Тёмный

Salama Na JOTI Ep 47 | SIMPLY SPECIAL PART 2 

YahStoneTown
Подписаться 395 тыс.
Просмотров 303 тыс.
50% 1

#SalamaNa #SendTip Through MPESA #0762797291
Support us through anchor.fm/yahstonetown/support
SUBSRIBE TO OUR CHANNEL bit.ly/YahStoneTownSubs
Listen our Podcast on
Spotify Link spoti.fi/2Uxr6Cm‬
‪ApplePodcast Link apple.co/2Ou1bru‬
GooglePodcast Link bit.ly/GooglePodcastSalamaNa
Audiomack Link bit.ly/YahStoneTownAudioMack
‪RU-vid Link bit.ly/RU-vidSalamaNa
Lucas Mhaville ni maalum sana, kwa ki vyovyote vile utakakavyotaka wewe, ki maisha, ki muonekano, ki uelewa na jinsi anavyokua mpya kila siku kwenye ulimwengu wake, jinsi anavyo jipa matawi na kujigawa kisanaa. Jinsi anavyotoa character wapya kila mara kwaajili tu ya kuleta ladha mpya kwenye sanaa yake, hili linamfanya aendelee kuwa mchekeshaji pekee kwenye kizazi chetu ambaye huwezi kuona amechuja au hana jipya kwenye kukufurahisha wewe.
Kabla sijaiandika hii, kipande kidogo cha video kilienda kwenye ukurasa wangu wa Instagram (@ecejay) kwaajili ya kuwafahamisha watu kwamba JOTI atakua ndo mgeni wetu wa usiku wa leo, na kwenye hiyo video nilimuuliza kuhusu kabila lake ambalo kwa mujibu wake ni kabila dogo tu kutoka huko Morogoro na yeye na Baba yake mdogo ambaye ni Polisi ndo watu waarufu zaidi, ila kwa wingi wa replies kutoka kwa watu wengi wa kabila hilo inaonyesha si kabila dogo kama yeye alivyodhani, ila hiyo ni tisa, kumi ni jinsi ambayo watu WANAMPENDA na kusikiliza KILA ANACHOSEMA, hiko ni kipawa tofauti kabisa, sio kila mtu anaweza kuwa na uwezo huo.
Yeye ni mzaliwa wa Morogoro na alikuja Dar es Salaam baada ya mzazi wake mmoja kufariki, alichukuliwa na ndugu yake na kuja kulelewa hapa, amesoma hapa na sanaa yake pia ilianzia hapa alipokua shuleni. Nani alimsukuma? Na je alisoma mpaka daraja lipi? Mimi na yeye pia tunazungumzia umuhimu wa elimu na malezi bora. Maisha yake alipokua mdogo na mafunzo aliyoyapata growing up.
Joti si wa leo, akiwa na miaka yake 38 anajielewa vizuri sana tu. Maongezi yetu pia yalitupeleka kwa uanzishwaji wa kundi la Original Comedy ambalo lilitufanya sote tuwapende sana na enzi hizo za EATV wao wanapokua hewani basi nchi nzima ilikua inasimama kwaajili ya kuangalia walichotuandalia. Yalikua mafanikio haswa! So nini kilitokea mpaka wakaomdoka EATV? Na wao kama kundi kuna lolote kwa sasa? Au kila mtu ndo solo? Na vipi kuhusu Vengu? Yule mwenzao (mwenzetu) ambaye alipata matatizo makubwa ya ki afya na mpaka naandika hii bado yuko kitandani? Shida yake hasa ni nini? Haina tiba?
Humu pia tumeongelea mahusiano yake na Seki, ambaye alikua naye toka enzi za OC akiwa kama kiongozi na mtayarishaji. Mahusiano yake na Mpoki, Masanja ambaye sasa amejikita kwenye masuala ya ki kanisa, Wa Kuvanga na McRegan? Wako wapi? Kama kuna comeback ya kundi? Lini?
