Тёмный

NIMEWAHI KUFELI BREKI NIKAILENGA HOSPITALI| MLIMA KITONGA CHA MTOTO KUNA DOWN INAITWA K '9' 

Wasafi Media
Подписаться 4,6 млн
Просмотров 95 тыс.
50% 1

𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2024 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm

Развлечения

Опубликовано:

 

4 июн 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 196   
@kuriaeric3073
@kuriaeric3073 Месяц назад
toka kenya hapa. nimepatana na video zake kule facebook. ikabidi nimemsaka huyu mzee. yeye ni true comedian
@GibsonNtamamilo
@GibsonNtamamilo 18 дней назад
Jamaa mkweli sana. Hapo K9 kiumeni ni noma. Gari za tia maji tia maji usipeleke huko zinakula mzinga sana. Big up legendaryary.
@thetas08
@thetas08 Месяц назад
Mpeni deal mzee mkongwe comedy mzuri bila kufikiria anajibu hapo kwa hapo mpeni matangazo anapendwa sana na pia anaburudisha sana Kilubwa kwake code zake kuziielewa big up mkongwe bondei in air
@abrahammichael642
@abrahammichael642 Месяц назад
Huyu jamaa angepata nafasi CHEKA TU ingekuwa poa sana
@rehemakanyere4188
@rehemakanyere4188 Месяц назад
Hahaha
@solomondanny-1507
@solomondanny-1507 Месяц назад
Duuuh
@salimmalaka256
@salimmalaka256 Месяц назад
BABA LEVO ALIMPELEKA KUANGALIA HIVI MAJUZI NDARO NA LEONRALDO
@nancyg8664
@nancyg8664 Месяц назад
​@@salimmalaka256nadhani ni Leonardo sio Ronaldo
@salimmalaka256
@salimmalaka256 Месяц назад
@@nancyg8664 YES NDIE HUYO LEONARDO
@raymondswed7358
@raymondswed7358 Месяц назад
Huyu mzee fala san😂😂😂 Namkubali sana ana kipaji kikubwa sana😂😂😂
@emmanuelalfred140
@emmanuelalfred140 Месяц назад
Baba levo mtafutie kipindi huyo ana faida katika fani ya uchekezaji na atatoa elimu katika udereva kwa njia ya comedy 😎😎😎😎🙏🏿🙏🏿🙏🏿👍
@aminathaabubakarmasoud565
@aminathaabubakarmasoud565 Месяц назад
Sure ❤
@EmmanuelMachupa-st4zh
@EmmanuelMachupa-st4zh Месяц назад
Nimekubali sana hiyo ya mahimahu ya nairobi na hiyo ya Nakuru kweli nihatari sanaaa
@patrickkarugu7199
@patrickkarugu7199 Месяц назад
It's called Mai mahiu.
@asawoasawo517
@asawoasawo517 Месяц назад
Kweli
@eleven-in5qw
@eleven-in5qw Месяц назад
​@@patrickkarugu7199😊
@dubabaxakatv2993
@dubabaxakatv2993 Месяц назад
Na mazeras balaa pia
@theresialumato2281
@theresialumato2281 Месяц назад
Daah uyu mzee kiboko yaan nilikuwa nime vurugwa lakin nimejikuta nacheka
@harunichambo4658
@harunichambo4658 Месяц назад
KO Mzee kakutoa mvurugo😂
@EddyRajab
@EddyRajab 22 дня назад
He is a good story teller...though exaggerating at some point ...😂😂😂
@Heyumjunior119
@Heyumjunior119 Месяц назад
Dah unyamaaa sana
@Kevworx
@Kevworx Месяц назад
K9 balaa sana mzee hiyo unaelekea Kabanga sio mchezo ukishafika shuleni tu pale unaanza kuishuka ni hatari sana na hiyo ya rusumo inaitwa machinjioni nayo hailali na njaa mpaka gari ndogo zinakomaga hapo
@roseurio503
@roseurio503 Месяц назад
Haki huyu mzee mpeeni kazi yaani kuchangamsha kipindi😂😂😂😂
@Mu_ALI254
@Mu_ALI254 Месяц назад
Wow, I love the conversation. Huyu Mzee is So experienced. Why not Make him an Officer In Truckers association. He will do a Good Job
@ramadhanurassa2410
@ramadhanurassa2410 Месяц назад
Mzee anaongea kwa code balaa eti ushuke na kaseja kama huna D 2 huwezi elewa
@kenrailzdutchman6359
@kenrailzdutchman6359 16 дней назад
Bana hata sijaelewa . Kama kushuka na kaseja
@fabianmainchanyangachika5017
@fabianmainchanyangachika5017 Месяц назад
Huyu jamaa ni comedy anafaa sana udereva alivamia
@bensonpaul3672
@bensonpaul3672 Месяц назад
Huyu jamaa kanikumbusha mbali sana,TULIKUWA STAFF 11, KUFIKA RUSUMO TUKASHTULIWA NA WATU WALIOKUWA WAKIPIGA KELELE WAKISEMA GARI INAUNGUA,kumbe ni Landcruiser yakwetu,wakati wa kushuka huo mlima ilishika break mpaka taili ikaanza kuwaka moto...
