Тёмный

Salama Na Idris Ep 8 | TROOPER Part 1 

YahStoneTown
Подписаться 395 тыс.
Просмотров 309 тыс.
50% 1

#YAHStoneTown #SalamaNaIdris #Trooper #Idris
Listen our Podcast on
‪Spotify Link spoti.fi/2Uxr6Cm‬
‪ApplePodcasts Link apple.co/2Ou1bru‬
‪RU-vid Link bit.ly/RU-vidSalamaNa
Soundtrack Yeah by @MarcoChali • Marco Chali Feat One T...
TROOPER
Mimi kama watanzania wengi sikuwa namfahamu Idris, mara yangu ya kwanza kumuona ilikua kwenye TV akiwa mmoja wa wawakilishi wa Taifa hili kwenye kipindi cha Big Brother mwaka 2014. Nilivyouandika hapa huo mwaka ndo imenigusa akilini kwamba ni miaka sita tu imepita toka Idris Sultan amekua kwenye macho na midomo yetu. Na pengine ataendelea kuwepo kwenye midomo na macho yetu kwa miaka mingi zaidi, kuna sehemu nilikua naangalia interview yake moja na alisema yeye umaarufu ndo kitu ambacho anakipenda zaidi, pengine na ndo maana alienda kwenye shindano la Big Brother Africa na toka ametoka mule kama mshindi sidhani kama kuna wa kumsimamisha au cha kumsimamisha yeye kuweza kutimiza ndoto yake hiyo.
Kama kijana mwengine yoyote toka tumfahamu Idris amefanya mambo mengi ya kutuonyesha kipaji chake, kuanzia vipindi vya radio na tv, ku mc shughuli mbali mbali, kufanya comedy na sasa kaamua kujikita kwenye uigizaji na hakuna swali juu ya kipaji chake cha uigizaji kama kimepamba moto ivi na pia inaonekana amenza kijielewa na sidhani kama kuna wa kumsimamisha.
Idris aliweza kushinda zile pesa za Big Brother ambazo zilikua ndo habari ya mjini, inawezekana pia zile pesa zilikua na Tanzania nzima maana nakumbuka hasa mahesabu yalokua anapigiwa baada ya ile hela ‘kuyeyuka’ katika mazingira ya kutatanisha kitu ambacho kilimfanya awe kama kichekesho cha nchi. Inachukua moyo wa ziada kuweza kupambana na mawe ambayo kijana huyu alikua anarushiwa kutoka kila kona ya kuhoji na kudhihaki maisha yake na baadhi ya maamuzi ambayo aliyafanya kwenye maisha yake. Na nadhani mpaka hapa tulipo? Idris 10 sisi 0! Nakumbuka kama miaka mitatu iliyopita nilikua na kikao nae sehemu akaniambia anashkuru sana haya sote yametokea kabla hajafikisha miaka 25, kwa yeye kuweza kufanya mistake kama alofanya nyuma haiwezi kutokea tena. Anaamini amejifunza mengi na kuyaona mengi baada tu ya kupitia mtihani ule.
Kwenye maongezi yetu haya tulikua hatuwezi kuacha kuzizungumzia pesa hizo ‘za taifa’ na kutaka kujua haswa kinaga ubaga juu ya nini haswa kilitokea. Pia kuhusu mahusiano ya kimapenzi yalowahi kutokea maishani mwake, vipi aliweza kupambana na mawe yaliyokua yanarushwa upande wake, humu pia tumezungumzia biashara michongo ya mjini, kipaji chake na mipango yeke endelevu pia. Here’s to our Trooper, tafadhali enjoy!
Love,
Salama.
Follow:
Twitter: / yahstonetown
Instagram: / yahstonetown
Facebook: / yahstonetown

Развлечения

Опубликовано:

 

21 мар 2020

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 471   
@bensonmartin3495
@bensonmartin3495 Год назад
Tuliorudia hii interview 2023 gonga like hapa tujuane
@geofreykagaruki1999
@geofreykagaruki1999 4 года назад
Kumbe Ruge kaplay part kwenye maisha ya watu wengi eeh day RIP bro you where really an icon na motivator na minua watu
@theclassicone7470
@theclassicone7470 3 года назад
Kwa mara ya 10 naangalia hii Interview, my best interview of all the time
@johnedward8760
@johnedward8760 3 года назад
Duh!
