Тёмный

Salama Na MAJIZZO SE6 EP17 | MPIMAJI PART 2 | SendTip MPESA LIPA NO 5578460 

YahStoneTown
Подписаться 395 тыс.
Просмотров 83 тыс.
50% 1

#SalamaNa #SendTip Through MPESA #5578460
MPIMAJI
Francis Ciza that’s the name, anastahili heshima yake kwa ujasiri mkubwa ambao ameuonyesha kabla hajafika hapa alipo leo. Njia yake kwa mujibu wa haya maongezi yetu ilikua ya kulazimisha sana na yeye hakuwahi kukata tamaa, au tuseme neno au wazo la kukata tamaa halijawahi kuwa mawazoni mwake.
Majay ndo jina la umaarufu wake, Dj Majay au RDJ Majay au Majizzo moja ya ma Dj walokua wakiunda kundi la ‘Kwa Fujo DJ’s’ akiwa pamoja na Abubakar Sadique na ma Dj wengine wakati huo. Jinsi gani walikutana na nini kiliwafanya wawe na umoja huo? Tulimuuliza Majay kwenye maongezi haya na akaniambia waliona kitu ambacho hakuna mtu mwengine alikiona wakati huo na kweli kilifanya kazi.
Nini sasa kilisababisha umoja wao kuvunjika? Nini special kwake ambacho anadhani kinamfanya aendelee kuwa mwenye mafanikio na relevant kuliko wenzake? Huku sasa anatuelezea rasilimali yake aliyopewa na Mwenyezi Mungu, ya KUTOKATA TAMAA. Ambayo ndo imemfanya yeye anendelee kubaki kuwa nahodha wa boti yake ambayo imeweza kupambana na dhurba nyingi za baharini na nchi kavu lakini bado inaendelea na safari.
Majay alianza kutafuta kwake kama fundi nguo, wengi tunawaita fundi cherehani, anatuambia mtaani kwake kulikua na MC mmoja wa harusi ambaye yeye ndo alikua anamshonea nguo zake na siku ambayo alimchukua Majay kwenye moja ya kazi zake ndo siku ambayo maisha ya Majay YALIBADILIKA.
Sasa ni CEO wa moja ya Radio zenye nguvu hapa Tanzania na mpambanaji ambaye anahakikisha vijana na mziki wetu wa kizazi kipya unazidi kwenda mbali, yeye ni mtu ambaye anawavutia vijana wengi kwa kuwapa matumaini kwamba kuna siku mazuri yatakuja tu, at least hiyo ndo vibe ambayo mimi naipata kwake. Ashakataliwa sana. Ashakosea sana, ashafungiwa milango sana, ashakimbiwa sana na marafiki ambao walikua hawaamini kwenye ndoto yake na amesha anza upya mara kadhaa kwa kuamini kwamba kama aliweza kukipata mwanzo, basi inawezekana kukipata tena, na hivyo ndo jinsi ambavyo ilikua na inaendelea kuwa mpaka leo hii.
Kama unahitaji inspiration au mtu wa kumtazama ndoto zake ili na wewe uweze kuzitimiza za kwako basi Francis Ciza anaweza kukusadia sana.
Tafadhali enjoy mazungumzo yetu haya ambayo yamejaa safari ndefu ya kuanzia kwenye kupima watu viuno na kifua mpaka kuwapangia watu burudani isiyochosha.
Love,
Salama.
Support us through anchor.fm/yahstonetown/support
SUBSRIBE TO OUR CHANNEL bit.ly/YahStoneTownSubs
Listen our Podcast on
Spotify Link spoti.fi/2Uxr6Cm‬
‪ApplePodcast Link apple.co/2Ou1bru‬
GooglePodcast Link bit.ly/GooglePodcastSalamaNa
Audiomack Link bit.ly/YahStoneTownAudioMack
‪RU-vid Link bit.ly/RU-vidSalamaNa
Soundtrack Yeah by @MarcoChali • Marco Chali Feat One T...
