Yani lazima ujiamini Sana kama hv hakika hakuna wakukutisha kbs mzee hawamjui tu alipotoka na nchi hii... hahahahahaha uliwachana vzur kbs kbs sasa habari yao imekwisha...walikua wanaongoza nchi kwa misifa tu na kuaibisha watu hadharani..walikua wanaropoka na walijawa na roho za visasi...na hili wasituharibie nchi yetu na maendeleo yake amewawahi mapema sana