Тёмный

HII SASA SIFA/TAZAMA ALI KAMWE AKIWALISHA CAKE ZA CHAMA WANANCHI JANGWANI 

Yanga TV
Подписаться 602 тыс.
Просмотров 68 тыс.
50% 1

#DaimaMbeleNyumaMwiko #TimuYaWananchi

Спорт

Опубликовано:

 

1 июл 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 126   
@michaelpengo8730
@michaelpengo8730 5 дней назад
Yanga mna Raha sana. Naweza kusema miongoni mwa watu wenye Raha duniani na Yanga mpo kwenye Top 10.🎉🎉🎉
@MosesTumusime-cz1dc
@MosesTumusime-cz1dc 5 дней назад
Yaani Jangwani tuko zaidi team uwanjani tu tuko family ndani ya uwanjani na inje ya uwanja kbsa
@MosesTumusime-cz1dc
@MosesTumusime-cz1dc 5 дней назад
Kutoka Rwanda shabiki muziri wa Yanga kutoka utotoni jamani Jangwani tujiandae kutafuta ubingwa Tena mwaka ujao Kilala heri team yetu mungu mwema awe nasi
@MasterG-dc1tx
@MasterG-dc1tx 5 дней назад
Hahahahaha wananchiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii tuenjoy tu maana tunaweza viva timu yangu young Africans,asanteni washabiki wenzangu na uongozi wote,hatuna dogo,daima mbele mwiko nyuma
@osmundmtavangu
@osmundmtavangu 5 дней назад
Mpira ni burudani zaidi ya dk 90 za ndani ya uwanja. Hongereni sana viongozi vijana kwa ubunifu wa kiwango cha SGR.👏👏👏👏🤪🤪🤪
@user-bw1hs2nd8p
@user-bw1hs2nd8p 5 дней назад
Hii ndo inaitwa utajua hujui😅😅😅😅😅😂😂😂😂😂❤❤❤❤❤❤
@Maryc2G
@Maryc2G 5 дней назад
Yanga haina dogo, yanga inafurahisha sana 💚🇹🇿
@moshintagata100
@moshintagata100 5 дней назад
Sisi niwanainchi tunahitaji salamu mbili asalam lekum pia na bwana yesu asifiwi bilashaka mumenielaewa
@eidallyeidally5093
@eidallyeidally5093 4 дня назад
tatiz imesemwa kiarabu .kiswahili maana yake amani iwe juu yenu .yohana 20 ...19
@user-fc7zp2nd4m
@user-fc7zp2nd4m 4 дня назад
Naipenda sana yanga jaman❤❤❤❤❤❤
@matendojumanne5823
@matendojumanne5823 5 дней назад
Yanga haoooo daimambele nyuma mwiko
@ismailseleman2952
@ismailseleman2952 5 дней назад
Munguawajalie wotemlioletakeki
@SIMONHERMAN-qv2ln
@SIMONHERMAN-qv2ln 5 дней назад
Mpora wa Bongo bana...😢 Ndo maan wachezaj wa kigan wakja Huwa hawapasahau
@25code
@25code 5 дней назад
Jambo tunalo na tunatamba nalo.karibu chama.na umeingia k wenye chama la kweli
@Hassansalum-j3k
@Hassansalum-j3k 5 дней назад
Jamaniee maoniyangu chama mwenyewe ndioangewalisha wanachama mashabiki wapenzi iliaoneshe mapenziyake kwetu.
@user-iu2cm5um6e
@user-iu2cm5um6e 5 дней назад
❤❤❤❤❤I Love it, umwaaaaaaa
@emmanuelfrance
@emmanuelfrance 5 дней назад
Mko vizuri sana wananchi
@kabujeasukile5462
@kabujeasukile5462 5 дней назад
Kweli wanainchi hatuna jambo dogo🤣🤣🤣🤣🤣
@moiseszacariasmoisesmoises
@moiseszacariasmoisesmoises 4 дня назад
jamani mim naupenda sana uwongozi wa yanga,wana mfano wa kuigwa.ningependa kwetu Moçambique tuige tanzania,.😊 nawapenda sana yanga.
@WatuShazi
@WatuShazi 5 дней назад
Chama,,chama kwell msichiukulie poa mnshaumia so kdog
@B.M-ix4rz
@B.M-ix4rz 5 дней назад
Alosema hasainiiiiiii Mbona kasainiiiiii alosema hasain mbona kasainiiii Tunae chama tunaeeee Tunae chama tunaeeee Tunaechama tunaeee tunae twatamba naeee
@RamadhanMabwabwa
@RamadhanMabwabwa 5 дней назад
