Тёмный
No video :(

Salama Na KAJALA Ep 35 | JERAHA LA MOYO Part 2 

YahStoneTown
Подписаться 396 тыс.
Просмотров 151 тыс.
50% 1

#YAHStoneTown #SalamaNa #PodCast
SUBSRIBE TO OUR CHANNEL bit.ly/YahSton...
Listen our Podcast on
Spotify Link spoti.fi/2Uxr6Cm‬
‪ApplePodcast Link apple.co/2Ou1bru‬
GooglePodcast Link bit.ly/GoogleP...
Audiomack Link bit.ly/YahSton...
‪RU-vid Link bit.ly/RU-vidS...
Kajala Winfrida Masanja ndo jina lake alipopewa na Mama yake kipenzi alipozaliwa. Mama ambaye alikua akilitumikia jeshi la Polisi Tanzania miaka ya nyuma, ambaye alihakikisha binti yake huyu anakua katika maadili yaliyo bora na nidhamu yake iwe ya hali ya juu. So nini haswa kilitokea mpaka akawa si mtoto mzuri yule ambaye Mama alifanya kila aliwezalo kuhakikisha anakua hivyo miaka ya nyuma? Sasa ni Mama na mfanyabiashara anayejielewa tu. Ila yepi haswa ambayo yalishawahi kutokea kwenye maisha yake na ambayo hajivunii hata kidogo?
Mimi na K tunafahamiana miaka mingi sana, mara ya kwanza tulikuna kwenye michezo, kwenye uwanja wa basketball wa Pazi pale Drive In enzi hizo, skuizi nadhani panaitwa Ubalozi maana ni mkabala kabisa na ubalozi wa Marekani na uwanja umo ndani ya nyumba za Tanesco na sisi pia tulikua tukipaita hivyo. I remember alikua anakuja kucheza na sisi enzi hizo yeye anasoma Jitegemee nami nasoma Makongo Secondary School, hakua mchezaji mkaaali ila alikua na juhudi, na kwa mujibu wa maongezi yetu haya aliniambia ile pia ilikua ni moja ya njia zake za kutoka nyumbani na kupata kijihewa ivi, kwa kukutana na watu tofauti 😀. Sisi tulikua tukimshangaa kwa mitkasi yake mingi, alikua anatoka, yuko na marafiki ambao walikua wakubwa kuliko yeye na kama alikua na mambo mengi ivi. Ila huko ndo kukua sasa, maana unachojifunza wakati unafanya jambo ndo hapo unapoweza kujua kama ni zuri au baya na kama lina faida nawe au laa.
Next thing I know Kajala ni mpenzi wa producer mataaata haswa enzi hizo ndani ya P-Funk na kwenye story zetu za humu amezungumzia hilo kwa urefu haswa, vile walivyokutana, alivyokua anakaa nae, reaction ya wazazi wake na waalimu shuleni na mahusioano yao mpaka yalipofika tamati. Jinsi ambavyo walikua wakiishi yeye na PFunk bila ya Mama yake Majani kujua kama mwanae anaishi na mwanafunzi ndani ya nyumba yake na mpaka akapata mimba bila ya yeye kujua. Paula alipozaliwa ndo mambo yakawa hadharani.
Mapenzi yake na PFunk yalikua na mambo mengi ambayo niliyauliza kwenye episode hii ya 35, walikutanaje, waliendeleaje, wazazi, Paula na pengine watu wengine kuhusika na mapenzi yao hayo. Aliniambia mwisho wa siku ilibidi afanye liwezekanalo ili aweze kutoka humo na maisha yaendelee na akafanikiwa kukutana na mtu mwengine Ila na kwake naye mambo hayakua matamu kama ambavyo yalianza. Yaliisha kwa machozi na chuki ambayo anadhani iko upande
wa pili zaidi maana kwake maisha yamesogea na maombi yake ya kuanza upya yamebarikiwa.
