Тёмный

MCH.DANIEL MGOGO AFICHUA SIRI ZA DIAMOND,,,SIWEZI KUVUMILIA HATA KIDOGO,,,TAZAMA HAPA... 

PTVTANZANIA online
Подписаться 500 тыс.
Просмотров 683 тыс.
50% 1

#mchungajidanielmgogo #diamondplatnumz #attitude

Опубликовано:

 

1 май 2021

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 358   
@saidipara4134
@saidipara4134 2 года назад
Dahhh mimi ngoja nitie like .sina neno la kuongezea hapo .huna baya pastor 👍👍
@mapendoimani2462
@mapendoimani2462 2 года назад
Huyu Mchangaji ni Jembe ni kweli kabisa baba.Ua way of teaching is amazing.Mungu akutie Nguvu
@haarunsaidabdillahi4082
@haarunsaidabdillahi4082 3 года назад
Mimi ni Muislam lakini bwana Mchungaji nimekukubali sana. Mafundisho yako yanapita elimu kubwa sana.
@zanzibarst2205
@zanzibarst2205 Год назад
nenda kanisani kwake utamuelewa zaid
@jesuslovesyou6568
@jesuslovesyou6568 Год назад
Njoo kwa YESU Kuna raha zaid🙌🔥🔥
@rosepeter8996
@rosepeter8996 3 года назад
and i'll always clap 👏👏👏👏👏kwa huyu pastor.abarikiwe sana;...frm KENYA ..salute.🙏✌
@faithakinyi2548
@faithakinyi2548 2 года назад
Mzee wa nondooo mwenyewe,much love and watch you from Washington DC USA
@carolinemusimbi9232
@carolinemusimbi9232 3 года назад
Huyu pastor nampenda msema kweli when I visit Tanzania lazima I visit his church
@dinahshirima6356
@dinahshirima6356 2 года назад
Mimi muisilamu lakini namfatilia sana
@rosenamenge7891
@rosenamenge7891 3 года назад
Be blessed pastor Daniel continue telling the people the truth, Mungu amekuita kwa ukweli l like your preachings🇰🇪🇰🇪🇰🇪
@delhidarling4285
@delhidarling4285 3 года назад
One of my best Pastor from Tz. Much love to you 💘💘😍💘😍
@jeanclaudematabishi8382
@jeanclaudematabishi8382 3 года назад
Asante Sanaa mchungaji mungu aendelee kukupa kile ambacho tunakiitajii
@dishonsaenyi7724
@dishonsaenyi7724 2 года назад
Pat mungu akubariki sana, imefufua makanisa mingi, roho za watu na ndoa,,,, asante sanaaaa
@sironyotoppy9265
@sironyotoppy9265 3 года назад
Truth pastor.I love your preaching coz that's the reality.🇰🇪
@kituadaniel5222
@kituadaniel5222 3 года назад
𝑫𝒂𝒏𝒊𝒆𝒍 𝑴𝒖𝒏𝒈𝒖 𝒂𝒄𝒉𝒂 𝒂𝒊𝒕𝒘𝒆 𝒎𝒖𝒏𝒈𝒖 𝒋𝒖𝒖 𝒚𝒂𝒌𝒐
@beatricejoseph7435
@beatricejoseph7435 3 года назад
Pastor you are real.
@manirakizasandra2872
@manirakizasandra2872 2 года назад
Past asante sana mungu akuzidishiye kwenye huduma,zako
@jwkkiko8230
@jwkkiko8230 3 года назад
Well said Pastor Daniel Mgogo, Much love from 🇰🇪🇰🇪
@telaamtauta2227
@telaamtauta2227 3 года назад
😭😭😭😭😭😭mchungsjii manenoyako yananiumizaa sana hayondio yamejaa kwenye jamii ahsante sana mchungajii mgogo
@ankolichris3487
@ankolichris3487 2 года назад
Asante mchungaji walah umeniponya sina nma ya kukushuru ila mungu azidi kukupa hio neema pia akupe uzima wa milele
@justinamautice9730
@justinamautice9730 3 года назад
Nakukubali sana Pastor Mgogo "Mzee wa Dozi" MUNGU azidi kukuinua katika utumishi wako.
