Wallaahi napata raha sana Shekh Muhammad unapo fanya raddi kwa wazushi, kwa sbb wewe hukurupuki tu kama wanavyo kurupuka wao, wewe ni mtafiti na mpekuzi na mfatiliaji makini kwenye mambo ya kielimu kabla huja ongea. Maashaa Allaah.
Natumai Sheikh Mziwanda atakuwa amekufahamu vyema na wale wengine wote waliokuwa wakifata msimamo wake kwa kuburuzwa, watakuwa wameelimika na kuifahamu hoja hii na wataweza kuieneza na kuitetea kwa nuru yake Allah Subhaanahu wa Taala. Allah akuzidishie elimu, maarifa na nguvu za kuupeleka mbele Uislamu.
@Muhammad Nassor bachu kama Utaona ujumbe huu Al Akhy sheikh wangu Naomba utoe darasa kuhusu Ibada ya swala na ilivothibiti swala zetu mtihani sheikh naomba Utuandalie darasa la kujua mambo ya swala na dhikir zake mpka swala inaisha Darasa ya swala sheikh allah akuhifadhi sheikh atuhifadhi na sisi piah 🙏🤲🤲
Jazaaka llaahu kheir sheikh,Kwa HAKIKA tumekuelewa sana Kwa darsa LAKO,NAAMINI HATA watu wa BID'AA wameelewa ila Kwa SABABU WANAFANYA Dini kama sehemu Yao ya KUTEKELEZA MASILAHI YAO ya KIMAISHA watazidi kupinga tu
M Mungu akuhifadhi Sheikh Muhammad Bachu,kwa hakika unaelimisha vizuri sana sana,tena kwa lugha fasaha yenye kueleweka.M Mungu azidi kukupandisha darja wa darja
na wewe una uliza nini ambacho hujaelewa?😂😂😂 huu wa leo ni mwiba mkali sana umewachoma MAKHURAFI NA WATU WA MAULIDI😂😂😂 "eti unasema nini" 😅😅@@shadhilmakame
Kwa uelewa wako na kiwango cha elimu yako utaona unamuelewa ila sisi wengine tunamshukuru allah tunaweza kumjua anaepiga kelele na anaeongea kwa kiwango
@@imamushafiiforgoodislamict5420 vizul pia usiache kumuomba mungu akonyeshe njia sasa hii ya kumuabudu yeye.. Useje ukafika mbele ya m/mungu hiyo elmu yako na ibada zako zikawa vumbe tu...
Wewe unamuona Bachu ni mdogo kwa umri ,lakini elimu haiangalii udogo wa umri wala ukubwa , inategemea zaidi uwezo wako wa kuzingatia mambo katika kufundishwa na upeo wa ufahamu Mungu aliokunalia.
Bachu yupo anaburuza mbumbumbu wenzake. SUALI LA BACHU. 1) KAMA MAULID NI IBADA KWANINI HAJAYAAMRISHA ALLAH SW AU ALIKUWA HAJUI? 2) KAMA MTUME SAW AMETAKA ASHEHEREKEWE (AFURAHIWE) KWANINI HAKUAMRISHA MASWAHABA WAKE AU MTUME SAW HAKUJUA HIO IBADA?. JAWABU. KWASABABU KHERI YAFAA KUFANYA. SUALI LANGU, NO 1) KAMA ADHANA YA KWANZA YA SWALA YA IJUMAA NI IBADA KWANINI ALLAH SW HAKUAMRISHA AU ALIKUWA HAJUI KUWA WATU WATAONGEZEKA? 2) KAMA ADHANA YA KWANZA NI IBADA KWANI MTUME SAW ALISAHAU HATA HAKUWAITA MASWAHABA AKAWAKUSANYA DARSA AKAWAFUNZA KUWA IJUMAA NI ADHANA MBILI?. KAMA KESI NI MTUME HAKUFANYA NA ALLAH SW HAKUAMRISHA, JEE KWANINI MNACHAGUA KUYATUKANA YALE YA KUMPENDA MTUME SAW NA MAWALII?. HIVI BILA KUMPENDA MTUME SAW NA WAJA WEMA, HIO DINI INAFAIDA GANI KWAKO WEWE BACHU?
@@hilalalhabsi2047shida kibur na kujua sna unazungumzia azana wakat mtume (saw) alikuwepo yy ndio alikua anahaki ya kusema hili linafaa hili halifai ss yy mtume (saw) aka funga kwa kusema dini ss imekamilika kisiongezeke kitu wala kisipunguzwe kitu ss kinamziwanda wao ninani waliotuengezea ibada yy sio swahaba wala sio mtume vyenginevo kitabu na sunna ndio alivotuambia mtume (saw) tukisema tufate mawazo atamm naweza nikasema kwaumma ulivo na maasi tuengezen swala badala ya 5 ziwe 6 je ilo nikosa kwa jili ya Allah?
