Leo February 14 2017 Kamishna wa Idara ya uhamiaji mkoa wa Dar es salaam, John Msumule amekutana na waandishi wa habari na kueleza kuwa wanamuhitaji mfanyaabiashara Yusuph Manji o kwenye ofisi hizo baada ya kutoka Hospitali kwa kile alichodai ni kuajiri wafanyakazi kutoka nje wasio na vibali.
13 фев 2017