu hongera kwa kazii kubwa naomba namba yako baba ninashida
@dengeman4814
@dengeman4814 4 месяца назад
Panapo uhai namtabilia huyu makonda kuwa rais wa nchi hii
@HagaisangaSanga
@HagaisangaSanga 4 месяца назад
Noma hapa kazi tuu
@riazshaikh8577
@riazshaikh8577 4 месяца назад
Mwaraabu mbona kajishika kichwa, kama vile mama yangu kazi hamna, 😂yumo nini?
@AishaOman-k6f
@AishaOman-k6f 4 месяца назад
Yani.makonda.nawaziri.silaah.mungu.awalinde.namafisadi
@kurumwagodfrey7052
@kurumwagodfrey7052 4 месяца назад
Kuna watu wengne hawana hata chembe ya uongozi kama unahitaji ni nini maana ya kiongozi difinition yake ni Paul christian makonda
@prosperjohn2047
@prosperjohn2047 4 месяца назад
MUNGU akulinde sana Makonda, na nakuomba muambie mama amtimue huyu Mkurugenzi
@isaacktweve3773
@isaacktweve3773 4 месяца назад
Hayo mapete aliyovaa Mkurugenzi huenda ndo yanamcontrol.
@muddymuzungu4357
@muddymuzungu4357 4 месяца назад
😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢
@beatricekatunzi3721
@beatricekatunzi3721 4 месяца назад
😂😂😂😂😢😢😢😊😊
@WinnieMbwiga
@WinnieMbwiga 3 месяца назад
😅😅😅😅😅😅
@fulloflife7
@fulloflife7 4 месяца назад
RC Makonda 👍that is called Maturity.
@nurdinmuro
@nurdinmuro 3 месяца назад
Mkuu wa mkoa safi sana nakutamani ungekuja Kilmanjaro kwa mwaka mmoja
@PiusKombole
@PiusKombole 4 месяца назад
bro makonda nakuombea kwake m/mungu akupe afya njema pamoja na familia yako.ili uwe katika utulivu na busara kumkwamua anae nyanyasika na hawa viongozi wanopenda maslahi yao nakujisahau yakwamba wao ni watumishi wa serekali na sio binafsi yao wawajibishe ipasavyo bila kupepesa macho wakazie sana kwa tabia zao chafu.mungu akupe uwezo zaidi kulitumikia taifa letu la Tanzania.kongole sana bro makonda.
@josephmagori4612
@josephmagori4612 4 месяца назад
Huyu mkurugenzi aliwahi kulaumiwa akiwa Serengeti Kama mkurugenzi ila akabebwa na rais magufuri Lisa aliyemshitaki alikuwa mbunge wa chadema marwa ryoba na alizomewa na ccm Sasa leo maneno ya marwa ryoba yanaonekana Leo kuwa huyo ni mpigaji mzuri
@Meryiii
@Meryiii 4 месяца назад
Tena alimtaja kwa Herufi kubwa.. TUNAMKURUGENZI MWIIIZIII !!
@teddygabriel5662
@teddygabriel5662 4 месяца назад
Upo vzr baba kian
@NuhuMtamike
@NuhuMtamike 3 месяца назад
Pamoja sana
@elias.e.urassa
@elias.e.urassa 4 месяца назад
Tz kuna watu wanachekesha,Sana hasa wakurugenzi sector nyingi sana. Yaani ni Sawa umtume mtu Osha vyombo alfu akapike =kuongeza matumizi ya vyombo vichafu aliyekutuma kutatuma aje kutowa matatizo yako na aliyokutuma.
@rosetreffert4179
@rosetreffert4179 4 месяца назад
Very Talent makonda ❤❤❤❤
@stanslauschacha2833
@stanslauschacha2833 4 месяца назад
Ni bahati mbaya kwamba, mfumo wa kutunuku watu vyeo vya heshima kama vile Doctorate umekaa kisiasa zaidi kuliko uhalisia. Hakika Makonda angekuwa Rais angekuwa ameishatunukiwa hicho cheo cha heshima; ila kwa sababu ni Mkuu wa Mkoa hakuna anayeweza kuona umuhimu wake. Ila kiuhalisia, bila kumng'unya maneno, Makonda anastahili kutambulika na kutunukiwa cheo cha juu cha heshima. Mb zangu zinaisha kwa kuangalia Utendaji kazi wa Makonda, na sichoki kumfuatilia. Hakika kama hili Taifa lingepata watendaji kama hawa, umaskini usingekuwepo; uonevu usingekuwepo! Mungu aendelee kukutunza, wewe ni mfano wa kuigwa!
@MCNgakungaJunior
@MCNgakungaJunior 4 месяца назад
UNGEKUWA NAIBU PM UNGELISAIDIA SANA TAIFA.
