God is good, and Diamond Platnumz❤ is awesome. I'm so proud ya kuwa Tanzanian 🇹🇿 na yeye Diamond Platnumz ni kati ya sababu ya kuwa proud 👏 love from Ireland 🇮🇪 💖
🧭🤳 Komasava ina impact kubwa duniani kwa ujumla mataifa mia moja na kitu. Nawapata nikiwa Msumbiji 🇲🇿 Mkoan Cabo Delgado mjini Pemba CarioCa Kazi nzuri wana SnS hapo studio🕊️✨✨
Main presenter aliyefungua aache ujanja ujanja wa radio hapo sio radio hapo ni SNS aje na identity yake lakini aendane na team nzima ya Sns aaache zile aaaaaaaah sijuiiii no anatakiwa aende straight sio aaaah u knoooow swag za nini bro ww need good flow and content presenter ukinza aaaaaaah nakuona huna content kichwani asikarike aichukue hii comment itamjenga zaidi me ni familia wa Sns since Day 1..
Nanukuu. ( Kwa sisi watanzania impact tutakayoipata ni kwa diamond platnumz kuwa Ametokea Nchin tanzania, lakn nasikitika sababu mziki unaotrend ni wa (Africa kusini) Amapiano. ( This is the main point kwa interview yote. Tujiulize mziki wa bongo flavor kwa nchi kama Amarica zitatrend lini?
Bongo flava halisi ni ipi? Marimbe ao Ngoma za usukumani? Hapana . Ao ni taarabu ? Kwa kifupi , bongo flava ni nyimbo yoyote ya kiswahili ila kuhusu beat Kuna zouk , reggae, hipap,r n b,ragga, blues, rumba, salsa,zooote zimeibwa HAPA bongo Hadi bongo bangra so muziki ni international
yani sisi wa shabiki zenu mulishagewukiya upande wapili sky acani kimupa mutu sifa Hana bado sana ila nawona nawona mwaka uyu munamupa grammy bila ivo sky mutawumbuka nawambiya
Sns itakuwa ni chombo kimoja Cha habari kikubwa na chenye kuaminika na kufuatiliwa watu wengi sana. Binafsi habari ninazithibirisha zikiripotiwa na Millard na sns, nikiona hawa wawili naipitisha kitu ambacho mwanzo nilikua naamini kwa Millard pekeyake