Hongera Sana Paulo umetoa fundisho kwa watu wenye tabiya hiyo unakuta mtu amebarikiwa kuwa na Mali nyingi lakin hamsaidii ndugu wakati akiwa hai akifa unakuja kutoa jeneza la mamilion haisaidii kitu nisaidiye nikiwa hai mungu ndo anataka tuwe hivo
Congratulations brother,it's a song that i can listen the whole day.it's a sad truth words.The song is full of encouragement.i can rate it as my number one song i ever heard.may God continue blessing you and your family as you spread his Gospel❤️
This songs serves as a lesson to all of us... We becoming so hypocritical when someone dies... Oooh..he/she was good,he/she was productive. Total nonsense