Тёмный

KIMEUMANA! MTENDAJI AFYEKA MAHINDI ya WANANCHI - MAKONDA AMWAMBIA - ''LIPENI FIDIA''... 

Global TV  Online
Подписаться 5 млн
Просмотров 151 тыс.
50% 1

KIMEUMANA! MTENDAJI AFYEKA MAHINDI ya WANANCHI - MAKONDA AMWAMBIA - ''LIPENI FIDIA''...
============================================================
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 713 750910), ( +255 783453136)
⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_y...
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globa...
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusiv...
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/gl...
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx

Опубликовано:

 

25 окт 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 211   
@globaltv_online
@globaltv_online 8 месяцев назад
JIUNGE KWENYE CHANELI YETU YA WHATSAP ==> whatsapp.com/channel/0029Va7u...
@Nagmah-gf4lp
@Nagmah-gf4lp 8 месяцев назад
Makonda hongera kwa bidii na kazi njema
@RobbyMukonjero-rp5gt
@RobbyMukonjero-rp5gt 8 месяцев назад
Magufuli anerudi,that is very good
@estellemwai5402
@estellemwai5402 8 месяцев назад
Makonda katika ubora wake 💯❤️❤️❤️🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
@angelanaftael7965
@angelanaftael7965 8 месяцев назад
Mama yangu ametumika miaka 30 ya enzi ya nyerere hadi mwinyi, aliambulia m3, na amekufa kwa depression alisumbuliwa na ofs zote kuanzia elimu, waziri mkuu hakuna kitu
@joycekalago532
@joycekalago532 8 месяцев назад
Makokonda anajibu amina kwakweli anabarikiwa sana
@jumakubili1512
@jumakubili1512 8 месяцев назад
Tanzania tuweke wizala ya malalamiko na wazili wake awe makonda maana wataanza wanaonewa sana na sehemu ya kupeleka malalamiko Yao akuna, alikuwa mwenda zake na Sasa ni makonda.
@IsayaPaul-qq2li
@IsayaPaul-qq2li 8 месяцев назад
Makonda piga kazi baba mungu akubariki
@JeremiahMwakanyamale
@JeremiahMwakanyamale 8 месяцев назад
Mimi nashangaa sana,, hayo ndio matatizo yaliopo ndani ya serikaliyetu,haikuonekana mkiyatatua muda wote!! Saizi Kuna Nini?? Tulishajizoelea siye..hizi mbwembwe zakujifanya mmekuwa wema saizi,nikutupumbaza2 watanzania nabaada yahapo kunakitu nyuma ya pazia...acheni kufanya viinimacho.mnayakujibu Kwa mungu.
@Misheckkazilist-cv2hb
@Misheckkazilist-cv2hb 8 месяцев назад
Kweli😢
@ReginaldAplonary
@ReginaldAplonary 8 месяцев назад
Nakuona ukifika mbali sana mkuu
@astrinomgesi-np5xv
@astrinomgesi-np5xv 8 месяцев назад
Barikiwaa mkuuu
@robertnkaragano298
@robertnkaragano298 8 месяцев назад
FANYA KAZI comrade MAKONDA!! Aisee nakutabiria mbali sana
@mungholomakalanga8958
@mungholomakalanga8958 8 месяцев назад
Yesu wa Ekaristi aendelee kukuongoza Sema kweli daima fitina kwako mwiko
@AndulileNdasalama
@AndulileNdasalama 8 месяцев назад
O 5:11o 6:32ko
@AndulileNdasalama
@AndulileNdasalama 8 месяцев назад
Pm
@AndulileNdasalama
@AndulileNdasalama 8 месяцев назад
Ol P Okk😅 op L😅
@edisonpeter3894
@edisonpeter3894 8 месяцев назад
Halafu unakuta mpumbavu mmoja anasema makonda asiendelee kusikiliza watu. Safi sana Makondaaaa
@mayaally2512
@mayaally2512 8 месяцев назад
