RC Malima upo " Serious" na maendeleo yetu na taifa. Namshukuru Mwenyezi Mungu kuja mkoani Morogoro. Tuna imani kubwa utaukwamua mkoa huu kutoka hapa tulipo. Hongera sana !
Jitahidi baba morogoro imeozaa,mkurugenzi hovyo kabisa,yaani morogoro wanefanya kama sehemu yakuchota hela,fuatilia hizo computer zote za wahasibu wa manispaa utagundua wiza mkubwa sana.
Pole sana Mweheshimiwa Mkuu wa Mkoa. Hao ndio watendaji uchwara kazi yao kubwa ni kutunisha matumbo yao bila kuweka Utaifa mbele. Ndio maana hawajui pato lao ndani kwe manispaa wanazo simamia
RC Malima, tafadhali tufuatilie Kiwanda chetu cha Sukari kilichokuwa kinajengwa Mkulazi kimekwama kukamilika kwa miaka yote, tatizo lipo wapi? Tusaidie hilo Mkoa na Taifa letu liongeze mapato. Karibu Mheshimiwa.
Mhe mkuuu wa mkoa mpya Adam Malima nilikufatilia sanaaaaa ktk uongozi wako naomba kukutana na wewe nikupe madudu ya wilaya Moja Kuna madudu haijawahi kutokea inchini Tanzania najua wewe utamaliza jambo ziti hilo
Daaah huyo jamaa hafai yaani afisa mipango hajui idadi ya majiji je vigezo atajua?? Fuatilia kero ya morowasa hawamalizii miradi ya maji,kata yote ya mkundi haina maji