Wakati nafanya hii pia nilitiwa elimu na Director wangu wa siku hiyo (Ms Lydia Igarabuza) kwamba, ukitaka kuongea na mchekeshaji, ili upate utakacho, basi usimpe nafasi ya yeye kukuchekesha mpaka ukasahau kilichomleta pale, namshkuru sana kwa hilo maana nadhani ki kawaida kama wana tungecheka zaidi kabla ya kuyasikia yote ambayo tumeongea humu.
Respect nyingi ziende kwa Joti ambaye ameweza ku maintain status yake ya heshima ya juu kwenye kazi yake, na kama binadamu.
Yangu matumaini utaokota mawili matatu hapa ambayo yatazidi kukutia mafuta ya kukufanya utake maendeleo zaidi na heshima kwenye jina lako na maisha yako.
Tafadhali enjoy.
Love,
Salama
Soundtrack Yeah by @MarcoChali • Marco Chali Feat One T...
Follow:
Twitter: / yahstonetown
Instagram: / yahstonetown
Facebook: / yahstonetown
Channel Administered by Slide Digital
Instagram: slidedigitaltz

Развлечения

Опубликовано:

 

24 дек 2020

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 235   
@keifatuke99
@keifatuke99 3 года назад
Joti kanipa elimu kubwa sana,Mwenyezi Mungu anavyokuumba ana sababu zake,Joti ni " mfupi" kwa ufupi wake na umbile lake dogo ,limemfanya kucheza "character " nyingi,sema Alhamudullah kwa kila jambo,Mwenyezi Mungu ana sababu zake.
@Kazoba2011
@Kazoba2011 3 года назад
Aisee sikuwahi kuwaza Joti ametulia kwenye usahili kama hivi. Anaonekana ana nidhamu ya kazi....
@zaweki
@zaweki 3 года назад
Lucas Mhuvile aka *JOTI* is my all-time Comedian. *Salama* , continue to be the light that inspires others to dream 🙏🙏🙏
@amonrushambila1273
@amonrushambila1273 3 года назад
Dada salama wewe ni muhimu kwenye jamii watanzania wanaoelewa na mimi nimo mungu wangu anae ishi akupe mwisho mwema in fact you're the best
@yowtz5450
@yowtz5450 3 года назад
salama umetisha sana..joti is my favourite star in TZ
@rhymekings5170
@rhymekings5170 3 года назад
THE BEST SHOW IN TANZANIA Yah Stone Town...Salama your best presentar in Tz i like your style keep focus many things utatuletea....
@faudhiasalum7279
@faudhiasalum7279 3 года назад
Bora Ume uliza swali la vengu. Dah🤦‍♀️🤦‍♀️🤦‍♀️🤦‍♀️🤦‍♀️🤦‍♀️Yule kaka jamani. Alikuwa. Ana ish makumbosho alikuwa jirani yetu alikuwa mchesh sana😪😭😭roho ime nuuma kweli
@mumyhendry2919
@mumyhendry2919 3 года назад
Yaan Mungu alikupangia kabisa huyo mke aisee,hiyo style yakukutana nmeipenda sana 😂😂😂
@salminibakarimbonde6458
@salminibakarimbonde6458 3 года назад
Joti yuko vema sana kwny kujibu maswali. But nawewe umeuliza maswali mazuri pia. So professional in my opinion
@michaeljeremiah8305
@michaeljeremiah8305 3 года назад
Naomba youtube wafute chaneli za ovyo ovyo zibaki chaneli za maana kama izi za salama,sky,
@kevinhussein5229
@kevinhussein5229 3 года назад
Nime notice joti hataki mchezo na chakula kabisa🤗
@assoum_N
@assoum_N 3 года назад
😂😂
@hamedabashir9
@hamedabashir9 3 года назад
Salama kila engo anakaa ukimuweka ujaji anafiti dah watyu munakipaji mashallah nakufatilia sana salama Allah akuzidishie Amina
@jayspermlewa7425
@jayspermlewa7425 3 года назад
Sister utuletee na masanja he has something we need to learn mama
@OnlyRuky
@OnlyRuky 3 года назад
Yes nimenjoy saana na nimefurahi ulivyomuuliza mgonjwa anaendelwaje Nilikuwa nahamu kweli kujua nini kilimpata before mpka akawa mgonjwa for that long. Thank you Salama keep it up.