Analiwa yule mama na mapaka
@ruqaiamohammed345
@ruqaiamohammed345 8 месяцев назад
🤣🤣🤣🙌🏿🙌🏿🙌🏿​@@mayaally2512
@aminielabraham
@aminielabraham 8 месяцев назад
Makonda angalia mbele usiangalie pembeni kwanza Mtangulize Mungu, na umalize na Mungu hatakuacha 3:28
@DicksonIgnas-pq1rj
@DicksonIgnas-pq1rj 8 месяцев назад
Yule mama namashakanae kama anafasi yoyote selekalini wamuondoe hafai kutumikia wana nchi mfungo nao wawe paka
@onelovetz7935
@onelovetz7935 8 месяцев назад
Tuko pamoja apamdanie wananchi makonda oyee
@neemanziku5403
@neemanziku5403 8 месяцев назад
Mama Samia huyu makonda ni mtu muhimu ktk Tanzania tunataka viongoz bora kama Makonda
@israelmhada7285
@israelmhada7285 8 месяцев назад
Yupó poa xana
@MwanaishaSiri572
@MwanaishaSiri572 5 месяцев назад
Kabisaa
@clrarasekuza
@clrarasekuza 3 месяца назад
Mungu akutunze kwa dumu ya Yesu
@liverpoolfootballclub9985
@liverpoolfootballclub9985 4 месяца назад
Mwenyekiti wa CCM uko vizuri
@mwanamwendy9265
@mwanamwendy9265 8 месяцев назад
Safi sana baba
@TegemeaSanga-d6r
@TegemeaSanga-d6r 8 месяцев назад
Hapo kazi tuu mtu wa Mungu.
@lucaschipanga4466
@lucaschipanga4466 8 месяцев назад
Kaka makonda juwa watanzani Wana kuamini wasaidie wanyonge mungu atakuripa kwakira njambo
@nashonkibayayu3776
@nashonkibayayu3776 8 месяцев назад
Nakushukuru mheshimiwa mwenezi C.P. makonda.maelezo Yako no darasa Bora.
@aminielenock2050
@aminielenock2050 8 месяцев назад
Nakuombea kwa mwenyezi MUNGU akulinde sana mkuu ❤
@SophiaSenkoro
@SophiaSenkoro 8 месяцев назад
Hongera makonda Kwa kazi nzuri unayoyafanya na mama
@IbrahStaneliy-g7s
@IbrahStaneliy-g7s 8 месяцев назад
Safi sana
@ruzindazajonas8506
@ruzindazajonas8506 8 месяцев назад
Hivi? Kama kiongozi anakataa kulipa watu pesa yao na ni mali ya sarekali sio ya mfuko wake, anakua na lengo gani kama sio rushwa.
@fuhuruffelix5682
@fuhuruffelix5682 7 месяцев назад
Kiongozi bora sana
@godwimmkolomi8988
@godwimmkolomi8988 7 месяцев назад
Uyu mwamba apangiwe utalatibu mzuri zaidi ili awafikie watu wengi anaweza kulinda nakutafuta kura nyingi kwa wakati mmoja na peke yake uyu jamaa ni jeshi la mtu mmoja ni mbunifu anakipa heshima chama aongezewe uwezo na mbinu zaidi huu ni ubunifu zaidi
@MatridaBenny
@MatridaBenny 8 месяцев назад
Mungu akusaidie mkuu utafika mbali. Upo kama magufuri mungu fundi kwakwer
@FadhilaMwidini
@FadhilaMwidini 6 месяцев назад
Fundi kweli kweli anatoa analeta Allah akutunze
@allymmahmudhassan
@allymmahmudhassan 5 месяцев назад
😊zero
@FadhilaMwidini
@FadhilaMwidini 6 месяцев назад
Ila Makonda unawasikiliza watu san hogera kaka
@MkayulaDavid
@MkayulaDavid 8 месяцев назад
Makonda weye noma aisee
@petermarco8656
@petermarco8656 8 месяцев назад
Ukitaka kuamini hana uwezo,Mh Bashe ameshawataja viongozi wa juu wanaoweza kuingilia issue ya sukari yaani bei elekezi, ama kumshauri,hayupo
@ElizaMolle
@ElizaMolle 7 месяцев назад
Makonda mungu akuzidishiye miyaka uzidi tu kuwateteya wanyonge
@LilyMwalugaja
@LilyMwalugaja Месяц назад
Serikari. Mngelitazama hili. Hao watendaji. Hawana kazi. Yoyote. Ila mwenye kiti wa mtaa ndio anathamani. Kubwa sana na. Anastahiri. Kupewa mshahara.
