Тёмный
No video :(

THE CLASSIC MR BLUE PT 2 ; RAP ILINIKOA/NILIJINASUA KWENYE MIHADHARATI/NLIDHARAULIKA SIKUKATA TAMAA 

KuviFacts
Подписаться 11 тыс.
Просмотров 38 тыс.
50% 1

Hii ni sehemu ya pili ya mahojiano na Mr Blue ambapo kiundani anaelezea namna alivyojinasua kutoka kwenye anguko kubwa la kimaisha lililomsababishia matatizo mengi yaliosababisha kukata tamaa kabisa na kisha kupoteza nafasi yake,lakini alijirudi na kutumia muziki wa rap kama ni sehemu ya come back yake ambayo imemrejesha kwenye ramani mpaka sasa
SUBSCRIBE FOR MORE

Опубликовано:

 

24 авг 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 82   
@naamanbenzema9227
@naamanbenzema9227 Год назад
Fact blue ni mkali kajaaliwa kipaji sana coz anaweza kuimba na rapper pia hata yeye mwenyew hajui akae ktk pigo ipi na hio ndo changamoto namba mbili kwake.#bluebysersalutebrother
@ronaldissack3338
@ronaldissack3338 Год назад
Interview kali Sana namba Moja toka namsikia blue
@nyotamy3678
@nyotamy3678 7 месяцев назад
Nimecheka sanaa 😂✊🏽👏🏾🙌🏽💪🏽
@jumamichael4083
@jumamichael4083 Год назад
Interview bora kabisa kuwahi kutokea kwa mwaka huu wa 2023
@Babamaploti
@Babamaploti Год назад
More of a life lesson to our new generations 🇰🇪🇰🇪🇰🇪
@makantaafrika
@makantaafrika Год назад
God works in a mysterious ways! Chid Benz from nowhere anamcheki Blue alafu Q chief anawaza hivyo hivyo kwenye wimbo 💪🏿😀🙌🏿
@MrMasterMathew
@MrMasterMathew 5 месяцев назад
Hongera kuvichaka
@erickselei3426
@erickselei3426 Год назад
Genious Byser
@ommylax7231
@ommylax7231 Год назад
Kuvichaka mtu mbadi nakubali blood 💪 songesha harakati
@ArafathMungi-ee9ru
@ArafathMungi-ee9ru Год назад
Nakubali sana bizy
@StivemarleyBaruswage-sx6gd
@StivemarleyBaruswage-sx6gd Год назад
Brother blue hajawah kuniangish kbs yani kwahiy ngoma yak mpya na jux ameuwa sanaaa aiseee huyu brother anaumiza kichwa sn yani anaandika vizuri sn
@husseinibnuhassan1272
@husseinibnuhassan1272 Год назад
One of the best interview na kabaysa
@danielmihanjo5472
@danielmihanjo5472 Год назад
Bonge moja la interview kuvichaka
@josphatwakuti-pd3iq
@josphatwakuti-pd3iq Год назад
From+254 Blue to the 🌎
@wabaremasandiko1024
@wabaremasandiko1024 Год назад
Nyimbo za huyu mwamba nimeziweka xna kwny barua km dedication!!!
@salumuathuman5286
@salumuathuman5286 Год назад
The classic inabidi sir kibra awepo
@ZaireJason
@ZaireJason 3 месяца назад
Bayser
@ronaldissack3338
@ronaldissack3338 Год назад
Bishoo hatari alafu ni bonge la rapa mkali balaa
@nelsonbilali3888
@nelsonbilali3888 Год назад
Bro yu are 1 of the best interviewers. Big up ... mad love from Kenya 🇰🇪
@KuviFacts
@KuviFacts Год назад
respect
@salaita2829
@salaita2829 6 месяцев назад
Huyu ndio anastahili kuwa bishoo,bishoo mwenye discipline sana.
