Тёмный

RAIS SAMIA ASIMULIA ALIVYOKAMATWA NA TRAFFIC USIKU "ALINIULIZA WEWE NI NANI NIKAMWAMBIA MI SAMIA" 

Millard Ayo
Подписаться 5 млн
Просмотров 2,2 млн
50% 1

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan leo tarehe 12 Desemba, 202 ameshiriki katika Mahafali ya Kufunga Mafunzo ya Uofisa Kozi No. 1/2021 katika Chuo cha Taaluma ya Polisi, Kurasini, Jijini Dar es Salaam
akihutubia mbele ya maafisa hao na viongozi mbalimbali amesimulia changamoto za Traffic alizowaikukutana nazo barabarani.

Опубликовано:

 

11 дек 2021

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 791   
@nzizajovinpaul4955
@nzizajovinpaul4955 2 года назад
Huyu Mama nimpole sana tena sana tumpende wote kwaujumla iliaweze kuchapa kazi kwa bidii, angekuwa mtu mwingine angefukuza mkuu wamapolice TZ nahao majambazi Traffic police ambao walikuakazini usiku huo. No one like Mama samia" JAH bless🙏
@sirajimsuya6226
@sirajimsuya6226 2 года назад
C 2napenda kaz
@neemaneema5795
@neemaneema5795 2 года назад
Usitufokee na usitulazimishe kumpenda
@ayubumwaipopo8203
@ayubumwaipopo8203 2 года назад
,,ukimpend ww inatoxh..😂
@husseinibrahim5438
@husseinibrahim5438 2 года назад
MAMA SAMIA SULUHU HASSAN MAY ALLAH GIVE YOU MORE YEARS TO LIVE ALLAHUMMA AMEEN.
@jaysullman3697
@jaysullman3697 2 года назад
Aamin
@ronnyokoth2741
@ronnyokoth2741 2 года назад
Mash Allah
@abdulazizkhalid6527
@abdulazizkhalid6527 Год назад
Ameen
@Frankgamanuel
@Frankgamanuel 2 года назад
Salute, Tujifunze kitu hapo wewe polisi angalia kauli na vitisho hunaye mtisha leo hujui kesho yake atakuwa nani.
@jaysullman3697
@jaysullman3697 2 года назад
Kwa kweli shida tu!
@autorashautoelectrician2205
@autorashautoelectrician2205 2 года назад
Kweli uwa wapuuz Sana awa jamaa
@jaysullman3697
@jaysullman3697 2 года назад
@Angelina meki wewe ikiwa una mambo ya ufuska kauze uko uko kwa wenzio usituletee sie mambo ya Kisenge senge apa fuck off!!!
@stanslausmhema1482
@stanslausmhema1482 2 года назад
Wana bahati sikuwa Mimi baada yao kuniweka kwenye mmbu na wao wangeipata pata POLICE WASINGEKUWEPO TU TUKABAKI NA JESHI
@SMG109L
@SMG109L Год назад
Maneno ya busara na hekma kutoka kwa Rais wetu na mama yetu SSH, Allah akupe afya njema na akupe umri mrefu inshaa Allah, Nakupenda sana mama ❤ hii video imeniuma sana eti "waarabu" kwahiyo angelikua mwafrika yasingetokea hayo wala kauli hizo za kibaguzi na ukabila!!, waarabu ni ndugu zetu na tunawapenda sana, wewe unaewachukia utajua mwenyewe, huwapunguzii chochote. Mama piga kazi, wabaguzi wapo tu, hata ukiingia mitandao ya jamiiforum n.k wapo tu, sisi ndugu zako tuko nyuma yako inshaa Allah, Allah awe nawe ❤
@salehalzakwani3283
@salehalzakwani3283 2 года назад
Mama umeongea point kubwa Sana kutoka oman mama fanya kazi mashaallaah
@jaysullman3697
@jaysullman3697 2 года назад
Ucjali bro tutalifanyia Kazi apa Kazi💯 kwenda mbele tu!! 😜
@dennowderullow1118
@dennowderullow1118 2 года назад
Watanzania mnabahati sana huyu Mama nimkarimu kiasi kisicho mithilika la sivyo jeshi zima la polisi lingehara kwa maamuzi yake("watching from🇰🇪")
@merickmiyeye
@merickmiyeye Год назад
Mandongabondia
@merickmiyeye
@merickmiyeye Год назад
Bondoa
@salimally8496
@salimally8496 2 года назад
