Тёмный

SALEH JEMBE:CHAMA NI USAJILI MZURI YANGA SIO BORA|NIMEJIULIZA MASWALI UTAMBULISHO WA YANGA KWA CHAMA 

wispoti tv
Подписаться 34 тыс.
Просмотров 20 тыс.
50% 1

JE UNAHITAJI KUTANGAZA BIASHARA NA WISPOTI TV.
KARIBU TUKUHUDUMIE KWA GHARAMA NAFUU, WASILIANA NASI KWA SIMU NAMBA 0743040370 AU TUCHEKI KUPITIA WHATSAPP NAMBA 0758099136.

Спорт

Опубликовано:

 

30 июн 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 58   
@KondoMhando
@KondoMhando 3 дня назад
Huyu akapimwe akili kwanza halafu ajetena studio yenu, tena akapimiwe Milembe. Kwa mtazamo anaonekana ni mtu mwenye akili timamu, kumbe ni gamba la ubuyu
@leonardrweyemamu6126
@leonardrweyemamu6126 3 дня назад
Kabisa
@ZachariaMwita-bu7rw
@ZachariaMwita-bu7rw 3 дня назад
Huyu ndo waga anaongea point
@BashiluOmary
@BashiluOmary 3 дня назад
Siku zote ukiongea ukweli unatukanwa uko vizuri kaka
@user-ce3tx7mr8v
@user-ce3tx7mr8v 3 дня назад
UPO VIZURI SALEHE JEMBE
@mtmarchcontempo
@mtmarchcontempo 3 дня назад
Ameonyesha kuumizwa kwake pole sana!
@ABDALLAHMWATANDA
@ABDALLAHMWATANDA 3 дня назад
MATUSI YA NINI NYINYI MAUTOPOLO.....jushua Mutale ana NGUVU speed na AKILI ya MPIRA....
@ommymsangi9182
@ommymsangi9182 3 дня назад
Mna mhoji kolo hamuoni anavyoumia na asivyo amini!!
@rajabumalonda2625
@rajabumalonda2625 3 дня назад
Wewe S Jembe mbona watu tushakujua ,huna jipya
@user-yg2oi5ln7h
@user-yg2oi5ln7h 3 дня назад
Point sana kaka angu umeongea
@gracemtonga3263
@gracemtonga3263 3 дня назад
Unaumia vibaya mzee baba! Na bado utaumia zaidi. Eti simba hawamtaki chama! Nyokweeee
@deokibona2835
@deokibona2835 3 дня назад
Hapana, ni tofauti kabisa na lameck lawi, kwasababu chama ameshamaliza mkataba Simba kwahiyo amesajiliwa kama mchezaji huru.
@JohnMagofi
@JohnMagofi 3 дня назад
Wanaoumia wako wengi 🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@user-to9xw2mc9m
@user-to9xw2mc9m 3 дня назад
Salehe wewe ni kolo😂kwanini utaki kuamini chama kaja yanga
@saidimnyani3330
@saidimnyani3330 3 дня назад
Anavyojibu aibu naona mimi
@malietamalieta9658
@malietamalieta9658 День назад
Uache wivu naroho mbaya ila chama Ako tu sawa sema team nzima aikua sawa yote usimutupie rawama chama
@hamisikapute598
@hamisikapute598 3 дня назад
Kama umeumia vile
@user-zx1vk9pr1w
@user-zx1vk9pr1w 3 дня назад
Wee naee 🤣🤣 ! Kuna watu pale wanatekereza majukum bwana ! Wanajua ni nn wanakifanya sa wew unapiga kelele hapa 🤣🤣
@adrophinamwanguse1510
@adrophinamwanguse1510 3 дня назад
Ndo maana nakupenda we kaka unaongea point sana
@fredylucas2484
@fredylucas2484 3 дня назад
Aliongea vizuri sana kwenye mkutano mwaks jana. Mnapenda sana kupakwa mafuta na sio kuambiwa ukweli😅😅
@mwanangusana
@mwanangusana 3 дня назад
​@@fredylucas2484njoo chukue maji makubwa ya Kilimanjaro baridiii ndugu yanguu
@user-vv5qi9yh8l
@user-vv5qi9yh8l 3 дня назад
Wwe jembe uwe na aaakili sasa wanampenda chama simba ndomaana awake taka kuumpa asante mapema
@twahakabajemi9716
@twahakabajemi9716 3 дня назад
Yanga tukifanya jambo mnakuwa na mashaka labda sio kweli Aaminini ndo hivo
@kolosii4351
@kolosii4351 2 дня назад
Wewe huwezi kuwapangia watu taratibu zao.
@emmanuelzwallo3933
@emmanuelzwallo3933 3 дня назад
JEMBE USIZUNGUKE ZUNGUKE,ROHO INAKUUMA