@dicksongeorge7745
@dicksongeorge7745 8 дней назад
Ikawaje, malizia stori basi
@ntegamaherezovenuste
@ntegamaherezovenuste 19 дней назад
Jina nivenuste mimini munyarwanda nime ku frow na tiktok namimi ni oparet wamashin focke rifut nakupend san mung akubarikiwe
@khamisomary7428
@khamisomary7428 Месяц назад
Hio K9 asee nikweli ngara hio nibalaa asee😂😂 nilikutana na lori speed yake nisawa na mtoto anavyo tambaa
@ukhutfatumah1154
@ukhutfatumah1154 Месяц назад
😂😂😂Mb zangu zimeenda kihalali wallah nimejikuta nipo happy mwanzo wa interview mbk mwisho
@ramadhaniyahaya7286
@ramadhaniyahaya7286 8 дней назад
Nakukubali sana deleva mkongwe lakini unacho feli ni kuongelea masilahi ya madeleva pesa unayo pewa haifai tetea hilo kakanitakukubali sana
@HamidaHamisi-ej8kz
@HamidaHamisi-ej8kz Месяц назад
Rusumo machinjioni kiboko sana
@sportskijiwe781
@sportskijiwe781 Месяц назад
Ebwaaaaa mzee epewe matangazo jaman apige mpunga kidogooo
@allahisone6386
@allahisone6386 Месяц назад
NDIOOOOOOO ALLAH AMRAHISISHIE ❤🎉
@octavianbaragwiha3836
@octavianbaragwiha3836 Месяц назад
Huyuu dereva kweriii . . . K9 hatariiii Sana pia Kuna pale panaitwa machinjioniii
@wycliffatambo3614
@wycliffatambo3614 23 дня назад
Share dereva Mkongwe’s number we appreciate his mastery in storytelling aisee.
@alisaadmohammed
@alisaadmohammed Месяц назад
Kongole sana dreva mkongwe
@ukuvukiland2387
@ukuvukiland2387 Месяц назад
Huyo mzee kanivunja mbavu zangu na story za nyani wa kitonga.
@nakundwamkubwe7823
@nakundwamkubwe7823 Месяц назад
Nimecheka 😅😅
@user-ju3nm8oc1c
@user-ju3nm8oc1c Месяц назад
Daah! Huyu dereva mcheshi sana.