Maaasha Allah mama nakukubali sana umekuwa msfahmilivu tangu zamani maskini walikubagua ila leo umefika mahali Mungu aliamua ufike. Hongera sana nakupenda sana na nakukubali kinowmaa
@danielmpigasupi2212
@danielmpigasupi2212 2 года назад
Pole sana Mama yetu ndiyo Askari Traffic wetu wanaotusumbua mitaani hao
@abdulwahababdulkadir9965
@abdulwahababdulkadir9965 2 года назад
Hapa unaweza kujifunza mengi kupitia hii story,kwanza ni jinsi ya uendeshaji mbovu wa taasisi hii,pili ni harufu ya rushwa iliyokithiri na tatu ni uwajibikaji mdogo na uvunjwaji wa sheria,mm nilishangazwa majizi niliwaona trafic ni viumbe wazito sana wao wapo kuangalia magari yenye makosa tu kuna mama anakatiza kwenye congestion badala wamsaidie yaani kama hawaoni vile wanasumbuka na fine za kijinga tu
@kalumbugideon4159
@kalumbugideon4159 2 года назад
Huyu Mtu yeye anasema taratibu hila Anajua Mengi Sana Moyoni mwake...Bravo Samiath Suluhu Hassan.Songa mbele Usiogope.
@ngogedecoration3649
@ngogedecoration3649 2 года назад
Rais wetu mungwana sana M/mungu ametaka kukuonyesha hali halisi ya askari unaowaongoza na dhulma wanazo zifanya kwa raia spat picha hali ingekuaje rais wa nchi angelikua mbabe
@dn.n4983
@dn.n4983 2 года назад
Mimi kweli kweli unawajua wao wao kasheshe hawa jamani ukikutana nao hawana mchezo afadhali uwajua ubarikiwe Rais wetu
@ahmadsayyeed7910
@ahmadsayyeed7910 2 года назад
Yaani mama Samia ndivyo walivyo kabisa afadhali umepitia kuwajua bila kuambiwa
@gideonmwenda2959
@gideonmwenda2959 2 года назад
Trafick wabogo wanakera wengine cio wastarabu kabisa mwez uliopita wameniandikia fain nipo na jeneza naenda kubeba mwili hospital kisa buku
@crershawmafia1009
@crershawmafia1009 2 года назад
@@gideonmwenda2959 😂😂😂😂😂😂
@catherinemzurikwao3265
@catherinemzurikwao3265 2 года назад
Safi sana mama, nimependa busara yako, hao askari wana tabia chafu sana. Hua wanatumia nguvu kuliko akili. Bora nawe ulishapitia hayo, hawana akili wala ustaarab hata kidogo
@asteriambwei3349
@asteriambwei3349 2 года назад
Shule Yao ndo hiyo waliofeli shule wanatumia nguvu kuliko akili Wana maneno mabaya Sana busara hekima hawakupewa kabisa
@bodosam7798
@bodosam7798 2 года назад
Ni mwafrika akipewa cheo kidogo hawatumii kutoa huduma bali kunyanyasa wananchi. Hi tabia iko kila pahali kwanza hi Kenya wacha tu.
@mosesnandi
@mosesnandi 2 года назад
Inafurahisha na kusikitisha vilevile!
@dominiquemushy895
@dominiquemushy895 2 года назад
Mama Mungu akukinge na ajali za roho na mwili ,unaongea point sana
@eddynassor9223
@eddynassor9223 2 года назад
Baadhi ya police Wana ubaguzi Sana hasa wakiona wanzibar anatuona sisi washamba sana
@zamzamabdi5279
@zamzamabdi5279 2 года назад
Walizani yeye ni barawa ya somalia.aw Malika Mohamed ndogo wake
@Mzalendo-
@Mzalendo- 2 года назад
Kama umewaona askari wamepeana tano😀 baada ya mama kusema aliambiwa hao mbu hawana shamba waache wale.......like kwa sana🔥🔥
@evansmudaki4772
@evansmudaki4772 2 года назад
Mama your humility is good for the country. But the people in uniform need more training on how to conduct themselves
@neziajoseph9726
@neziajoseph9726 4 месяца назад
Ni kweli tena warudishwe shule kbs
@shabanhassan4272
@shabanhassan4272 2 года назад
Umefanyiwa wewe Samia ambaye historia imesimama nawe, wasiojulikana wana hali gani.
