Тёмный

RAIS SAMIA AMGEUKIA NAPE - "MWANAUME ANAMBUSU MWANAUME, WIZARA HAMCHUJI" 

Wasafi Media
Подписаться 4,6 млн
Просмотров 221 тыс.
50% 1

RAIS SAMIA AMGEUKIA NAPE - "MWANAUME ANAMBUSU MWANAUME, WIZARA HAMCHUJI"
WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm

Опубликовано:

 

2 май 2022

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 271   
@japhethgeriad4519
@japhethgeriad4519 2 года назад
KATIKA HILI, BWANA AKUBARIKI SANA, YOU'VE SPOKEN A VERY IMPORTANT MATTER MADAM PRESIDENT, KATIKA HILI UMEUPIGA MWINGI..✌✊😊
@user-vb6rg4tk7z
@user-vb6rg4tk7z 2 года назад
Asante Mama hao wasanii wanao ambiwa nikio cha jamii ni kiuo cha kutangaza zinaa, Wasanii wote wa kitanzania wanatembea uchu wanatunyanyasa kijinsia wanaume
@nassornurdin1290
@nassornurdin1290 2 года назад
Wasanii wanao ambiwa kuoo cha jamii nikituko kwajamii..msanii m1 ana wanawake 34..anawanaume 30..anavaa uchi anaelimisha nini..mwisho hadi dada zetu wanavaankisanii kukaa uchi ni fashen..kwao tungeni sheria hadi move zao zavitandani zisiwepo.
@JimmyWilliam-mf4of
@JimmyWilliam-mf4of Месяц назад
Kama ulikuwepo
@andreamndeme1539
@andreamndeme1539 2 года назад
MAMA LA MAMA HEBU UNDENI HIZO SHERIAAAAA WASHUGHULIKIWE MAPEMAAAAA ,,
@shinipapaya846
@shinipapaya846 2 года назад
MAGUFULI ALIPOWATUMBUA HAKUWA MJINGA ndio maana WATANZANIA kamwe piga uwa hawatamsahau kwakuwa alikuwa ni chaguo la MUNGU kwa WATANZANIA sasa hiyo ndio faida ya UHURU WA HABARI 🏃🏃🏃‍♀️🏃‍♀️ naona kwa mbali MAGUFULI UMOJA PATI ni shiiidaaaa ya DUNIA shikamooo ndugu Pole Pole
@frankjohn8706
@frankjohn8706 2 года назад
Chaguo la Mungu anakua na kibali kwa Mungu na kwa wanadamu maana kwa USHINDI wa kura halali Mungu hujidhihirisha ndio Mana twasona hekima ya Suleman, lkn siku hizi ndizo Suleman alisema kaona ajabu juu ya ichi kuona watumwa wamepanda farasi na hali wafalme wanatembea kwa miguu
@frankjohn8706
@frankjohn8706 2 года назад
Usisemee mioyo ya watu sama kwaajiliyako usie msahau,pia tumia busara kufikiri hata mtu Alie umwa na nyoka humkumbuka yule nyoka kwaajili ya ule mkasa na balaa, ila aliekula kuku siku ya krismas humkumbuka aliempa kuku ila sio kwa Sana maana ubaya unavuma kuliko wema, ndio maana polisi hapendwi na mwizi ispokua pale anapomuokoa mikononi mwa wanainchi wenyehasira,
@shinipapaya846
@shinipapaya846 2 года назад
Naona umeandika uharo wa bata mwanzo mwisho 🤣🤣🏃🏃
@mussayasini4130
@mussayasini4130 2 года назад
Asante Mama wambie hao wanaojifanya wamagharibi hasa watoto wa mwaka kuanzia tisini kwenda mbele ndo wamekuwa tabu na maabara duniani waziri anatakiwa asimamie yote hayo kama anaogopa kusemwa na ushikaji akae pembeni nafasi apewe mwingine maadili hakuna kama alivyosema hao dada zetu huko mitaandaoni na hao baadhi ya mabraza men tabia mhh
@jackyluns8224
@jackyluns8224 2 года назад
Duuu msituchambe sana jaman nass tunaokaribia 2000 huko
@hamzakimaro3764
@hamzakimaro3764 2 года назад
MAMA MLEZI HONGERA KWA KUYAONA HAYO HALI NI NZITO MITANDAOONI!!