@elijahm.muthini
@elijahm.muthini 3 года назад
Mazy nmefurahi sana kuskia historia fupi ya joti, wow! Thanks mr lukas for making the world happy, na wanaotudharau sisi watu wafupi be warned meen!
@swahiliwithZita
@swahiliwithZita 3 года назад
Maelezo marefu...kweli na wewe, Salama, unampenda mno Joti. Asante mwa mazungumzo mazuri. Nimemjua zaidi Joti. Naomba utuletee Hakika Reuben sasa
@ferouzmasoud4741
@ferouzmasoud4741 3 года назад
😂😂😂 Yani ww joti comedy kabsaa mtu akikuangalia tu anaaza kucheka
@peterkatumain2299
@peterkatumain2299 3 года назад
Salama dada kipindi kizuli tangia nianze kukujua wewe kila kukicha unabuni /mmubunifu na unacho kibuni kina kua nice big up sister
@maloomaalmnsj5111
@maloomaalmnsj5111 3 года назад
Kumbe salama kanenepa arafu naona kama kawa mpole ivi
@shaniahrachma3114
@shaniahrachma3114 3 года назад
Salama untouchable great minded much love from 254
@renovatusndikuriyo8094
@renovatusndikuriyo8094 3 года назад
I watched all the parts of this show and let me say, this was very informative, educational and inspirational to me.
@ALIMOHD-bk9lr
@ALIMOHD-bk9lr 3 года назад
Mungu akubariki BWANA joti. You are so humble and the best ever
@ramxoketti7521
@ramxoketti7521 3 года назад
Nakuaga mvivu kufuatilia ichi kipindi lkn nilivyo muona joti 😂😂 naangalia
@fathiyaabdullah
@fathiyaabdullah 3 года назад
Same here
@fredybundala2336
@fredybundala2336 3 года назад
Me too
@isackmwaipole147
@isackmwaipole147 3 года назад
Kam Mimi 2😄😄
@rashidndunda5469
@rashidndunda5469 3 года назад
Hongera sana Salama kwa kutuandalia watu wenye karia mbalimbali.
@mahmoudaziz4717
@mahmoudaziz4717 3 года назад
Joti bonge la legend yani.unajua Sana😂😂😂.
@salymkingungo5229
@salymkingungo5229 3 года назад
Ila mamdogo Salama nilikuwa natamani sana nijue namna walivyokutana yeye na Mpoki,halafu hukumuuliza😊
@abdulhamidmachano404
@abdulhamidmachano404 3 года назад
😂😂😂😂😂.. Mwambie machano akuelezeee
@salymkingungo5229
@salymkingungo5229 3 года назад
@@abdulhamidmachano404 🤣🤣🤣na halafu inaonekana huyu bibiye mpoki hamuelewi maana hata kwenye mkasi hakuwahi kumuita
@musakaphu4581
@musakaphu4581 3 года назад
"President of comedy africa"..POCA
@francissamson8028
@francissamson8028 3 года назад
Wandamba wanapenda wali na samaki, hupenda wali sana nimekaa nao nilipokuwa morogoro mang‘ula.
@jesuslove2205
@jesuslove2205 3 года назад
Ni wangoni
@joycejohn3445
@joycejohn3445 3 года назад
Mimi pia mtu mfupi na ni fans wenu🥰🥰🥰🥰
@binamubinamu1151
@binamubinamu1151 3 года назад
Aiseee jamaaa hongeraa kwako mkali wetu pia ant salama kwako pongezi umetisha
@delilahbutterwick9789
@delilahbutterwick9789 3 года назад
Yaani jotti namkubali sana All the way from Leeds uk Thanks Salama kwa kutuletea 🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰
@michaelmahona6948
@michaelmahona6948 3 года назад
hongela Sana salamander jabari, tunakupenda Sana hususanikwenye kufanaya intv nawatu kiukweli unauwezo mkubwa, yaniunafanya intv ambayo mtuanafurahia kusikiliza Mungu akubalikisana ufanikiwe zaidi
@adolphmwangoje2887
@adolphmwangoje2887 3 года назад
Mmetisha Sana cjwah kuon umekopi Wala joti kukopi sehem msonge mbele
@mikemike7198
@mikemike7198 3 года назад
Joti ni mtu sana
@justinejackson1731
@justinejackson1731 2 года назад
Asante sana salama Kwa kutuletea Joti na kuweza kuyajua mambo kadhaa nje ya box..