@kipandesonlinetz4602
@kipandesonlinetz4602 2 года назад
Kiukweli Trafiki wanakera sana Hasa huku Kigoma. Gari YANGU ilisajiliwa kufanya biashara, hivyo basi nilivyochelewa kupata Plate number nyeupe nilipigwa faini nikakubali na huku nina risiti za kulipia hizo Plate number. Nilivyoenda kuuliza jamani hizi Plate Number zinachelewa nafanyaje sasa wakaniambia mwambie Dereva wako atembee na risiti za malipo ya Plate number kwenye gari, Nikasema sawa, ruhusa nimeipata leo, kesho narudisha gari barabarani tu nakamatwa na kupigwa faini tena, na WAKATI wao ndio waliniruhusu kuingiza Gari barabarani, Wanakera sana,kwa kweli wanakera.
@ibrahimgwasma1223
@ibrahimgwasma1223 2 года назад
Wanakera kinoma
@fadhilimgalla271
@fadhilimgalla271 2 года назад
Hawa jama mm nasema balabala yakwenda mbinguni ingepita kwetu wangenikoma
@lemburismamasita6583
@lemburismamasita6583 Год назад
Kweli kwa kweli Wana kera ila kweli biblia inatwambia mxamehe 7x70
@LinusLucas-ck1xc
@LinusLucas-ck1xc Год назад
Wanazingua
@esterandson7367
@esterandson7367 2 года назад
Hongera Sana Malikia Samia Kwa KAZI nzuri Rais wetu kipenzi
@cristalclear2499
@cristalclear2499 2 года назад
Just imagine if the bosses didn't know her.
@muhammadkipangatv2674
@muhammadkipangatv2674 2 года назад
Jifunze quran kusoma kuandik gusa picha yangu kama hautojali
@basilisamsaka8469
@basilisamsaka8469 2 года назад
Police wanacheka! Ni mbaya Sana,uonevu wa police ni mkubwa Sana waonye mama.
@bodosam7798
@bodosam7798 2 года назад
Wanacheka mpaka wanasalimiana ina maanisha ata haiwaumi hata kidogo
@eddietaxidriverzanzibar4395
@eddietaxidriverzanzibar4395 2 года назад
Hawana adabu!!!
@swahiliforex
@swahiliforex 2 года назад
Sasa Walie?
@annamelchiard9363
@annamelchiard9363 2 года назад
Asante mama..afadhali umeyaongea yatasaidia ktk jeshi la polisi ktk kujitekebisha
@samuelmuchiri7587
@samuelmuchiri7587 Год назад
That soft spoken meaning laden SWA is poetically heavenly
@geroldmwinuka6411
@geroldmwinuka6411 2 года назад
Duuuh Pole polisi walikuwa hawakujui wewe ni nani?
@jaysullman3697
@jaysullman3697 2 года назад
Wameingia cha kike 😂😂😜
@mwana4599
@mwana4599 2 года назад
Kwa JPM ilikuwa hamna nani wala nani?
@TamuzaKale
@TamuzaKale 2 года назад
Ni kitambo sana. Hakujigambia cheo!
@TamuzaKale
@TamuzaKale 2 года назад
@@mwana4599 Unayumba. Wakati wa JPM alikuwa hatembei bila king'ora. Hiyo ni kitambo kabla ya kuwa makamo wa rais!
@princevan3747
@princevan3747 2 года назад
Sas kam ni nan askamatwe police walifanya kaz yao nawao mm naona saw tu tukamatwage ss tu😂😂😂😂😂
@hamisikaberege2759
@hamisikaberege2759 2 года назад
Mama yetu ana busara sana. Mungu akusimamie Rais wetu, watu wanaumizwa San katika mambo mengi hali ya kuwa wao hawajui.