@auntdorah9141
@auntdorah9141 2 года назад
Asante sana mheshimiwa mama👏👏👏 hili la kutembea nusu kuvaa limeenea sana...hasa wasanii ambao wanaitwa kioo cha jamii...ila mama hujaongelea hizi nyimbo za sasa! Ni matukano nje nje!!!! Hili waziri ajiongeze.
@gracebecky6592
@gracebecky6592 2 года назад
Thank God there's someone aware of what the devil is planning against our children asante Rais wetu am a happy woman
@salma-gf8ek
@salma-gf8ek 2 года назад
Kweli kabisa wanawake tunajizalilidha
@issaal-busaidi4479
@issaal-busaidi4479 2 года назад
Hongera Rais wetu, kwa mungu hilo umelisemea na tunasubir lifanyiwe kazi, ili jukumu uliepuke
@obrienwejuli4804
@obrienwejuli4804 2 года назад
President of Tanzania, you are very relevant and very educational to all regional countries and I Must say that you are leading in showing the way to our future leaders keep it up President
@shukurukoll7269
@shukurukoll7269 2 года назад
Ahsante sana Rais wetu kwa hilo. Kadhalika hilo inabidi iwaguse hata wasanii ambao baadhi yao wamevuka mipaka Ni aibu tupu ujumbe wanaoutoa na vitendo vyao kwa ujumla. Naamini kwa hali ilivyo kizazi chetu kinachokuja kitaweza kuharibika sana. Matokeo hayo yatajitokeza miaka ijayo.Hili naomba tulitazame ni ushauri tu.
@miriamcheya3136
@miriamcheya3136 2 года назад
Safi sana mama yangu na picha za mashoga tumezichaka mama piga marufuku mashetani hao
@aminaomary5567
@aminaomary5567 2 года назад
Rais wangu ongera sana tena sema tena sema sana wamezidi jamani. NI OVYO OVYO.
@zahiribrahim8319
@zahiribrahim8319 Месяц назад
Thanks to our Queen 🎉 The new Tanzanians strong President ever for by myself as ordinary citizen deeply i love you my mom ❤ Tanzania 🇹🇿
@murtallamohammed381
@murtallamohammed381 2 года назад
Hongera Rais wangu mpendwa endelea kuchapa kazi watakuelewa tu.....
@malopemaliyamungu5243
@malopemaliyamungu5243 2 года назад
Madam President kunywa Maziwa fresh ya moto kikombe kimoja na vitafunwa (sambusa 1& chapati 1) ntalipa.
@mpendakiswahili3053
@mpendakiswahili3053 2 года назад
Hahaha
@jumamwete1600
@jumamwete1600 2 года назад
Mashaa Allah hutuba nzuri yenye ukweli halisia
@aldeamasuki6196
@aldeamasuki6196 2 года назад
Hongera mama kwa kuziona hizo picha za utupu zimetuchosha sana tunaomba washuhulikiwe
@dennisisrael2187
@dennisisrael2187 2 года назад
Hapa Ni kweli Mama umesema 🙏🏽
@ramadhanramadhan3698
@ramadhanramadhan3698 2 года назад
Well said madam President. Kizazi chetu kipo katika hatari kubwa kutokana na ukuaji wa media holela bila udhibiti.
@lucykristensen7145
@lucykristensen7145 2 года назад
Asante Mama kwa kukea hilo. Kuna mambo ya aibu mitandaoni. Tusisahau jadi na mila zetu. God bless you always. Tunakupenda.
@usalamaedward1189
@usalamaedward1189 2 года назад
Sio cartoons peke au watu kuweka picha za utupu kwenye mitandao ya kijamii hata nyimbo za siku hizi wanatukana sana
@mwanyongamama4407
@mwanyongamama4407 Месяц назад
Ubarikiwe Mheshimiwa Raisi sio katuni tu mama hata watu woamo Mungu Tusaidie sijui tufiche wapi watoto it pains Ahsante
@uwezatunuhalisi426
@uwezatunuhalisi426 2 года назад
Sina cha kusema Samia big up ningalikuwa na uwezo libidi nikupe zawadi ila MUNGU BABA aendelee kukufungua usafishe madudu yote katika Taifa hili
@Bise270
@Bise270 2 года назад
Leo Mhe rais ameongea point sana,inabidi tuamke na tuache kuyafumbia macho masuala kama haya hili tuweze kunusuru vizazi vyetu vijavyo visikute jamii iliyovurugwa kupita hii.maana hali inatisha sana huko mitandaoni.
