Kutoka Rwanda shabiki muziri wa Yanga kutoka utotoni jamani Jangwani tujiandae kutafuta ubingwa Tena mwaka ujao Kilala heri team yetu mungu mwema awe nasi
Hahahahaha wananchiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii tuenjoy tu maana tunaweza viva timu yangu young Africans,asanteni washabiki wenzangu na uongozi wote,hatuna dogo,daima mbele mwiko nyuma
Tusipitilize sana shangwe wana yanga kuna na wachezaji wetu wengine nao wasije kujiona kama nao hawana thamani kwani nao wametutoa mbali jamani inatosha hayo mapokezi yasije yakazidi mipaka huo ndio ushauri wangu DAIMA MBELE NYUMA MWIKO!
Wanayanga NI washamba mpaka mwisho wa dunia.kwaakiri yenu chama ndiyosba?. na mabango mnabandika ya Nini Sasa mbona Simba chamba hakubandikiwa mabango?. Nyie kila kitu bango mmekuwa mademu?.na nyie hamna timu timu ya akina mwigulu!. Chama amekuja kubeba majinihayabebwi na watoto.na chama lazima Ana wa kwake hapo.mko hapa