@JeffAgriculturefarm_4949
@JeffAgriculturefarm_4949 Год назад
Nikajua Ni mm tuu nailudia kilaa sikuu🤣🤣🤣
@Jose_Junior7
@Jose_Junior7 11 месяцев назад
Nmechelewa kuifuatiliaaa 😂
@latriciah01augustino67
@latriciah01augustino67 4 года назад
Daaah! Usiamini mtu yoyote kwenye haya maisha 🙌🏽🙌🏽 ila kuanguka ndo kufanikiwa
@peetahluzwilo6560
@peetahluzwilo6560 4 года назад
Historia ya idriss yafaa kuwa kitabu, ni Zaid ya motivational note, inaumiza Kuna muda unatoa chozi, mwisho wa siku Mungu wa wote Mungu ni wa Second chance... fantastic interview
@chiefgustavo587
@chiefgustavo587 4 года назад
This is moree than Interview,,, sijui kwa nini mnataka motivational speakers kutoka nje ambao wanaaoongea tu hawajapitia chochote kilee. Yaani Idris kwa changamoto ulizopitia na hapo ulipo fikaa unasahili Tuzo na pongezi nyingi saana .Hongeraaa kwa kwa hi exclusive .. #Yahstonetown #SisSlamaa nice Job
@florakilasi8027
@florakilasi8027 4 года назад
Upo sawa sana,nimejifunza sana na nimependa mno...tuna kila sababu ya kujali tulivyonavyo...na kuvipa nafasi!
@jameselias5277
@jameselias5277 4 года назад
@@florakilasi8027 kwel
@eliabeliud490
@eliabeliud490 3 года назад
Nime download naitajiiii kuisikiliza Mara kwa Mara koz imenifundisha sanaaaaa sanaaaaa daaa
@Basil411
@Basil411 4 года назад
We need interviews like this one, Idris r the MEN....
@idrissambazumitima7866
@idrissambazumitima7866 3 года назад
wangapi wanatazama hiii interview mwaka huuu mimi ni mrundi kusema kweli napenda sana kufuatilia kipindi hiki na niko inspired na salama kwa sababu na mimi ni mtangazaji kutoka Burundi
@hamzamoshi8275
@hamzamoshi8275 4 года назад
Idriss hii nizaidi ya shule kwauliyopitia naukainuka wewe ndio wale watu wakisema getromen ndio wewe sasa ml 600 inapotea yani ile vuup alafu unapata tena nguvu yakuinuka aiiiiseee hakuna mfano wake wengi wetu tungekimbia nchi kabisa au kujikatisha uhai unaweza kusema kama uchawi hivi IDRIS RESPECT BRO MUNGU AKUBARIKI SANA KING
@diocreshezron4087
@diocreshezron4087 3 года назад
Nimejifunza mengi kutoka kwa Iddris among of my role model
@husnastylist5134
@husnastylist5134 4 года назад
Wallahi mwanadamu akiwa hana madeni ni raha ajabu....mungu atusahalishie sote
@apollojohn5698
@apollojohn5698 3 года назад
Kama nakujua vile
@husnastylist5134
@husnastylist5134 3 года назад
@@apollojohn5698 mimi pia haaaahaaa
@apollojohn5698
@apollojohn5698 3 года назад
Nitumie namba yako please
@jabarmalid5393
@jabarmalid5393 4 года назад
Kuna Mzee mmoja alikua akishika nafasi kubwa Sana serikalini ila siku amelala hospital alisema saidia Na usahau maana hakukua Na mtu yoyote toka familia yake, ni Mimi Na baba yangu tu ambae zamani hiyo hawakua Na ukaribu ila ukaribu ulitokana Na wazazi wao. Ni Leo hii tena nasikia neno hili saidia Na usahau.
@zaidalnoamani5364
@zaidalnoamani5364 4 года назад
Story nzuri pamo mafundisho mengi nakupenda salama 😍😍😍
@heriethndunguru4911
@heriethndunguru4911 4 года назад
Aisee ktk hii dunia jiamini mwenyew na Mungu tu
@funnyvideosandvichekesho.1862
@funnyvideosandvichekesho.1862 4 года назад
Afu utakuta mtu anataka inspiration speaker from outside the country dah.