@raphaelsikumbi5517
@raphaelsikumbi5517 2 года назад
Asante mheshimiwa umenena vema
@bhmwamkinga4203
@bhmwamkinga4203 2 года назад
Asante kwa hilo
@mwitajoseph5003
@mwitajoseph5003 2 года назад
Asante mama umeongea vizuri sana
@marygregory7566
@marygregory7566 2 года назад
Mama mlezi bigup mama
@romanakipanga6113
@romanakipanga6113 2 года назад
Asante Sana Mheshimiwa Rais your real mother apart from Being a president,hasa watoto wakike wamezidi kujiweka uchi mitaoni na mengine mengi ni kweli waliemishwe na wakirudia washughulikiwe.
@pinkertontv5735
@pinkertontv5735 2 года назад
Bei kupanda huoni, ila kubusiana f asta unaona🙌🙌 unapoteza mvuto hizo story waachie vijiweni.
@shabanibumbo5774
@shabanibumbo5774 2 года назад
mama katika siku omeongea vitu vya maana ni leo maana mimi mwenyew nasikia vibaya sana kuona maadil yana momonyoka kazia sana hilo mungu atakuingiza peponi inshallah
@hasheryhermas6653
@hasheryhermas6653 2 года назад
Hakika Rais wetu.
@auntdorah9141
@auntdorah9141 2 года назад
👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏🙏🙏
@tanunewstz
@tanunewstz 2 года назад
Thanks mama God bless you
@user-jl5un4wf3u
@user-jl5un4wf3u 6 месяцев назад
Siyo makatuni ya watototu nipamoja nawale wachungaji wenyekudhalilishawanawake ndani yayalewanayoyaita makanisa .Serikalipia isisajiri auyapigwe marufuku .Shidani.nini? wakati serikali inamkono murefu auhao hawaharibu jamii hatakamani uhuruwakuabudu.lakiniwanavunjasanasheria naudhalilishaji wa utu hasajinsia yakike.
@dariusmutalemwa1491
@dariusmutalemwa1491 2 года назад
Mama Mungu ambaliki sana
@evamwimike7355
@evamwimike7355 2 года назад
Mama umeongea kitu kinachosumbua akili yangu kila siku naomba sheria iwe kali zaidi kwa hao mashoga siku izi hawajifichi tena mama, taratibu nimeanza kukuelewa.
@muddyso1953
@muddyso1953 Год назад
Hakika
@gabriellyadam9415
@gabriellyadam9415 2 года назад
well well well.Mungu akubariki kwa kuliona hili mama
@abdallaabeid4251
@abdallaabeid4251 2 года назад
Very good point!
@safiaothman1098
@safiaothman1098 2 года назад
Shukrani umeongea ukweli. Pia zipo groups za WhatsApp na nyinginezo zilizoanzishwa ambazo zinakiuka maadili zifungiwe zinapotosha jamii.
@derickbenedicto7435
@derickbenedicto7435 2 года назад
Fantastic
@ndongeyejackobo4059
@ndongeyejackobo4059 2 года назад
Excellent
@charlesmasese6342
@charlesmasese6342 2 года назад
Huyu Raise ni mzazi kwelikweli tumuunge mkono watanzania
@faustinejemsi1488
@faustinejemsi1488 2 года назад
Kwa hilo sina jisi
@tyiezboe519
@tyiezboe519 2 года назад
😂😂😂😂😂
@josewillson1813
@josewillson1813 2 года назад
Sisi hatutaki mzazi tunataka rais anaejielewa
@kamanyolabilajasho3833
@kamanyolabilajasho3833 2 года назад
@@josewillson1813 Kama humkubali tengeza wako!
