Тёмный

Piki piki inayopunguza gharama na safi kwa mazingira 

BBC News Swahili
Подписаться 616 тыс.
Просмотров 17 тыс.
50% 1

Pikipiki inayotumia umeme ambayo wengi wameiona kama rafiki mkubwa wa Mazingira kutokana na ukweli kwamba pikipiki hii haina mlio na haitoi moshi kabisa.
Dereva Boda boda mmoja nchini Tanzania kwa jina la Anthony Kapinga amekuwa kivutio kwa wengi hasa baada ya kuanza kutumia Boda boda isiyotumia mafuta kwa muda wa mwezi mmoja sasa.
Kijana huyu anatupa sifa halisi za pikipiki hiyo huku akiisifu kuwa imemuingizia kipato kikubwa kwa muda huu mchache alioitumia.
Habari kamili na mwandishi wetu @frankmavura
#bbcswahili #Ajira #Tanzania #Mazingira

Опубликовано:

 

7 сен 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 22   
@savege-zh8yk
@savege-zh8yk 2 года назад
Battery ikifa njo utajiuliza kwa nini Tikitiki iwa ina maji mengi
@dazbilioneaofficial3751
@dazbilioneaofficial3751 2 года назад
Bei gani hiyooo?
@khayratmassoud8459
@khayratmassoud8459 2 года назад
Zinapatikana wapi na nishilingi ngapi
@kidaorji.commwanzamwanza4587
@kidaorji.commwanzamwanza4587 2 года назад
Inabei gan hiyo machine
@fundijumakimbaru7622
@fundijumakimbaru7622 Год назад
Aiko sawa ukitakasafari kwamashariti kunaraa gani umepata tatizo upande basi wakati pikipik nyengine unaingia Sheri safari mafuta yakiisha unaingia Sheri gata dakika tano ushamariza kirakitu ukikwama mafuta unasaidiwa inaenderea nasafari iyo manzingira kama mtoto wa geti
@BURUDIKA
@BURUDIKA Год назад
Naipataje
@swahilitherapytv3846
@swahilitherapytv3846 2 года назад
INAITWAJE NA NI BEI GANI...??
@malakimathias9244
@malakimathias9244 2 года назад
Inauzwa shi ngapi
@christophermassawe708
@christophermassawe708 2 года назад
inauzwa shingapo
@jr7clipz409
@jr7clipz409 2 года назад
Unauzwa bei gani na inapatikana wp
@manilabonalumanula1014
@manilabonalumanula1014 2 года назад
Anauzwa tena?
@KodramHamis
@KodramHamis Месяц назад
Ina uzwa shingi ngapi
@bilalbaker9238
@bilalbaker9238 2 года назад
Ina speed lakini haina kasi ???
@kuruthumsalim9374
@kuruthumsalim9374 Год назад
Naihitaji naipataje
@fadhilikilembe9892
@fadhilikilembe9892 4 месяца назад
umewah kuimilk
@khalfanharuna5155
@khalfanharuna5155 Год назад
Naipata wapi kwa bei gani na gharama kiadi gani naomba namba ya mawasoliano nijue naipata wapi kwa dar
@zawadisisto8188
@zawadisisto8188 2 года назад
Inapatikana wapi
@jacksonngusi4122
@jacksonngusi4122 2 года назад
Bbc izi pkpk zinauzwa shingap na wap znaptikana
@isayayohana6341
@isayayohana6341 2 года назад
Inauzwa shingapi mkuu
@HalfaSaid-vl6ki
@HalfaSaid-vl6ki 8 месяцев назад
Mnapatka wap ?
@jacksonmhongole9727
@jacksonmhongole9727 2 года назад
VIP kuhusu Bei yake
@amanijampion3045
@amanijampion3045 2 года назад
Zipo tofauti kuanzia 1m mpaka 4m
Далее
Modus males sekolah
00:14
Просмотров 11 млн
Matangazo ya Dira ya Dunia TV
28:10
Просмотров 10 тыс.
Bodaboda za kuchaji zimewasili Tanzania
12:08
Просмотров 2,6 тыс.
JIFUNZE JINSI YA KUENDESHA PIKIPIKI HAPA
3:26
Просмотров 12 тыс.