@petermulei9383
@petermulei9383 2 года назад
My all time pastor🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
@peninahkariuki4679
@peninahkariuki4679 3 года назад
Amen and Amen be blessed Man of God, much Respect Prayers and Love from 🇰🇪🇰🇪🙏🙏
@queenpesh6828
@queenpesh6828 3 года назад
I too love listening to pst mgogo here in kenya
@jenelomsambwa811
@jenelomsambwa811 3 года назад
Sasa hapo Siri ya diamond ni ipi, waandishi bwana, aibu yenu.
@marymlewa7459
@marymlewa7459 Год назад
Ni kweli kabisa mchungaji hatuna cha kukulipa ila mungu atakulipa
@omanmwajabumbeguoman8642
@omanmwajabumbeguoman8642 2 года назад
Wee baba mchungaji mungu akulinde kwakweli unamafundisho mazuli kwakweli mungu azidi kukupa nguvu
@venancendangali6496
@venancendangali6496 2 года назад
Kwa huyu mchungaji japo anasaidia ndoa nyingi pia amekuwa burudani hongera sana paster
@nellynelly8796
@nellynelly8796 2 года назад
Amen Amen Amen Pastor more Grace,i love you my spiritual dad,may God continue to give you wisdom
@selfaakinyi2986
@selfaakinyi2986 3 года назад
You made to realize my sins and to repent, thank you Pastor mgogo, babaa wa nondo. Continue healing our family. Be blessed.
@irenewasike8669
@irenewasike8669 3 года назад
Following.. may God bless you abundantly pastor mgogo .. always feel blessed
@mariamkitekha9233
@mariamkitekha9233 3 года назад
Mm ni mwislam lakini napenda Sana mahubiri ya huyu mchungaji
@abdallasaleh2303
@abdallasaleh2303 3 года назад
Ni kwel hata mm muislam lkn huyu mchungaji ana hekima na busara sana maneno yake matamu sana mashallah.
@abdulmalickupete9015
@abdulmalickupete9015 3 года назад
Nendeni church tu
@juvenalyzacharia5059
@juvenalyzacharia5059 3 года назад
Safiii
@dianaradislauc6649
@dianaradislauc6649 3 года назад
Yesu anawapenda
@thomsonwekesa5102
@thomsonwekesa5102 2 года назад
Mchungaji kazi nzuri mungu aendelee kukupea nguvu kwa hyo huduma
@paulondiek1345
@paulondiek1345 3 года назад
May you have a long prosperous life ahead my beloved pastor
@micahmuturi6154
@micahmuturi6154 3 года назад
God bless you pastor...nafuatilia mafundisho toka saudi arabia
@sheilamjune1233
@sheilamjune1233 3 года назад
Asante sana pastor may God continue blesse you more ❤❤❤❤🔥🔥🔥☝️☝️☝️🙏🙏🙏🇰🇪🇰🇪🇰🇪
@evamanyama8268
@evamanyama8268 2 года назад
Aminaa
@wilisonjuma8375
@wilisonjuma8375 3 года назад
Namkubali sanaa mgogo huyu Tz tulikua nao wawili tu wakutuaMbia ukweli ni daniel mgogo na sheh nyundo mmoja zanzibar mmoja tanzania
@williamkeitha1262
@williamkeitha1262 3 года назад
Kweli but nyundo Ndio katangulia mbele za khaki ALLAH amrehemu
@hamisinyondo161
@hamisinyondo161 2 года назад