@MambaAfrica
@MambaAfrica Год назад
Words of wisdom mama💪🏿
@stevebupamba5009
@stevebupamba5009 2 года назад
Mama samia kanichekesha kweli...Daah,, "kuwa mbu hawana shamba, duuh..Jamani ndo polisi wetu hawa
@jaysullman3697
@jaysullman3697 2 года назад
🤣🤣🤣👍
@kishingokishingo1840
@kishingokishingo1840 2 года назад
Kwani wanashamba?
@jaysullman3697
@jaysullman3697 2 года назад
@@kishingokishingo1840 Mbu hua wanapendaga majani!!
@jaysullman3697
@jaysullman3697 2 года назад
Kuua Mbu inamaana zalau iyo!
@selemanimasatu2421
@selemanimasatu2421 2 года назад
Hapo ndo utajua mtu baki atazidi kunyanyasika tu mwenye cheo na fedha ndo atathaminiwa, ila Kwa Mungu uwe na fedha uwe hauna sote tutakuwa sawa tu.
@verotsii1442
@verotsii1442 2 года назад
Kwa kweli
@adriamushi9297
@adriamushi9297 2 года назад
Yaani umeongea ukweli mama! Yaani shida kidogo ya kuonya tu lkn utasumbuliwa hata siku nzima
@watototunawezatuwezeshwe6126
@watototunawezatuwezeshwe6126 2 года назад
Raha sana kiongozi ukiwa kujulikani kwa sura maana unagundua madhaifu mengi ya viongozi wengine. Kwa sababu wanafanya bila ya kujua wewe nani.
@peaceisrael8158
@peaceisrael8158 2 года назад
Leo mama umesema labda sasa wataweka ubinadamu kidogo🙏 asante mama yetu 🙏🙏🌺🌺🌺
@mariajoseph3743
@mariajoseph3743 2 года назад
Mama Leo umesema ukweli
@jaysullman3697
@jaysullman3697 2 года назад
Mheshimiwa Rais Mamaetu kipenzi chetu kiukweli wewe ni Muungwana sana na kiukweli unahitajia heshima kubwaa lkn watu walikua hawajakuelewaa! Mungu akulinde na akupe Afya njema ya kuliongoza Taifa letu la Tanzania Mungu Ibariki Tanzania Ameen!!!
@issaalfani1030
@issaalfani1030 2 года назад
Mpaka nimependa manake yanatukuta kila siku hatuna pakuyasemea ukienda kusemelea polis unapewa kesi kubwa zaidi
@tanzaniamycountry9308
@tanzaniamycountry9308 2 года назад
Sheria ifanyiwe marekebisho, police Wana mamlaka kubwa Sana znazoumiza raia Kwa upande mwingine,
@rockcitynative9985
@rockcitynative9985 2 года назад
Eti warabu hawa wamezidi. Kwani mwarabu sio binadamu!? Kweli mama ubaguzi hautakiwi nchi hii.
@mwana4599
@mwana4599 2 года назад
Kwani Raus ni mwarabu?
@j.c.maxima816
@j.c.maxima816 2 года назад
Watz tunatofautiana kwa rangi, kwa kabila, kwa jinsia, kwa dini, kwa vyama, lakini sisi sote Watz... Tuheshimiane, jamaani ! Mungu ibariki Tz
@jaysullman3697
@jaysullman3697 2 года назад
Si wanaangalia Rangi wao wanajua nani mwarab nani sio mwarab??? ndugu ilo sio suala apa kinachoongelewa ni Ubaguzi sio chingine au una lako na ww??
@hoseaseif2720
@hoseaseif2720 Год назад
Doria yapolice wakikukamata umepakiza mshikaki ujuwe pesazitakutoka nirushwa
@jumaothman9449
@jumaothman9449 2 года назад
Wanatumia nembo ya jeshi vibaya, mama Samia kumbe unawajua hao vizuri. Duh sio poa hata kidogo.
@penetronadvancedwaterproof664
@penetronadvancedwaterproof664 2 года назад
yes muda mwengine hekma kwa kila mtendaji wakazi.