@TheBuildersHomeTz
@TheBuildersHomeTz Год назад
Tido muhando... Legend
@othumanomary4032
@othumanomary4032 3 года назад
Salama kitale namuomba
@atujohn6737
@atujohn6737 2 года назад
Joti kama Joti. Ongera kwakipawa Mungu aenderee kukusimamia
@SirdickOmondi
@SirdickOmondi 3 года назад
Joti kanifurahisha kwenye ma PACHA... joto vipi kama umeni surprise....two in ONE
@joxebongole268
@joxebongole268 3 года назад
Salama naomba utuleteee Madam na Master j
@goldaernest240
@goldaernest240 3 года назад
🤗🤗 mmenifurahisha na kuelimisha... @SalamaJabir @JotiLucas
@barakachalres9316
@barakachalres9316 3 года назад
Ongera kwa kujua ukubwa wa MUNGU
@benardsamwelministry7024
@benardsamwelministry7024 3 года назад
True comedian joti nakubali
@MS.independent8934
@MS.independent8934 3 года назад
Nime enjoy mno thankx sis sj
@abousamirfakhii7757
@abousamirfakhii7757 3 года назад
for the first time nawatch kwasabab y joti
@maverickcreativesolutions8285
@maverickcreativesolutions8285 3 года назад
Characters wote ni noma ila Nishai hatari sana 🔥🔥🔥 Big up joti
@faridmussa9579
@faridmussa9579 3 года назад
Hii ni ya kipekee,, nilitamani kujua pia ni vipi wanakua sad and how do they handle their heartbreaks.. Celebrities wanakua hawana namna zaidi ya kuonyesha tabasamu kwa jamii but on the other hand maumivu yao hatuelewi.. Nice show Salama, unaustarabu flani wa kuuliza maswali and let other upcoming waangalie hiyo.
@wellbrand3415
@wellbrand3415 3 года назад
We love you all, nice of you🙌
@eshalibaba1195
@eshalibaba1195 3 года назад
Joti kwenye kula ataki mchezoo😀😀😀😀
@shamsamikidadi1662
@shamsamikidadi1662 3 года назад
😂😂🤣😄😌🏃
@robertselasela6271
@robertselasela6271 3 года назад
Bonge ya show.. Mwana Morogoro mwenzangu... Na Mbunge wake wa Malinyi Mndamba hahaha
@alfredjohn5693
@alfredjohn5693 3 года назад
Da!???? Uchukuaji namba hii ni mbinu ya kijeshi 😁😁🙌
@peninasayanga8412
@peninasayanga8412 3 года назад
Safi sana
@safiyatheonlything7848
@safiyatheonlything7848 3 года назад
Nime enjoy pia nifurahi kusikia habari ya vengu
@stuartson90
@stuartson90 3 года назад
Kipindi kizuri sana.. Najikuta nakifatilia sana
@shebybruce4718
@shebybruce4718 3 года назад
Kusema kweli sijawahi angalia hii video mpaka mwisho heshima kwa sarama. Heshima kwa joti pia
@hanifaally4694
@hanifaally4694 3 года назад
Nme enjoy nakujifunza kwakweli na nampenda sana joti sister salama please fanya utuletee na KITALE jmn
@tresorkongolo8591
@tresorkongolo8591 3 года назад
Na mpenda sana joti from Drc congo 🇨🇩🇨🇩🇹🇿🇹🇿🍾🍾
@josephinepatrick6026
@josephinepatrick6026 3 года назад
🔥🔥🔥🔥nakubaliii @Jotii big up Salma👏🏽
@twiserchaki6029
@twiserchaki6029 Год назад
Best show ...keep it coming Salama
@gabrielmurro7134
@gabrielmurro7134 3 года назад
Salama mmenifurahisha 😁😁😁😁nimependa leo
@jamalmdee414
@jamalmdee414 3 года назад
Salama safi sana
@HassanMohamed-vs4re
@HassanMohamed-vs4re 3 года назад
