Тёмный

Prof. Laura Fair na kuifundisha Afrika ndani ya Marekani | GUMZO NA WALIMU WETU 

Gumzo la Ghassani
Подписаться 20 тыс.
Просмотров 269
50% 1

Uhusiano baina ya Afrika na Marekani una historia iliyopitia mikondo mingi, ukiwemo mkondo uchungu wa utumwa uliofanywa kikatili na Wamarekani dhidi ya Waafrika. Profesa Laura Fair anajaribu kuifafanuwa mikondo hii kwa wanafunzi wa Kimarekani na wakati huo huo akijielekeza kwenye ukombozi wa kifikra. Msikilize hapa kwenye Gumzo na Walimu.

Опубликовано:

 

11 сен 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 3   
@kassimabdullah6372
@kassimabdullah6372 2 месяца назад
Ukiachilia mbali usafi wa lafdhi yake, Kiswahili cha Prof. Laura ni cha hali ya juu sana na naweza kusema kuwa anawashinda wengi wa wanaojinasibu na Uswahili hasahasa vijana wanaoondokea. Si siri hata kidogo kuwa vijana wa siku huzi wana upungufu mkubwa sana wa uwezo wa kujielezea kwa lugha ya Kiswahili. Imekuwa kama ni kilema, vijana wengi siku hizi hawawezi kuzunmza sentensi chache bila ya kuchanganya na Kiingereza. Huyu bibi kwa kiasi fulani amejaribu sana kujiepisha na hali kama hivo.
@theteacherchance6750
@theteacherchance6750 2 месяца назад
Mzungu akiongea Kiswahili hata kama cha "kuunga-unga" anaambiwa yupo "fasaha", mswahili kuongea Lugha ya Kigeni anaambiwa "na Kiingereza chake kibovu", jamani!
@kassimabdullah6372
@kassimabdullah6372 2 месяца назад
Inategemea yule anayetoa maoni. Kwa mfano Mswahili atamsifu Mzungu na Mzungu atamsifu Mswahili. Lakini Mswahili atamdharau Mswahili mwenziwe kuhusiana na Kiingereza; na hivyo hivyo kwa Mzungu na Mzungu mwenziwe.
Далее
Growing fruit art
00:33
Просмотров 2,9 млн
MJUE MSUKUMA NA TABIA ZAKE
7:48
Просмотров 38 тыс.
UWAPE wakiadhimisha Kiswahili ulimwenguni
14:41
Kwanini wengine wafanikiwe na si wewe? Njia hizi hapa.
1:01:54
Mending Hearts: The Prophetic Model | Shaykha Ieasha Prime
1:33:12