@alphonceelias2551
@alphonceelias2551 2 года назад
Asante ,mama,kiukweli,baadhi ya polisi,sii wote,kuna baadhi yao,ni hatari kweli,akikumata anakuwekea bangi alafu anakwambia,ngoja uone Kama hii kesi utatoboa.huku kitaa polisi hawapendwi wanaonekana ni maadui kinyume na kazi yao na pia wanatumika kisiasa.hatari,Asante mama kwa kulijua Hilo mapema.kunahitajika rifomu kubwa ndani ya jeshi la polisi.
@sebastianjacob8915
@sebastianjacob8915 2 года назад
Hiyo mama iliyokukuta ww hatamie iliwahikunikuta hivyohivyo hawana lugha za kingwana kabisa badala wao wawe msaada Wao ndio shida hamna anaowapenda labda awe na masirahi nao.
@jaysullman3697
@jaysullman3697 2 года назад
Mie yashanikuta alafu kweli kabisa wana Ubaguzi mkubwa Siku wakiamka nao ikiwa ndio wamekerwa uko alipotoka hasira yake yote ata kumalizia ww!
@musaumutinda6541
@musaumutinda6541 Год назад
I wish you were our president mama much love from kenya 🇰🇪
@sekanicanory9915
@sekanicanory9915 5 месяцев назад
💛🧡💯
@user-qu2dj7rq7u
@user-qu2dj7rq7u 5 месяцев назад
Mhnhnh
@ogoti6593
@ogoti6593 5 месяцев назад
acha ujinga
@drnickysarapion134
@drnickysarapion134 2 года назад
Mama leo umeupiga mwingi sana leo. Yaani nimecheka sana leo. Numb nawe unazijua kero za barabarani ndo akili zao zilivyojongea za ovyooo
@jumasimba572
@jumasimba572 2 года назад
Mamangu naanza kukuelewa sasa,bola ulivoanza kuwatambia mapema hao hizo tabasamu zao wakikitana na mwananchi had rushwa.
@shadrackaluoch8863
@shadrackaluoch8863 2 года назад
This is touching, it's high time we need to change for things to go well
@junaytadarwesh4708
@junaytadarwesh4708 2 года назад
Lugha zao kweli mbaya sana. Na kuwaita watu waarabu sujui wahindi ndio kauli zao. Sasa uarabu na uhindi umekhusi nini kutajwa, hata kama umefanya kosa, kwani kabila ndio lilofanya kosa. Waache hizo kauli, hebu wafundisheni adabu kidogo kuheshimu watu.
@jaysullman3697
@jaysullman3697 2 года назад
Sahihi ni ivyo alivyoambiwa Mheshimiwa Rais yeye mwenyewe kaambiwa ivyo na inabidi kiukweli kuweka sheria Askari akikuletea lugha mbaya unakua na haki ya kumshitaki kwanini lkn wanakua na Viburi ivyo???
@biddii1972
@biddii1972 2 года назад
Polisi wa sasa wanajali watu wenye pesa kama ww nimaskini siku ikatokea bahati mbaya unabahati
@TiffahMihayo
@TiffahMihayo 2 месяца назад
Nakupenda sana kiongozi wangu Mama angu kipenzi Mama samia suluhu Hassan. Mungu akuzidishie hekma na busara nyingi kama Suleiman love u Mama
@amdunshomali3971
@amdunshomali3971 2 года назад
Mimi nauliza police waliambiwa kuwa FUSSO na CENTER azirusiwi kupita mbele yao? Hata uwe umekamilika lazima wakuzingue tu. Ndo maana tunatembea usiku mara nyingi sisi wenye hizo gari make mchana wanaboa sana hata jamaa
@alhajbayakas6622
@alhajbayakas6622 2 года назад
sio fusotu coster na hice ata kama ilikua kalala ataamka2
@elenzianjk5543
@elenzianjk5543 2 года назад
yaani kwamba maafisa hawamjui Rais? mbona ajabu hii!!
@kwisa4899
@kwisa4899 2 года назад
Hii nchi kuilewa inatakiwa uwe punguani kwa kweli ,juzi wamesema wanataka askari ambao walipata ziro na hiyo ndio outcome ya ziro.