@user-zb9mf3us2w
@user-zb9mf3us2w Месяц назад
madereva tujitokeze midia zitasaidia kupeleka changamoto za rod
@mwangamtoto658
@mwangamtoto658 10 дней назад
😅😅😅😅😅mzee mzee mzee nimekuita Mara 3 umetisha
@ukhutfatumah1154
@ukhutfatumah1154 Месяц назад
😂😂😂😂 K9 shikamoo aise umejua kunifurahisha mzee wangu
@emmanuelalfred140
@emmanuelalfred140 Месяц назад
Huyo mpeni kipindi cha usafiri na pia ni comedian 🎉❤😂
@komboarts7110
@komboarts7110 День назад
Aende kwa coy mzungu huyu jamaa lazma tucheke sana
@ngayaimkwe5175
@ngayaimkwe5175 Месяц назад
Daa mzee tunamkubali sasa sana
@egdldm4981
@egdldm4981 4 дня назад
Hivi Kinine au K9 huwa inaanzia wapi pale Ngara? Kutoka Ngara stendi mbele kuna junction, ukinyoosha utatokea Rusumo, ukipnda kulia kuna down moja hatari hadi daraja la Ruvubu kisha mpando wa hatari ... 😮 Ndio hiyo?😮
@kelvinmuuwo6733
@kelvinmuuwo6733 Месяц назад
Any other Kenyan who saw his reel on facebook and came here looking for him Kwanza niko hiyo taxin anasema😂😂😂😂
@user-qo6qv6mc5p
@user-qo6qv6mc5p Месяц назад
Ule mlima wa tznia kuingia Burundi siopowa😊
@mrpullover3991
@mrpullover3991 Месяц назад
#Ngarayiwachu #homesweethome #Ngara Kagera tz dah mzeee katembea aseee mteremko unaanzia sehemu inaitwa #lukole Kuna high school hapo shule yangu...
@hamisindaro330
@hamisindaro330 Месяц назад
Hio salgaa ukweli huo mlima mwamba
@georgehajji9790
@georgehajji9790 Месяц назад
Duh!
@kabujeasukile5462
@kabujeasukile5462 Месяц назад
MZEE comedian huyu🤣🤣🤣
@law93king
@law93king Месяц назад
daaaah aisee
@rajabhassan6966
@rajabhassan6966 Месяц назад
Mzee mpeni kipindi coz kipindi kimenoga mwanzo meisho
@stevewanga957
@stevewanga957 16 дней назад
Achana na mugokaaa huo 😂😂 mzee anasema ukweli
@mariamhamissi4428
@mariamhamissi4428 Месяц назад
Noomaa sanaa😅
@maigajohn5828
@maigajohn5828 Месяц назад
Huyu Mzee uwa namkubali sana inabidi aandike kitabu cha historia ili Sisi madereva chipukizi tuendelee kupata muendelezo
@hassanmatata9335
@hassanmatata9335 Месяц назад
Baba Levo leo umekutana na chizi kuliko wewe
@jumapiliissa4835
@jumapiliissa4835 Месяц назад
😂😂 simchezo aisee
@ScopionScopion-zj9cd
@ScopionScopion-zj9cd Месяц назад
dereva nakubali sana
@SAKAYONZA
@SAKAYONZA Месяц назад
salgaaa hatari ....watu daily wazikwa pale
@lukasjelamisanana6770
@lukasjelamisanana6770 Месяц назад
Lakin pia mteremko mkar upo burundi huo wenyewe ukianza kushuka ni unashuka km zaid ya 30 bugarama hiyo
@salomewandya7257
@salomewandya7257 Месяц назад
Kumbe mjomba wa Muheza Hahaha
@HamidaHamisi-ej8kz
@HamidaHamisi-ej8kz Месяц назад
K9 kiumeeni kabisa tena kabisa
@mwanaidimussa
@mwanaidimussa Месяц назад
Ken9 na loriiii😳 mbn hatariiiii !!!! Nimteremkooo mkal hatariiii
@ashahussen5538
@ashahussen5538 27 дней назад
Mwambie congo imebadilika saizi mkongwe kanyaka unaijua! Kwa mjeshi unapajuaa😢
@feliudmasimba625
@feliudmasimba625 Месяц назад
K NINE NOMA MZEE
@muhinabakali7377
@muhinabakali7377 Месяц назад
Nakubali dachi udevu
@youseph-tz
@youseph-tz Месяц назад
Duuh nilichogundu kuwa madereva wengi wa gali ndogo hawazifahamu alama nyingi za barabaran mfano hapo baba leo swali alilo liuliza nimegundua kuwa angekutana na hiko kibango cha toxicna gia box asijejuwa nini kimemaanishwa
@innocentkimisha
@innocentkimisha Месяц назад
Ni kweli wengi hawafahamu. Lakini hapo kwenye kipindi lazima mtangazaji aulize kwa faida ya wasikilizaji na watazamaji wake. So ilikua lazima aulize fuvu na gearbox na 1 low vinamaanisha nini ili hata ambaye si dereva aelewe.