@feliciarfrancis2388
@feliciarfrancis2388 4 месяца назад
Chuma ( Paul Christian Makonda) Mungu akulinde
@stanleychambulikasi
@stanleychambulikasi 4 месяца назад
Aksante Daniel wa kizazi cha sasa Bwana akufunike na utukifu wake
@joycemwango943
@joycemwango943 4 месяца назад
Hongera mh,, MAKONDA
@HappyAsajile
@HappyAsajile 4 месяца назад
Kila siku naamka naogopa usije ukatenguliea kwa unachokifanya, nakuombea kwakwel mung akueke arush ata miak mowil tu
@MCNgakungaJunior
@MCNgakungaJunior 4 месяца назад
Mnae huyo mpaka uchaguzi upite.Bila shaka baada ya hapo atakuwa wizarani.
@agnesmogere413
@agnesmogere413 4 месяца назад
Siku ya nwizi ni arobaini,mungu akulinde sana kiongozi hongera sana role model kwa viongozi wote .
@beatricekatunzi3721
@beatricekatunzi3721 4 месяца назад
Ee Mungu..Yuko Mungu asikiaye maombi yetu,,tunapoomba,tunapolia Mungu anasikia..tena anasikia jamani mi mniache tu Mungu ndiye anaujua moyo wangu
@gwakisamwakambulwe2491
@gwakisamwakambulwe2491 4 месяца назад
Higher thinking capacity man.........
@lucasalbertomseti1578
@lucasalbertomseti1578 4 месяца назад
Huyu jamaa kumpa mkoa tu ni matumizi mabaya ya akili kubwa huyu mwamba alitakiwa kuwa level ya waziri akatatue changamoto za watanzania
@EmanuelyMbagalla-rt2vm
@EmanuelyMbagalla-rt2vm 4 месяца назад
PM
@daniellinus971
@daniellinus971 4 месяца назад
Well done
@Lundege_Hips
@Lundege_Hips 4 месяца назад
Makonda ni mtu na nusu
@marcoeliakimu2141
@marcoeliakimu2141 4 месяца назад
Kazi nzuri sana, viongozi kama hawa tuwapate Africa
@deniskaguo4698
@deniskaguo4698 4 месяца назад
Raisi wng wa badae
@ilynpayne7491
@ilynpayne7491 4 месяца назад
Mkurugenzi mwizi huyo hi nchi bwana daah😢😢
@peninashungu6633
@peninashungu6633 4 месяца назад
Makonda ubarikie
@ahadibuge5246
@ahadibuge5246 4 месяца назад
Good Job RC.
@kurumwagodfrey7052
@kurumwagodfrey7052 4 месяца назад
Mwili unasisimka makonda juu juu sana
@MrTop-wj7no
@MrTop-wj7no 4 месяца назад
😂😂😂😂
@ConfusedClock-iw7zg
@ConfusedClock-iw7zg 4 месяца назад
Napoangalia taarifa zako unafanyakazi nzr makonda upo vizuri nawapongeza sana wana Arusha
@EdenAChoir
@EdenAChoir 4 месяца назад
mheshimiwa makonda system pia inahitaji watu waadilifu
@mohamedkhalil9494
@mohamedkhalil9494 4 месяца назад
When the hunter become hunted 😅😅
@MrTop-wj7no
@MrTop-wj7no 4 месяца назад
😂😂😂😂daah
@kilonzokallage6159
@kilonzokallage6159 4 месяца назад
Arusha mtazitolea rushwa sehemu yoyote yenye tundu
@danielshimora5315
@danielshimora5315 4 месяца назад
Haya watanzania hao Ndio wasomi wetu haya jioneeni,
@francisdeomassawe6307
@francisdeomassawe6307 4 месяца назад
Makonda ni kiongozi bora.
@paschalmatinde321
@paschalmatinde321 4 месяца назад
Yaan ingeundwa team nyingine kufanya hzi chunguzi, maana hzi takukuru pia ni watu wa system
@hiramnjeru6457
@hiramnjeru6457 4 месяца назад
Tumekukubali %%
@MtegekiKaijage
@MtegekiKaijage 4 месяца назад
Mkurugenzi kama huyu ndo anaongoza almashauri kama hii jamani. Mtu ambaye hawezi kureason hata kwenye issue serious inayoleta mapato ya kuendesha nchi. Uwa nasema utaratibu wa kuwapata wakuu wa wilaya, wakurugenzi, makatibu tawala, na wakuu wa mikoa hapa nchini uangaliwe upya
@phantyrhymes9536
@phantyrhymes9536 4 месяца назад
Makonda safiiiiii
@mtahogarashid8488
@mtahogarashid8488 4 месяца назад
Aisee nikikucheki Mh.Makonda nikama Magu karudi kazini naiona sauti ya ukali kukemea madudu ya Nchi.
@samsonkingdom-xc8cg
@samsonkingdom-xc8cg 4 месяца назад
Natamani ungekua mkuu wa mkoa morogoro maana checkpoint ya mikumi ni shida
Далее
ОНА БЫЛА ПЕВИЦЕЙ🤪
3:13:12
Просмотров 1,1 млн