@c2nfcommunications238
@c2nfcommunications238 2 года назад
All praise President Nwalimu in his blessed memory and prayers to these current presidents to carry on and no to always be carried away by crowd laughters.
@fauzhaji7149
@fauzhaji7149 2 года назад
Mwalimu nyerere was absolutely right...tanzania talking about tribes....what tribes got to do with citizenship...if you are tanzanian...
@crershawmafia1009
@crershawmafia1009 2 года назад
Polisi wana makusudi sana sikuhizi anakusimamisha na kukusingizia kosa ukigoma anakuandikia kibabe sababu cha kwanza anaomba leseni yako akiishika tu utaamua mawili umpe elfu 10 au akuandikie 30!
@jaysullman3697
@jaysullman3697 2 года назад
Ivyo ivyoo izo ndio zao wanasumbua sana km wakishika leseni kuangalia ndio wanapokupiga apo apo alafu wanakuaga na Viburi Sanaa!
@isaachayes9783
@isaachayes9783 2 года назад
KAZI NI NDOGO TUU, VUNJA JESHI LOTE LA POLISI ULIUNDE UPYA, LINA MAASKARI HOVYO KABISAA SIJAPATA WAHI ONA
@tabumpate9762
@tabumpate9762 2 года назад
NAMUOMBA M/MUNGU AKUTIE NGUVU NA AKUONDOSHEE MARAZI.NA AKUPE UFAHAMU KATIKA UONGOZI WAKO WA KILA SIKU.INSHALLAH.
@mathewssilungwe7692
@mathewssilungwe7692 2 года назад
Afadhali wewe Mama Samia ulikua unajulikana na hawo ma boss. Mimi nimejuta jamani na hawa police. Sitaki niyaseme hapa. Ila wapeni elimu ya ki psychology wafanye kazi yawo vizuli.
@abednegosimoni7716
@abednegosimoni7716 2 года назад
Hapo ungeweka rushwa hata usingeenda
@salimmalaka256
@salimmalaka256 2 года назад
KWELI HIYO WANACHOTAKA.
@manasengobei9968
@manasengobei9968 2 года назад
Goodest, mama tunaomba sana mradi wa umeme wa Rufiji uendelee!
@ramayonline2281
@ramayonline2281 2 года назад
Kama wameweza kumfanyia Boss wao hivi.,. Wwngine watakua kweny hali gan😁😁😁😁
@rajabmohamed2631
@rajabmohamed2631 2 года назад
Hawana shamba hao acha wale 😂😂😂
@neemaruben5427
@neemaruben5427 2 года назад
Sasa ixo changamoto na ss twapitiaaaaaa jua ivyo mama
@domisianpeter558
@domisianpeter558 2 года назад
Ndo umejionea sisi raia wa kawaida tunavyo onewa
@kennyrogers4734
@kennyrogers4734 2 года назад
Safi sana wanakera sana hao kosa la kukuonya kesho usirudie wanakomandi sana
@mamudidrisa385
@mamudidrisa385 2 года назад
Imani....ukweli na busara nimeiona kwako mama yetu...mungu akutangulie
@ruu6592
@ruu6592 2 года назад
Eeh I imagine uhuru kenyatta afanyiwe ivi waaaah eeeeeeeeeh ongera tz
@naamanhaji4913
@naamanhaji4913 2 года назад
Love u so much my mama president♥️♥️♥️♥️♥️
@rubensaitoti6839
@rubensaitoti6839 2 года назад
Mama yetu raisi wetu tunakushukuru kwa kuzema ukweli mm jusi nimepingwa tochi ikiwa ina soma 59 wakanilazimisha kutoarushwa nilikata nikaona bora waandike watu hata musamaha hawajui utasani hawana watoto wala ndugu nili mwambia baada ya haya kuna maisha mengine Mungu akulinde raisi wetuu
@MlegoGaspari-wz1tn
@MlegoGaspari-wz1tn Год назад
Firimasoni
@masumbukoclement4582
@masumbukoclement4582 7 месяцев назад
Mama Wona Sikuzote Madereva Tunanyanyaswa Sana Barabarani 🙏♥️🇹🇿
@simonmagaigwa5496
@simonmagaigwa5496 2 года назад
Waboresheeni maslahi yao na makazi, wanaishi katika mazingira magumu sana na pengine ndiyo sababu ya wao kufanya wanayoyafanya.