@zainabumohamedy6988
@zainabumohamedy6988 3 месяца назад
Safi Sana makonda.
@IsaiahWanjala-wg5tv
@IsaiahWanjala-wg5tv 15 дней назад
I shoder how u u can cut down maize food but anyway congratulation makonda for what your doing god bless u
@IsiraeliMolly-o3z
@IsiraeliMolly-o3z 7 месяцев назад
Hello 🤩❤❤❤❤❤❤
@syliveriuszaverius2347
@syliveriuszaverius2347 4 месяца назад
MUNGU akutunze mkuu 👏👏
@belafontesteven5144
@belafontesteven5144 8 месяцев назад
Daaah!
@NemerikaIekoko
@NemerikaIekoko 4 месяца назад
Pole makonda utakiwa upewe mkoa wa tanzani
@philemornmutta1597
@philemornmutta1597 8 месяцев назад
Mnawapangia watu walime nini kwani mnawajua mahitaji ya familia zao kweli hii siyo sawa.mnahisi kama angepandisha Mori km Masai kingetokea nini?
@atugonzalugemalila5142
@atugonzalugemalila5142 7 месяцев назад
Ninachokiona mnazunguka mbuyu lkn kinachotutesa ni katiba leo hii chama kinafanya kazi ya serikali
@SaidHassan-wz1px
@SaidHassan-wz1px 8 месяцев назад
Unafaa Kua Waziri Mkuu amini Kaka mm nakuombea San
@franktibwita228
@franktibwita228 8 месяцев назад
Makonda piga kazi binafsi nakupenda mwambie rais nampenda sana ila kama unaweza naomba mtaji million 5 nifanye biashara naitwa frank tibwita Frome mwanza
@rashidisaidi8535
@rashidisaidi8535 8 месяцев назад
Njaa izo
@salumjumaruhaga2513
@salumjumaruhaga2513 8 месяцев назад
Makonda juuuu zaidi
@RobertKatende-l6w
@RobertKatende-l6w 8 месяцев назад
Daaaah Makonda hana tofaut na Hatati maguful
@ShedrackDamiani
@ShedrackDamiani 8 месяцев назад
🎉🎉
@geraldmakalala6091
@geraldmakalala6091 8 месяцев назад
Makonda anafaa kuwa Rais kabisa
@ashuramhandoashuramhando6798
@ashuramhandoashuramhando6798 8 месяцев назад
Hii Tanzania watu wanaumia sana kwa kuonewa sijui itaisha lini naona dawa ni Makonda Mungu akulinde Baba
@JeremiahMwakanyamale
@JeremiahMwakanyamale 8 месяцев назад
Subili uchaguzi upite,kama utayaona hayo. Mwamba alikuwa magu2 wengine wanatuonesha viinimacho,wajisafishie njia,kuweni na macho jamani watanzania!
@dorahmushi-we6ts
@dorahmushi-we6ts 8 месяцев назад
Makonda 🙏🙏
@petermarco8656
@petermarco8656 8 месяцев назад
Ccm ni wasanii sn wameona waanze na hili la makonda kujifanya anatatua matatizo binafsi kama vile magufuli lkn hana uwezo,ni kurudisha japo matumaini yaliyopotea lkn hamna lolote
@machilafaustin9473
@machilafaustin9473 8 месяцев назад
Kwa upande wako unaona hao watu hawasaidiwi
@mussakeston5768
@mussakeston5768 4 месяца назад
Ukiona huwez kutoa coment acha
@StellaGurusya
@StellaGurusya 8 месяцев назад
Naomben jaman namba za makonda Mimi pia nimsitaaf
@awetumtengera1147
@awetumtengera1147 8 месяцев назад
🙏🙏🙏🙏🙏🙏
@nishaabdula5015
@nishaabdula5015 8 месяцев назад
Mwenyekiti ni mtu mzur mana ni mkweli tena wnafyeka adi nyumba
@EmmanuelGabriel-xq5ym
@EmmanuelGabriel-xq5ym 5 месяцев назад
Makonda nimekukubali.nmekutabiria mbali sana unasaidia wana nchi
@DanielSamatembo-ks3vl
@DanielSamatembo-ks3vl 6 месяцев назад
Viongoz hawana akli ao
@KafugeFrancis-be8qp
@KafugeFrancis-be8qp 8 месяцев назад
Piga kazi mwenezi
@AminaRamadhani-gx8yr
@AminaRamadhani-gx8yr 8 месяцев назад
Asante mkurugezi wewe ni kiongozi wawanachi
@MurulaAhmadi
@MurulaAhmadi 4 месяца назад
NARUDIA TENA MHESHIMIWA MAKONDA MWENYEZI MUNGU AKUPEMAISHAMAREF
@petermbuma9056
@petermbuma9056 8 месяцев назад
makonda umelalamikiwa sana na wananchi je hizo kero mnazitatua???au mnafanya mambo kisiasa???