@yussufmduu2976
@yussufmduu2976 Год назад
Huyu ni brother tuna muhitaki sana kwenye gam
@sultanijuma9475
@sultanijuma9475 Год назад
Jabir salute babaaaa🤚🏽✋✋
@suratibrahim6417
@suratibrahim6417 Год назад
Byser ni mtu wa maana sana 🙏 Anakumbuka mema aliyofanyiwa Let's say ndio maana anaheshimika Huyo jamaa sio muongo 🙌 salute kwake legend
@terrieblieyz4818
@terrieblieyz4818 Год назад
Wakongwe ndio tunaelewa vizuri hii interview.
@ObaMizo-oc1wq
@ObaMizo-oc1wq 7 месяцев назад
Blue brother man kinoma
@user-cj3xq4gz3s
@user-cj3xq4gz3s Год назад
😅😅❤❤ nakukubali sana tu
@rogerbrother255
@rogerbrother255 Год назад
Niwaibukie ndotoni #Eti uvumilie mabomu
@christopherjames3684
@christopherjames3684 Год назад
Nyan zee anatisha
@DiabTutty-ke9bs
@DiabTutty-ke9bs Год назад
Nakukubali sana mr blue❤
@amirimohammed2875
@amirimohammed2875 Год назад
Oi blue Kama solo thang2 🤜🤛
@erickselei3426
@erickselei3426 Год назад
Byser OG sanaa
@nassoroally6093
@nassoroally6093 Год назад
Hatari sana..
@valenciatraseas4840
@valenciatraseas4840 Год назад
#BlueBabylonByser #Kuvifact💥🙌🏻
@R10_Rajab
@R10_Rajab Год назад
Buluuu nakukubali sana Ma man yaani interview zako huwa zina mvuto flani hivi wakuziangalia na kujifunza kitu
@deogratiusdaudi5482
@deogratiusdaudi5482 Год назад
asantee kuvi asantee ka-byser
@deogratiusdaudi5482
@deogratiusdaudi5482 Год назад
asante efm kwa interview safi Ya kuv
@user-cj3xq4gz3s
@user-cj3xq4gz3s Год назад
❤❤👍👍 kitoka makasi
@mackamehassani201
@mackamehassani201 7 месяцев назад
Bro kuvi unanimalizia bando languuuu, hii kali sanaaaaaaa😅😅😅
@heightsmays5963
@heightsmays5963 Год назад
Blue is so true
@amisamaurid1882
@amisamaurid1882 8 месяцев назад
Respect to my brother Prince Dully Sykes ❤❤❤❤
@hamadnasri5251
@hamadnasri5251 Год назад
Si unajua dudu baya😀😀😀
@REVOLUTIONARYLYRICS
@REVOLUTIONARYLYRICS 3 месяца назад
If you abuse the herb it gonna crush your head hommie
@judithmwenda825
@judithmwenda825 Год назад
Ndio interview ambayo nimemaliza,bila Tuzo ila bado jamaa mkali
@realpopray96
@realpopray96 Год назад
Kuviii nakukubalii kaka mkubwa
@MoMuhija
@MoMuhija 6 месяцев назад
....miaka 20 huwezi kumaliza kwa dakika 20 😁
@immastersurvival481
@immastersurvival481 Год назад
Umesahau kolabo ya kassim mganga Ndoano
@yondutv3253
@yondutv3253 Год назад
Kuvi hii interviews nimecheka mwanzo mwisho
@NassorTwahiru-kf8fo
@NassorTwahiru-kf8fo Год назад
Mlete joslin
@dominicfrancis4073
@dominicfrancis4073 Год назад
Respect
@JOHNJOHN-pu7wb
@JOHNJOHN-pu7wb Год назад
Babylon bizzyyyy
@innocentmushi1550
@innocentmushi1550 Год назад
Unyama
@bosmutoto4416
@bosmutoto4416 Год назад
Kizazi
@bonnycostacosta7339
@bonnycostacosta7339 Год назад
Dudu baya
@cloudcharles3476
@cloudcharles3476 Год назад
🔥🔥🔥🔥
