Hatakama mm si katika wale twaalib l liilmu akina barakhiyani docter Islam abuu muawiya wallah sasa nimejuwa wapi kuna haqqi Muhammad l imam sikujuwa haya hapo kabla kumuhusu yeye kumbe nimtu mujitahidin kisawasawa walllah hii nineema Huyu kijana Allah amfunguwe azidi kutuonesha njiya natuifate biidhini llah
جزاكم الله خير يا معشر الفريقين... ALLAAH ATUONGOZE WOTE ..ILA NAWAHUSIA WALIMU NA MASHEKH WETU... bainisheni hoja baina yenu ila msitumie maneno mabaya na kutukanana na muwe munaombeana dua kwani wote nyinyi ni watu wa qibla moja..إنما المؤمنون اخوة. عسى الله أن يحعل بيننا مودة والهداية إلى سواء الصراط.
Subhanallah Haya yote hatukubainishiwa Sisi Ila Kwa Shekh wetu Abuu muaawiya Allah amrehem tulibainishiwa uongo. Kweli tuacheni Taassub hebu acheni kudhilumu wale walio Kua wakifanya jitihada katika Sunnah. Allah akuhifadhi Shekh Muhammad bachu
Allah amuafikishe kila alifanyalo liwe kwa Ikhrasi na iwe sababu ya kunusurika kwetu na kwake na Moto Wa Allah, mana tunapata faida ikiwemo na misamiati ya kiarabu mipya na majibu makhsusi sio jumla
Shekhe islimu ibni tamiya kashasema halaumiwi mtu kuchagua upande moja kukiwa kote kuna wanachuoni nakuna ijitihada bachu allah akuhifadhi tumeijuwa shali ili nisiingie kwenye shali endelea kutufundisha ili tusifate manhaji kwa mtindo wa kihizibi allah atuongoze katika haki???
Hapa sio anajibiwa soloka, bali sisi na soloka wote tunasomeshwa. Alhamdulillah. Soloka imekuwa sababu ya kufahamu mengi katika dini, nakufahamu namna jamii ya kiislamu na waislamu tunavyo amiliana baina yetu.
Hapo nnachoona hakuna ambae atakuwa tayari kukubali hoja ya mwenzake kwasasa maana anahisi kama atakuwa mjinga lakini kwasasa naendelea kuchukua faida kutoka kwa masheikh wote ambao kwangu naitakidi ni wa2 wa sunna Qassim Mafuta,Bachu Muhammad Abuu Muawiyah,Abuu Khaula,Mujahiid, Hussein Sembe nk.......
Hata me niko hapo waache watoane lkn me nafaham hao wote sis ni masheikh zetu hatubagui mtu wote hawa ni wattz wa sunna sheitwan tu hapa kakaa kati na kuchochea huku na huku
Ahsante sana Shekh Muhammad, tunakuombea kwa Allaah umri mrefu ulio zungukwa na afya njema, na kheri kedekede za dunia. Pia tunakuombea ziada ya maarifa ktk Dini ya Allaah Tabaaraka Wata'aalaa. Khalafu nataka ndugu zetu masalafi waliokosa kufahamu maqaaswid ya Dini hii waelewe haya yafuatayo; 1-Ukweli usio fichika masalafi mmeharibu sana kwenye da'wa, na uharibifu mulio ufanya uko wazi nanyinyi mnajua hilo. 2-Hamuna uwezo wa kuutetea uharibifu wenu na uchafuzi wenu wa da'wa. 3-Mumekua wakhaini, na wang'ang'anizi wa batwili, hamtaki kuiwacha batwili yenu. 4-Mume wezwa mara hii, mnatafuta angalau kichaka na kichochoro cha kujifichia, lkn wapi, kila mnapo jitia mnatolewa, mpaka mumefikia kua kama viziwi, haqqi munaiona lkn hamtaki kuifata. 