Тёмный
No video :(

Rais Samia ampigia simu MAKONDA ampongeza kuleta HELKOPTA kwaajili ya kubeba wagonjwa ARUSHA 

Habari Digital
Подписаться 1,2 млн
Просмотров 20 тыс.
50% 1

Опубликовано:

 

23 июн 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 43   
@georgemallya4311
@georgemallya4311 Месяц назад
This man is a true definition of a leader.nashindwa hata niongee nini ila hongera sana.
@scholarmawala1403
@scholarmawala1403 Месяц назад
Mtaji wa kwanza wa Mwananchi ni Afya njm. Asante sana Makonda kwa maono hayo.God bless you .🎉🎉❤
@user-qu1mq2ik2e
@user-qu1mq2ik2e Месяц назад
Congratulations 👏👏👏👏 your generation will be blessed
@emmanuelmayunga1518
@emmanuelmayunga1518 Месяц назад
Big up commander Makonda kazi nzuri
@AllyGibu-cz2vo
@AllyGibu-cz2vo Месяц назад
Mheshimiwa Paul Makonda hongera sana
@user-ni4be2gg7l
@user-ni4be2gg7l Месяц назад
Makonda wewe nimtumishi msikivu mungu akulinde zaidi utafika mbali mno tunakuombea 30 inakuhusu.
@LukasiAlubart
@LukasiAlubart Месяц назад
Makonda mungu aendelee kukulida
@bashiruwise
@bashiruwise Месяц назад
Talented guy,❤ Makonda for life
@kuntaalkinte5415
@kuntaalkinte5415 Месяц назад
Hongera Mh Makonda
@user-yg8yo3ul8h
@user-yg8yo3ul8h Месяц назад
Mama kama mama 🎉🎉🎉🎉 twakupenda sana na mh makonda wawooo Yan tungeoata nasisi kama makonda tungepata laha jaman mh raisi. Ungepata majembe kama makonda aisee mama ungefika mbali sana
@user-pe8wh5bw2h
@user-pe8wh5bw2h Месяц назад
Asant babaa
@MatronaThomas-wz5si
@MatronaThomas-wz5si Месяц назад
Wananchi wapate Bima ya afya KWA wote❤❤
@agustinoezekiel
@agustinoezekiel Месяц назад
Angalau ukija RU-vid kuona mkoa wa Arusha unafarijika, Arusha kwa kipindi hiki imekua kama nchi inayojitegemea
@Ellsonmushi6059
@Ellsonmushi6059 Месяц назад
Duh!!! Ila siasa,tumheshimu Mungu tu
@aloycemabula8649
@aloycemabula8649 Месяц назад
Arusha wanafaidi
@MatronaThomas-wz5si
@MatronaThomas-wz5si Месяц назад
Afya ni mali owe siku zote❤❤
@teddyteddyphilipo5254
@teddyteddyphilipo5254 Месяц назад
Hatali huyo makonda chapa kz
@user-yg8yo3ul8h
@user-yg8yo3ul8h Месяц назад
Wagonjwa jaman SI mtapata laha sana
@Esterkomba-ef7eb
@Esterkomba-ef7eb Месяц назад
Yani hujamaa sinalakusema viongozi wote wangekuwa kama makonda watanzani tungekuwa naraha sana
@paschalpaul3862
@paschalpaul3862 Месяц назад
Tatizo hivi vitu kama vinawezekana inatakiwa viwe kisheria maana makonda akitoka basi anayekuja anaanza mambo yake na mazuri yanapotea
@mataypanga5262
@mataypanga5262 Месяц назад
Umenena vyema,mimi naongezea nchi nzima wapate matibabu kwa njia hii muda wote. Hii wiki ya matibabu bure ya Makonda ikiisha na pengine mtu hajapona,twende wapi😂
@paschalpaul3862
@paschalpaul3862 Месяц назад
@@mataypanga5262 pia wabunge ndiyo wanatakiwa wajifunze namna kujenga hoja!
@FredrickMnyakiwele
@FredrickMnyakiwele Месяц назад
Umeshindikana makonda tunabaki kukushangaa
@Joviti175
@Joviti175 Месяц назад
Safiiiiiii
@mariamalongo8803
@mariamalongo8803 Месяц назад
❤❤❤
@FredrickMnyakiwele
@FredrickMnyakiwele Месяц назад
Umeshindikana makonda tunabaki kukushangaa 1:31
@JacksonMbites
@JacksonMbites Месяц назад
RAIS AJAYE WA TANZANIA PAUL MAKONDA
@samsonsimon3138
@samsonsimon3138 Месяц назад
Unachokifanya makonda ni kizuri lakn jarbu kutembelea maeneo yenye chagamoto na si kuazisha mikutano mikubwa namna hiyo unatumia gharama kubwa sana kuazisha mikutano yako hiyo kuandaa na kuhitimisha mikutano mikubwa namna hiyo
@BonephaxeMasanja
@BonephaxeMasanja Месяц назад
Yuko xawa makonda
@josephelias7364
@josephelias7364 Месяц назад
KAKA MAKONDA CHAPA KAZI
@NicholausAlois
@NicholausAlois Месяц назад
Siasa mchezo mchfu
@teddyteddyphilipo5254
@teddyteddyphilipo5254 Месяц назад
Chap kz
@user-ig7tb1cf8z
@user-ig7tb1cf8z Месяц назад
Nchi yote wangechagua chadema maendeleo yatakuwa makubwa sana. Kwa mchakato huu Lema ni jembe
@richardhosea8827
@richardhosea8827 Месяц назад
Wameenda Wasso Loliondo kuchochea lakini naona wamefeli piga kazi dogo
@lwimboderick7479
@lwimboderick7479 Месяц назад
Harmonize alisema Rais DKt. Samia ni mtu na Nusu. Tunaendelea kuthibitisha.
@michaelmlugu5654
@michaelmlugu5654 Месяц назад
Makonda sijaellewa ubongo wako ukoje Kama sii uchawa herkopiter ya nini DAWA ZIPO
@AllyMaya-yj3xd
@AllyMaya-yj3xd Месяц назад
Lengo hujaskia kama anaonekana mgonjwa anataka kupelekwa KCMC apelekwe hapo hapo au muhimbili anapelekwa shida yako wewe nn ?
@kamanapomo7029
@kamanapomo7029 Месяц назад
​@@AllyMaya-yj3xdKaka watu wengine wanakuja na hila zao binafsi sio kufatilia habar
@isackkivuyo1980
@isackkivuyo1980 Месяц назад
Mhhh
@reginakatele8829
@reginakatele8829 Месяц назад
Mungu akutunze makonda
@FredrickMnyakiwele
@FredrickMnyakiwele Месяц назад
Umeshindikana makonda tunabaki kukushangaa
@johnjoel5012
@johnjoel5012 Месяц назад
Mheshimiwa Makonda njoo na Mkoa wa Mara uone uozo. Maji shida , michango ya Sekondari pesa hazionekani.
@FredrickMnyakiwele
@FredrickMnyakiwele Месяц назад
Umeshindikana makonda tunabaki kukushangaa
Далее