Kajala amepitia mambo mengi kwenye maisha yake ambayo mengine anajivunia na mengine siyo hata kidogo. Kama kawaida, yangu matumaini utaokota mawili matatu humu na ambayo pia kama nia na madhumuni yatakufanya ushangae na kujifunza mwisho wa siku. Tafadhali enjoy!
Love,
Salama.
Soundtrack Yeah by @MarcoChali • Marco Chali Feat One T...
Follow:
Twitter: / yahstonetown
Instagram: / yahstonetown
Facebook: / yahstonetown

Опубликовано:

 

5 сен 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 180   
@evaristmrope
@evaristmrope 4 года назад
Nampenda sana sister Kajala yuko very humble mwenyezi MUNGU azidi kumuweka zaidi na zaidi na amzidishie kipato chake cha kila siku
@anniegabby8085
@anniegabby8085 2 года назад
Salama your very professional yani hadi raha kusikiliza interview zako
@nasradodo2365
@nasradodo2365 3 года назад
salama you're the best, yani you gat my ear and eyes like no one sio hapa sio kwenye podcast yani i learn alot😩😩❤️❤️❤️ ilysm
@celestin4684
@celestin4684 3 года назад
Bip up sana salama. I wish you could do this interview this time as i am talking. 😆😆😆😂😂
@joanna_kitchens6402
@joanna_kitchens6402 3 года назад
Napenda saana maswali yako Salama you so professional na unaheshimu saana maamuzi ya mtu kama hataki kuongelea kitu hulazimishi ❤️❤️
@bilolove23
@bilolove23 4 года назад
She is a good mother 🙏🏾
@naasamson4905
@naasamson4905 3 года назад
Amefunguka vizuri tu na hasa kuhusu mtoto huku nyuma ya pazia tunahisi kama vile ni yeye anaedekeza kumbe nimegundua ni mama mkali kwa mwanae
@agnesexavery6625
@agnesexavery6625 3 года назад
She takes things positive thats great
@azzamahamdu7039
@azzamahamdu7039 3 года назад
Salamaaa jabir 🥰kajala mpole mremboooo🥰🥰🥰salama bana sasa mtu alkua mumewe lzma atampenda...ukiolewa na mtu haupend lkn jinc mnavokaa mda kupenda itakuja...
@babyhamisi5331
@babyhamisi5331 3 года назад
Shukran Sana anty sadaka your our grate mother
@hythalkarume2843
@hythalkarume2843 3 года назад
Interview Mzuri tumejifunza vitu vingi tumefurahi umelifanya kuwa jukwa sito la kutengeneza magonvi I like that, hila tuongeze kitu hiwe ni sehumu kwa wale ambao aziendi kuwa ni sehemu ya kuwasuluhisha
@Kazubassyathyvry89
@Kazubassyathyvry89 3 года назад
Like mother like daughter,ofcourse.
@eliassoingei2046
@eliassoingei2046 19 дней назад
Daaah! kumbe ni kweli Paula alikuwa shinyanga! Yani ilikuwa stor kubwaa tukiwa shuleni ni kuwa kuna binti anafanana na Paula. alijitahidi kuwa msiri hajajulikana😂
@yama_virginhairthequeen1065
@yama_virginhairthequeen1065 3 года назад
Salama ur the best ever n forever yn hujachuja vile tumekufahamu unavyohoji mpk Leo ur one of my best yani
@safiyatheonlything7848
@safiyatheonlything7848 3 года назад
Kajala we mpole sana ata mm sikupendaga watu walivyo muongelea pau
@agnesrutebuka827
@agnesrutebuka827 Год назад
I love this Woman, she is Real 🙌
@glorykimaro5528
@glorykimaro5528 3 года назад
Huyu dada ni mwanamke bora sana katika malezi
@aminihaminih7846
@aminihaminih7846 3 года назад
Pole sana kajala kwa mapito ulopitia dada angu nimeumia sana😭😭😭, nakupenda bure.pia hongr sana da salama kwakuendesha kipnd hiki💪
@princemujuni9803
@princemujuni9803 4 года назад
Sema Kajala anaonekana mpole anavyoongea yan alifaa kuwa mama mchungaji no wonder alitaka kuwa nun sema sasa hilo shepu c ingekuwa matumizi mabaya ya shepu.