@LoveLove-zm9nb
@LoveLove-zm9nb 4 года назад
There is so much strength in you Idris.. its not easy to talk about personal struggles.. I admire you for that. You are an inspiration 🤗
@Zawadi-1
@Zawadi-1 4 года назад
Wow, umefanya vema Idris, umeni inspire kiukweli, namimi napitia the same thing japo tofauti kiasi.Ila nimejifunza kitu.
@Souza_G_94
@Souza_G_94 3 года назад
Poleeeee pia my dear trust on the process you will walk through t out...
@abubakarihamissi4178
@abubakarihamissi4178 4 года назад
Aise hii interview imenipa shule kubwa ambayo kwenye maisha yangu sijawahi kupata shule kama hii, mungu akubariki sana salama j
@fefenailsandmakeup1353
@fefenailsandmakeup1353 4 года назад
Nilichojifunza biashara inakutaka wewe kuliko mtu yeyote yule...kama huwez kuisimamia biashara yako funga biashara hiyo👐👐🔥
@sadadullah3830
@sadadullah3830 4 года назад
Nice and real
@zaylaizer6542
@zaylaizer6542 Год назад
Kweli
@paskaldominic5725
@paskaldominic5725 Год назад
Hujawahi shika hela...so tulia kwanza uzipate zipotee then ujue namna ya kukusanya taratibu...you will never start from the crush but you will start in experience
@Richard_Range
@Richard_Range 3 года назад
One thing i learned in this Life, is that WHATEVER YOU GO THROUGH, IS MENT TO SHAPE YOU BETTER LATER! Speaking from His Experince and Mine Which kinda relate! And as they say, ITS NOT HOW YOU FALL, its HOW YOU GET UP!!!! Much Love Iddy
@simp1eone
@simp1eone 3 года назад
Sir can you please teach me Swahili? Maybe via whatsapp voicenotes
@Richard_Range
@Richard_Range 3 года назад
@@simp1eone welcome! I will be glad to
@shemahlupiga4580
@shemahlupiga4580 Год назад
This interview can made me more perfect in advice on the fact of life struggling
@marymichelle6280
@marymichelle6280 4 года назад
Among of the best interview I have watched!! Imenifundisha, imenioniumiza na imenichekesha. Lesson learned!! Thank you Salama!! And thanks Idris for being open. Umetufunza wengi.
@nkaliedward8900
@nkaliedward8900 3 года назад
" once you have realized you have losted ,you will look back and come for new" that is profoundly liberating = granted
@strong8534
@strong8534 Год назад
Losted doesn't exist ma brother
@alexshallom3094
@alexshallom3094 4 года назад
Ubora wa Mtangazaji Na KIPINDI unafanya muhojiwaji afunguke vingi
@tausak4568
@tausak4568 4 года назад
True❣️
@missdija4959
@missdija4959 4 года назад
Fact.
@SuperKibwana
@SuperKibwana 4 года назад
Amazing sana kwa kweli. Nimesoma kitu kikubwa kutoka kwa Idrisa. Thanks Salama J.
