Mpeni deal mzee mkongwe comedy mzuri bila kufikiria anajibu hapo kwa hapo mpeni matangazo anapendwa sana na pia anaburudisha sana Kilubwa kwake code zake kuziielewa big up mkongwe bondei in air
K9 balaa sana mzee hiyo unaelekea Kabanga sio mchezo ukishafika shuleni tu pale unaanza kuishuka ni hatari sana na hiyo ya rusumo inaitwa machinjioni nayo hailali na njaa mpaka gari ndogo zinakomaga hapo
Huyu jamaa kanikumbusha mbali sana,TULIKUWA STAFF 11, KUFIKA RUSUMO TUKASHTULIWA NA WATU WALIOKUWA WAKIPIGA KELELE WAKISEMA GARI INAUNGUA,kumbe ni Landcruiser yakwetu,wakati wa kushuka huo mlima ilishika break mpaka taili ikaanza kuwaka moto...
Hivi Kinine au K9 huwa inaanzia wapi pale Ngara? Kutoka Ngara stendi mbele kuna junction, ukinyoosha utatokea Rusumo, ukipnda kulia kuna down moja hatari hadi daraja la Ruvubu kisha mpando wa hatari ... 😮 Ndio hiyo?😮
Duuh nilichogundu kuwa madereva wengi wa gali ndogo hawazifahamu alama nyingi za barabaran mfano hapo baba leo swali alilo liuliza nimegundua kuwa angekutana na hiko kibango cha toxicna gia box asijejuwa nini kimemaanishwa
Ni kweli wengi hawafahamu. Lakini hapo kwenye kipindi lazima mtangazaji aulize kwa faida ya wasikilizaji na watazamaji wake. So ilikua lazima aulize fuvu na gearbox na 1 low vinamaanisha nini ili hata ambaye si dereva aelewe.
Yaani sijawahi kucomment .ila napenda kusema watu tunacheka tu huyu jamaa anavyotuchekesha ila watu wenye shule za driving wangemtumia huyu jamaa private kumfanyia mtu driving exam hawa madereva wa maroli hakuna kupita exam ya kuendesha maroli bila kufaulu mtihani huo watu wengi Tz wanatumia kufundisha tu utingo kesho anapewa roli . Hii ingesaidia madereva kuepuka pia ajali za barabarani. Nchi za wenzetu hakuna driving licence bila kupita exams kwa shule zilizodajiliwa siku ya exam kosa 1 tu la barabarani ukifanya na wasimamizi wa exam wakaliona utarudia Hakuna kupita hivi hivi. NA Maroli hayaruhusiwi kuovertake hovyo hovyo kisheria