@bennie7239
@bennie7239 2 года назад
Kila mtu anaeishi mazingira magumu akiamua kujitoa kwa style hizo patakalika humu!!? Sababu wao wanajikwamua kupitia barabarani wapo wataojikwamua kuingia majumbani huko...mazingira magumu sio sababu ya msingi.
@swahibually1723
@swahibually1723 2 года назад
Hao wana LAANA,hata waboreshewe maslahi,hali yao ni hiyohiyo
@teachingtruthmission2140
@teachingtruthmission2140 2 года назад
Trafick ni watu wa hovyo sana waseme sana
@daudinyello4033
@daudinyello4033 2 года назад
GOD BLESS OUR POLICEMEN, WE LOVE THEM
@happinessmwenda2773
@happinessmwenda2773 2 года назад
Mama na elimu ya watu wanaojiunga na jeshi iangaliwe upya. Yaani kuna madudu mengi
@KhalphaJy-kb8oj
@KhalphaJy-kb8oj Год назад
Nice melody🎉🎉
@ashamakwaiya8749
@ashamakwaiya8749 2 года назад
Waambie mama.,uonevi umezidi ,mafuta alikuwekea wakati wa kukurudisha
@elimumwawa8373
@elimumwawa8373 2 года назад
Kweli kabisa mama tunateswa sana na hawa jamaa. Ni miungu dunia wakiwa barabarani
@abdlhaleem8380
@abdlhaleem8380 2 года назад
Hii n nchi inoongozwa kwa mfumo wa non_ democracy.. tusishughulishane uwo ndo ukweli... hmna chochote..
@innocentsteve9160
@innocentsteve9160 Год назад
This is very sad. It's like policemen across the world doesn't know their duties. Instead they have become rouge
@saidfhamad
@saidfhamad 2 года назад
YEYE ANA JINA SAMIA NA SISI JE???
@ibneumar3717
@ibneumar3717 2 года назад
Afadhali mama anajua vinazotokea
@frolawihenge2078
@frolawihenge2078 2 года назад
Yaani mama umenena kweli kabisa mimi siku moja nilikuwa napeleka mgonjwa mafinga hosp.kufika changarawe trafik mmoja akapiga mkono akasema huko ulikotoka ulikuwa mwendo kasi!!nikasema samahani nina mgonjwa akasema hata kama akifa atakuwa kama wenginewafao,baadae akasema haya.acha hio.elfu tano uchape.mwendo!!!!
@jaysullman3697
@jaysullman3697 2 года назад
@@frolawihenge2078 Daaah aisee pole sana inasikitisha hawa Polisi wetu yaani wanaendekeza sana!
@TamuzaKale
@TamuzaKale 2 года назад
@@frolawihenge2078 Ebana eeh!