@yusufkharif2204
@yusufkharif2204 4 года назад
Huyu idris nilikuwa nikimuona boya lakini kweli wanadami hawafai kudhania idris bro hii story yako wallahy imeni touch nanisomo kwako na kwetu but am now number one shabiki wako brudah umeongea vitu tafauti na wewe tunavokuchukulia safari njema kwa maisha yako we learn through mistakes
@babyhamisi5331
@babyhamisi5331 4 года назад
Nimesikitika,nikacheka,na nikajifunza ,shukran sana salama kwa kutuletea idhris
@newbeginnings9019
@newbeginnings9019 4 года назад
Wow Idris...great man and very positive.🤴🤴. Kweli nimeamini never put too much trust on friends..they will betray you more quickly for they will be easily aroused to envy...yani nakuelewa so well. Salama that's not stupidity ni kwamba watu hawana Aibu wala utu. watu ni wabinafsi na matapeli in short uyo rafiki yake alimtapeli sana mpaka akasababisha his downfall.....cause listening to the interview the guy was generous and thoughtful as he thought about uplifting his friends who helped him in his journey. Tatizo hao marafiki ni feki yani wabayasana. Yani na nimeshukuru kwamba ameweza kujikusanya nakurudi katika umaridadi wake....mungu atakusaidia siku zote endapi nia yako taangia mwanzo haikua mbaya. Sasa Idris ameweza kuja Juu naamepata mafanikio ninaamini atafika mbali na endapo ataweza kujifunza na kukumbuka kutokana na uzoefu ya mambo aliyofanya na lupita apo nyuma ataweza kuimarika ni kwamba usimuamini mtu yeyote..and salama thankyou for this interview it was very interesting na nimependa set up ya interview room yenu..it doesn't look like an interrogation centre or a cave...😁
@bigboyben6932
@bigboyben6932 4 года назад
Big up Ecejay!Heshima kwako bro Idris,you’re the man. Daammn this LIFE 🙌🏿
@florarose1626
@florarose1626 4 года назад
Ben fr man he the man
@saumusalimuhassan2499
@saumusalimuhassan2499 2 года назад
Dah! Mimi ningekufa kwa pressure, hongera sana Idriss kwakuvuka hayo mapito.
@witnesskihiyo5208
@witnesskihiyo5208 4 года назад
He's a very strong person and underrated congrats Idris
@vickiemagige3256
@vickiemagige3256 4 года назад
This is more than interview..., Mwenye timamu kapata kitu apaaa..., Uyu jamaa hajawah kubore keep it up broo
@florarose1626
@florarose1626 4 года назад
Vickie Magige nakwambia ambaye haja jifunza hapa sijuwi anawaza nini 😅😍
@sherrysalim50
@sherrysalim50 4 года назад
Hao ndio marafiki ukiwaamini sana lazima wakutende na kukutenda kwao ni kukurudisha nyuma hawakumbuki wema wala fadhila ....... yamenikuta Hayo sitamani rafiki kwa sasa ndugu wananitosha Alhamdulillah
@fefenailsandmakeup1353
@fefenailsandmakeup1353 4 года назад
Best interview of the year Siichoki nairudia mara 3 sasa
@innocentnovart5990
@innocentnovart5990 3 года назад
Bless you Ma'am for what you are doing...this is so priceless. And kwa bro Idris, thank you for the honesty and the life lessons....I am taking notes Sir.
@Mooncake_tz
@Mooncake_tz 4 года назад
This is one of the most inspirational interview..i hope we viewers learned a thing or two.
@worldlyricssongs6141
@worldlyricssongs6141 4 года назад
Ndio maana nasemaga hii ni my favorite show....alipo salama mambo yapo vizur sanaa ❤🥰
@maconceptkijonjo8796
@maconceptkijonjo8796 4 года назад
Aiseee hongera sana sister Salaam Allah akubless saana pia hongera Idriis kufight hadi leo umekua somo kwa wengnine
@bablematz1309
@bablematz1309 4 года назад
Nzuri... Inahamasisha kuto kukata tamaa... 🔥
@kaulimbiu181
@kaulimbiu181 4 года назад
Honey Salama hii ya Idris nimeiona leo ndo nimemaliza baada ya kula daku. Babe Dubai summer imeanza tuombeane sahali inshaaAllah. Love u right, left and centre 😘😍😘
@kidadakidawa1588
@kidadakidawa1588 4 года назад
Duh🙄Mwanaume na nusu,nimepoteza ml moja tu kwenye kilimo cha nyanya nahisi kunyemelewa na kisukari,Speaking of 600 ml hata kaburi langu lingekuwa limeshatitia.Mungu nijaalie moyo km wa Idris mimi🙏🏽
@FrankSteven_Tech_Eink
@FrankSteven_Tech_Eink 4 года назад
Hahahaa dah broh
@lovenessmwaipopo9168
@lovenessmwaipopo9168 4 года назад
😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@esterdanford9683
@esterdanford9683 4 года назад
Maisha yana mengi..
@esterdanford9683
@esterdanford9683 4 года назад
Amen atakupa huyo moyo @kidada kidawa
@clementinamchau4741
@clementinamchau4741 3 года назад
kidada umenichekesha...😁
@AmCool_
@AmCool_ 4 года назад
Sauti ipo sooooo clear. Awesome!!!