Follow:
Twitter: / yahstonetown
Instagram: / yahstonetown
Facebook: / yahstonetown
Channel Administered by Slide Digital
Instagram: slidedigitaltz

Развлечения

Опубликовано:

 

8 май 2022

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 164   
@NassTwin
@NassTwin Год назад
Aisee sijawah kumsiliza majizzo aiesee huyu jamaa ni mtu sana na mpambanaji sana. Kama tupo pamoja gonga like nyingi kwa kumsupport jamaa
@bahatirngulika4493
@bahatirngulika4493 2 года назад
Aiseee kumbe Tanzania iko na wanaume wenye true love,yani haumii aliyoyapitia yeye ila anaumia juu ya maumivu ya mwanamke wake!!! Aiseeee be blessed Majizo na awatunze
@johnmwandu2116
@johnmwandu2116 2 года назад
Majizzo SALUTE Sana Kaka, nimegundua una IQ kubwa Sana ya maisha
@elizabethhonere2931
@elizabethhonere2931 2 года назад
Majizo Mungu amekupa wisdom kubwa sanahata Eliza anayo mmekutana wa kufanana
@tanzaniatourismboard8395
@tanzaniatourismboard8395 2 года назад
Naendelea Kujifunza Kila Siku, MAISHA Ni Mapambano na Hakuna Kukubali Kukata Tamaa. GOD Bless You MAJIZZO...Thank You Salama J
@deusdedit789
@deusdedit789 2 года назад
Dah aisee nimejifunza sana sana TANZANIA ni nchi pekee ambayo mtu akifanikiwa watu wanawaza uchawi madawa bila kuangalia mahali tulikopita. Ooo Lord help us. I must work so hard mpaka siku moja nifanikiwe niitwe kwenye interview
@fefenailsandmakeup1353
@fefenailsandmakeup1353 2 года назад
Majizo ana vingi ila sio mtu anaweza kujieleza sana...! All in all hongera ❤
@hildaminja5148
@hildaminja5148 2 года назад
NATAMANI VIJANA wote wangefuatilia na kusikiliza hii show. Salama uko vizuri sana.Hongera Francis /MAJIZO
@gastonchonya7790
@gastonchonya7790 2 года назад
Dada mm nafuatilia
@namsamson3443
@namsamson3443 2 года назад
Huyu kijana ni mtu mzuri sana. Mungu aendelee kukubariki wewe pamoja na familia yako.
@nsazabahizirehema7897
@nsazabahizirehema7897 2 года назад
Nime fatiliya kwa umakini part 1 and 2 Asante sana kunakitu nime jifuza Allah akupe mwisho mwema na aendeley kukubariki wewe na mkeo na family kwa ujumula🙏🙏Salama ubarikiwe from 🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮
@damaskinkela2265
@damaskinkela2265 2 года назад
Like from 257
@aminiismail3371
@aminiismail3371 2 года назад
Salama tunamuomba Kondeboy hapa please
@rossarutasha9391
@rossarutasha9391 2 года назад
Mungu akubariki sana Majjizo kumbe wewe ni mwaminifu na unampenda kiukweli mke wako mubarikiwe ktk maisha yenu
@aaaaaah290
@aaaaaah290 2 года назад
KAONA/KASIKIA LA MKE TUU 😀😀😀
@christiannyamamba9089
@christiannyamamba9089 2 года назад
Hivi vitu vinainspire sana vijana na kupitia hizi interview watu wanabadilisha maisha yao na kufungua ukurasa mpya hongera sana Salama unafanya kitu kizuri sana
@rithamarrow5716
@rithamarrow5716 2 года назад
Mwanaume yoyote mwenye huruma ni mwanaume ambae anajielewa sana. Majizzo ni mwema pia ni muaminifu Mungu amtunze na kumbarik pamoja na familia yake
@salomewandya7257
@salomewandya7257 2 года назад
Kabisaaa 💯
@janemuhumba5823
@janemuhumba5823 Год назад
💯💯💯
@Juxton
@Juxton 2 года назад
Majizzo needed 2 more episodes.
@marianajohn5415
@marianajohn5415 Год назад
Lulu unapendwa mama! Huyu ni mwanaume 🙌🏻🙌🏻🙌🏻🙌🏻🙌🏻🙌🏻
@jofrasful
@jofrasful Год назад
A real-life journey with a determined heart and vision. Congrats Majizzo.