@sofiajuma3075
@sofiajuma3075 3 года назад
🤣🤣🤣🤣
@leonelleo4425
@leonelleo4425 3 года назад
Hilo shepu lingeleta balaa kwa mapadri 😀😀😀
@mathiaslyamunda2526
@mathiaslyamunda2526 3 года назад
Dah Salama yani you are very good at your Job! Hongera sana.
@barakagwakisa909
@barakagwakisa909 2 года назад
She's a protective mom. Keep it up
@ummulkheirzubeir6320
@ummulkheirzubeir6320 3 года назад
Mama paula nakupenda tu hunaga mbwembwe
@franktimothkisimbo5354
@franktimothkisimbo5354 3 года назад
Umekuwa muwazii saanaa kajala umekiri makosa yako yotee Mungu akuinue zaidi
@sophiamkandara1834
@sophiamkandara1834 2 года назад
Salama anahoji vizuri sana and very professional 👌
@melvinkyando9081
@melvinkyando9081 2 года назад
Inauma sana kama mzazi naelewa nini unajisikia kajala
@RamazaniMulongeca
@RamazaniMulongeca 3 года назад
Aunti Sadaka anaitajika tena, please mpeleke kwa MWAKA mzima..🙏🙏🙏
@wellbrand3415
@wellbrand3415 3 года назад
Naam, shukran sana, tunazidi kujifunza mengi mnooo...
@user-zq6ce2vu9j
@user-zq6ce2vu9j Час назад
Ahsante
@aoman5214
@aoman5214 4 года назад
Nampenda San huyu dada nmstaarb Hadi kuongea
@mutwalesylvie7443
@mutwalesylvie7443 3 года назад
Kabisa
@janethkilonzi4260
@janethkilonzi4260 3 года назад
Na nimkwel mno..
@barakayohana6021
@barakayohana6021 4 года назад
Kajala Masanja,cku izi Industry yenu mbna imekua changamoto sana,mmekua mnapenda skendo kuliko kuigiza,Maisha yenu halisi,yamekua ndio maigizo
@belak999
@belak999 3 года назад
Yeye umemuona kwenye skendo? Yaan haya majina ya Baraka sijui kwnn ni laana, huwa mnashindwa hata kujielewa
@barakayohana6021
@barakayohana6021 3 года назад
@@belak999 samaki mmoja akioza,C tunajua wote wameoza mbweha we
@ms_caramel2688
@ms_caramel2688 3 года назад
@@barakayohana6021 sio kwa mbweha iyo hahaha bila shaka ww ni mhehe
@queenmichael5319
@queenmichael5319 4 года назад
Mtu mwenye nafasi awaonyeshe hao watu wanaotafuta part one or two kwa sababu zipo zote hapahapa ila naona wanalalamika.
@kimkimbeth7918
@kimkimbeth7918 3 года назад
😂😂😂
@kimkimbeth7918
@kimkimbeth7918 3 года назад
😂😂😂
@tumakassim6286
@tumakassim6286 3 года назад
Tenda Wema wende zako usingoje shukrani,mh! basi haya ☹️☹️
@Richard_Range
@Richard_Range 3 года назад
Love this ladyy! Much love kajala! I remember meeting you samaki samaki ulikuwa na kina baby madaha and i gave you a hug 2015/6! 🥰
@doreentraavis1701
@doreentraavis1701 3 года назад
Nampenda Sana kajala mstarabu Sana ata ajisikii
@elizalwakatare8070
@elizalwakatare8070 3 года назад
Yaani hii tabia ya watu kuzusha maneno inaumiza sana sijui huwa wanafikilia nini dah😥 salama tunamuomba Jenifer kyaka
@mahmoudukusso4488
@mahmoudukusso4488 4 года назад
Hapa ndiyo kwenye tatizo la ndoa za kikatoliki ,hamjaachana lkn una mtu na unatafuta mtoto,poleni sana
@silverdavid6200
@silverdavid6200 3 года назад
Kuachana hakupo kabisa kwenye ndoa za kikristo.