Mzee mpili anatia neno kimya kimya idara ya ufundi😂😂
@user-vr3hp4xs8m
@user-vr3hp4xs8m 5 дней назад
Hio sherehe ya keki chama yupo hapo kwenye keki anaziona
@raphaelkessy7360
@raphaelkessy7360 5 дней назад
💛💚💛💚💛😀📸 Daima Mbele Nyuma mwiko
@AzamMgasha-qh9zc
@AzamMgasha-qh9zc 5 дней назад
Timu ya watu ila chamaa
@VicentMbise
@VicentMbise 5 дней назад
Yanga nimeikubali
@AngelMbanga
@AngelMbanga 5 дней назад
Ivi chama kwa mapokezi haya unatuaidi nini wannch ??? Yanga rahaaaaaaa
@SuhuurFarxaan
@SuhuurFarxaan 5 дней назад
😂😂😂duuh ila yanga nangoja 10 za master ki na 39 za screen protector ntazila hizo
@saidmasengo7988
@saidmasengo7988 5 дней назад
CHAMA TUNAYE NA TUNARINGA NAYE🎉🎉🎉🎉
@HusseinAlly-zp7sb
@HusseinAlly-zp7sb 5 дней назад
Yanga daima🎉
@ashorass4431
@ashorass4431 5 дней назад
Nice
@rachelsamwel5359
@rachelsamwel5359 5 дней назад
Walikuja wachezaji wa maana kama Pacome na Jeshi wamefanya mambo makubwa lakini mapokezi yao yalikua ya kawaida tu
@hanifamziray277
@hanifamziray277 5 дней назад
Haaaa.watajuta waoooo😂
@Sunshine0222
@Sunshine0222 5 дней назад
Dah hii timu kubwa sana
@monicalucas3738
@monicalucas3738 4 дня назад
Alafu hii biashara ya kusalimia Salam moja hatutaki ubaguzi wa dini, timu ya yanga ina wakristo na waislam .
@magrethyeremia2279
@magrethyeremia2279 3 дня назад
Kabisaaa ,
@selemanisalum7685
@selemanisalum7685 5 дней назад
Hawa vijana yanga wamefiti kwenye kitengo wallah wanakela hawa hhhhh
@CasianMchalo
@CasianMchalo 4 дня назад
Nawashukul sana
@kessysenga8700
@kessysenga8700 5 дней назад
Suda yanga sijamuona hapo jaman mmemsahau wapi?
@Official83640
@Official83640 5 дней назад
Mzidishieni sifa awatende km Mayele maana mmezidisha tena hamjali km tuna msiba Wa Manji au kawakosea nn mpaka mnafuraha kupitiliza
@eidallyeidally5093
@eidallyeidally5093 4 дня назад
tumeshazika waislaam hatuna maombolezo ya wiki nzima hata akifa nan
@Official83640
@Official83640 4 дня назад
@@eidallyeidally5093 Ile siku yakuzika mmeanza shangwe hamuoni haya
@raphaelkessy7360
@raphaelkessy7360 5 дней назад
Ma Dada keki siku ingine wa vae chochote kinacho onyesha mapenzi yao kwa Yanga Sports Club Tafadhali
@Carolina-sm5zt
@Carolina-sm5zt 5 дней назад
Umependeza hiyo
@allysaidlyambange4500
@allysaidlyambange4500 5 дней назад
Mpili alitakuongeza keki ale😂😂😂😂
@bakarmpilyzegreat
@bakarmpilyzegreat 5 дней назад
Hatunaga show mbovu
@user-xt1lh7hu7l
@user-xt1lh7hu7l 5 дней назад
ILike it🎉❤
@dittosanga3358
@dittosanga3358 3 дня назад
Welcome friend chama to Young Africans
@innocentntabanganyimana2111
@innocentntabanganyimana2111 5 дней назад
YANGA 💛💚 team tunaipenda
@amanilupembe9788
@amanilupembe9788 5 дней назад
Ku. Be mzee mpiiili upo
@vwambanjichibwe4893
@vwambanjichibwe4893 5 дней назад
🇿🇲🇿🇲
@danielbenard9053
@danielbenard9053 5 дней назад
💛💚💛💚
@user-ue5wg4sz7w
@user-ue5wg4sz7w 3 дня назад
jasmine wajina wangu asante
@nicksonmlay542
@nicksonmlay542 5 дней назад
Wananchi Wamefurahiiiii💚💚💚💚💚💚💚💚✅
@odilomwakamela4889
@odilomwakamela4889 5 дней назад
Kadi ya kuwa mwanachama wa Yanga naipataje na ni shiling ngap ?