@hadijajumanne5493
@hadijajumanne5493 2 года назад
Unaweza ukawaambia na bado wakakuona huna mana,unaishi na watu vizuri wenzio wanakung'ong'a Kisogo bora uachane nao uwe na 50 zako tu
@johnlihawa4145
@johnlihawa4145 Год назад
The man with a big heart .......... Nimejifunza mengi sana.... Acha Mungu amshinishe aisee he deserves that
@mariamkibindo1741
@mariamkibindo1741 Год назад
💯🤝
@rayanndizeyes3161
@rayanndizeyes3161 2 года назад
Najikuta na lia sana Majizzo unaupendo Mungu akubariki sana nauzidi kumutuza mukewako
@azinarashidi5204
@azinarashidi5204 2 года назад
Interview nzur san Mashaa Allah Mungu akujaalie baba kaka uzidi kufanikiwa zaidi ya hapo na akutunzie familia n kizaz chako Ameen,,,
@user-gi1ez6fc1y
@user-gi1ez6fc1y 2 года назад
Dah kaka Anamapenzi ya dhati Huyu Mungu awasimamie hadi mzikane😭😭🙏🙏
@addeypentacos9014
@addeypentacos9014 2 года назад
This guy has a golden heart. Imagine he isn't bothered with his own personal lowest moments in his life and career but he is touched with his woman .we always complains about Tanzanians men not being gentleman but he stands as one trophy to proud of.
@zuuqueenhilson3135
@zuuqueenhilson3135 2 года назад
Nice majiz umenifunz mengi mmoja wak kam unampnd mtu mpend hat awe kweny mazingiz yapi
@tunudachitalks6575
@tunudachitalks6575 2 года назад
Majizo you have inspired me so much....i know am not there yet but in shaa Allah will be there by God's grace. Salama Nakupenda sanaaa keep up the Good work 👏❤
@flexturnertv8585
@flexturnertv8585 2 года назад
Salama we need Fred vunjabei if possible
@user-ii7yy5is1y
@user-ii7yy5is1y 6 месяцев назад
Ni bonge la entervew so poa maisha safari unatakiwa uwe mmbishi nakukubali sana majizo forshizo mi binafsi sijaona dj kama wewe Tanzania nzima Yani uwezo binafsi ndio uliokufikisha hapo ulipo much respect my bro
@mwalimualiaminialiamini8623
@mwalimualiaminialiamini8623 2 года назад
Nimeielewa sana hii hili ufanikiwe ni razima ujihamini kwanza wewe 🙌🙌🙌🙌
@evamday2896
@evamday2896 2 года назад
Asante sana mwenye kipindi hiki nimejifunza mengi kwa Majj
@sakinamixpambe2602
@sakinamixpambe2602 2 года назад
Nimekupenda bure maj hasa hapo kwenye watoto mashallah
@fauziayusuf235
@fauziayusuf235 2 года назад
Best interview ever........am officially a fan of majizzo❤️❤️
@abdulpires9091
@abdulpires9091 2 года назад
Big up na harus yko cz ata mm nimeanza kufikiria kuowa!👍
@maryshirima1234
@maryshirima1234 2 года назад
Very inspirational... Majizzo is so smart. 6:55 - 7:20 📌📌📌 Keep up the good work Ace Jay...👏👏👏
@zawadisalum5684
@zawadisalum5684 2 года назад
Huyu jamaa n very humble aisee he and lulu they deserve each other indeed
@yvetteuwase2740
@yvetteuwase2740 2 года назад
Tunawapenda papa G na maman G🥰🥰🥰🥰🥰🥰
@editatairo9667
@editatairo9667 2 года назад
Inspiration kama hizi ndio tunatakiwa kusikiliza na sio zile za motivation speakers za kuchanganya akili
@ch-tvonlinegr8125
@ch-tvonlinegr8125 2 года назад
Realy
@khadijahali4837
@khadijahali4837 Год назад
🤣🤣
@abduly.snootie
@abduly.snootie 2 года назад
Aseee, BONGE MOJA LA INTERVIEW S/O TO SALAMA, KWA HILI PINDI LA KIBABE, BIG UP CHAMP MAJIZZO.✨👑💪🏾👊🏾✊🏾 🎥🎬🎞️📽️🔥🔥🔥🔥🔥
@johnkabadi8732
@johnkabadi8732 2 года назад
Sema yule mwanamke mange anatakiwa kutafutwa na kufyatwa anapotosha Sana jamii
@khadijangozi4324
@khadijangozi4324 2 года назад
Naomba uniambie lulu ametajwa wapi
@khadijahali4837
@khadijahali4837 Год назад
@@khadijangozi4324 Eliza hukulisikia jina lk
@prettypretty9745
@prettypretty9745 2 года назад
Interview nzuri Sana sijui kwanini nimechelewa kuiangalia majizzo ni mwanaume wa kupigiwa mfanoooo
@salumuseif3324
@salumuseif3324 2 года назад
Majizo kama ruge namkubali uyu boss
@yusufurahabiamu6052
@yusufurahabiamu6052 2 года назад
nimeipenda story Mungu ambariki sana
@agricolamirinde6111
@agricolamirinde6111 2 года назад
it's a very good interview am truly inspired but salama please mda hautoshi aise like alikuwa na vingi ila inabidi akarishe
@watsonmwanjelwa4535
@watsonmwanjelwa4535 2 года назад
we need this kind of staff salama na. great job
@sheshem5453
@sheshem5453 2 года назад
Asante Salama! Bro Majei.. Mungu azidi kukubariki...