@cornelmichaelz
@cornelmichaelz 4 года назад
sure l was taking this man for granted but today l learned a lesson ,And it is the best interview.
@lovelife99999
@lovelife99999 4 года назад
Mi nilinamchulia poa kukuliko, dah respect!
@jacksonchami9959
@jacksonchami9959 3 года назад
You should know they make up some of those stories to make it interesting....am sure it didn't happen as he narrates it.
@patriciomanuelmwadi525
@patriciomanuelmwadi525 2 года назад
Hichi kipindi au hii program ninzur kina faaa sanakufuatilia salama my sister hongera sana brow pole sana kwa uliyo yapitia kwamana misukosuko kamahiyo mtu mwenye roho nyepesi angewza atakupatwa na magojwa sugu kwajir ya mawazo kamabinadam, ila histor yako ina azet flani kwenye maisha, ila nakubali apo kwenye fani ya sister suzi nae duh!
@misshappinessnovy8083
@misshappinessnovy8083 4 года назад
Love the session ,Salama Na I.Sultan . Learnt alot from it
@chengobabahk3901
@chengobabahk3901 Год назад
Hii interview niliipenda sana.Bigup Salama
@ikupakyalaalimwenr8156
@ikupakyalaalimwenr8156 4 года назад
Jamanii from million mia 6 to zero kuna cha kujifunza hapa, kwamba Mungu akiamua kuchukua chake anachukua
@iamzillahx6901
@iamzillahx6901 4 года назад
Not 6mill it was 600mill
@ikupakyalaalimwenr8156
@ikupakyalaalimwenr8156 4 года назад
@@iamzillahx6901 yah nimeandika million mia 6😂😂😂
@krauseboss3240
@krauseboss3240 4 года назад
Ikupakyala Alimwenr du pesa kama hizo unafaa kununua kwanza nyumba
@beatricekingsley5062
@beatricekingsley5062 4 года назад
Duuh me roho ingeniuma million mia 6 zote
@VeeJayOfficial
@VeeJayOfficial 4 года назад
Thank you so much Salama. Yani you are the best ... ever since Idris alipo toka BBA, alikwepa sana kuongelea iyo issue ya money but you made it happen, so I’m so thankful for that because I have been looking forward to hear this story for a very long time
@nessmwambogolo2545
@nessmwambogolo2545 4 года назад
Salama nakupenda Sana ❤️ ila zaidi nakupendaga kwenye ile staili ya Kwanza yaani kunyoa viduku nakupendaga bureeeee 💪💪
@annakattoa7502
@annakattoa7502 4 года назад
Doooooohh this man kapitia hard time but he stand strong, yo billionaire. Yo inspiration.... Salama yo best tv presenter
@florarose1626
@florarose1626 4 года назад
😂😅😅😅 nihera tu this story is amazing 😉😍😍 Idriss we noma, and yeah fake friends still exist 😍
@eliarichard9218
@eliarichard9218 4 года назад
bonge LA kipindi salama umetisha sana idrisi.
@queenshio8300
@queenshio8300 4 года назад
This is more than a motivating story 🙌
@babyhamisi5331
@babyhamisi5331 4 года назад
Your right
@sylviakadeha3261
@sylviakadeha3261 4 года назад
Sure
@simplylightness
@simplylightness 4 года назад
Nainjoy sana kumsikilizaga idriss
@evaipyana9706
@evaipyana9706 2 года назад
Naipenda hii interview kama navompenda Mwanangu,Roho yangu Lee
@annmwita2962
@annmwita2962 4 года назад
Jaman what happened hadi nikamiss this interview...one of the best interview ever...lesson learnt🙏🏼🙏🏼🙌🏽🙌🏽
@thewhitecoathub
@thewhitecoathub 4 года назад
Wooow, Aiseee hii ni bonge moja la interview🙌, Nimejifunzaa so many things.