@sarllemmtunze405
@sarllemmtunze405 2 года назад
Mama tunakupenda ila hapo ndipo unapo feli kwa hizo bembeleza bembeleza zako. Mtu kazi kaishindwa fukuza acha yahe yahe hizo zinakuharibia serikali yako. Kwa Dunia ya Sasa kumkabidhi mwanasiasa wizara ya habari ni kuhatarisha mustakabali wa Taifa. Hizo wizara Dunia hii ya utandawazi zipo chini ya majeshi. Na si majeshi tu bali intelligent military personnel. Tuamke 😔
@rukiyatajir8064
@rukiyatajir8064 2 года назад
Mhe. Rais hongera lakini watendaji wako hawajiamini au vp lazima kila mpaka useme, hivi haya mabaraza yaliyoundwa wanaangalia na kuchuja nyimbo za ndani tu na vitu vingine wanaachia viende kiholela, hizo katuni zinahitaji uchunguzi wa hali ya juu ili kuwalinda vizazi vyetu na nchi yetu. KAZI IENDELEE HASA KWA WATENDAJI
@msetikebwasi7270
@msetikebwasi7270 2 года назад
Hii kauli ya hatujui chochote ni hatari sana kwa waziri wa wizara hiyo,ajitathimini sana kwa kauli hiyo.
@gloriamichael7935
@gloriamichael7935 2 года назад
Eeee mama hiyo Sheria ije haraka my raise be blessed
@brotherblack6531
@brotherblack6531 2 года назад
Mama mavazi pia hawa wabadilishe asante sana asalaam alaykum
@rajabujisena5689
@rajabujisena5689 Год назад
Hongela mama umenikumbusha enzi za baba magufuri unwell ndo msinngi wataifa letu
@ghuheni
@ghuheni 11 месяцев назад
Big up Our President May the LORD be with you.
@Bosskubwah4501
@Bosskubwah4501 2 года назад
Hakuna Dini inayosema uhuru WA kuvaa ila YA ni ya SHETANI Kama BAADHI YA WASANII WA BONGO FLEVA NA BONGO MUVI wanatukalia UCHI UCHI this is TANZANIA watu na MAADILI YAO hizo POST ZA UCHI NA NYIMBO ZA MATUSI ni uwakala WA SHETANI(illuminate) Shukran MAMA LA MAMA
@abubakariomari4660
@abubakariomari4660 2 года назад
Nikweli mama, hili nijanga la kitaifa hadi kwa baadhi ya watumishi, jambo hili limepelekea kukosekana haya, kwa Wana wake, na kuathirika kisaikolojia kwa wanaume upande wa kutamani kwani kila siku wanao an watu wakiwa wamevaa lkn uchi, Hawa wasanii sio vioo vya jamii Bali ni vyoo vya jamii. Wachafuzi WAKUBWA.
@badrudiniabdulmpakate2014
@badrudiniabdulmpakate2014 Год назад
Hongera Mama.
@neemakilingo8282
@neemakilingo8282 2 года назад
Hapa nimeanza kukupenda mama kwa Hilo Ubarikiwe
@far_hard1301
@far_hard1301 2 года назад
Uko sawa rais wetu
@soberkaleya5148
@soberkaleya5148 2 года назад
2 Wakorintho 3: 7 Basi, ikiwa huduma ya mauti, iliyoandikwa na kuchorwa katika mawe, ilikuja katika utukufu, hata Waisraeli hawakuweza kuukazia macho uso wa Musa, kwa sababu ya utukufu wa uso wake; nao ni utukufu uliokuwa ukibatilika; 8 je! Huduma ya roho haitazidi kuwa katika utukufu? *MUNGU AJIDHIHIRISHE KWETU LEO TOKA UTUKUFU HADI UTUKUFU! TUMWONE MUNGU KWA MACHO KWENYE MAISHA YETU! UZITO WOTE UTOWEKE, HALELUYA!!!*
@johnrogasiani
@johnrogasiani 2 года назад
Amen
@emmanuelchaplingi9050
@emmanuelchaplingi9050 2 года назад
Amina
@rashidrajab1391
@rashidrajab1391 2 года назад
Kweli baba alienda ila mama atatuvusha misingi sahihi kabisa
@bajagihaji8923
@bajagihaji8923 Год назад
Bravo
@amanifabien1791
@amanifabien1791 2 года назад
Kabisa mama anasema safi
@foibennjeje7730
@foibennjeje7730 2 года назад
Umeongea sawa mpaka mimi nimekuelewa .