@hahmadhabibu2076
@hahmadhabibu2076 2 года назад
This man is genius...
@mohamedrajab358
@mohamedrajab358 2 года назад
Nimejifunza Sana Acha niendelee kupambana mungu akupe nguvu ya kutuletea watu Wa kutueleimisha za kutufungua
@rosemofuga8101
@rosemofuga8101 2 года назад
Waoooooo, Hongera sana Baba G
@JustArkon
@JustArkon 2 года назад
Big fan of the show. Salute from Nairobi
@alinagwemwaselela9053
@alinagwemwaselela9053 2 года назад
Was waiting for this aisee...Najifunza SAAANA.
@selemanimuhanga4018
@selemanimuhanga4018 2 года назад
Hii show Kali Sana! Big Up Yahstone
@saidalssa3409
@saidalssa3409 2 года назад
Great work salama keep it up
@CHITUS
@CHITUS 2 года назад
This guy is so smart 🔥
@AfiSoul103
@AfiSoul103 Год назад
Nimeipenda sana ya Kiheshima
@julietdawa5518
@julietdawa5518 Год назад
From Kenya 🇰🇪 this is very inspirational
@franknsato6373
@franknsato6373 2 года назад
Very inspirational story, hope this will motivate a lot of youth towards their life destiny, personally I'm much inspired and encouraged by your efforts, big up foxy
@Agatee01
@Agatee01 2 года назад
Yes, I will be there In Jesus name
@daudgrayson8534
@daudgrayson8534 2 года назад
I like this interview nilikuwa simfahau majizo now kdg nimepata picha kuhusu yeye ni mtu wa aina gani
@elizabethmwakalinga5271
@elizabethmwakalinga5271 2 года назад
Endelea kubarikiwa Majizzo,umenijenga sana
@xw6427
@xw6427 2 года назад
One of the best interviews
@mutumbisalash923
@mutumbisalash923 2 года назад
Mzazi wa E F.M kwa maongezi ya ki smart, kizazi kipya kwa jina yake CIZA? mwana wetu wa Tanganyika. Kutoka hapa ubeljiji, nikitoa pongezi ya dhati kwako mtangazaji bingwa SALAMA JABBIR. Ndoto yangu ni ya kukutana na wewe na Kunihoji hapo; mkasi au kwangu inshaALLAH
@ApipaTV
@ApipaTV 2 года назад
Asante Salama Nakupenda unafanya kazi nzuri
@florabuzoya2109
@florabuzoya2109 2 года назад
Woow interesting big up Maj
@zainabubakari4156
@zainabubakari4156 2 года назад
Nakukubali Sana Kk Ma..J
@saumusalimuhassan2499
@saumusalimuhassan2499 2 года назад
Mashallah, mimi namkubali sana Majizo,barikiwa sana brother 🙏
@evajames2514
@evajames2514 2 года назад
Nilikuwa nakuckiaga tu ckujua ww ni mtu mzuri na unahuruma na kujali.kaka mzuri sn and Smart
@rsautoservice984
@rsautoservice984 Год назад
Interview smart Sana jabir.. Mardam mm nipenda Sana .majizo yangu hardworking person..