@Faharitvplus
@Faharitvplus 5 дней назад
Muuza cake kapata Fursa ya kutangaza biashara ya cake
@Carolina-sm5zt
@Carolina-sm5zt 5 дней назад
❤❤❤❤❤😅
@PaschalHose
@PaschalHose 5 дней назад
Afu nasikia mwakani KAPOMBE tutatambanae
@PillyLushete
@PillyLushete 3 дня назад
Kalibu yanga Haina njaaaaaa
@user-mv5kv5fh7g
@user-mv5kv5fh7g 5 дней назад
❤❤❤❤❤❤❤❤
@babycandycharles7816
@babycandycharles7816 5 дней назад
Hongereni Sana hayomambo msimbazi hayapo kwann wachezaji wasije yanga namnaiyo lazima kuonesha mapenzi kwa wachezaji
@AgenesMugema
@AgenesMugema 4 дня назад
Makombe yaendelee🙏🙏🙏🙏
@SanchezMutiti-ie8ed
@SanchezMutiti-ie8ed 5 дней назад
Wakwanza
@gastonfuraha
@gastonfuraha 5 дней назад
🔥🔥🔥
@LucasMganga-f6l
@LucasMganga-f6l 5 дней назад
Young bab lao
@terrence9477
@terrence9477 5 дней назад
Mkianza msimu, nitaleta keki kwa Pacome, lazima msimu uanze kwa mbwembwe
@mbwanaoch9886
@mbwanaoch9886 5 дней назад
Sisi hao
@rachelsamwel5359
@rachelsamwel5359 5 дней назад
Huu sasa ni ushamba na ujinga watu na elimu zenu mnafanya vitu vya kipumbavu
@remidusmwanandenje-yy5gs
@remidusmwanandenje-yy5gs 5 дней назад
🕺🕺🕺🕺🕺🕺🕺🕺🤣🤣🤣🤣🤣
@BakaryOmally
@BakaryOmally 3 дня назад
Nashauri tuwe na wimbo wa utambulisho wa timu yetu ambao utapigwa kabla na baada ya mechi utawapa hamasa wachezaji kupambania timu
@user-cc8le8bx5s
@user-cc8le8bx5s 4 дня назад
Hasa chamamwenyew hayupo hapo
@vicentsagudasheyi564
@vicentsagudasheyi564 5 дней назад
💛💚🖤
@user-wl3sv2xn9e
@user-wl3sv2xn9e 4 дня назад
Tunamtaka mamelodi tunahasra nae
@neemamollel6972
@neemamollel6972 5 дней назад
Sisi ni zaidi ya familia
@aziziabeid6052
@aziziabeid6052 5 дней назад
Ku?
@planctv5961
@planctv5961 4 дня назад
Yanga 🙌
@JANE-jv4eq
@JANE-jv4eq 5 дней назад
Daima mbele nyuma mwiko
@angonzamujunangoma8775
@angonzamujunangoma8775 5 дней назад
💚💛🇹🇿
@silasjacob-j2l
@silasjacob-j2l 5 дней назад
njie niwapumbavu badala yakuomboleza mzamin wenu kafariki nyie mwala keki kwahio umeowa alieachika af unatamba hahaha
@ZuberiMaulid-s5d
@ZuberiMaulid-s5d 5 дней назад
@user-wi4gt6us3s
@user-wi4gt6us3s 5 дней назад
wananchi hawana shoo mbovu
@user-kp7em6zt1g
@user-kp7em6zt1g 4 дня назад
Punguzeni izo sifa mnaonekana washamba bana
@exautmwalukasa2092
@exautmwalukasa2092 4 дня назад
Nyie yanga nyie hizi ni sifa sasa yanga tam taman
@officialchokod1304
@officialchokod1304 4 дня назад
❤❤❤❤ 😂😂😂
@ommyzubery8358
@ommyzubery8358 5 дней назад
Tusipitilize sana shangwe wana yanga kuna na wachezaji wetu wengine nao wasije kujiona kama nao hawana thamani kwani nao wametutoa mbali jamani inatosha hayo mapokezi yasije yakazidi mipaka huo ndio ushauri wangu DAIMA MBELE NYUMA MWIKO!
@law93king
@law93king 5 дней назад
kitu cha kawaida sana wote huu ni utani wa jadi tu hata wao tumewaheshimisha msimu mzima na tutaendelea kuwaheshimisha bila ubaguzi
@jumannemsengi2195
@jumannemsengi2195 5 дней назад
Na pia nao walishawahi kufanya haya baaada ya kumchukua MORRISON tukaumia mpka JK akasema nasi tufanye kuwaibia sasa huu ndio mpango mzima 😂😂😂😂🎉🎉🎉🎉
@law93king
@law93king 5 дней назад
