Mbona mfaume kazi yake kutukana hatumuoni kwenye lingi na hamsemi mwanzo mmesema anamuogopa kiduku Sasa iv kakubali kwaiyo mambo yasiwe mengi tungoje tuone mwamba nan
Mtangazaji usimlazimeshe mess awe upande wa upinzani wakati hiyo sio weight yake wala hana ugomvi wowote na champion mwakinyo waache vijana wafanyekazi
huyo mwakinyo wenu anatafuta Kiki kwanza hamna anayemkumbuka kwa sasa kutokana na rohombaya yake akutaka kupigana mpaka alinyanganywa mikanda pia kumbukeni haongei na kakayake sasa mnamtetea mtu kama huyo nanyie has mpo kama huyo
Tanga kwa mashoga kataaneni mtajua wenyewe mashoganyie chambaneni tukanen.sisi atustuk tushawajua mnaroho mbaya ona ata wenyewe kwa wenyewe ampendani leo mtwango anatamani nagasi yamwakinyo.bas wandaaj kabla yamwakinyo nakiduku.bas anzeni mtwango namwakinyo ili mtwango rohoyake itulie mana naona anangaikasana