@OnlyRuky
@OnlyRuky 4 года назад
Welcome back our favourite show napenda mlivyo stick kwa muda wa kipindi
@malaikamalaika2368
@malaikamalaika2368 4 года назад
Salama amependeza sana
@kelvin8324
@kelvin8324 4 года назад
Am new here and am loving your show Salama......unique kind of interview👊🏿👊🏿
@kingndinyo9764
@kingndinyo9764 4 года назад
Kipindi ambacho hkn 👎dislike hy ndo SALAMA NA yule wa Mkasi Big Up cct kistuli
@aboually7656
@aboually7656 Год назад
Salama is so lovely for sure... Eti shushia na cheers.. I really liked that comfort
@sdamusictz
@sdamusictz 4 года назад
I m so much inspired by this.. a lot of life lessons and experiences
@G.S985
@G.S985 4 года назад
Da Salama nice interview,Idris umetupa moyo,katika maisha kuna kupanda na kushuka.
@hashimshariff3566
@hashimshariff3566 4 года назад
Big up bro.... never give in life koz God is always there 4 u.... big up idris
@DavisTibbz
@DavisTibbz 4 года назад
Great interview. Alafu production iko top sana! Big up to the crew!
@difficultkidima9035
@difficultkidima9035 4 года назад
Salama u'r the best presenter and ths interview ni lesson for many ppl ukianguka inuka start afresh
@mohammedrajabumwamba1322
@mohammedrajabumwamba1322 Год назад
Hii Interview ndo salama ndio kasema masikini mara nyiiiiiiiiingi Zaid!!!!!! Hongereni sana 🤝 wote mmetisha
@fatmasayid8895
@fatmasayid8895 4 года назад
Pole sana Idris inasikitisha lakini ndio moja ya njia ya kufika M.mungu akubariki
@vailethalabama8255
@vailethalabama8255 4 года назад
Salama jabir@ecejay the best presenter😘😍
@keyla3641
@keyla3641 4 года назад
Salama love u guineas but idris u make me cry but what u went through makes u a truly man big up bro
@nelsonmwombeki5243
@nelsonmwombeki5243 3 года назад
Kweli mwamba lazima uanguke kwanza ndo usimame imara, big up sana.
@saumuhassan6365
@saumuhassan6365 4 года назад
Pole sana Bro Idris kwa uliyopitia, ila hongera sana kwa ku fight na kufika hapo ulipo🙏
@salmakz6094
@salmakz6094 4 года назад
Here in Belgium we are in quarantine but I came across this video by chance and I do not regret because I laughed so much! 😂😂 joke aside idriss u're a strong person!! Continu comme ça et tu ira loin 🦾
@yasserabubakar6167
@yasserabubakar6167 4 года назад
Mtangazaji Bora Afrika kwangu ni SJ, nakupenda Sana.
@simonsanga2129
@simonsanga2129 4 года назад
Big up Salama,nimejifunza sana kwa bro Idris
@juniperlechic7358
@juniperlechic7358 3 года назад
This is epic 🙌🏽so much to learn .
@mariammwiso
@mariammwiso 4 года назад
I get you on trust. I have come to learn, don't even give a minute to your enemies. Keep your guard on friends, close friends
@farajalaizer4669
@farajalaizer4669 4 года назад
napenda utulivu wa Salama kwenye interview big up
@lilianmongi5882
@lilianmongi5882 4 года назад
Exclusive interview big up Idris na Salama
@jamalbilal4070
@jamalbilal4070 4 года назад
Nice Motivation. Suggestion Interview ya Diamond Plz.