@@jumannemsengi2195 yeah ni vitu vya kawaida tu hata wao wachezaji wanajua
@sylvestercameo6263
@sylvestercameo6263 5 дней назад
Nao watandaliwa keki yao siku ya kufungua Kambi huko Avic Town!
@anithqpaul3923
@anithqpaul3923 4 дня назад
Hayawi ayawi sasa yamekuwa
@MobileMobigo2
@MobileMobigo2 4 дня назад
Yanga
@ramadhanmanyacolour5236
@ramadhanmanyacolour5236 4 дня назад
The hevent cakes ofisi Jasmin
@SelemaniIsmail-o4r
@SelemaniIsmail-o4r День назад
❤❤❤❤❤❤
@Maryc2G
@Maryc2G 5 дней назад
Mikeki kama yote 🧁🥮
@vi3ayo1622
@vi3ayo1622 5 дней назад
Kazi kulishana cake ila kuwalipa wachezaji madeni ya ...aaah
@daudimichael7338
@daudimichael7338 5 дней назад
Mchezaji gani anadai?
@user-kp7em6zt1g
@user-kp7em6zt1g 4 дня назад
Nyie ndo mnafanya mambo yawe magumu km kamali je mtaficha wapi sura zenu
@SanziNzige
@SanziNzige 5 дней назад
Wanayanga NI washamba mpaka mwisho wa dunia.kwaakiri yenu chama ndiyosba?. na mabango mnabandika ya Nini Sasa mbona Simba chamba hakubandikiwa mabango?. Nyie kila kitu bango mmekuwa mademu?.na nyie hamna timu timu ya akina mwigulu!. Chama amekuja kubeba majinihayabebwi na watoto.na chama lazima Ana wa kwake hapo.mko hapa
@Abuu-gs1yi
@Abuu-gs1yi 5 дней назад
Mpira ni furaha Sasa makasiliko ya nn
@MlingaSawack45
@MlingaSawack45 5 дней назад
Pole kolo kwa povu
@gracemtonga3263
@gracemtonga3263 5 дней назад
Kolo hutoooooooo😂😂😂😂😂😂
@user-em2sd9tm1n
@user-em2sd9tm1n 5 дней назад
Oya uko sahihi kila kitu bango wasenge
@law93king
@law93king 5 дней назад
😂😂😂
@SaidAlly-uh4qw
@SaidAlly-uh4qw 5 дней назад
Yanga raha
@user-kr2zi7du7y
@user-kr2zi7du7y 5 дней назад
Mwamba waka dugu
@AnithaMussa-k2s
@AnithaMussa-k2s 5 дней назад
Usanii
@Abuu-gs1yi
@Abuu-gs1yi 5 дней назад
Sawa msanii mwenzetu
@jumannemsengi2195
@jumannemsengi2195 5 дней назад
Msaniii anajulikana "MO"😂😂😂😂😂😂
@marthageorge5043
@marthageorge5043 5 дней назад
😂😂😂😂😂😂
@GodliverByarugaba
@GodliverByarugaba 4 дня назад
Matako yenu
@amanizavala
@amanizavala 5 дней назад
Nimeamni utopolo wenye akili ni wawili tu
@FatumaShabani-mp9vt
@FatumaShabani-mp9vt 5 дней назад
Lia 😂😂😂😂😋😋🤭
@mirajiali3926
@mirajiali3926 5 дней назад
Acha wivu kolo wewe hiyo ndio team ya wananchi
@user-ib2ew9ec3d
@user-ib2ew9ec3d 5 дней назад
Utopilo wengi akili hakua
@FatmaRajab-ll8gw
@FatmaRajab-ll8gw 5 дней назад
Unateseka ukiwa wapi nikiletee panadol za kenya
@user-ib2ew9ec3d
@user-ib2ew9ec3d 5 дней назад
Kwenye period yako niletee Panadol ukipona nikutafune
@MarwaChacha-d8z
@MarwaChacha-d8z 5 дней назад
Simb
@ramadhanmanyacolour5236
@ramadhanmanyacolour5236 4 дня назад
Bosi wangu Jasmini Umenipa jukumu la kukutengenezea ofisi mpya hapa Temeke Stereo Bigbon karibu na mpaka tegemea matokeo mazuri kutoka kwetu
@ZuberiMaulid-s5d
@ZuberiMaulid-s5d 5 дней назад
Далее
⚡️Uylanishim kerak, sovchilikka borasizmi?...😅
00:50
BABA YANGU KIPOFU Full episode /12/ #love
32:35
Просмотров 264 тыс.
I SIMULATED THIS EURO 2024 GAME.. 🤯
0:12
Просмотров 9 млн
ERALI VS ABDUROZIK FULL VIDEO
22:40
Просмотров 649 тыс.
When Referee Makes a Right Decision👏
0:19
Просмотров 11 млн
Роналду сверх человек 💪⚽
0:35