@hajjiomary2383
@hajjiomary2383 2 года назад
Mama safi sana waanze na wasanii wanaokaa na kuziba kati kuachia mapaja nnje
@loishiyesamwel1374
@loishiyesamwel1374 2 года назад
Mheshimiwa Rais hili la maadili kila mmoja atakuunga mkono. Viangaliwe mpaka uimbaji wa nyimbo za wasanii
@kanoa645
@kanoa645 2 года назад
Ndo maana akasema yako mengi nadhani Ni pamoja na hayo
@jumapiliissa4835
@jumapiliissa4835 Год назад
Kwahili hongera sana rais
@rebecaisemi8349
@rebecaisemi8349 2 года назад
Piga marufuku vitu kama hivyoo havifaii kabisa kwenye nchi zetu hiyo sio asilia yetu asante sana mama kuyakataa hayo
@nsodyaphilimon9153
@nsodyaphilimon9153 Год назад
Mama anaumia sana juu ya hili ila TCRA hatuoni na kuliweka sawa? Ebu ingieni mtandaoni na mziondoe tubaki salama.
@gamap2023
@gamap2023 4 месяца назад
Hapo Raisi wangu umetetea maadili ya MUNGU kabisa, tunakuombea Mkuu wetu wa nchi, Bwana asimame nawe daima
@kondeboyjeshi3514
@kondeboyjeshi3514 Год назад
Hapo umeongea la maana sana mama samia
@alialamoudi9729
@alialamoudi9729 2 года назад
Kusema kweli mneno hayo ni sahihi hakuna mtu atakubali kwa dada yake wala kwa mama yake wala kua mtoto wake mambo ya uchafu NA hiyo ni deni utailipa kwa famili yako ukifanza utafanzwa ndani ya chumba yako ya kulala NA usisahau kwamba mungu alihatamisha zina lazima kwa njia ya ndoa halali itakuja siku utalea watoto sio wako
@marianasumari3415
@marianasumari3415 11 месяцев назад
🙏
@user-fm4cr5qp1u
@user-fm4cr5qp1u 2 месяца назад
Kweli mama washuhulikie mama wetu
@mussahaji905
@mussahaji905 2 года назад
Safi sana
@devidluhaga5514
@devidluhaga5514 2 года назад
Maamaa ukienda huko kurayangu miaka mia niyako
@abdirizakibrahim1975
@abdirizakibrahim1975 Год назад
Nikweli waandishi wa habari hata nyingi mna familia na msingependa yatatokee kwenu basi tumuungane kupinga ujinga huu tubaki na tamaduni zetu kwa faida ya vizazi vyetu
@masoudidadi7369
@masoudidadi7369 2 года назад
Safi sana rais wetu
@marianasumari3415
@marianasumari3415 11 месяцев назад
Kweli mh leo umeongea /umeagiza jambo la Hekimaa sana mambo haya ya utupu nadhalilisha mno na ni aibu Kubwa inakuwa km hakuna viongoxi ws kukemea.
@sohrabtajadin3402
@sohrabtajadin3402 2 года назад
Sijaona kiongozi hodari kama mama Samia. Mola akulinde.
@auntdorah9141
@auntdorah9141 2 года назад
Unakuta wimbo unapigwa lbd ndani ya basi au movie (iwe ya ki Tz au nje) inaoneshwa ndani ya basi, uko na familia mnasafiri!!😭 wasanii hao waonywe...hawa wa kwetu..au ikibidi wafungiweeee... wanatuharibia watoto mchana kweupeee!! Na hawa wa kwenye mabasi waonywe..🙏🙏
@malopemaliyamungu5243
@malopemaliyamungu5243 2 года назад
Filamu Zina Namba na hizo Namba Zina maana.. zipo zinazofaa kuoneshwa kwa watu wa umri huu au ule, mf..Kuna miaka chini ya 12 wanaweza kuona, miaka chini ya 15, miaka chini ya 18, zaidi ya 18, na filamu zenye kuogofya hata ukiwa mkongwe zinaogopesha Kama matukio ya mauaji, Zinaa. Muhimu Ni kujua na kutii Sheria.
@neelamvithlani3040
@neelamvithlani3040 2 года назад
very true
@mtahogarashid8488
@mtahogarashid8488 2 года назад
Hapo safi kabsa wanakera sana
@ziadasadiki8196
@ziadasadiki8196 2 года назад
MAMA HAPO SASA NAANZA KUKUELEWA HAYA MAMBO NDIO TULIYAMISS HAYA. MUNGU IBARIKI TANZANIA MUNGU IBARIKI AFRICA.