@mahmoudukusso4488
@mahmoudukusso4488 3 года назад
@@silverdavid6200 umesikiliza maelezo yake? Mwenyewe anakiri wameachana
@nancykimaro3845
@nancykimaro3845 3 года назад
Flaviana Matata plz
@jacintabati6238
@jacintabati6238 3 года назад
Kajala is so beautiful and adorable
@anitanahimana2115
@anitanahimana2115 3 года назад
Pore sana dada kajara..mungu ata kupa mwengine
@aishakidotigakii6157
@aishakidotigakii6157 4 года назад
Kajala so humble
@ednacelemon5950
@ednacelemon5950 3 года назад
Asante Salama kwa mafundisho yako.
@jescaemmanuel100
@jescaemmanuel100 3 года назад
Tena aunt kiboko haswaaaa 😂😂
@ednacelemon5950
@ednacelemon5950 3 года назад
Mimi napenda kusikia unavyotamka jina la Jesca.
@fatmaallyabdul1732
@fatmaallyabdul1732 3 года назад
Yes,Jessica!! halafu kuna huyo Jesca unayemsema wewe
@medyamon
@medyamon 3 года назад
Eti Aunt kiboko😂😂😂😂😂 wewe ni Aunt-no-filter👊🏽😂💕
@kotindimfinanga1169
@kotindimfinanga1169 4 года назад
I love you kajala
@ab3ab313
@ab3ab313 3 года назад
kajara nakupenda bure❤❤❤
@princesbimkhamis6446
@princesbimkhamis6446 3 года назад
Salama tulelee madam wema
@faudhatymalembuka7151
@faudhatymalembuka7151 2 года назад
Dada salama mwambie da kajara nampenda san
@mwamvuakayanda8730
@mwamvuakayanda8730 2 года назад
Najifunzaaa sanaaaa kajala stay blessed mom
@pbye2974
@pbye2974 3 года назад
Ooooh hupendi tattoo na mbona umechorana na harmo😀😀 hivi ukirejea hii interview unajickiaje
@latifadaudi1871
@latifadaudi1871 3 года назад
Jamani😂😂😂
@akederamadhani5867
@akederamadhani5867 3 года назад
S ndo apo xx
@user-lp4vb5dj9k
@user-lp4vb5dj9k 7 месяцев назад
Nakupenda sana kajala
@vevo3130
@vevo3130 3 года назад
sawa aunt Kiboko…..niletee Mr. Blue.
@zildatwahid6526
@zildatwahid6526 3 года назад
Nikki wa pili please...we need him
@xkingx8041
@xkingx8041 3 года назад
Salama!!Nakupendaaaaaaa we dadaake 😘😘
@kavishejrkavishe9643
@kavishejrkavishe9643 4 года назад
Jamanieee hii background beat nyimbo inaitwaje?