Long live pastor
@paulayionda2999
@paulayionda2999 2 года назад
My all time pastor,I love ur teaching
@kennyrogers4734
@kennyrogers4734 3 года назад
Daniel mgogo saluuuuut nakufuatilia sana mchungaji
@user-iv7dw6cd2e
@user-iv7dw6cd2e Месяц назад
Mungu akupe maisha marefu. Utufundishe mengi maana nimejifunza mengi karibu baba marawi na marawi tunakusikia baba
@happynescostat7420
@happynescostat7420 2 года назад
Amina Amina,amani ya mtu iko kwenye familia🙏🙏
@veronicakasau7602
@veronicakasau7602 3 года назад
Well said pastor support you 💯
@paulinaululu3348
@paulinaululu3348 2 года назад
God bless you pastor,🇲🇿🇲🇿🇲🇿 from Mozambique
@geofreythomasi2710
@geofreythomasi2710 2 года назад
Mozambique 🤔
@priscillahbakari5185
@priscillahbakari5185 2 года назад
I think I know you Pauline Ululu
@nalyanyarogers3750
@nalyanyarogers3750 2 года назад
Thank you man of God Long live to help nations
@angelsylvester4795
@angelsylvester4795 3 года назад
Baba mie ninakukubari sana Mungu azidi kukutumia kwa kiwango kikubwa zaidi🙏🙏🙏
@user-hz5mo9tz9o
@user-hz5mo9tz9o 7 месяцев назад
Mchungaji ongela sana unatuponya
@episonfelician7670
@episonfelician7670 3 года назад
Pastor kweli umenena Mungu Akupe Neema ya ushindi katika maisha na Huduma YAKO ya mafundisho
@claranewaho1251
@claranewaho1251 2 года назад
Anatumia nguv kubwa Sana kuongea ila miwatu ndo migum kuelewa
@davidimkayula2317
@davidimkayula2317 3 года назад
Barikiwa mchungaji
@celiakombo5173
@celiakombo5173 2 года назад
I love your preaching teaches alot abt life,may God Bless you more and more.Thank you Pastor
@hamstonamani1414
@hamstonamani1414 2 года назад
True dear
@sisterolivia9874
@sisterolivia9874 3 года назад
Ukweli mtumishi.. Nakufuata from Doha qatar.. Mimi mkenya
@rachellwetimo700
@rachellwetimo700 2 года назад
Fundisha mchungaji unabariki sana🙏🙏
@richgambi6694
@richgambi6694 2 года назад
Mgogo upo vzr Sana mungu akusaidie uwe na maisha marefu sana ujumbe umefika safi sana
@ramak.9587
@ramak.9587 3 года назад
Mm binafsi ni muislam lakini Daniel mgogo namfatilia mwanzo mwisho. Uyu mzee ni moto wa kuotea mbali. Hua namfananisha na #Dida wa masham sham kwa kuipa jamii mabomu ya wazi wazi. Mungu awajaalie
@felisterndulu5192
@felisterndulu5192 2 года назад
Be blessed I love your preaching
@Queen580
@Queen580 3 года назад
I love this Pastor God bless him
@vugutsadickson487
@vugutsadickson487 3 года назад
Favourite pastor ever👍
@abdallasaleh2303
@abdallasaleh2303 3 года назад
Huyu mchungaji kiukweli haya mazungumzo yake nime yaelewa maneno mazuri ya kweli mashallah Allah amuongoze na amtie ktk dini ya uislam heshima kwako mchungaji.