So shabiki DINI sio mpira sawa brooo "Huyo ni mwalimu wetu" sema "ww ni mwalimu wetu mzuri" Au "mm ni mwanafunzi wako namba moja" Au vyovyote vile ila usitumie shabiki asante safi sana mtu wa mwenendo kama wakwangu,, thanks🎉🎉🎉
Naomba MASHABIKI mniulizi kwa mwalimu wenu. Adhana ya kwanza ya swala ya ijumaa sio amri ya ALLAH SW wala hakusema Mtume saw. JEE SIO KHERI KWETU WALA IBADA KWASABABU MTUME SAW ALIIWACHA HAKUTUFUNZA AU MWENYEZI MUNGU SW NA MTUME WAKE HAWAKUKUMBUKA HILI MAANA ZAMA ZA MTUME SAW HAIKUWEPO?. NAOMBA JAWABU SIO MANONGWA
@@hilalalhabsi2047 MTUME ﷺ ANASEMA LAZIMIANENI NA SUNNA YANGU NA SUNNA ZA MAKHALIFA WAONGOFU : (01)ABUU BAKRI (02) UMAR (03)UTHMAAN/AMBAE ALIAMRISHA IADHINIWE ADHANA YA KWANZA SIKU YA IJUMAA (04) ALLY رضي الله عنهم
Shehe wangu Allah Akulinde na husuda Natamani mwanangu Asome kwako ndio itakua kitu cha samanj na bahat aje kuelimisha watu shehe uko mjin hakika vivijin uku tuliko sis tuko mtupu watu wanakumbatia bidaa nakufanya kua ibada wakidai watapata malipo Shehe la mwisho mim mkulima mwanangu nataka asome elimu yenye manufaa nitalipia galama itayo kuwepo anamiaka 5 mim ndoto ya mwanangu ajekuwafundisha haki
Mashaallah, Umepewa kipawa kikubwa sana cha kufanya Ufafanuzi na kum Raddi mtu mpaka anakuelewa japo Kumtoa mtu ambaye amepata mafanikio yake na Kufahamika kwake kumetoakana na Maulid ni ngumu sana ila kwa Taufiq ya Allah tu
MAAA SHAAA ALLLAAAH SHUKRAN SANA BAARAKA LLAAHU FIYKA ILA ULIUDHI SIKU ULOKUJA TANGA UKASEMA KILLA ANAEMCHUKIA SHEIKH FLANI WA TANGA AFE NGUVU ZA KIUMI ULINIUDHI SANA ILA HUMJUI NDIO MAANA UKASEMA HIVYO.
nimejifunza kitu kua shaikh bachu حفظك الله ورعاك HII RADDI umeiandaa ukiwa umemuomba ALLAH akupe ufasaha na kueleweka kwa watu ndo mana umeweka bayana amabyo mtu yeyote wa MAULIDI na BIDAA akiskia basi ataacha bidaa na maulid ila naamini pia wapo WAZUSHI watasema 🗣️🗣️🗣️🗣️ BACHU HUNA ELIMU NENDA KASOME 😂😂 ( pumbaaaav sana atakae sema hivyo), ✍️✍️✍️ila nimalize kusema kua hii RADDI ya leo imempiga vibaya sana MAWLANA WETU MZIWANDA, sjui kama atapona(Allah amuongoze) NB 🔴 shaikh bachu, ALLAH AKUHIFADHI kwani wewe ni katika wale wanaofanya operation safisha jiji liwe safi 🏝️🏝️🏝️ بارك الله فيك وعلى والديك، وعلم "إنتَنصُرُو الله يَنصُركم ويُثَبِّت أقْدَامَكُم"🏝️🏝️🏝️🏝️🏝️🏝️
Kingine wanapiga kelele eti ni mtoto mdogo hawajui kwamba elmu haina utoto waweza kuwa mkubwa halafu hamna kitu kwan Ibn Abbas Allah amwie radhi alkua na elimu kubwa yeye ndo alikua mkubwa sana mbele ya maswahaba! Watu hawataki kukubali ukweli
@@darajanida Nani kutukanwa. Au kumuambia mjinga kua unachokifanya ni cha kijinga sasa acha kufanya mambo ya kijahili ili uonekane mtu safi kisha mjinga huyo akaendelea kufanya ujinga wake sasa mimi nikimuita mjinga nakua nimemuita kwa sifa yake au nimemtukana. Acha Ujaahili alafu ukiitwa jaahili ndo ulalamike. Huna hoja isipokuwa ni kutetea ujinga sasa kwa usalama wako ukiendelea kutetea ujinga na wewe utakua katika wao. Maneno ya mtume ni kwamba ukijifananisha na watu na wewe ni ni katika wao
Bibi Aisha mke wa Mtume aliishi muda mrefu baada ya mtume kufariki lakini hakuwahi kusherehekea kuzaliwa kwa Mtume je alikuwa hampendi Mtume je alikuwa hajui kuwa kuna ibada ya kusherehekea kuzaliwa kwa Mtume ? Hapana bali Bibi Aisha alitambua kuwa hakuna ibada ktk uislamu inayoitwa maulidi ya Mtume.