5-Masalafy mmefikwa na nini mara hii, mbona hoja zenu zimegeuzwa kama majani laini yalio sagwa, Shekh Muhammad Bachu anawatesa na kuwafedhehi pamoja na majigambo yenu na dharau zenu kwake na kwa Mashaayikhi mfano wake, lkn tunaona hoja zake hamuja weza kuzijibu, bali yeye ndie alie tafawwaq na hoja zake dhidi yenu. 6-Mfano wa Shekh Muhammad Bachu na masalafy ktk kadhia hii, ni mfano wa Shekh Qassim Mafuta na Abuu Iddy na Samir wa Tanga. Walivyokua wabovu kwenye hoja masufi hawa kwa Shekh Qassim, ndivyo mulivyo nyie masalafy kwa Shekh Muhammad Bachu, maana mukiongea asiejua anaweza kudhani mmetoa hoja, lkn msomi Shekh Muhammad Bachu akija hewani hoja zenu zote zina yeyuka, hata kwa wasiokua na elimu hata kidogo, lkn wana akili na ufahamu sahihi wa mambo, wanaelewa kua hapa, hapana masalafy wamekoroga mambo. 7-Niliwaambia masalafy dhulma hii mulio ifanya kwa Shekh Abuu Mu'aawiyah Allaah amrahamu jitakaseni nayo mapema, isije ikaguka na kukutafuneni, lkn mnajiona kama malaika hamkosei, kwenda na kurudi mambo hadharani leo, kila mtu anaona uovu wenu wa kuwahukumu wana Sunnah kwa dhulma na uaduwi, na hoja za mwalimu wenu mmeshindwa kuzijibu, na hoja zenu anazitafuna kama karanga,😂😂😂😂😂😂😂. 8-Shekh Muhammad kwakweli simama hapahapa, na Wallaahi usalafy huu wa kuwatoa wana Sunnah kwenye Manhaj kwa dhulma na uaduwi, na kuwaacha waliostahiki kutolewa utaeleweka na kubainika vizuuuri sana kwa nondo kama hizi. 9-Shekh Muhammad unastahiki pongezi kwa kazi nzuri unayo ifanya ya kubainisha haqqi. 10-Kwa mujibu wa elimu inavyo eleza, niwazi kua mashaayikh wa kisalafy wasasa wamekosea sana kwenye kadhia ya kuwabidiisha Maulamaa na kuwatahadharisha. Kwa sbb kila Aalim ana mchango mkubwa ktk Uislamu wetu, lkn baadhi ya Mashaayikh wamefanya kauli zao nikama Wahyi haifai kwenda kinyume nazo, kwaio kupitia mwanya huu wakawabidiisha wasiostahiki, kama vile Shekh Ally Alhalaby Allaah amrahamu, na Shekh Yahya Alhajuury Allaah amhifadhi, na Shekh Muhammad Al-Imaam, Allaah amhifadhi, na mfano wa Maulamaa kama hawa. 11-Kupitia mwanya huu, ndio hawa wanafunzi nawao wakawafanyia dhulma Maulamaa, na wanafunzi wenzao ambao wamesha piga hatua ktk Elimu. Sasa kwa msingi huu kumbe sio jambo jepesi kumuhukumu mtu na kumtoa ktk Manhaji kama ambavyo wamekhalifu msingi huu masalafy, kwa sbb wapo walio fanya mambo makubwa kuliko haya ambayo yamefanywa na Mashaayikh zetu kina Muhammad Al-Imaam, Ally Alhalaby, Yahya Alhajuury, lkn Maulamaa wetu wakubwa hawakuthubutu kuwatoa kwenye manhaj kina Suyuutwy pamoja na mikhaalafa yao yawazi ambayo iko kinyume na ijtihaad, pia iko kinyume mnoo na manhajussalafy, lkn masalafy nyinyi pamoja na Mashaayikh zenu mmepatwa na zalla gani mpaka msingi huu muka ukanyaga chini kwa viatu vyenu kwa baadhi ya Mashaayikh walio kosea makosa yalio chini ya makosa ya Suyuutwy??? Ukichunguza kwa makini utakuta kuna khalal kwa baadhi ya Maulamaa wa zama hizi, ndiomana na baafhi ya wanafunzi wao wakapita mapito haya yaliojaa dhulma na uaduwi na kukosa inswaaf na uadilifu. 