@danfordmilagiro1836
@danfordmilagiro1836 3 года назад
Mungu anaangalia moyo siyo dini kokote tu kikubwa umche Mungu wako kwa roho na kweli
@norahmakrean525
@norahmakrean525 3 года назад
Dini ni dini
@susanejd7775
@susanejd7775 3 года назад
@@danfordmilagiro1836 ni kweli maneno yako. Mm ni muislam lkn napenda sana kusikiliza mahubiri ya huyu pastor. Kuliko wengine kwa kweli. Allah amlinde na amzidishie elimu
@uwimanamadohkhan1098
@uwimanamadohkhan1098 3 года назад
Insha Allah
@dianaradislauc6649
@dianaradislauc6649 3 года назад
Yani nyie waisilam huwa mnataka vitu vizuri viwe vyenu wakirisitu Wana mungu Alie hai na hawatangazi dini wanamtangaza mungu Alie hai Wala hawapiganii dini
@sallygrace1495
@sallygrace1495 3 года назад
Very well said man of God. God bless 🙋‍♀️👏👏
@emmanuelyohana8787
@emmanuelyohana8787 3 года назад
Hongera sana mch daniel mgogo Mungu akubariki sana
@carinemapendo2022
@carinemapendo2022 3 года назад
Much love from D.R.C 🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩
@myahudi6951
@myahudi6951 3 года назад
😂😂😂😂 huyu pastor nimemkubali sana point konki
@lizzybahati9833
@lizzybahati9833 3 года назад
Et konki🤣🤣🤣🤣🤣
@omahe1
@omahe1 3 года назад
God with you pastor amen 🙏
@user-ly9pq3xx6u
@user-ly9pq3xx6u Год назад
May God bless you pastor keep moving forward
@edethkekekeke910
@edethkekekeke910 3 года назад
Facts pastor..like it from kenya
@paulmwakilembe4573
@paulmwakilembe4573 3 года назад
Nakubali mchungaji Sana kariakooo natamani nije nisali hapo sijui misa ya kwanza inaanza sangapi
@aminajuma1215
@aminajuma1215 3 года назад
Well said pastor, more congratulations from Miss upcoming HR.
@johndeus577
@johndeus577 3 года назад
Safi sana Paster Mgogo
@davidelias6730
@davidelias6730 2 года назад
Hiki kichwa ni computer aisee🤣🤣🤣 Mungu akulinde mtumishi nakukubali sana mafundisho yako kwangu ni elim tosha
@thomasmuyya7221
@thomasmuyya7221 3 года назад
Huduma ya kuponya ndoa na kuwaandaa vijana waheshimu ndoa na kujiandaa kuitika wito wa Mungu ni muhimu kwa sababu ndoa ndio taasisi kwanza aliyoianzisha Mungu. Ni takatifu kwa sababu aliyeanzisha ni Mtakatifu. Taasisi ya kwanza kabla ya anguko la mwanadamu. Ndio msingi wa jamii na mataifa. Kuanguka kwa familia ni anguko la jamii na taifa. Kutokana umuhimu huu na kusudi takatifu la Mungu, Shetani anapiga vita ndoa hataki iwepo. Na halali akiona ndoa yenye msingi wa upendo wa Mungu. Anaharibu amani na uaminifu ndani ya ndoa anazuia wazazi kuwapa watoto upendo, ulinzi na kuwajengea maadili ya kumcha Mungu. Tendo la ndoa si takatifu kama alivyotupa Mungu kwa ajili ya uzao na umoja wa mtu mume na mtu mke kuungana kuwa mmoja. Siku hizi hakuna seclusity na fidelity, kijana anafanya ngono kabla ya makubaliano ya ndoa, na wenye ndoa hutoka nje kutembea na wengine. Ukweli ni kwamba ngono haifanyiwi majaribio; ndio maana kuna ubikira; kwa sababu tendo hilo linaunganisha wawili, mwanamke na mwanamume katika wito na huduma ya ndoa ambapo mwanadamu anatakiwa kutii mpango wa Mungu. Kwa bahati mbaya wanadamu tumemwasi Mungu; sasa tendo la ndoa limegeuzwa kuwa biashara au kazi ya