@mwasakafyukasamson
@mwasakafyukasamson 3 года назад
Premier Diva Salama , asante kwa kazi yako
@abdulkhalim5564
@abdulkhalim5564 3 года назад
Good job Aljabir
@zandonaabrondi1906
@zandonaabrondi1906 3 года назад
Salama uko powa kazi nzuri
@levinaleonard7652
@levinaleonard7652 10 месяцев назад
Nakpenda sana kajala❤❤❤
@suleymanmakiwa1651
@suleymanmakiwa1651 4 года назад
Online media za bongo ukiondoa Wasafi mnafanya mambo kimazoea sana! Juzi Earadio walifanya hivi hivi. Wameweka part one halafu part two sijui wataweka lini
@rukiashunda9364
@rukiashunda9364 4 года назад
Mbona IPO
@nancykimaro3845
@nancykimaro3845 3 года назад
Master Jay plz plz
@sylviemugeni1887
@sylviemugeni1887 3 года назад
Nakupenda sana nashukuly ku mule ta kajala
@nissamwapoladi7345
@nissamwapoladi7345 2 года назад
Kajala love uuu.nimejifunza kitu
@mamusmama2882
@mamusmama2882 3 года назад
Asante aunt kibokoo😜mm ntakusaka tupige story😘 Good job
@minskbelarus7255
@minskbelarus7255 3 года назад
Hivi kuna mtu anaeweza kumuhoji SALAMA na jinsi alivo na IQ ya ajabu, labda OPRAH
@indacarservicestz
@indacarservicestz 2 года назад
She has to be with Ellen or Salim kikeke
@TEDY-MTEMY24
@TEDY-MTEMY24 Месяц назад
Milladiayo yupo
@didah6556
@didah6556 4 года назад
Asante aunt kiboko😂
@safiangaiwa2597
@safiangaiwa2597 2 года назад
Nawapenda
@abenizermusic6694
@abenizermusic6694 2 года назад
Nimejifunzaa mengi kupitia maojiano ayaa
@princemujuni9803
@princemujuni9803 4 года назад
Sema hiyo leo inaitwa Tanga wiki iliyopita ilikuwa inaitwa Arusha , Salama unanichanganya
@kulwamwakagali24
@kulwamwakagali24 3 года назад
Kwenye tattoo umesema ukweli usiosemwa na wengi...
@munirandinda7448
@munirandinda7448 3 года назад
Kajala mrembo jamani nampenda Sana
@judithkarikwera9091
@judithkarikwera9091 3 года назад
Nampnda San kajara
@bujsaudaselemani5562
@bujsaudaselemani5562 3 года назад
Pole sana dada yangu ndo binadam
@rahmarajab3688
@rahmarajab3688 2 года назад
Duuh, Nawapenda sana!!!!!
@sadikiballack1631
@sadikiballack1631 2 года назад
Salama we noma napenda cocktails zako ...... Chakula cha kisasa mambo yako makbwa ongera kwa hilo
@kikie_chyna
@kikie_chyna 2 года назад
Salama you dont understand what she is doing for a living right? 🤦‍♀️ me too.. 🙆‍♀️
@kozbeahani2328
@kozbeahani2328 3 года назад
Umlete Paula plzzzz nataka kuskia lifestyle yake
@noohmahdy2336
@noohmahdy2336 4 года назад
Mnazinguwa part one iko wapi
@renathajohn879
@renathajohn879 4 года назад
Ipo hukuangalia wewe umedandia gari kwa mbele 😂
@eshalibaba1195
@eshalibaba1195 4 года назад
@@renathajohn879 😀😀😀😀
@itshaluastyle
@itshaluastyle 3 года назад
ru-vid.com/video/%D0%B2%D0%B8%D0%B4%D0%B5%D0%BE-QzqbXK2nVC0.html
@sabihasalim942
@sabihasalim942 3 года назад
@@renathajohn879 so funny 😂😂🇬🇧
@karthala6676
@karthala6676 4 года назад
Kwenye biblia Imekatazwa kuchora mwili. Ya pili watu wenye tattoo hawaruhusiwi kuwapa damu watu wanohitajiya. Watu wafikiriye.