@JeremiahMwakanyamale
@JeremiahMwakanyamale 8 месяцев назад
Mkuu viinimachooo!!2
@petermboje5839
@petermboje5839 8 месяцев назад
Makonda twanga kazi
@GraceMhoja-zc7yg
@GraceMhoja-zc7yg 8 месяцев назад
Mungu mlinde makonda
@alphoncekagezi4950
@alphoncekagezi4950 8 месяцев назад
Ndg Watumishi na watalaam hawaheshimu viongozi wa chama .
@athanassimbila2603
@athanassimbila2603 8 месяцев назад
MATENDA AKITENDEWA HUONA KAONEWA .ANGALIENI SANA....
@madam-florensialutego
@madam-florensialutego 8 месяцев назад
Namuona Rais wa mwaka elfu 2031
@ExplasiaNgasoma
@ExplasiaNgasoma 8 месяцев назад
Uje na mkoa wa DSM tunateseka
@astrinomgesi-np5xv
@astrinomgesi-np5xv 6 месяцев назад
Mwamba sana
@TengoElias
@TengoElias 2 месяца назад
🎉😢😢❤
@kgmbara3109
@kgmbara3109 8 месяцев назад
Kama namwona rais makonda
@ChezamPilla-z6t
@ChezamPilla-z6t 8 месяцев назад
Ccm Ina madudu sana piga kazi makonda
@GilbertGombeye
@GilbertGombeye 8 месяцев назад
Tatizo ni serikali inataka kutawala chama tatizo ni serikali
@AminaRamadhani-gx8yr
@AminaRamadhani-gx8yr 8 месяцев назад
Awajato hongo awaviongozi bana dah
@lizybabymgaywa8035
@lizybabymgaywa8035 8 месяцев назад
Yaani hii nchi jamani Sasa hivi watu wanafanya kampeni, lkn sisi hatujui
@JeremiahMwakanyamale
@JeremiahMwakanyamale 8 месяцев назад
Kampeni zinapigwa,na hakaka stile kakusikiliza shida za watu wamefaulu maana watanzania wengi ufahamu mdogo sana,,,shida wamezitengeneza wenyewe alafu wanakuja eti kusikiliza..du! Siamini kamawatu wanaweza shabikia haya yanayoendelea.
@alphoncekagezi4950
@alphoncekagezi4950 8 месяцев назад
Uchunguzi ufanyike wakati team ya wahusika wakikaa pembeni na wasiwe ofisini kwa vyeo vyao viwekwe pembeni.Walichotenda ni unyama na sheria ya makosa ya jinai ifuate mkondo wake.