kipato. Wengine ni mradi kuajiri mabinti kufanya ngono kwa malipo. Ni unyanyasaji wa kiroho kisaikolojia na kimwili. Kwa wanaume wengine ni ngono ni starehe kwa hiyo hayuko tayari kwa matokeo ya mimba wala matunzo na malezi. Wasichana hawafundishwi kuthamini na kujivunia ubikira wao. Kwa sababu hii wako tayari kuingia agano la kumwaga damu na mtu ambaye hataishi naye. Ndoa sio mkataba bali ni agano. Na hakuna agano pasipo damu. Wanawake wengi ndoa zao hazina amani kwa sababu hazikufungwa kwa agano la damu, waliimwaga kwa haramia mpita njia. Kwa hiyo ni muhimu kuhakikisha kuwa vijana wanaoingia makubaliano ya ndoa inapasa kwanza kutubu kwa Mungu na kila mmoja kwa mwenziwe, maana waliuharibu ubikira na kusababisha kuimwaga damu ya binti(fulani) nje ya ndoa na kuruhusu kumwaga damu ya agano (na mvulana fulani) Suluhisho ni Lazima wote wafanyiwe deliverance na mtumishi mwenye Roho Mtakatifu ili kuondoa pepo la uzinzi na ugonjwa wa premarital sexual syndrome ambayo isipoondolewa kuna uwezekano wa kukosa uaminifu (seclusity na fidelity) yaani kuwa mwaminifu na kutosheka na mume wako mmoja na mke wako mmoja si kwenda nje. Wawili hao wakifanyiwa ukombozi hakutakuwa na tatizo la kutofurahia tendo la ndoa. Tendo la ndoa ni ruksa kati ya mwanamume aliyefikia muda wa kubeba jukumu la familia na kuwa na upendo ulio wa kimungu na Mwanamk e aliyefikia umri wa kujipambanua na kuwa mke/mwenza; mama wa kusimamia familia atakaye jenga maadili ya watoto watakaokuwa raia wema na kuwa utukufu kwa Mungu na fahari kwa jamii. Shetani anaondoa dhamani na utaķatifu wa ndoa. Ameleta kwa kasi roho ya usodoma yaani wanaume kuoana, kutoa mimba, kuzuia kuzaa na ndoa za mwanamke kwa mwanamke. Huu ni uasi; ni kwenda kinyume na Mungu. Tuiponye jamii tuwekeze kwa watoto na vijana wetu.
@yusuphyogopeni2412
@yusuphyogopeni2412 2 года назад
Nc
@jacobwaliuba8840
@jacobwaliuba8840 3 года назад
Much love from 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
@jasminmike4349
@jasminmike4349 3 года назад
Nakupeda kusema ukweli,Mbinguni hatutafika kama huku duniani hatupedani🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪wanadamu hawapedi ukweli🙏🙏🙏
@winnyrocha1361
@winnyrocha1361 3 года назад
God bless you pastor
@rahmaramadhan9773
@rahmaramadhan9773 3 года назад
Yaaani nikweli kabisa unayo ongeaa mashallah 👏👏👏👏👏
@wkjshsxbbsbs6392
@wkjshsxbbsbs6392 2 года назад
Loving you so much according to your preaches🇰🇪🇰🇪🇰🇪
@jeanmariemushagalusa1338
@jeanmariemushagalusa1338 2 года назад
Nakupenda sana nikiwa jamuhuri YA kidemocrasia YA Congo goma.
@geoginawabululu32
@geoginawabululu32 3 года назад
Barikiwa sana pastor kwa ukweli 🇸🇦🇸🇦🇸🇦
@suzanne9517
@suzanne9517 2 года назад
Asante mtumishi wa Mungu
@esthermramba9395
@esthermramba9395 3 года назад
Hongera sana pastor unanibariki sana
@jeanmariemushagalusa1338
@jeanmariemushagalusa1338 2 года назад
Nashukuru Mungu kwa kumujua mtumish Daniel Mgogo, Mungu akubariki
@martmstaarabukyeshe3760
@martmstaarabukyeshe3760 Год назад
Nimekuelewa sana mchungaji mungu akubariki Sana🙏
@martinbruno9071
@martinbruno9071 3 года назад
Nakupenda sana Mgogo.
