Nafikir kama pangekuwa na safari ya 06 :00 kutoka morogoro ingependeza zaid maana watu wanatoka moro kufuata mahitaji mjin ila kutoka dar es Salam watu watakuwa wachache kutokana na mazingira yalioko kwa sasa Kwa mfano kituo cha mwendokas bado hakijaanza kutumika na pia mwendokas wanaanza root 05:30 hivyo hawez wahi kwa muda huo ili spande 06:00 Hakuna kituo cha daladala hapo tanzanite tofaut na posta station na abiria anabid aunge magar meng kufika hapo Ni maoni tu ndugu zang TRC
umeongea point sana watu wanafuata mahitaji mjini na wengine wanaweza kupanga Soga au PUGU alafuwakafanya kazi AU BIASHARA Dar, kama vipi train zipishane si mabehewa yapo yakutosha?
Kwa jinsi nilivyoona huu ni mwanzo kwa sababu zile treni nyingine zimepaki labda baada ya muda wataanzisha safari zaidi kwa sababu mi nakumbuka jumapili nilienda na hiyo treni morogoro saa 10 jioni na kuke moro ikayoka saa 1:30 usiku na dar ikafika saa 3:19usiku
Kwa hiyo hakuna safari za join kutoka moro kuja dar hii haijakaa sawa mi nilipanga niende moro asubuhi jioni nilud sa itanilazimu kulala au nilud kwa bas