Karibuu morogoro at
@badmanno.1650
@badmanno.1650 3 года назад
Nimeudhika hujam discuss nishai as a character... He's the best character
@kelvinokelo7992
@kelvinokelo7992 3 года назад
Gari ilikuwa chini tenga!!😀
@jacksonnduna4419
@jacksonnduna4419 3 года назад
Kura na mahojiano haikawi poa ilitakiwa angekula kabisa hapo angebaki na soft drink au maji kisha mahojiano yanaendelea
@HassanMohamed-vs4re
@HassanMohamed-vs4re 3 года назад
Usintie ubayaa
@michaelkusenta8960
@michaelkusenta8960 3 года назад
Salama endelea mama na ahsante kwa joti
@diemercimgisho1644
@diemercimgisho1644 3 года назад
Bigg up sana salma
@rehemaramadhan7357
@rehemaramadhan7357 3 года назад
Well done Salama
@carinadavid8214
@carinadavid8214 3 года назад
Yaan salama una moyo sana Mimi ningecheka sijui ingekuwaje
@salomewandya7257
@salomewandya7257 3 года назад
Tumeenjoy sana 👏👏
@claraedwardmalingumu3565
@claraedwardmalingumu3565 3 года назад
Baba wawili huyoooo ndani ya shati la size yake kama tangazo lake
@dorcusmacha6804
@dorcusmacha6804 3 года назад
Jamani kila nikiwaangalia nacheka tu.
@awazamis8186
@awazamis8186 3 года назад
Jotiiiiiiiii umemaind baada ya kukuuliza yuke mwanamke ni nishai 😁😁😁😁🤣🙌
@bahatykiugu1516
@bahatykiugu1516 3 года назад
Nawapenda salama na joti muludie tena kipindi
@millardmbaraka6114
@millardmbaraka6114 Год назад
Dah! Nimewahi kumpata mtoto wa mtu kwa staili ya joti hivi hivi family friend then tukapiga picha Ila Sasa yeye alikuwa na simu nzuri kidogo so zikatok vizuri kwake nikamwambia anitumie basi penzi likaanzia hapo aisee nahisi penzi hili sitolisahau
@jeremiahmhulula3515
@jeremiahmhulula3515 3 года назад
Salama your the best.
@rehemarwanda6039
@rehemarwanda6039 3 года назад
Ze King of Comedy#JOTI❤❤❤❤❤
@najmasoudnaj8211
@najmasoudnaj8211 3 года назад
Nice one 🔥💯👌
@ramsonrugonzi8249
@ramsonrugonzi8249 3 года назад
Tuletee kitale ,,salama
@ntakilwankingwa8250
@ntakilwankingwa8250 3 года назад
Nimeipenda hii salama
@fatumahilaly9911
@fatumahilaly9911 Год назад
Nafatilia interview zote yani nakupenda da salama🥰
@kelvinarnold
@kelvinarnold Год назад
Nakubal sana huyu mwamba
@arrfamush3285
@arrfamush3285 3 года назад
Nakubali Sana joti
@wycliffegift6180
@wycliffegift6180 3 года назад
Salama ,Salama Kweli💥
@jacobnorbertchenga9465
@jacobnorbertchenga9465 3 года назад
Unge muuliza kuhusu Vengu @Andunje ... Tulisikia yu mgonjwa ikaisha hivyo
@othumanomary4032
@othumanomary4032 3 года назад
Ecejay tbsam limetawala nkupnda san
@iamabel6912
@iamabel6912 3 года назад
Marco chali feat.One the incredible & Msamiati-yeah
@temuemanuel4671
@temuemanuel4671 3 года назад
Safi sana Joti. Uko vizuri
@kulwakajoro3047
@kulwakajoro3047 3 года назад
Namkubali sana Joti
@danielhaule155
@danielhaule155 3 года назад
Best comedian in 🇹🇿
@abdulkhalim5564
@abdulkhalim5564 3 года назад
Very interesting interview. Jotii very humble nd intelligent man. Long live Aljabir.
