Shikamoo mama tunakupenda Sana hatuna Nia mbaya na wewe tunakuomba Umtangulize Mungu ndiye atakupa uwezo wa kutuongoza najua huwez kumridhisha Kila mtu uishi maisha marefu Mama Samia
Ukiona hayo elewa ni nguvu ya pessa inashangilia Lakin ukweli ni unabaki. Kuwa ukweli ya kuwa tumeuzwa na hao hao wanaoshangilia wakipewa fedha waandamane wanaweza . so shida ni kwamba tunatofautiana kipato.pole Sana Tanganyika
TANAZANIA HATUKUWAHI KUWA NA RAIS MNYENYEKEVU NA MCHA MUNGU WA UKWELI KAMA MAMA SAMIAH! ASANTE SANA MUNGU BABA KWA KULIPENDA TAIFA LAKO HADI UKAMLETA MTEULE WAKO AMINA!
@@hashimuuhehwa1320 Hata utembelee kichwa, sisi huyu ndo rais wetu mpendwa na atakuongoza hata wewe miaka mitano tena. Ukimchukia ndo Mungu anazidi kumbariki zaidi!
Kiongozi ukipendwa huwezi kuweka ulinzi mkubwa hivi,,,,sasa wanaogopa nini viongozi wa kiafrika?kutembea nchini mwao kwa ulinzi mkubwa na mabunduki ya vita
@@ramadhanimtetu3656 viongozi huku ulaya wanararuana kwa maneno ata kwenye mabunge yao...ila hawana ulinzi wa hivyo...ni viongozi wa vi nchi maskini kununua bunduki hizo kuwaua waafrika wenzao..leo tunaona huko sudan..kwani bunduki si viwanda viko ulaya...?
@@ambokileasheengai1140 Ulinzi Kwa Viongozi wetu ni Suala nyeti linaloratibiwa na Vyombo vyetu vya Ulinzi na Usalama sababu Kila mtu ana Maadui na wanaompenda kanuni ya kiusalama inasema m-baya kajificha m-baya haonekani kwa urahisi Ndio Maana nchi kama Marekani imepoteza Marais wao kadhaa kwa kuuawa na watu waovu akiwemo Rais Kennedy
Wanafiki hamkosi la kusema! Magufuli mlimsifu kila kona ila ulinzi wake mkubwa hamkusema, leo mama analindwa kama watangulizi wake, mmeanza makelele. Tuwaeleweje!? Ulinzi wa rais we unakuhusu nini!?
@@cleophacephelician6739 mimi ata ulinzi wa Magufuli sikusifia ni upuuzi mkubwa viongozi wa Kiafrika kutembea na ulinzi na magobole yaliotengenezwa ulaya na wao wenyewe wako huru,,ina maana sio wasafi kabisa