@aminanamoyo83
@aminanamoyo83 2 года назад
Thanks ❤
@fatmaahamadabass8080
@fatmaahamadabass8080 Год назад
Hayo ndio mapenzi tena mapenzi ya Samani sana Mashallah
@estermwakafwila9890
@estermwakafwila9890 2 года назад
Hustler😊❤️
@susancharles1660
@susancharles1660 2 года назад
Huyu kaka ni smart sana👏🏽👏🏽👏🏽
@harysonnyobuya9601
@harysonnyobuya9601 2 года назад
Ece Jay. Unajua kuuframe swali right to point. Hongera Sana 🙌
@othumanlorenzo260
@othumanlorenzo260 2 года назад
Angekuwa mwanasheria ingekuwa hatari katika x examinations
@mrfashion1687
@mrfashion1687 2 года назад
Nasubiri SALAMA NA ADAMU MCHOMVU
@irenengatia4289
@irenengatia4289 2 года назад
The show is 🔥🔥🔥
@mtaalamwamambo2099
@mtaalamwamambo2099 2 года назад
Akili nyingi hiii🔥🔥
@lilianjulius917
@lilianjulius917 2 года назад
Intelligent one,tunamuomba na Idris Sultan
@veeJesus
@veeJesus 2 года назад
Tayar alishakuja hapa
@lilianjulius917
@lilianjulius917 2 года назад
Ooooh ngoja nisearch
@maggiepeter8936
@maggiepeter8936 2 года назад
Salute #Majizzo........Lulu she got a really hubby
@carlosmzena548
@carlosmzena548 2 года назад
That's the face of business my dear he's not who you think he is
@wilbroadgrarcian1259
@wilbroadgrarcian1259 2 года назад
dah genius majizoo
@melkizedeckelsonmbise4424
@melkizedeckelsonmbise4424 5 месяцев назад
Safi,,natamani hii meza angekaa Ruge nae ateme madini.
@deboraezekiel784
@deboraezekiel784 2 года назад
Daaaa nimejifunza
@nsajigwamwanjati5119
@nsajigwamwanjati5119 2 года назад
Salama tuletee Gwajima
@dedsecmalis2005
@dedsecmalis2005 2 года назад
Endelea kubarikiwa bro 💪🏿
@lawizeentertainment5021
@lawizeentertainment5021 Год назад
Hakuna kukata tamaa big up bro Majizzo
@winifridambilinyi8043
@winifridambilinyi8043 2 года назад
Nice interview🥰
@vanjizzle122
@vanjizzle122 2 года назад
Am the first and Broo Your my Menter 🍸🇹🇿One Day I will be there I be to be 🍸🇹🇿
@charlesbakari7265
@charlesbakari7265 2 года назад
Majjizo umeniinspire Sana
@isdoripascal1967
@isdoripascal1967 2 года назад
Dude’s smart 🔥👏🏾👏🏾
@georgelugwisha8798
@georgelugwisha8798 2 года назад
Very inspiring story
@mbechajumaa7966
@mbechajumaa7966 2 года назад
Namkubali San kaka majizo yani ntaishi na vitendo vyak
@niriacatering172
@niriacatering172 2 года назад
Asanteni Sana
@azikamujulius3530
@azikamujulius3530 2 года назад
Daah Jamaa kapambana sana asee
@leaherasto929
@leaherasto929 2 года назад
Apo kwa Elizabeth pamenigusa Sana Mungu awaweke
@ingabireritha3740
@ingabireritha3740 2 года назад
Very nice
@sumahililuis85
@sumahililuis85 2 года назад
Naomba link ya interview ya salama na ommy dimpoz pl
@ARAFATVSHOW
@ARAFATVSHOW 2 года назад
Wow
@hadijajumanne5493
@hadijajumanne5493 2 года назад
Kama wanakuja kukamata gaidi wabongo duuh
@sarajoseph4253
@sarajoseph4253 Год назад
Good interview
@shukurubashiry9117
@shukurubashiry9117 2 года назад
Nimejufunza kitu kutoka kwa majizo kwenye maisha no kukata tamaa halafu usiogope kufanya kitu ambacho unacho
@justinemwenda2292
@justinemwenda2292 2 года назад
Big up
@natamushi1894
@natamushi1894 2 года назад
Mungu akubariki majizo
@mashalamusicempire1158
@mashalamusicempire1158 2 года назад
Huyu jamaa mwamba sana
Далее
Qalpoq - Kichkina tabib (hajviy ko'rsatuv)
30:41
Просмотров 285 тыс.
КРЫЛЬЯ - ЗЕНИТ: все голы
01:00
Просмотров 94 тыс.
Salama Na Romy Jons Ep 14 | PLUG Part 1
26:08
Просмотров 122 тыс.
Mkasi - SO4E01 with Diamond Platnumz
27:57
Просмотров 1 млн
У Котика Отняли Игрушку 🥺
0:15
Каха бизнес-класс
0:48
Просмотров 1,5 млн