@innocentmushi1550
@innocentmushi1550 4 года назад
Salama ana matamshi amazing sana, ki professional kabisa
@abasifundi3129
@abasifundi3129 4 года назад
Nice
@rahabusanga1559
@rahabusanga1559 4 года назад
salama jabir wewe ni creative saana,hongera ,hujawahi niboaaa
@gadyjohn3815
@gadyjohn3815 3 года назад
The best interview ever, sijui kwann nimechelewa kuiangalia
@nickalreadyknows
@nickalreadyknows 2 года назад
So mbayaa now you know
@Duh_Daily
@Duh_Daily 4 года назад
Trust is a dangerous game
@wagonzizi1184
@wagonzizi1184 3 года назад
And This Is The Best Interview! Over! If one doesn’t get inspired here! I bet Nothing will
@iankanyasa2925
@iankanyasa2925 4 года назад
Mmetisha Sana...so much inspiration in one video
@ngelejangeleja6584
@ngelejangeleja6584 4 года назад
Imenijenga sana katika kukua kiuchumi koz nimepoteza kwenye biashara Flani 850k niliisi nimeishiwa kila kitu kwenye maisha yangu
@volatilitysetups8505
@volatilitysetups8505 4 года назад
Forex nn 😀😀
@angelakisamo3862
@angelakisamo3862 4 года назад
😭
@ngelejangeleja6584
@ngelejangeleja6584 4 года назад
Amna sio forex alafu siwez kujiunga na biashara Kama iyo ya kitot
@zainabumtubwi263
@zainabumtubwi263 4 года назад
Mungu akupe subra idriss. Usimuone mtu anacheka tu
@mwl.michaelsainethmlowe2641
@mwl.michaelsainethmlowe2641 4 года назад
Nimeilewa sana idriss Sultani Bonge la funzo kwangu Kama mimi
@mopaybeatz
@mopaybeatz 4 года назад
Nani mwingine ambae tunaicheck muda huu saa 8 usiku? ( Live now )
@jackimwati3864
@jackimwati3864 4 года назад
Wapi
@mopaybeatz
@mopaybeatz 4 года назад
@@jackimwati3864 Haha.. Hapa RU-vid
@dublea4118
@dublea4118 4 года назад
Mii youtube
@evancenicholaus7739
@evancenicholaus7739 4 года назад
yap yap!
@palokuthereza2555
@palokuthereza2555 4 года назад
Oh wow pole sana marafiki wakaribu ndo wanamalizaga watu😥😥mi last year october mtu alinipiga dola elfu 25 +5mln polisi walikula na hawakunisaidia lolote but after the problem wow wow nimekuwa mtu mwingine
@khadijamiraji1124
@khadijamiraji1124 4 года назад
Sister salama nakukubali htr, na ume plan kitu kzur xana
@asadshija3245
@asadshija3245 4 года назад
I wanna marry Bint Jabir for real!
@brysherbless8998
@brysherbless8998 4 года назад
km bd unachek hii interview ya salamanaidris gonga like apo
@veeJesus
@veeJesus 4 года назад
Salama is Hellen of tz queeen of interview anajua sana
@denismsuya9335
@denismsuya9335 4 года назад
Veila Onesmo truee dat
@gracedismas1108
@gracedismas1108 4 года назад
Daaaa pole sana idris maisha ndivyo yalivyo
@najma3268
@najma3268 4 года назад
Salama uwekeke Na part 3 Na 4 pia maana sichoki kukusikiliza Na kujifunza kupitia watu wako
@godfreybenedicto3577
@godfreybenedicto3577 4 года назад
Umeongea ukweli kutoka moyoni kama nilivyotaka kusema mimi##alfu karibu interview zote.
@jameselias5277
@jameselias5277 4 года назад
Daah nimejifunza kutokata tamaa once unapopoteza...
@Tino_Official_tz
@Tino_Official_tz 3 года назад
🍁Tis man is Genius💥🔥 that's why I decided to repeat this interview. Unajua kutoka kuwa hauna kitu na ukafanikiwa and then ukafilisika na madeni juu, ukarudi kupambana na ukawa zaidi ya pale ulipokuwa ki mafanikio ni somo kubwa sana sana🍁
@praygodkweka3951
@praygodkweka3951 2 года назад
Sana
@esteryebete7974
@esteryebete7974 4 года назад
Akii nimecheka ,nimelia mejifunza something from Idris Akiii salama kipindi Kiko bomba kinafundisha maisha
@ibrahimedward8521
@ibrahimedward8521 4 года назад
Very creative Salama your in my heart for real❤ ,this more than interview big up idriss
Далее
Salama Na Idris Ep 8 | TROOPER Part 2
23:20
Просмотров 164 тыс.
Interview | STAFU | Episode 1 (Discount Centre)
9:25
Просмотров 161 тыс.
Amazing weight loss transformation !! 😱😱
00:24
Salama Na SUGU Ep 50 | UJIO WA UMRI PART 1
32:38
Просмотров 109 тыс.
Salama Na MwanaFA Ep 10 | KARAMA Part 1
28:34
Просмотров 199 тыс.
Bongo Star Search 2019 | Ep 8 Top 10 Full Show
59:08
Просмотров 588 тыс.
Umeme | SIO HABARI
10:38
Просмотров 18 тыс.