12-Shekh Qassim ulikubalika na watu wa Sunnah kwa sbb ulisimama na hoja nzito dhidi ya wazushi hapo mwanzo, lkn kwa sasa hoja zimegeuka na kua dhidi yako na walio mfano wako kwenye hii dhulma munayo ifanya kwa Mashaayikh wa Sunnah, na huwezi simama hata siku moja, kwa sbb huwezi kuja na hoja na ikakuunga mkono kwenye dhulma munazo wafanyia Mashaayikh, bali hoja zilizo madhubuti zinazo fungua mioyo ya watu kwa Tawfeeq ya Allaah Azza Wajalla ni hoja za hawa Mashaayikh munao waita mahizby kwa dhulma na uaduwi. Na ndiomana kila kombora linalo elekezwa kwenu lazima muitane na musaidiane namna ya kulipanji, lkn wapi chuma kina wazoa. 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂. Vijana tusomeni sana, na tuacheni ta'asswub kwa Mashaayikh zetu, na tuikubali haqqi hata ikitoka kwa nani. Lieo ni siku ya Jumanne-13-08-2024. Ewe Allaah inyanyuwe hadhi ya Shekh Muhammad Nassoro Bachu, kwani anadhulumiwa sana, wakati hakustahiki kufanyiwa dhulma hii, na wazushi, na ndugu zetu masalafy.
Allahuma amen ya rabal all amiyn qassimu mafuta waliomdhulumu Sana shekh abuu muawiya rahimahullah rahmatan wasiaa kwa kumbidiisha kwa asbabu aliwakosoa wao kwenye mapungufuu yaoo
Al Muhadith😂Vipi kuhusu Yale maswali mengine ulio ulizwa kuhusu Sheikh Rabee Ibn hadii Al madkali حفظه الله mbona huya jibu hiyo usalafi jadida waanzilishi Ni kina nny?Na n maulama wpy wanayajua hayo kuhusu hiyo ujadida .Huwezi ficha hakk n vichekesho vyako
Anajifanya MJANJA sana yule jamaa, eti Anajidai hata kujibu😂😂😂 kumbe hawezi...walikuwa wamejificha kwenye kichaka cha kuwa SUYUTWIY hajafikishiwa ujumbe, sasa mwanamme kaja na ushahidi wanajidai hawajibu😂😂😂😂
Moja ya khizyi waliopewa majadida,kwenye maktaba zao Kuna masheikh wanatumia vitabu vyao kuwalingania watu ujadida Hadi Leo lakini mara TU masheikh hao wakawa mahizbi kwao☺️ mfano kw maktaba ya jadida utakuta vitabu vya bakr Abu zeid,Ali alhalabi,saleem alhilaly,fauzi Al athary lakini wakati huohuo hao ni mahizbi kwao,mgongano TU wanabaki kusema hiki ni kitabu cha mash'hoor alsalman kabla ya uhizbi😊au kitabu cha alhajuri na mohd alimam au mohd bin hadi kabla ya uhizbi,msingi mbovu,
Qasim mafuta kiongozi wa hizbu salafi wala hajielewi. Naww. Kipenzii chetu Muhammad ibn bachu. Allah mtukufu akuhifadh. Wallah hawa majadidah hawawez kukujibu. Kiufasaha kuhusu Al imamu suyutwiy . ALLAH subhanah wataalah amrehem
Dah soloka anajiharishia kijana sio kwa kichapo hiki huku shekh bachu, huku abuu zagar huku abuu Nuaym anachezea bakora tuuuu pamoja na mahizbu wenzake
@@saidmuhama9846 kaka mim hio lugha so wa kwanza kuitumia aliitumia shekh wao qassimu mafuta wakati akimradd dokta Islam akasema hiviy dokta Islam na barahiyan wamejiharishia na mim nimefatiliza hivyo hivyo