@dennishyera6127
@dennishyera6127 2 года назад
Asante mama umeongea kama jemedari wetu. Shida yetu kilakibaya mpaka kiongozi wa juu. Aseme , wengine wanaona hayawahusu badilikeni jamani. Wote yatuumize na tukemee hasa mliopewa mamlaka.
@beatricenmarwa9745
@beatricenmarwa9745 2 года назад
Ubarikiwe mama kutetea utu na heshima yetu.
@haithamyahya6722
@haithamyahya6722 2 года назад
Big up
@mariamjoseph5555
@mariamjoseph5555 2 года назад
Hongela kwa kuliona hilo inabidi lichuliwe hatua kari
@mariamjoseph5555
@mariamjoseph5555 2 года назад
Nilikosea kuandika inabidi serikali yetu ichukue hatua kali wale wanao bainika kujiweka uchi ktk mitandao pia tunaizalilisha Tanzania jamani kwa nini lakin
@hilmialiomar1983
@hilmialiomar1983 2 года назад
Upo sawa mama.
@marthabura2266
@marthabura2266 2 года назад
Hongera mama umepiga mwingi
@chrismassawe326
@chrismassawe326 2 года назад
Umeongea Mh Rais miziki pia sio ni uchafu mtupu
@gloriamwanjali9371
@gloriamwanjali9371 2 года назад
Kweli.kabisa mama
@frankcharles2483
@frankcharles2483 2 года назад
Rest in peace j p m
@j.c.maxima816
@j.c.maxima816 2 года назад
Anahusikaje hapo?
@mamboshepea8888
@mamboshepea8888 2 года назад
@@j.c.maxima816 unatakia nini!!!
@hasanoorashid628
@hasanoorashid628 2 года назад
N kweri kabisa mama angu nakuunga mkono
@shabansumaiya4770
@shabansumaiya4770 11 месяцев назад
Yani hapo mama umeongea waambie kwakweli hata mwenyezimungu atatuazibu siku yamwisho viongozi waliochiniyako wapo wanakaa kimya naomba I tunywe sheria yoyote atakae piga picha yautupu mtandaoni atafutwe apigwe faini au jera
@veronicacormack1043
@veronicacormack1043 2 года назад
Thank you our president speak for us we should not follow western values but holy books Bible and Koran what are we showing our children
@mpendakiswahili3053
@mpendakiswahili3053 2 года назад
Hata mila na tamaduni zetu za kiafrica zipo sahihi
@meryshekoloa961
@meryshekoloa961 2 года назад
Mama ni kweli maadili yamepotea wanawake tumezidi kukaa uchi hata wanyama wanajiheshimu
@nurusakoro9422
@nurusakoro9422 Год назад
Piga chini mama Samia wasikualibie kazi aooo wasio na elimu
@sohrabtajadin3402
@sohrabtajadin3402 2 года назад
MAMA HATA HUKU KENYA TUNAKUPENDA SANA. UNASEMA UKWELI.
@w4058
@w4058 10 месяцев назад
Mama nakuunga mkono kwa hiyo mpaka video za kipumbavu pia zisinoshwe
@deusdedithjoseph7588
@deusdedithjoseph7588 2 года назад
Tuko pamoja mama
@shamimhayat7637
@shamimhayat7637 2 года назад
Maneno ya busara sana
@linnamlay3643
@linnamlay3643 2 года назад
Mama akee, nakupendaga bureee
@rajah9328
@rajah9328 2 года назад
Kwel sana Mama ayo sio Madili yetu ya tumejisahau wa Africa tukipata Ma Raic kama wew ii Africa tutalinda Maadili yetu sio kila kitu tuege vyengne sio vyakuigwa
@kombasalimu353
@kombasalimu353 11 месяцев назад
Uhuru wa haki
@kaundasutikaunda7769
@kaundasutikaunda7769 2 года назад
Dah kweli ili ni janga ... Mama simama kidete kwenye ili.
@hermanlemunje7327
@hermanlemunje7327 2 года назад
Kabsa Mama nimekuelewa Tanzania na Afrika kwa ujumla inakutegemea Kazi Iendelee.
Далее