@ifraimifraimuhusen282
@ifraimifraimuhusen282 8 месяцев назад
Interview nzuri sana
@MrSABYY
@MrSABYY 3 года назад
Je umeagiza GARI nje ya nchi na unahitaji huduma ya clearance ya gari lako( Clearing & Forwarding ) kwa uharaka na BEI NAFUU ila unawaza Clearing Agent gani atalitimiza Hilo? Basi ondoa shaka na karibu nikuhudumie. Tazama baadhi ya bei zangu za kutoa magari bandarini Dar Es Salaam (Local) aina ya *TOYOTA* km ifuatavyo.. Kama aina ya gari uliyoagiza haipo kwenye orodha usisite kuniuliza, Pia wateja wa mizigo ya AIRPORT / CONTAINER & MAGARI yanayokwenda nje ya nchi ( TRANST ) mnakaribishwa.....Kwa wateja waishio Dar Es Salaam utafikishiwa gari lako mpaka ulipo BURE na kwa wateja wa mkoani utalipia gharama ya Dereva kutokana na umbali uliopo kutokea Dar Es Salaam kama ukihitaji kusafirishiwa, Asante 1: IST old - 850,000/= 2: HARRIER New-1,000,000/= 3: HARRIER Old-950,000/= 4: RAV 4 - 950,000/= 5: RAUM - 850,000/= 6: SPACIO - 850,000/= 7: PASSO - 800,000/= 8: VITZ - 800,000/= 9: PREMIO - 850,000/= 10: ALTEZA - 850,000/= 11: SUBARU - 850,000/= 12: CARINA - 850,000/= ---------------------------------------- Gharama hizi zinahusisha malipo ya 1: Port Charges 2: Shipping Line 3: Walfage 4: Agent Fee 5: Plate no ---------------------------------------- DM/Piga/Text 0653953900 / 0742996876 Whatsap +255 653953900 Company: Mofaz movers Location: PSSSF Tower, Samora Avenue Dar es salaam, Tanzania *NB: Triangle & Fire Extinguisher 🧯 BURE *NB: KUAGIZIWA GARI NI BURE 🙏 *NB: KUAGIZIWA BIDHAA CHINA NI BURE🙏
@minormine4417
@minormine4417 3 года назад
Joti unapoint sana hasa jinsi unavyolea watoto
@dazk7861
@dazk7861 3 года назад
Joti Kuna kitu umekifungua katika maisha yangu
@fatumahilaly9911
@fatumahilaly9911 Год назад
Daaah salama napenda sana kipindi chako endelea hivi hivi mi ni nambaa one fun wakoo jamani big up 🤝
@JOHARISIZYA-sh6fp
@JOHARISIZYA-sh6fp 11 месяцев назад
Good
@evaristmrope
@evaristmrope 3 года назад
Kipindi ni kizuri sana hongereni sana
@michellesorin6849
@michellesorin6849 3 года назад
Il est très intelligent Joti Lucas. Bravo!!!!
@blessedservant6020
@blessedservant6020 3 года назад
Vraiment.
@Fabulousmom509
@Fabulousmom509 3 года назад
Wapi mama Imma.
@collinsmakanta6898
@collinsmakanta6898 3 года назад
Mungu Alikusogezea Pis
@marthangufala64
@marthangufala64 3 года назад
Joti bana nacheka sana ila piga kaz bwana napenda Hujali wala nini
Далее
Salama Na JOTI Ep 47 | SIMPLY SPECIAL PART 1
35:15
Просмотров 462 тыс.
Salama Na Madee Ep 18 | MPAKA MSHALE Part 1
40:33
Просмотров 67 тыс.
ПОЛЕЗНЫЕ ЛАЙФХАКИ В PLANTS VS ZOMBIES!
00:45
Salama Na Baba Levo Ep 26 | ALL IN ALL Part 2
23:11
Просмотров 224 тыс.
Urithi wa Babu
5:43
Просмотров 294 тыс.
Salama Na Shilole Ep 5 | MAMA Part 2
25:54
Просмотров 121 тыс.
They got a Golden Buzzer 🤣✨
0:46
Просмотров 17 млн
ЧУТЬ НЕ УТОНУЛ #shorts
0:27
Просмотров 8 млн
Spot The Fake Animal For $10,000
0:40
Просмотров 105 млн