Hongera mwanya Ray C,M.mungu kakuvusha mama kwenye hilo umetoka salama,maana hili janga linaharibu vijana....huku napo kaa kunasehemu yaan ndo wanauza nadhani unakuta vijana wamelala yaan mwonekano wao unahuzunisha aisee.....
Hivi ukivunja sheria ya barabara, UTASEMA ulikuwa hujui??? Mwanadamu ameumbiwa utaishi wa kusema Ndio au hapana.! Ukiwaruhusu watu kuingia kwenye maisha yako, halafu wakakugeuza tabia zako; unawajabika kwa kuwaruhusu waingie kwenye maisha yako. Alichosema ni sawa kabisa. Lakini na yeye anawajibika kwa kujihusisha na watu wasio tabia njema.
Marafiki wabaya huharibu tabia. Mtoto asipofundishwa kuchagua aina ya marafiki; atajikuta akihusiana na marafiki wabaya. Na huo utakuwa Ndio mwanzo wa yeye kuharibika. Hii binti shida iko kwenye malezi. Pengine hakufundishwa kuchagua marafiki. Au pengine alifundishwa lakini akashupaza shingo. Kwa sababu Hakuna mzazi anayeweza kufurahia kuona mtoto wake akitumia madawa ya kulevya. Sasahivi kuna mabinti hawapendi kukaa nyumbani. Akifisha tu miaka kumi nane. Anatafuta nyumba ya kupanga ili awe huru zaidi.
Mimi nakupendaga Sana wimbo wa ulinikataa bila sababu uliotoka mwaka 2004 2005 kama sijakosea wakati huo nipo form one nilikuwa nakupendaga Sana ule mwimbo...Sasa hongera yake ray c kwakuwa ok..mungu jalie Kila la heri
Nakumbuka wakati huo nilikua nataka kua model lkn Mungu mkubwa alisimama namimi kila nilikua nikitia guu najikuta narudi nyuma nilikua mzuri adi nikienda disco watu wanafikiria mmi Ray c
Na yeye pia anahusika… mambo yote mabaya yanayojiri maishani mwetu, tumechangia kwa namna moja au nyingine. Ukiruhusu mawasiliano Kati yako na mtu mwingine usiyemjua. Halafu baadaye akakutapeli. Unawajibika kwa kuruhusu kuendelea kuwasiliana. Kwa hiyo acha kulalamika. Wajibika….
Hajamtaja lord eyes sababu point yake ni mazingira hatarishi sio lord eyes, anataka watoto wa 2000 (gen z) wajichunge na mazingira yanayoweza kuwaingiza kwenye majanga sio wajichunge na lord eyes, obviously watoto anaozungumza nao haiwasaidii chochote kumjua lord eyes, huyo lord eyes mwenyewe kwanza nae ashakuwa mtu mzima aliyekomaa kiakili, kutuonyesha kuwa unaijua story ya Ray C na Lord Eyes haitufanyi tukuone mjanja au unajua sana vitu, tunakuona mshamba tu
watoto wa afu 2000 watakuona unazingua unaongea ujinga na unawaingilia maisha yao but wasave kama ulivyosema watakuja kuangalia tena walie baada ya kuharibikiwa
Huyo rais alijiharibia maisha yake mwenyewe kwa sababu alikuwa ni mwanamziki ambaye pengine labda angepeleka bongo flava sehemu fulani kwa upande wa wanawake lakini tu alivyoanza kuhusika na maswala ya mihadarati na kwa kutumia uzuri wake vibaya ndio maana amefikia hapo alipo mpaka sasa hivi anaweza akailaumu dunia ndio lakini yeye mwenyewe ndo kielelezo cha matatizo yake
Tunajua mtu anaitwa Lord Ayes wa kundi la weusi sutak kuendelea sana wee nyookaa tuu hcho cha Arusha nani alikua anakupa na alikua anakuchanganyishia na nini sisi tunajua ulikua vip na Lord Ayes kipindi hicho
Kuna interview nimesikiyaka kitambosana Kama ariyekufunza arikuwaka boy friend wako Kama ni eyes lord kamananiule nasahawu, any watuwaepuke kamampezinimteja muache 🏃♀️ asikuambukizi nikama ugonjwa
Wanawake Wengi Haswa Wa Kizazi hiki Lazima Yamkute Yakujuta Ndio apate muda wa kutulia na kufuata haki na ukweli ktk hii dunia ya sasa hivi hivi Ushauri Hauwatoshi
Wanawake Wengi Haswa Wa Kizazi hiki Lazima Yamkute Yakujuta Ndio apate muda wa kutulia na kufuata haki na ukweli ktk hii dunia ya sasa hivi hivi Ushauri Hauwatoshi