Mm sina ninacho kupinga ila uwislamu tunapowelekeza tunaufaya km timu za mpira ni hatari sana na ndo mana kila kukicha tunapigwa vita na wala hatusemi lolte tunatukanana wenye kwa weye tusipo amka tukawa sisi tunajitoa kwa ajil ya din kwenda sehemu tofaut kuisambaza dini basi tujue tutabeba zima kubwa km huwuwelewan walimu wetu tafuteni njia ya kuitana muwekane sw mana siai tunawapenda kwa ajil ya allah na sijengine
Mwenye kulitafuta kajaa ten,😂😂😂. Bachu utapata shida Sana. , na utapoteza muda wako bure Kwa kushuulika na jambo ambalo huna elimu nalo, , yn ungekaa kimiaa ingekuwa ni Bora kwako kuliko kurukaruka bila ya kujuwa hata madda unayo izungumxiya, ,
Wallah huyu sheikh wanamchukia tu kwa maslahi yao binafsi ila anayoongea ni facts tupu na ana dalili za kutosha.Allah akulipe ujira mwema sheikh Muhammad Nassor Bachu.
Kama Kuna aya inayokataza kutaja na kumsifu mungu na mtume Muhammad s.a.w ndiyo bidaa inaingia vinginevyo ukisema hasara ya ghalama za sadaka utaeleweka
Langu ni nasiha kwenu: Sura Ar Rum: 28-37 Lakini nitagusia tu aya 32 من الذين فرقوا دينهم وكانوا شيعا كل حزب بما لديهم فرحون. Jama rudini kwa Qur'an badala ya vitabu vyenu أفلم يدبروا القول أم جأهم ما لم يأت أبأهم الاولين
Bada hajajuw vigawanywo vya ibada bachu anay kuxukuma tunazid kufahamuudhaifu wako ustadh kusoma xi kilimo cha miyez3 alaf xoma kama kulivo andikwa hauna amana ya elimu xom vizuri
Mziwanda nampenda kitu kimoja huwa akipata dalili sawa sawa harudishii kwa kibri sijamuona na hilo na sidhan kama inafikia matamanio namuomba Allah amuongoze nasi atuongoze maana ni mujtahid japo yupo na watu wengine sio.
NYNY WAYQUDI MNAO TUMIWA NA WAYAHUDI KWANI ALBANI YEYE NI MTUME AU YEYE NI SWAHABA MPAKA AKISEMA YEYE SISI TUKUBALI ,SISI TUTQSOMA SANAAAAAA MAULIDI MPKA KIYAMA WAYAHUDI NYNY
Maulid si ibada ila ni mashairi tu lkn ni mashairi ambayo yanamtaja Mtume (s.a.w) kwa mujibu wa hadithi ya Mtume anapotajwa aswalie hapa ibada ni kumswalia mtume sh. Bachu
Bachu huna Kazi ya kufanya. Toa andiko ktk Quran au hadithi inayoonesha kwamba mtu akisoma maulid anaenda Motoni. Kusoma Maulid ni kitu kisichoepukika Kwa Waumini wa kweli. Tumswalieni Mtume Muhammad! "Allah hummaswali wasalim wabaarika alyh."
Nawe toa katka hadithi au aya kuwa bangi ukivuta unaenda motoni. Wacheni ushabiki dini haiendi kama unavyotaka wewe na vitu vipo wazi Aya yasema "Nani alodhalimu kamaamsingiziaye Allah uongo ..." Na kusemamaulid ni ibada ni kumsingizia Allah aliposema kuwa dini haijakamilika na Alllah asema "Leo nimeikamilisha dini yenu...." maulid ni bidaa uzushi wa kishia na maulid ni bidaa na kila bidaa ni upotevu na kila upotevu ni katka moto
Sheih Mzwanda Allah amuongize na atuongoze na sisi na sioni kuna haja ya kumlaumu maana makosa ni waalimu alosoma kwao kuna ike misingi ya elimu ila anapenda kheri baki mazingira na elimu ya mwanzo alikopatia. Allah atunusuru na atuongoze maana ni hatari sana maneno haya na dini sio akili ya mtu kabisa akili inafuata sana matamanio (Unahokipenda ndicho akili itakupeleka) na akili zatofautiana na akili ya binaadam ni kitu dhaif sana
Hapo Bacho Sikuelewi kabisaa, mifano unayotoa haina mashiko, jibu swali kwanza , KUITA WATU WAMSWALIE MTUME WAKALA NA CHAKULA NDIO MUNGU AWAPELEKE MOTONI? Jibu swali kwanza acha kutoa mifano isiyokuwa na mashiko.
Hata kwenye arobaini watu huitwa kula chakula, ila Mtume hajafundisha siku ya arobaini maiti apikiwe wali. Ndio kama inapofika siku aliyozaliwa Mtume kupika keki na mishumaa
Shkh mimi nakuuliza mtume alihutubu hutba ya ijumaa kwa lugha ngapi je ipilugha inofaa kuhutubu je kiswahili kimepokewa na nani katika hadith zamtume sahaba au