Тёмный
No video :(

SAKATA LA MIKOPO YA 'KAUSHA DAMU', WAZIRI MWIGULU, NAPE WABANANISHWA VIKALI BUNGENI 

Wasafi Media
Подписаться 4,7 млн
Просмотров 13 тыс.
50% 1

𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2024 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm

Опубликовано:

 

26 авг 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 73   
@AbdilahiMriri
@AbdilahiMriri 3 месяца назад
Hongera sana Mhe Waziri kwa maelekezo mazuri. Lakini kubwa zaidi ili kusaidiwa upanukaji wa mikopo hakuna haja ya kuhangaika na Leseni kwa wakopeshaji.
@shawwalsharif9579
@shawwalsharif9579 3 месяца назад
Hapa waziri wa fedha hamna kitu dah nchi ngumu sana
@omary_maige5022
@omary_maige5022 3 месяца назад
Je mikopo ya kwenya app yenyewe wanaleseni?
@lillianflowergal4833
@lillianflowergal4833 3 месяца назад
Swali zuri hiliii! Napenda kujua jibu lake maana wanakeraaaa
@omary_maige5022
@omary_maige5022 3 месяца назад
@@lillianflowergal4833 unafikilia wanamajibu awa
@FatnaAlly-go7yt
@FatnaAlly-go7yt 3 месяца назад
Ooooh allah jaalia kila jambo kuwa wepesi kwa uwezo na utukufu wako yaaaaah rasullillah
@JohnSamwelsilungwe
@JohnSamwelsilungwe 3 месяца назад
Napenda sana spika anavyombanaga nchemba😂😂😂😂😂
@user-mm7vj3zw9l
@user-mm7vj3zw9l 3 месяца назад
Motivator of mine👆
@nazarethally9509
@nazarethally9509 3 месяца назад
Mheshimiwa spika upo vizuri sana umejua namna ya kui handle hii ishu
@LusajoKabuka
@LusajoKabuka 3 месяца назад
Wakati mkopaji anapikua na shida mtoto kafukuzwa chuo au anatakiwa alipe Hela ya mtihani ndipo anaenda kukupa mitaani anafanikisha mamba yake anapotakiwa kulipa anaanza kulalamika kausha damu kwnn asiende serikalin kukopa!!!t
@mwinukafundibombanjombe
@mwinukafundibombanjombe 3 месяца назад
Mbn wanzunguka wakati micro finance ndio tatizo..iv ni kwel hawajui jmn
@claudiussilas
@claudiussilas 3 месяца назад
Mikopo kupitia sm haiumizi sana,shida kubwa iko kwenye microfinance za mtaani zina riba kubwa wekeni utaratibu ili kuepuka adha hii kwa wananchi kwa kutoa mwongozo wa riba nafuu,kumbuka si wote wana vigezo vya kukopa benki
@zephaniachibaya2894
@zephaniachibaya2894 3 месяца назад
Wewe mnunge uki vizuri sana
@costamasuba1099
@costamasuba1099 3 месяца назад
Kausha damu,imeshindikana kuzibitiwa kisheria ,hivi hakuna sera zenye unafuu ,kwenye ujasiria Mali kama nchi nyingine.
@ramsomaro9130
@ramsomaro9130 3 месяца назад
Kwan kausha damu hawapo kisheria
@KudratyRamadhan-cm3xh
@KudratyRamadhan-cm3xh 3 месяца назад
@@ramsomaro9130 nashangaa naakati unakuta wana lesen inamaan wameluhusiwa kisheria, n kila ofic inariba yake
@alexenock7882
@alexenock7882 3 месяца назад
Shida ya hawa wanaojadili sio wakopaji wa mikopo hiyo ndio amaana wanaona mambo rahisi rahisi, ila kiukweli wananchi wanaumia na hii mikopo inayotokana na kampuni za simu.