@celinaernst965
@celinaernst965 Месяц назад
Yaani sijawahi kucomment .ila napenda kusema watu tunacheka tu huyu jamaa anavyotuchekesha ila watu wenye shule za driving wangemtumia huyu jamaa private kumfanyia mtu driving exam hawa madereva wa maroli hakuna kupita exam ya kuendesha maroli bila kufaulu mtihani huo watu wengi Tz wanatumia kufundisha tu utingo kesho anapewa roli . Hii ingesaidia madereva kuepuka pia ajali za barabarani. Nchi za wenzetu hakuna driving licence bila kupita exams kwa shule zilizodajiliwa siku ya exam kosa 1 tu la barabarani ukifanya na wasimamizi wa exam wakaliona utarudia Hakuna kupita hivi hivi. NA Maroli hayaruhusiwi kuovertake hovyo hovyo kisheria
@aminielimushi8709
@aminielimushi8709 Месяц назад
Aina mpya ya usanii TZ
@kwizeralajoie3619
@kwizeralajoie3619 Месяц назад
Mkogwe umenikumbusha k9❤❤
@mwitajoseph8315
@mwitajoseph8315 Месяц назад
Ngara ata gari dogo kama halina nguvu utakesha
@rajabsaria8466
@rajabsaria8466 4 дня назад
Sasa iyo barabara ilitengezwa vipi kwenye iyo milima?????
@zedekiahmagwega8044
@zedekiahmagwega8044 Месяц назад
Mwanamke huyo yeye ANAWAZA HELA TU, kila muda yeye ni hela tu
@user-wu9zh1hc3i
@user-wu9zh1hc3i Месяц назад
K9 nimepita jana balaa kwel
@user-bl3rq8fj9u
@user-bl3rq8fj9u Месяц назад
Jamaa anakubalika sana ache udele anachekesha sana 😂😂
@mbaruksaid5775
@mbaruksaid5775 Месяц назад
Namkubali sana huyu mzeee
@allahisone6386
@allahisone6386 Месяц назад
Me too 🎉❤
@Khalidniya380
@Khalidniya380 Месяц назад
Hiyo K9 naijua saana ni balaaa
@lukasjelamisanana6770
@lukasjelamisanana6770 Месяц назад
Sawa lakin hiyo k9siyo Kama anavosema huyu mzee km 38 kweli labda kutoka Kona ya benako had ngara hapo sawa
@mwanaidimussa
@mwanaidimussa Месяц назад
@@lukasjelamisanana677038 ni nyingiiii sanaaa !!! Ila panaogopeshaaa jmb
@AllyMngoya-ov8fs
@AllyMngoya-ov8fs Месяц назад
apewe nafasi uyo ataokoa jazz madereva awana bb wala mama mtz ana saman katika kazi yake
@omarylugojo9970
@omarylugojo9970 Месяц назад
K9 naijua babu
@kendwahamisi4903
@kendwahamisi4903 Месяц назад
Lala nayo babu
@user-tk4tc6bv5g
@user-tk4tc6bv5g Месяц назад
K9 ni hatari sana
@haridimnimbo7377
@haridimnimbo7377 Месяц назад
Hapo kwenye kucha kutoka jasho! Kubababake😂
@starjay3052
@starjay3052 Месяц назад
😁😁🤣🤣 burundu inaiona ile lakini upo tanzania 🇹🇿 bado dah 😁😁🤣🤣
@Kevworx
@Kevworx Месяц назад
Kobero hapo hatari
@patrickkilongo3214
@patrickkilongo3214 Месяц назад
Kwan uyu mzee ni cimedian au 😅
@ernestmillinga7116
@ernestmillinga7116 Месяц назад
Mate ya chumviii noma sana...usiombee aisee..