@@saidmuhama9846 na hayo maneno mim so wa kwanza Kuya Sema alisema Shekh wao qassimu mafuta alipo mradd dokta Islam pale alipokuja Katika mskiti wa alsheikh barabara ya Sita akasema kuwa dokta Islam na Barahiyan wamejiharishia hivyo mim nimenakili kwa shekh wao mafuta
Assalamualaikum warahmatullah swabahall kheiry sheh unajitahidi sana Allah akuwafikishe lakini kwanini mnajionesha ili kuonekana kuwa mmesoma pwent yangu lazima mjizungumshie vitabu pande zote kuonekana mmesoma sana hii ni riyya tujiepushe
Mimi naona hawa majadida walikua hawamfaham suyutwi na wangemfaham wangekua wamfaham wangemtoa zaman ila sasa hv inabd wamtetee tu hata kama ana makosa hawakubali makosa yao
Anajitekenya na kujichekesha mwenyewe naona au vipi hatujaona dalili alizopewa na sakhawi tukajuwa kweli ni dalili za kumfanya ajue haqq inawezekana akawa na hadith zaifu ambazo kwakwe ameona sahihi ndio akajengea itikati hizo au sakhawi inawezekana akamnukulia hadith ambayo kwa ijtihada yake imamu suyutwi akaona ni hadith zaifu na sahihi lakini kwake akaona haina wajhu waistidilali na haya na mengine mengi ibnu taymiyya ameyataja kwenye kitabu chake رفع الملام عن الأئمة الأعلام kama njia za kuwapa udhuru wanachuoni koo labda ungetupa hoja zaid za saghawi ambazo amempa imam suyutwi kwa ufafanuzi afu tukaona amejizubu vipi kwa inaadi au kwa njia za kielimu ndio tutasibiti imesimama hoja kwake siyo kwa jumla jumla tu ingelikuwa vizur siyo kujichekesha upuuzi wala hakijuulikani cha kuchekea
Pale ambapo ustadh Bachu حفظه الله unatuficha sisi wanafunzi ni kwamba huyo mwanachuoni aliyemkosoa Imaam Suyuth رحمه الله je alimtoa kwenye usalafi au bado alikuwa salafi ? Na Je sheikh Muhammad Imaam alipokosolewa alitolewa kwenye usalafi au bado alikuwa salafi?
Sheikh Qaasim Mtafuta kutokumjibu Mtoto wa Bachu Huwa inamuuma sana ndiyo sababu Kila bango lazma amtaje hata kama kilichopo hakimuhusu kwa wakati huo. Ila Muhammad Bachoo tambua si KILA MTU ANAJIBIWA na Kila sheikh. Wasaidizi WEWE wapo wa kukuweka sawa tu usiumie lakini.
Enyi majadida wenzangu tuchikueni elimu tu kwa walimu wetu ila usulubu wao tusichukuwe Tupende haqqi ....HAQQI INAPENDEZA ZAIDI KWETU KLIKO WATU ....(walimu wetu) TUSIWE KAMA MASUFI wanachokisema walimu wao ndo wanafata hata wakibainishiwa HAQQI
NUKTA YA KWANZA Audio ya sheikh Qasimu mafuta (Allah amhifadhi) Ukisiliza hiyo audio ya sheikh kwa makini,ni kuwa kuna watu walikuwa sio maulamaa mujtahid wakawa mbele kwenye kutoa fatwa ,wakakosea badala ya kuwaachia waulamaa kosa lao liho likawatoa kwenye njia ya sawa Lakini kwa alimu mujtahid,akikosea hupewa udhuru japo haitafaa kumfuata kwenye kosa hilo.
Oya mwamba kuwa makini na comment zako, ametiwa kwenye bidaa Au Amefanya bidaa mwenyewe? Yeye mwenyewe amesema maulidi yanafaa. Yeye mwenyewe ndio alosema kamuona mtume akiwa yupo macho mara 70. Yeye mwenyewe Ameomba maiti.............sasa hapo amitiwa au amejitia mwenyewe.