@esterjohn3729
@esterjohn3729 2 года назад
@@frolawihenge2078 yan huyo ungemkata kibao alaf ukaondoka
@lottikishapui7377
@lottikishapui7377 2 года назад
Mama umenichekesha sana pole sana my mum
@denniskadhreasternafricatv9583
@denniskadhreasternafricatv9583 2 года назад
Dennis kadhr from.Nakuru city Kenya 🇰🇪🤭🥰🥰🇰🇪 we need you to.also talk this sense to.Kenyan police your our leader in Africa sote HE HON President Samia Hassan Suluhu🔥🔥
@magomakabanja480
@magomakabanja480 Год назад
Mama Ana Hekma Sana Majibu Yahekma Nakawahurumia Vijana wake Bila Kuwafukuza Kazi
@user-og4wh1xr2c
@user-og4wh1xr2c 6 месяцев назад
Huku Kenya raise hutembea na.convoy nzito...police bosses ndio huwa kwenye guard ...walahi kidudu mtu hawezi mfikia...pole maa. . you're very humble
@wilberforceosore3182
@wilberforceosore3182 5 месяцев назад
Laiti ningalikuwa Mtanzania.Kenya,hio police station cjui ka ingebaki,all police officers w'd be fired. Mko na bahati majirani. Watching from the United States
@christianmtei2671
@christianmtei2671 2 года назад
Hawa traffic wamezoa sana kula jasho la watu kunasiku zitawatokea puani
@erickchitumbi1308
@erickchitumbi1308 2 года назад
Bora mh.raisi ulivyosema ukweli kuhusu tabia za hawa ndugu zetu
@user-el3jf1yx1k
@user-el3jf1yx1k 6 месяцев назад
The fast women in the ward mama Samia chapa kazi kiongozi
@winniemartin7647
@winniemartin7647 2 года назад
Mama unashangaa nini? Ndo kinacho tukuta wananchi huko mitaani
@ndukulusudikucho_
@ndukulusudikucho_ 2 года назад
Lugha ya vitisho inatumika ili ujae upepo na uingiwe ubaridi, lengo ni Rushwa tu hapo, Anzeni na kituo cha Msimbazi maana pale wangekuwa wanaomba Rushwa ya pesa tungejua ndio Tanzania yetu, ila wanawadhalilisha saaana wanawake na wadada yaani wanaombwa rushwa za ngono hatari, na kuwajua ni kazi rahisi saaana muwahoji askari wapelelezi wa pale watasema yote
@user-zy5ru7pu9m
@user-zy5ru7pu9m 3 месяца назад
Ewalaaa mama Samia umeona apoe. Hatupendwi Zanzibar naneno muarabu niuadui kwahao wenzetu.
@lindajoasine8806
@lindajoasine8806 2 года назад
I love you Maman Samia suluhu 💕❤️
@BrunoMushi-uc1tv
@BrunoMushi-uc1tv Месяц назад
Hongera. Kaka. Kwa mvi. Zako
@wazirihamisi6484
@wazirihamisi6484 2 года назад
Umshukuru mungu ww upo serikalini upo na vyeo vyako sasa uliza lahiya wako 😭😭😭😭
@mashakaamosgabinza3893
@mashakaamosgabinza3893 2 года назад
Unachokisema nikweli Askari wetu wamejaa rushwa na uonevu kwa waendesha magari na bodaboda mm mwenyewe mashahindi nimetoka Mwanza to Arusha basi likasimamishwa sasa nikiwa dirishani wakawa wanapeana rushwa sasa dreva akaniona nimechungulia dirishani nasoma mchezo akaaza kuniambia unachungulia nn mm nikajiuliza hawa wenye mabasi kila siku watu wanakufa kwa sababu za high speed kumbe wanashirikiana kutoa na kupokea rushwa iliwatuue vzr hilonalo lichunguzwe siyo utani especially magari ya mkioani yana rushwa za kutosha ndiyo maana ajari haziishi basi likipata ajari kwmateni madreva wafungwe maisha jera wanatusababishia vifo
@hoseaseif2720
@hoseaseif2720 Год назад
Duh
@faridaaloyce7672
@faridaaloyce7672 2 года назад
Na Leo wewe ndy rais wao...waache kiburi wanaona Kama wamemaliza kila kitu wanajibu kwa jeuri sana
@florianpeter4727
@florianpeter4727 2 года назад
Mama toa namba ya simu utapigiwa Sana kuhusu polisi wa barabarani
@alexmzumbwe1328
@alexmzumbwe1328 Год назад
Rais SAMIA jaribu kusikiliza kilio cha mtumishi wa mungu MBALIKIWA MWAKIPESILE MBEYA ISYEISYE MAANA ANAHAKI YA KUSIKILIZWA KAMA LAIA WA TZ
@user-mz5sd1fj7w
@user-mz5sd1fj7w 7 месяцев назад
Kabisa mimi nilishawahi kutembea nchi mbalimbali lakini sijaona ma police kama wa tzt haswa pale sumbawanga ni wizi tupu lakini afadhari Na rais yamemkuta
Далее
His reaction 😳 (via @kaitlyn.b0506/TT) #shorts
00:10
Wait for it 😇
00:45
Просмотров 9 млн
His reaction 😳 (via @kaitlyn.b0506/TT) #shorts
00:10