@user-yz6ds9hn9l
@user-yz6ds9hn9l 3 дня назад
Na muendelee hivyohivyo nyie yanga kutoa Rushwa kwa wachezaji ili muharibu timu za wenzenu, tumesafisha bado kipa, ukiwa unapenda kula rushwa na msenge. Wenu zeruzeru chawa,
@SaidEmmanuel-dl6er
@SaidEmmanuel-dl6er 3 дня назад
Kwani kumtambulisha mchezaji xi niuamuz wa klabu imta.bulishe kwa wakati gani unahoja na hilo mchambuz uwe mkwer saree H Mm nimiongoni nakufuatia naona unaukolo weee
@ahmedburhan5104
@ahmedburhan5104 3 дня назад
Aibu imwkushika acha usimba wako
@jarufuyahaya3338
@jarufuyahaya3338 3 дня назад
We unaumia
@MriduAlly-yy2ce
@MriduAlly-yy2ce 3 дня назад
Huyo NI Simba damu
@user-up4kd4di7h
@user-up4kd4di7h 3 дня назад
Mzee mlisema Leo amekua kijana
@AliAliahmada-ht4ri
@AliAliahmada-ht4ri 3 дня назад
Huyu nae mchambuzi uchwara amekuwa bias siku zote
@mwansasujonny3536
@mwansasujonny3536 3 дня назад
Hili jingaaa sanaàa
@jumaseif2452
@jumaseif2452 3 дня назад
Tena kk hili ni tahahira
@mwanangusana
@mwanangusana 3 дня назад
Mjinga mweupeee .....
@KingSailor-ic8iz
@KingSailor-ic8iz 3 дня назад
Utopolo bna
@AlfredRutaguza
@AlfredRutaguza 3 дня назад
Huyu mbwa tumemuumbia fara wew
@AlfredRutaguza
@AlfredRutaguza 3 дня назад
Huyu fara yupo kwenye kamatu furani simba hivyo udunduka unamsumbua
@upepobeka6877
@upepobeka6877 3 дня назад
Huyu naye ni mchawi kama alivyo binikazumari
@mwanangusana
@mwanangusana 3 дня назад
Hili jamaa limeumia limeumia halafu limeumia na tenaaaaa .....ni kijana wa hovyooooo huyuuu ni miongoni mwaooo
@paulmwandambo7799
@paulmwandambo7799 3 дня назад
Jamaa ameumia saaana , kwakweli unateseka saaana kolo huyu
@rizmarkabraham3921
@rizmarkabraham3921 3 дня назад
Mwehu
@meshackmganga6948
@meshackmganga6948 3 дня назад
Yaan jamaa hana furaha kabisa😅
@kanoleausi4204
@kanoleausi4204 3 дня назад
Simba sio Yanga 😂
@allymngwaya2831
@allymngwaya2831 3 дня назад
Ni kweli Simba walikuwa hawamtaki Chama?
@Evance-op4jw
@Evance-op4jw 3 дня назад
usituongopee yeye ndo alikuwa kipendwa no 1 pale simba
@Sanjey-vp1fm
@Sanjey-vp1fm 3 дня назад
Kweli tulimpenda sana chama lkn kabla hajaharibika na kuihujumu simba lkn kwa misimu miwili iliyopita na kuanza kula rushwa tukaanza kumuona c lolote.
@sulaimanalhabsi2355
@sulaimanalhabsi2355 3 дня назад
Hawezi kuosifia yanga
@sulaimanalhabsi2355
@sulaimanalhabsi2355 3 дня назад
Huyu kolo hamumjui
@user-up4kd4di7h
@user-up4kd4di7h 3 дня назад
Mm
@user-vv5qi9yh8l
@user-vv5qi9yh8l 3 дня назад
Wew jembe umiaa2 naww ni simba
@user-pp9px2oi5w
@user-pp9px2oi5w 3 дня назад
Jembe hauna jipya tumesha mchukua chama kajinyonge kenge wewe
@khalifabahati
@khalifabahati 3 дня назад
Jembe ni koloo😅
@stejasatv7349
@stejasatv7349 3 дня назад
Yanga hawakoseinmkuuu kesho keki
@user-px7jf7xs6k
@user-px7jf7xs6k 3 дня назад
Jamaa anaumia cnaa
@user-uv6lh9ym8g
@user-uv6lh9ym8g 3 дня назад
Mchambuzi mwenye mahaba anaonyesha wazi kabisa ameumizwa na Chama kuhamia Yanga sikiliza hata point yaani haeleweki
@ClassicUsed-jg6ri
@ClassicUsed-jg6ri 3 дня назад
Huyu si John boco
@Evance-op4jw
@Evance-op4jw 3 дня назад
wewe huwezi kuwapangia wamtambulisheje mchezaji salehe acha unafki utakuwa unaumia wewe niwale wale
Далее
Кто понял тот понял
00:24
Просмотров 154 тыс.