@tanzaniacarschannel6975
@tanzaniacarschannel6975 3 месяца назад
Hoja mzuri but very unfortunately wqbunge hawaja jiandaa kutoa michango inayofaa
@richzebest2029
@richzebest2029 3 месяца назад
Wabunge wetu wanatupenda sana,hakika wanatutetea kwa uchungu mno..uchaguzi umekaribia
@sebastiansalamba313
@sebastiansalamba313 3 месяца назад
Hivi Tanzania hii kweli unakuwa na waziri ambaye hamsaidii mwananchi nakuambie spika jamaa wanahusika na hizo Kaushal damu
@ramsomaro9130
@ramsomaro9130 3 месяца назад
Hao kausha damu ndo nn kampuni za mikopo zote zina reseni mzee
@LoseSanga
@LoseSanga 3 месяца назад
Hivi najiuliza hao nyonya damu wanapita nyumba kwa nyumba au nyie ndomnafata maofisini kwao
@hamishassan6784
@hamishassan6784 3 месяца назад
Mikopo ya Riba ni tatizo sana na Tatizo kuu lipo kwenye hizi taasisi zilizosajiliwa kabisa kisheria wala sio hao wanaokopesha kimahusiano kupindisha ni kwa kuwa wanufaika ni hao hao ila inaumiza sana
@chechekagire404
@chechekagire404 3 месяца назад
Kwann tatizo lisiwe Kwa Wakopaji, na je unadhan hizi taasisi zinapoteza pesa kiasi gani?, dah! Judgement with low brain n shida sana
@hamishassan6784
@hamishassan6784 3 месяца назад
@@chechekagire404 huwenda ukawa na Brain kubwa lakini ukawa na uwelewa mdogo, na hii inaoesha hata ujui tatizo nini hasa, nakuombea kwa kuwa tayari imeshakuwa na big brain ujaaliwe uwe na uwelewa mpana usikurupuke kijana elewa kilichozungumzwa weka mihemko yako nyuma. Ndiye Binadamu wakwanza kutoona tatizo lililopo kwenye mikopo na uwendeshaji wake. "Salama"!!!!!!!
@elicktilia4430
@elicktilia4430 3 месяца назад
Very simple but hard
@ZakariaChacha-ze4mt
@ZakariaChacha-ze4mt 3 месяца назад
Mikopo sio mibaya watu ndo hawasimami Kurdisha mikopo
@zakariamponzi-rm9kc
@zakariamponzi-rm9kc 3 месяца назад
Jamani huyu waziri mbona simuelewi anautani na watanzania hii hali ni mbaya
@omarisaid7318
@omarisaid7318 3 месяца назад
10:08
@deusmauka8270
@deusmauka8270 3 месяца назад
Kausha damu zipo, simu ya laki 3 unalipa laki 6 ndani ya miezi 6 si uligaji huo, kausha damu zipo kwenye mikopo mpaka kwenye makampuni.
@lusekelonelson7256
@lusekelonelson7256 3 месяца назад
Wala hela za Mpesa hazitoki kwenye bank yoyote
@lusekelonelson7256
@lusekelonelson7256 3 месяца назад
Mikopo ya Mpesa haiwekwi na Banki ni hao Mpesa wenyewe
@EliaHiluka-uz3ty
@EliaHiluka-uz3ty 3 месяца назад
Huyo wakala wa ofisi ya mikopo
@ahmedkasuku4394
@ahmedkasuku4394 3 месяца назад
Huyu kisasi financing ana leseni?
@eliaskangabo779
@eliaskangabo779 3 месяца назад
Wamesajiliwa na ofisi zipo
@EdenAChoir
@EdenAChoir 3 месяца назад
maana yake uchumi wa wananchi wetu hauko sawa .muheshimiwa waziri mambo haya ambayo unaona ni madogo ndio matatizo yetu hasa.
