Hii haimaanishi kuwa Putin hakutazama mdaharo, alitazama ila sio kwa kuweka alarm. Wakati debate inaonyesha kwa muda wa MAREKANI, ilikuwa ni saa 3 kamili Usiku kwa Tanzania ilikuwa ni saa 10 kamili alfajir sawa na Urusi saa 10 kamili alfajir. Kwa sababu tofauti ya masaa kati ya US na Urusi ni masaa 7. Sisi na Urusi hatujatofautiana. Sasa kwa Putin kuweka alarm aamke saa 10 asubuhi ni vigumu kwa jambo ili badala yake watu wake wangefanya kazi hiyo na ndivyo ilivyokuwa nahisi.