Aaa hapo kwenye kipaumbele cha kwanza kilimo ivi inawezekanaje mtu kupata degree ya kilimo SUA alafu hajua hata namna ya kuoperate powetiller? Prof majibu.
Viongozi wetu acheni uongo nyie ndiyo kikwazo kwa maendeleo ya taifa imagine mmeagiza sukari zaidi ya naksi harafu bado mnajigamba kwamba muda si mwingi tutajitosheleza kwa uzalishaji kivipi? Kuhusu kuongeza thamani kama kweli mngekuwa na nia ya dhati kwanini mnasaini mkataba wa kuuza mahindi Zambia badala ya kuwauzia unga?