Ni maneno ya Rais wa Jamuhuri ya muungano wa Tanzania Dk. John Pombe Magufuli akiwa Rwanda alikokwenda kufanya ziara ya siku mbili kuanzia April 6 2016
Mpendwa MH.JOHN POMBE MAGUFULI wanaokualika Ulaya Waambie waje Tanzania kukutembelea ili walete hizo dollars zao kwa ajili ya manufaa ya watanzania masikini.wakatembelee mbuga za wanyama na kupanda mlima KILMANAJARO fahari ya TANZANIA na AFRICA pia .