Mama kama mama 🎉🎉🎉🎉 twakupenda sana na mh makonda wawooo Yan tungeoata nasisi kama makonda tungepata laha jaman mh raisi. Ungepata majembe kama makonda aisee mama ungefika mbali sana
Umenena vyema,mimi naongezea nchi nzima wapate matibabu kwa njia hii muda wote. Hii wiki ya matibabu bure ya Makonda ikiisha na pengine mtu hajapona,twende wapi😂
Unachokifanya makonda ni kizuri lakn jarbu kutembelea maeneo yenye chagamoto na si kuazisha mikutano mikubwa namna hiyo unatumia gharama kubwa sana kuazisha mikutano yako hiyo kuandaa na kuhitimisha mikutano mikubwa namna hiyo