@joycejohn7754
@joycejohn7754 3 года назад
Kwahyo watu wafe kisa anaetoa anatatoo
@nahimanajo8993
@nahimanajo8993 3 года назад
Nice kajala
@rashidchimwenda
@rashidchimwenda 4 года назад
Dope
@feristerdavid-lq2en
@feristerdavid-lq2en Год назад
Nzuri
@bish_daddiyao
@bish_daddiyao 4 года назад
Nice....INTERVIEW BRING JUMA NATURE AUNTY HE IS GREAT TOO
@Kazubassyathyvry89
@Kazubassyathyvry89 3 года назад
Leo umeamuwa kuwa na mtu maarufu.Duuuhhh hi dunia nihatari.
@magrethmkira6250
@magrethmkira6250 4 года назад
Part 1
@elizabethmlonganile5000
@elizabethmlonganile5000 4 года назад
Hey where's part one?
@hatimalnaamani876
@hatimalnaamani876 3 года назад
Ipo mbona
@winfridamdaki5699
@winfridamdaki5699 4 года назад
Safi sana interview nzuri Salama
@devotajoel3730
@devotajoel3730 3 года назад
Gonga rike Kama uko pamoja na salama
@mutwalesylvie7443
@mutwalesylvie7443 4 года назад
Nice
@wemamlaga3714
@wemamlaga3714 3 года назад
Salamaaaa.... Skafu unapata wapi/ unanunua wap
@hellenmwasha8482
@hellenmwasha8482 4 года назад
Unatupa raha Sana stress Free
@haskao77
@haskao77 4 года назад
Where's part one?
@montteyfloki3953
@montteyfloki3953 3 года назад
Amesema hapendi tattoo lkn kaenda mchora harmonize. Wasanii wasanii sana lol
@priscaiman2081
@priscaiman2081 4 года назад
Part one iko wapi
@a.856
@a.856 3 года назад
🙏
@sulleyalmass9814
@sulleyalmass9814 3 года назад
Chombo ya Jeshiii
@firdausgreen1391
@firdausgreen1391 4 года назад
Hamkuwai waza kurudiana na P funk majani baada ya kuachana???
@josephk90
@josephk90 4 года назад
Yule jamaa korofi asee na ule mwili anaweza kuua mtoto wa watu asee...
@firdausgreen1391
@firdausgreen1391 4 года назад
@@josephk90 hahahaha kwenye mapenz hakuna komando banah...anaweza kuwa mkorofi kwenye sekta nyingine ila sekta zingine akawa kaduchuuuu
@mzeemakame3734
@mzeemakame3734 4 года назад
Kwann sio yah motoo hii maana kila mahojiano ni mazito
@emmanuelayo9594
@emmanuelayo9594 3 года назад
Salama kipindi chako kimepoteza mwelekeo bora uache kama uwezi kuwarudisha wale jamaa zako .hivyo vitambaa mmmmh!!!!
@CheupeEceJay
@CheupeEceJay 3 года назад
Kama maisha yako tu Baba.
@jokhasuleiman4536
@jokhasuleiman4536 3 года назад
Hongera sana Jesica wetu kuwaletea wahusika wetu msosi na kinywaji kizuri. Ndio maana maongezi yananoga sana. Nimetamani sana kuja Samaki samaki. Insh mtaniona. Big up kwa Salama na Kajala. Nice interview.
@kulolamasanyiwa3683
@kulolamasanyiwa3683 3 года назад
Da inaumiza kwakweli,nimejifunza kitu
Далее
Salama Na KAJALA Ep 35 | JERAHA LA MOYO Part 1
29:56
Просмотров 332 тыс.
Salama Na Shikana Ep 17 | DYNAMITE Part 1
29:48
Просмотров 339 тыс.
Cook with Wema Sepetu S02E03 Kajala Masanja
8:05
Просмотров 356 тыс.
Dealing with Failure and Self-Love with Salama Mohamed
35:27
Salama Na Gigy Money Ep 12 | ZILE KHADITHI Part 1
25:27
Salama Na NANDY Ep 53 | MNOGESHAJI PART 1
35:35
Просмотров 320 тыс.
Mkasi - SO6E01 with Kajala (Msimu Mpya)
28:59
Просмотров 161 тыс.