@user-ju3nm8oc1c
@user-ju3nm8oc1c Месяц назад
Hahaha, dah ! Anachekesha.
@dannymoses1882
@dannymoses1882 Месяц назад
K9
@SaidMkwabi-ho8yy
@SaidMkwabi-ho8yy 22 дня назад
Huyo jamaa aache uongo ukifel blek hatahiohakili utaipata utaipatawap yakufikilia hivyo vi2
@youngweezy3846
@youngweezy3846 Месяц назад
Nimecheka kifala😅😅😅😂
@MtessaAlly-rd4hf
@MtessaAlly-rd4hf Месяц назад
Hayo makampuni matatu yaliyo tajwa halo na mzee dereva mkongwe wamuite wamlipe maana kawatangazia biashara.
@steramwanakira7183
@steramwanakira7183 Месяц назад
Is soo funny
@user-um5uw9yo5q
@user-um5uw9yo5q Месяц назад
Hapo kwenye k9 umetupiga inakilomita 9 tu Ila ni mporomoko mkali sana
@samidquiz6316
@samidquiz6316 Месяц назад
Hiyo ni sifa ya fasihi simulizi inakuwa na chuku nyingi
@MarckyCholla
@MarckyCholla Месяц назад
Kakosea wapi mbona hapo tunapajua wengi
@user-ul9df5ko2r
@user-ul9df5ko2r Месяц назад
Si ndy k9 ww mbege
@Bruno4cus
@Bruno4cus Месяц назад
K9 siyo kilometer 9 ni Kona 9 mzee
@namaraalexmbeikya1491
@namaraalexmbeikya1491 Месяц назад
Hata mm nimeshangaa Kutoka Benaco mpaka mjini Ngara ni 36Km halafu yeye anasema K9 ni 38Km 😂
@adenmohamed-ew8xw
@adenmohamed-ew8xw Месяц назад
Astaghfurulaah; mitume hawasaidii na Bilal hasaaidii bali Mungu husaidia; ni Mungu tu si binadam
@husseinmwedi7125
@husseinmwedi7125 Месяц назад
Baba nakubal San mkongwe
@davidchege325
@davidchege325 Месяц назад
😂😂😂lakini ndugu iyo kitu hailiwi na farasi Nairobi
@abbassalum6824
@abbassalum6824 25 дней назад
Huyu Jamaa ni mkongwe kama mim
@Johansenjoshua1271
@Johansenjoshua1271 Месяц назад
😂😂 Ila mandevu
@steramwanakira7183
@steramwanakira7183 Месяц назад
I laughed so much
@charlesmwaipasi2884
@charlesmwaipasi2884 Месяц назад
Mwamba namuona sana Morogoro
@salimjumaa8180
@salimjumaa8180 Месяц назад
Ndio maana mombasa umepigwa marufuku huo mgukaa, unalemaza wa2 kwl kwl
@HamadiBwakame
@HamadiBwakame Месяц назад
Nisawa anasema Mongok a ukila unasema pekeyako unajikuna kichwa
@itanzaniaAS
@itanzaniaAS Месяц назад
LIFE EXPERIENCE
@feliudmasimba625
@feliudmasimba625 Месяц назад
MKOKAA
@salomewandya7257
@salomewandya7257 Месяц назад
Dah hatari
@jei_maimu6957
@jei_maimu6957 Месяц назад
Madereva malori wengi akili zao waanzijua wenyewe hasa maroli ya Mbao..careless kbs
@PeterMlyambelele
@PeterMlyambelele Месяц назад
Yaa deleva kachangamsha kipindi maana ana story za kweli
@omarhamza9966
@omarhamza9966 Месяц назад
Waniulize mimi maimai nitwawambia mlima wawanaume huo
@user-qq3kx2gi2g
@user-qq3kx2gi2g Месяц назад
Anachekesha sana
@Hauleshabby
@Hauleshabby Месяц назад
Ha ha ha mzee namkubali sanaa
Далее
VITUKO VYA MUGABE NI AIBU NA USHUJAA !!!
15:21
Просмотров 800 тыс.