@fazeelshomary2704
@fazeelshomary2704 Год назад
Blue Baisa Babylon Biiz
@fidelemupilinda2677
@fidelemupilinda2677 Год назад
❤byser
@mankwemba3841
@mankwemba3841 Год назад
Mr blue kweri ni kiboko Yao
@eddiemohamed9003
@eddiemohamed9003 Год назад
LEGEND 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🎤🎤🎤🎤🎤🔥🎤🔥🔥🔥🔥🎼🎼🎼🔥🔥🎼🎼🔥🔥🔥
@Rachid_Daudi
@Rachid_Daudi Год назад
#LiegeEdward 🔥 🔥 🔥 😂😂😂
@mahmoodmohammed1679
@mahmoodmohammed1679 Год назад
Mi mbona nafkiri Mr blue alikua mzuri kuimba kuliko kurap...tulimjua na wimbo wake wa mapozi...ilihit Sana,mbona hakuendelea kuimba akachange to rap
@mdachiog5211
@mdachiog5211 Год назад
Nikweli kabisa Ila yeye ndo kakomaa na kurap Ila angekuwa anafanya moja rap moja kuimba
@mikesolomon1332
@mikesolomon1332 6 месяцев назад
Nadhani vile alimature sauti ilibadilika haingekidhi vizuri vigezo vya kuimba pia Kisha wakati ule wake rap ndio ilikua top of the game but singing was so sweet of him
@MtituTheDon-jl7ol
@MtituTheDon-jl7ol Год назад
Blue🎉🎉
@makantaafrika
@makantaafrika Год назад
Bongofleva Honors 1. Dully Sykes 2. TID 3. Juma Nature 4. Jay Moe 5. Mr Blue
@spillovereducationtutorial3228
@spillovereducationtutorial3228 6 месяцев назад
itakuwa vyema sana kama ukawatafuta hao uwafanyie interview
@BongoZaKitambo55
@BongoZaKitambo55 Год назад
Bonge La Interview
@alvinsamir2013
@alvinsamir2013 7 месяцев назад
kaka #KUVI kama hutojari kuna hiyo #MIDUNDO uwaga unaPlay na kina sisi ambao tuna CHEKI kupitia HUKU kama vip uwe unaPlay hata nusu ili tuwe tunaenda sawa . .. #KUVICHAKA
@lujobilz7482
@lujobilz7482 Год назад
💪
@rajabmbogo8196
@rajabmbogo8196 Год назад
I like the way they ended the show!
@mkoreaboytz
@mkoreaboytz Год назад
❤❤❤❤
@jameskilasa759
@jameskilasa759 6 месяцев назад
Sema uyo dogo mwingine hatakiwi kuwepo hapo
@afterx3172
@afterx3172 Год назад
Kuvi
@mwandustar
@mwandustar Год назад
Byser🎉
@omaryhabibu5144
@omaryhabibu5144 Год назад
naomba mtafute dizasta vin
@mwandustar
@mwandustar Год назад
@@omaryhabibu5144 Nikimpata nimwambieje kaka🤷
@samirmswahili
@samirmswahili Год назад
Madini kama yote
@King_Of_Everything
@King_Of_Everything Год назад
🇹🇿🇹🇿🇹🇿👊.
@MeastrasElKachelino
@MeastrasElKachelino Год назад
Uyu mwamba kizungu kingi na hakijamkubali, anamchosha Blue kinoma, alafu anakera kimtindo...ubishoo wa nyoko !! 😒😒
@SabanaKhalfani-rr1zv
@SabanaKhalfani-rr1zv 8 месяцев назад
Ungekubali shule aya yote yasingetokea
@MeastrasElKachelino
@MeastrasElKachelino 8 дней назад
@@SabanaKhalfani-rr1zv Haha, mie ni msomi sana bro, ila acha ubishoo wa nyoko, Kizungu kingi na cha ovyo sana, kinakera.
@niggahoodthemc9156
@niggahoodthemc9156 Год назад
✊🏿👮🏿
Далее
Simple Flower Syrup @SpicyMoustache
00:32
Просмотров 2,7 млн
Wife habit 😂 #shorts
00:16
Просмотров 24 млн