@liverpoolfootballclub9985
@liverpoolfootballclub9985 4 месяца назад
Mkuu wa wilaya ana sauti ya mahaba
@GraceMaro-wz4bu
@GraceMaro-wz4bu 4 месяца назад
Mtetezi wa wanyonge
@riazshaikh8577
@riazshaikh8577 5 месяцев назад
Sasa makonda malizia basi sh ngapi hiyo fidia, maana huo ni mgogoro mwengine
@peninashungu6633
@peninashungu6633 8 месяцев назад
Mpaka nyumbani kwake
@salumjumaruhaga2513
@salumjumaruhaga2513 8 месяцев назад
Zambi kubwa sana kuharbu chakula hiyo ni laana
@OmanOman-dn6dj
@OmanOman-dn6dj 5 месяцев назад
Baada ya Arusha nimerejea kufatilia yote hadi dar makonda nimeona utakuwa rais baadae
@jakobongwara3038
@jakobongwara3038 8 месяцев назад
Sasa kunausiana Nini? Nakufyeka mazao mnaingiza siasa uonijinga
@MurulaAhmadi
@MurulaAhmadi 4 месяца назад
MIKUU WA MKOA ARUSHA MAKONDA MUNGU MAONO YA HEKIMA KWA KUTUA MATATIZO YA WANANCHI KWA UTURIVU MWENYEZI MUNGU AIBARIKI KHEKIMA ZAKO
@VeronickaAdam-jn4rn
@VeronickaAdam-jn4rn 8 месяцев назад
Makonda pambana na hao watu mafisad jaman
@monicamwita7865
@monicamwita7865 8 месяцев назад
Tunaomba namba ya Makonda
@fardoshnassor7847
@fardoshnassor7847 8 месяцев назад
💔😪😪
@estarmara173
@estarmara173 8 месяцев назад
Tunaomba huyuuu miaka kumi ijayoo
@geophureysamsoni5033
@geophureysamsoni5033 5 месяцев назад
Mkuu wa mkoa mzima kaongea uongo kazi yake huyo rushwa tuu
@mungholomakalanga8958
@mungholomakalanga8958 8 месяцев назад
Nsimbo ni tatizo
@salomepastory-kn1kh
@salomepastory-kn1kh 8 месяцев назад
Hayo mahindi ata Mimi yaliniuma aisee
@brunidamadege3747
@brunidamadege3747 8 месяцев назад
Mungu akutunze baba wewe.Namkumbuka Magufuli pia alituruhusu wanyonge kutoa hoja zetu kama unavyofanya.
@valenakomba7686
@valenakomba7686 8 месяцев назад
YAANI VIONGOZI WA TANZANIA NI WAONEVU , WANYANYASAJI TENA WANAZAMBI SANAA. YAANI HAWAJALI KABISA BINAADAMU WENZAO. TANZANIAAAAA, HALAFU TUNAJISIFU ETI TUNA AMAAANI?😮
@zainabumohamedy6988
@zainabumohamedy6988 3 месяца назад
Una akili nyingi
@meshack3266
@meshack3266 8 месяцев назад
Kweli makonda unatisha mpaka wanakuita mwechimiwa mwenyeshiii
@edisonpeter3894
@edisonpeter3894 8 месяцев назад
😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@AlHamra-k4u
@AlHamra-k4u 8 месяцев назад
Wallah watu wanatetemeka hadi kutaja maneno wanajitafuna vikngozi. Makonda oyeeee 🤛🤛🤛🤛
@naomicharles5444
@naomicharles5444 8 месяцев назад
😅😅Tunaenjoy sana kua na watu kama.jpm wasiwasi wetu wasije wakakupeperusha kama Baba etu JPM
@StellaGurusya
@StellaGurusya 8 месяцев назад
Jamn nisaidie namba za makonda
@hawaelymaricca7602
@hawaelymaricca7602 8 месяцев назад
Makonda piga kazi
@rehemanziku4962
@rehemanziku4962 8 месяцев назад
MUNGU akutunze baba makonda uishi miaka mingi
@simonmwandu2214
@simonmwandu2214 8 месяцев назад
Jamaa ana akili sana na busara mingi
@DanyNgailo
@DanyNgailo 8 месяцев назад
Hiyo hatar san sijuw kam mtendaji anaakir
@gefreymtalo5613
@gefreymtalo5613 8 месяцев назад
Kama eneo ni la mtu alipwe hilo eneo Lao ili liwe la manispa kwa ujenzi Wa huo mji
@AbdoniSambi-g8p
@AbdoniSambi-g8p 8 месяцев назад
Duu atar
Далее
ДУБАЙСКАЯ ШОКОЛАДКА 🍫
00:55
Просмотров 603 тыс.