@masaluwashima6887
@masaluwashima6887 3 месяца назад
Mh tulia umeupiga mwingi wana haya ni majambazi hata Kodi hayalipi kwa serikali 💯 riba
@AshuraSaid-ep2sx
@AshuraSaid-ep2sx 3 месяца назад
Hivi jamani mpaka mhe tulia awaeleweshe,ni kweli taasisi za mikopo riba kubwa,watu wanajinyonga jamani,sijawai ona ety mtu anakopa laki Moja anarudisha Kwa siku elfu 4,BOT wajua Hilo,jamani futilien,au mnajuana?
@EdenAChoir
@EdenAChoir 3 месяца назад
hayo ndio matatizo ya wananchi wetu na tunatakiwa kuyafanyia kazi .tunatakiwa kujua kwa nini kunakausha damu maana yake kunatatizo kubwa
@MohamedRashid-py7ro
@MohamedRashid-py7ro 3 месяца назад
Hapo kuna cheni ya wizi ya kuwaibia wananchi hayo mmabank
@LoseSanga
@LoseSanga 3 месяца назад
Hivi najiuliza hao nyonya damu wanawafata nyumbani au nyie ndo mnawafata maofisini kwao
@PauloMosha
@PauloMosha 3 месяца назад
Mh sikuelewi kabisa
@wilfredlucas-nf6yo
@wilfredlucas-nf6yo 3 месяца назад
Mikopo ni mizuri ila wakopaji ndo tatizo hawarejeshi kwa wakati
@sebastiansalamba313
@sebastiansalamba313 3 месяца назад
Wahusika ni mawaziri wanapata faida haramu
@AshuraSaid-ep2sx
@AshuraSaid-ep2sx 3 месяца назад
Laki mh wazir wa fedha,mbona we ni mchapa Kaz mzur sana,wapiga kura wetu wanaumia sana,hasa wamama wakaanga mihogo,anapewa laki Moja Kila siku alipe elfu 4,Kwa mwez laki na 20,mtaji alo nao haufiki hiyo elfu 4,kumbe laki alikopa Kwa kulipa Kodi ya nyumba,
@KudratyRamadhan-cm3xh
@KudratyRamadhan-cm3xh 3 месяца назад
Hiyo mikopo navyoona kama mtu atakopa kwaajil y kulipia kodi radhim ataiona n michungu ila kwaatakae chukua hiyo pesa n kuongezea kweny mtaji wa biashara yk hatoshindwa rudia hiyo sijui elf3 kwa siku
@SadicMgimba-ww8ib
@SadicMgimba-ww8ib 3 месяца назад
Hata angekopa kwingine kwa staili ya hiyo rejea angelica shida ya kufilisiwa tu
@AshuraSaid-ep2sx
@AshuraSaid-ep2sx 3 месяца назад
Toene leseni na maelezo ya riba,mbona ikiingia hotelin Kuna bei ya vyakula,nyinyi mkisha toa leseni mnasinzia maofisini mnasubiria Kodi yunu tu,hamjui wapiga kura wetu wanaumia, 2025 mnaomba kura,mnakichafua chama chetu,hebu mhe wazir we ni jembe nakujua vizur sana fuatia hili,
@user-vv1yh6lo3l
@user-vv1yh6lo3l 3 месяца назад
Kuna Tulia trust , Mo Dewji, Jokate nk hizi ni zenye leseni ya BOT?
@lusekelonelson7256
@lusekelonelson7256 3 месяца назад
Nape una babaisha tu.
@EliaHiluka-uz3ty
@EliaHiluka-uz3ty 3 месяца назад
Hayo ni maelezo ya kihuni harafu unqjibu waziri
@faustinombilinyi9809
@faustinombilinyi9809 3 месяца назад
Daaaah mwigulu maswali magumu unajibu kihuni kihuni tuuu hivi hamzioni barabarani humu microfinance duuuuh
@lucasandrew1112
@lucasandrew1112 3 месяца назад
Nimependa maelezo yao yamenyooka
@jamaa2760
@jamaa2760 3 месяца назад
Kuna mikopo ya mitandaoni
@deogratiashaule8958
@deogratiashaule8958 3 месяца назад
Mikopo hii ni mauaji ,watu mpaka wanakimbia majumbani.