Jamani mimi naomba nimuulize uyo bachu na naomba nijibiwe kielimu. ikiwa kumuona aliekufa pasina kuota haiwezekani na tunakubali mitume wote wamekufa isipokua nabii issa Swali:(1) zipo dalili zinazoonesha mtume alivoenda kule israai aliwaswalisha mitume wote sasa aliwaona vipi wakati wameshakufa? (2) Ikiwa suyuutwi alimuona mtume unasema ni mrongo na haiwezekani sasa mtume aliwaona mitume naye unamuita ni mrongo? Naomba kujibiwa bila kutukanwa.
Mtume huwezi kumfananisha na mtu wa kawaida, jambo ambalo haliwezekani kwa mtu wa kawaida linapowezekana kwa mtume linakuwa ni sehemu ya miujiza yake, kwaiyo huwez kujenga hoja kuwa madam mtume kaona au kafanya jambo fulani na yyte anaweza kuona au kufanya
Nikweli kabisa mtume si kama sisi Kwahiyo kumbe Allah aliwafufua mitume wote mtume s.a.w akawaona sasa inakuaje mnasema ni muhali kwa Allah wakati amelifanya hilo Swala lililo kinyume na ada kama hilo linawezekana kwa Allah. Allah akilifanya kwa mitume huitwa muujiza akilifanya kwa watu wema huitwa Karama kama ilivokuwa kwa shekh letu imam suyuutwi r.a
@@bashirusalumbigapsana673 Kitu ambacho hujakielewa ni kuwa miujiza iliyotokezea kwa mitume hiyo ni maalumu kwao wao tu haiwez kutokea kwa mtu yyte, kinyume chake itakuwa tunafungua mlango wa kuwa sawa na wakristo wanavyowaamini wachungaji wao. Ebu nijibu suala langu kulingana na maelezo yako: je akitokea shekhe mkubwa akadai kuwa leo mchana alienda mbinguni akazungumza na Allah baadhi ya mambo pia akapata nafas ya kusalimiana na malaika wa Allah wote na akatembelea baadhi ya maeneo huko mbinguni kisha akapewa Tsh. billion 2 za matumizi na yote hayo yalifanyikana ndani ya dakika 1 tu akarudi je tusimuamin na kwanin?
Shaykh jitahidi kujibu messages WhatsApp, twajua una mengi ya kufanya ila tafadhali jitahidi kwani tunayo mazuri ya kukufikishia na biidhnillah yataleta manufaa zaidi
@@Muhammad_Nassor_Bachu_.Shekh Mohamed bachu Allah akuhifadh na akupe umri marefu wenye manufaa nawe tunaomba ubainishe haki wewe ndio uliebak baada ya kufariki shekh abuu muawiya kuelezea uvundo wa Hawa hizbu Salafy mahadadiya maswaafiqa waliofanya usalafi kama pote au kikundi
@@Muhammad_Nassor_Bachu_.Shekh Mohamed bachu Allah akuhifadh na akupe umri marefu wenye manufaa nawe tunaomba ubainishe haki wewe ndio uliebak baada ya kufariki shekh abuu muawiya kuelezea uvundo wa Hawa hizbu Salafy mahadadiya maswaafiqa waliofanya usalafi kama pote au kikundi
@@Abuuabdillah259uongo sisi tunaskiza wote kwa kuwa tunaitakid ni masheikh wa Sunnah,ila ninyi munaitakid ni masheikh wa kihzb ndo hamumskiz,so usituzushie, Pia Ukifuatilia ujibuji wa soloka na ufafanuzi wa bachu ktk majibu hayo unajua kuna mtu anatuviligia ili kutetea pote lake
@@Abuuabdillah259bachu hana wafuasi ilo la kwanza sisi tuna sikiza hoja za kisheria na la pili nani amekuambia hatusikizi kote. Tunasikiza kote japo soloka na wenzie ukisikiza unachoka wanaboa hawana mpangilio, na huhukumu mambo kwa ujumla na hawajibu maswali kwa mpangilio yakaisha inakua kama kelele tu, na wanashambulia sana mtu kwa matusi badala ya kushambulia hoja. Na mwisho ni watu wanaopituka mipaka kwenye mambo yao