@boniphacesaimon8358
@boniphacesaimon8358 2 года назад
Hongera mtumishi kwa kazi ya bwana
@gabriellanchimbi3154
@gabriellanchimbi3154 2 года назад
Mungu akubariki sana mchungaji.
@pazimazongera4934
@pazimazongera4934 Год назад
Mchungaji yupo vizuri sana
@mariamalongo8803
@mariamalongo8803 3 года назад
Yaani mchungaji ni konki
@selafinlisiely6009
@selafinlisiely6009 3 года назад
Dunia imefungwa katika mafumbo mengi,, Maneno ya Mzee ni mafumbo ,,,,na tabia ya watu ni kusifia mambo mazuri ila wamefichwa kujua yalio mema mbele za Mungu ....Behold Yeremia 4:22 Mungu atusaidie
@keflennzella9313
@keflennzella9313 2 года назад
Barkiwa sana mchungaji
@praxidesetyang7737
@praxidesetyang7737 Год назад
I always admire to be your student
@fhyubhhh2881
@fhyubhhh2881 3 года назад
Umenena pastor Mungu akupe afya...
@musajdalugo2555
@musajdalugo2555 2 года назад
Mwinue mungu hujaponya ndoa za watu bali uvuvio wa Mungu kupitia roho wake otherwise unamsukumo binafsi
@anicetmpawenayo3046
@anicetmpawenayo3046 3 года назад
Jamani mchungaji Mgogo nampenda sana
@pirisieliud5391
@pirisieliud5391 2 года назад
Mhubiri nakushukuru kwa kuelimisha jamii, umenifanya nielewa binadamu mwenzangu
@abdullahalkindi9673
@abdullahalkindi9673 3 года назад
Diamond hata asaidie ulimwengu mzima hana radhi ya baba yake ni lazima kwanza akaombe radhi na amsaidie mzee Abdul mzee Mkanye sio babake wala hafanani nae.
@twinklecaroy9624
@twinklecaroy9624 2 года назад
Mungu akutangulie pastor wangu
@annajustine3414
@annajustine3414 Год назад
Nakukubali sana baba yangu Mzee wa kuchana
@bibianajangandu1727
@bibianajangandu1727 2 года назад
Aminaa paster
@user-gs5rp1xg2v
@user-gs5rp1xg2v Месяц назад
Baba apo kwenye kuushi na kiumbe bila polisi wala magereza hapo ndipo tunahitaji mungu atupe kibali ubarikiwe myumishi
@nkwabimazemle7996
@nkwabimazemle7996 2 года назад
Agenda naisaport Mchungaji
@magdalenajohn6564
@magdalenajohn6564 3 года назад
Mhh .Cha kuhubiri wachungaji wa kweli wanapewa na Mungu
@wivinemwamini9110
@wivinemwamini9110 3 года назад
Amen washidwe wenyekuchezeyawatu
@mrantena_
@mrantena_ 2 года назад
Amen pastor
@salmamrembo4360
@salmamrembo4360 3 года назад
Hahahaaaa mchungaji umenifurahisha sana
@nickomlimbila217
@nickomlimbila217 3 года назад
Nakukubali sana mzee baba
@apostlejeremiahmwasenga5291
@apostlejeremiahmwasenga5291 3 года назад
Powerful
@mlasinyongolo3256
@mlasinyongolo3256 3 года назад
Ubarikiwe sana Mchungaji
@joslinchuwa1298
@joslinchuwa1298 3 года назад
Ubarikiwe sana Baba Nakupenda sanaaa
Далее
Mch: Daniel Mgogo - Nyumba nzuri lakini mwenye nayo
14:59
ПАПА ГАМБУРГЕР
00:13
Просмотров 163 тыс.
I Missed With The Bottle😂
00:12
Просмотров 3,7 млн
WANAUME HATUFI#PASTOR MGOGO#HANANJA#BONGO MOVIES
1:25
Ruto's Biggest Mistake Firing Attorney General Muturi?
14:27