@ramsomaro9130
@ramsomaro9130 3 месяца назад
Aliitwa kwenda kukopa
@wilfredlucas-nf6yo
@wilfredlucas-nf6yo 3 месяца назад
Wanakimbia Sababu ya matatizo yao tu because mtu mwenye akili timamu huwezi kukimbia na hela Za watu
@omarisaid7318
@omarisaid7318 3 месяца назад
Punguzeni ribs ndokaushadamu mara sm benk
@SYLMASVISIONFORSCIENCE
@SYLMASVISIONFORSCIENCE 3 месяца назад
What is wrong with mwigulu??
@BornfaceFumpa
@BornfaceFumpa 3 месяца назад
Spika unaongea Sana... Wape wabunge nafasi
@chesconkwera2005
@chesconkwera2005 3 месяца назад
Mkuu kama kachochorq vile
@SamwelMakambuya
@SamwelMakambuya 3 месяца назад
Kauxadamu nibalaa
@AshuraSaid-ep2sx
@AshuraSaid-ep2sx 3 месяца назад
Ety mikopo ya makampuni ya simu inawekwa na benk,msiwadanganye watu, BOT wanajua Leo mi saidi nimekopa mda wa maongez wa elfu 2,riba yake mia 3,acheni kuwafanya wa tz wajinga,
@dickngimba4333
@dickngimba4333 3 месяца назад
mm sijaelewa kabsa
@dicksonelisa867
@dicksonelisa867 3 месяца назад
50000 riba ni 10000 Kwa mwezi
@LoseSanga
@LoseSanga 3 месяца назад
Hivi najiuliza hao nyonya damu wanapita nyumba kwa nyumba au nyie ndomnafata maofisini kwao
@samsonpaschal5044
@samsonpaschal5044 3 месяца назад
Mikopo yote ya Mabenki, riba zake ziko juu sana. Serikali imeshindwa ku-regulate hizi riba, wanakimbilia tu market forces. ni kukwepa wajibu. Riba ni za juu sana kuliko hata huko Ulaya. Kausha damu ipigwe malufuku- period. Mambo ya kisheria, wanaojibu ni mawaziri wasio na utaalamu wa sheria. Tuna safari ndefu bado.
@mlangakiaratu9292
@mlangakiaratu9292 3 месяца назад
So kausha damu ni interest ipi
@KudratyRamadhan-cm3xh
@KudratyRamadhan-cm3xh 3 месяца назад
Hizo ofic kupigwa marufuk sio sawa mn kuna watu wananufaika kupitia hizo kweny serilak hakuna sehem mwananch anawez kukopa kwa haraka, kwawalio n lesen hao wamtaani seriakl iweke kiwang cha riba iwe nafuu w mwananch wa chn
@samsonpaschal5044
@samsonpaschal5044 3 месяца назад
@@mlangakiaratu9292 Kuanzia 50 + na kuendelea, rejea maswali ya speaker kwa Nchemba kule Bungeni
Далее
LISSU AFUNGUKA SIMBA KUPEWA JINA LAKE  NA RAIS SAMIA
6:34
I Took a LUNCHBAR OFF A Poster 🤯 #shorts
00:17
Просмотров 2,1 млн
ПОЁМ НАРОДНЫЕ ПЕСНИ🪗
2:04:11
Просмотров 1,1 млн
TAHADHARI YA MIKOPO INAYOTOLEWA MITANDAONI
6:32
Просмотров 6 тыс.
I Took a LUNCHBAR OFF A Poster 🤯 #shorts
00:17
Просмотров 2,1 млн