Hongera sana Mhe Waziri kwa maelekezo mazuri. Lakini kubwa zaidi ili kusaidiwa upanukaji wa mikopo hakuna haja ya kuhangaika na Leseni kwa wakopeshaji.
Wakati mkopaji anapikua na shida mtoto kafukuzwa chuo au anatakiwa alipe Hela ya mtihani ndipo anaenda kukupa mitaani anafanikisha mamba yake anapotakiwa kulipa anaanza kulalamika kausha damu kwnn asiende serikalin kukopa!!!t
Mikopo kupitia sm haiumizi sana,shida kubwa iko kwenye microfinance za mtaani zina riba kubwa wekeni utaratibu ili kuepuka adha hii kwa wananchi kwa kutoa mwongozo wa riba nafuu,kumbuka si wote wana vigezo vya kukopa benki
Shida ya hawa wanaojadili sio wakopaji wa mikopo hiyo ndio amaana wanaona mambo rahisi rahisi, ila kiukweli wananchi wanaumia na hii mikopo inayotokana na kampuni za simu.
Mikopo ya Riba ni tatizo sana na Tatizo kuu lipo kwenye hizi taasisi zilizosajiliwa kabisa kisheria wala sio hao wanaokopesha kimahusiano kupindisha ni kwa kuwa wanufaika ni hao hao ila inaumiza sana
@@chechekagire404 huwenda ukawa na Brain kubwa lakini ukawa na uwelewa mdogo, na hii inaoesha hata ujui tatizo nini hasa, nakuombea kwa kuwa tayari imeshakuwa na big brain ujaaliwe uwe na uwelewa mpana usikurupuke kijana elewa kilichozungumzwa weka mihemko yako nyuma. Ndiye Binadamu wakwanza kutoona tatizo lililopo kwenye mikopo na uwendeshaji wake. "Salama"!!!!!!!
Hivi jamani mpaka mhe tulia awaeleweshe,ni kweli taasisi za mikopo riba kubwa,watu wanajinyonga jamani,sijawai ona ety mtu anakopa laki Moja anarudisha Kwa siku elfu 4,BOT wajua Hilo,jamani futilien,au mnajuana?
Laki mh wazir wa fedha,mbona we ni mchapa Kaz mzur sana,wapiga kura wetu wanaumia sana,hasa wamama wakaanga mihogo,anapewa laki Moja Kila siku alipe elfu 4,Kwa mwez laki na 20,mtaji alo nao haufiki hiyo elfu 4,kumbe laki alikopa Kwa kulipa Kodi ya nyumba,
Hiyo mikopo navyoona kama mtu atakopa kwaajil y kulipia kodi radhim ataiona n michungu ila kwaatakae chukua hiyo pesa n kuongezea kweny mtaji wa biashara yk hatoshindwa rudia hiyo sijui elf3 kwa siku
Toene leseni na maelezo ya riba,mbona ikiingia hotelin Kuna bei ya vyakula,nyinyi mkisha toa leseni mnasinzia maofisini mnasubiria Kodi yunu tu,hamjui wapiga kura wetu wanaumia, 2025 mnaomba kura,mnakichafua chama chetu,hebu mhe wazir we ni jembe nakujua vizur sana fuatia hili,
Ety mikopo ya makampuni ya simu inawekwa na benk,msiwadanganye watu, BOT wanajua Leo mi saidi nimekopa mda wa maongez wa elfu 2,riba yake mia 3,acheni kuwafanya wa tz wajinga,
Mikopo yote ya Mabenki, riba zake ziko juu sana. Serikali imeshindwa ku-regulate hizi riba, wanakimbilia tu market forces. ni kukwepa wajibu. Riba ni za juu sana kuliko hata huko Ulaya. Kausha damu ipigwe malufuku- period. Mambo ya kisheria, wanaojibu ni mawaziri wasio na utaalamu wa sheria. Tuna safari ndefu bado.
Hizo ofic kupigwa marufuk sio sawa mn kuna watu wananufaika kupitia hizo kweny serilak hakuna sehem mwananch anawez kukopa kwa haraka, kwawalio n lesen hao wamtaani seriakl iweke kiwang cha riba iwe nafuu w mwananch wa chn