Тёмный

Second Half : International Friendly Match. Tanzania vs.Malawi 13 June 2021. 

FAM TV
Подписаться 3,8 тыс.
Просмотров 219 тыс.
50% 1

Опубликовано:

 

15 июн 2021

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 45   
@hubetmichael3674
@hubetmichael3674 2 года назад
Tunaomuangalia banda tujuane ap 👍
@ezekielandirea868
@ezekielandirea868 2 года назад
Tupo wengi
@duliduli5210
@duliduli5210 2 года назад
😆😆😆
@masanjasamwely8272
@masanjasamwely8272 2 года назад
Kwa usajili huu yanga lazima watuite baba tu
@josephkandonga347
@josephkandonga347 2 года назад
Naona Simba tumepigwa......Banda hamfikii miquisonne hata nusu daaaah😭😭
@nikolaushamis8296
@nikolaushamis8296 2 года назад
Hatal Sana kwakua tnandoto yakubeba klabu bingwa tunge mubakiza Luis Mana nimchezaji bola kwa simba
@veronikadalali7251
@veronikadalali7251 2 года назад
Aaaaaash' mtamsahau Konde boy
@mariapialakanje3446
@mariapialakanje3446 2 года назад
Safiii dah Tnzania wanacheza viziri hadi rahaas safiiii sana tena wengi wanaocheza wametoka kwa timu yangu pendevu Simbaaa
@mariapialakanje3446
@mariapialakanje3446 2 года назад
Hongera sana Bocco we mtaalamu sana ingineer kweli
@oscarkanenge6015
@oscarkanenge6015 2 года назад
Shabani lamadha
@kacherosimba5762
@kacherosimba5762 2 года назад
Baada yaku sajiliwa leo nime kuja kumuangalia lakini kumpata mtu kama konde boy hakuna tena jamani dah tuta pata tabu sana 😥😥😥😥😥
@allymwakibinga442
@allymwakibinga442 2 года назад
Banda tumpe muda anaweza kuipambania Timu ya Simba na tukafika mbali pia
@ramadhanmalala7293
@ramadhanmalala7293 2 года назад
Umuhim WA mtu hauzibwi na mtu mwingine
@afterfull-time1348
@afterfull-time1348 2 года назад
Wanacheza kama simbaa
@mariapialakanje3446
@mariapialakanje3446 2 года назад
Wahoooooo huwiiii jmn hdi nimemwonea hurum giper dh amejikuta amesimama tu mpira ushaingia mda huwiii unaeza zimia etiii
@selector728
@selector728 2 года назад
We unaandika nn mbn utumbo wako hausomeki🚮
@cosmasmachia5269
@cosmasmachia5269 2 года назад
Namuangalia peter banda hapa
@rehemafundisha5829
@rehemafundisha5829 2 года назад
Huyu banda ni kifaa ww
@calvinmcharo9807
@calvinmcharo9807 2 года назад
Chibanda we're looking for you...
@walterkasimila72
@walterkasimila72 2 года назад
Jamni peter banda ni mchezaji mzur tyu anavyoonekana me nadhani tusubiri simba day
@aliybakar110
@aliybakar110 2 года назад
Kwan simba day nilini ?
@agensimwakalukwa3951
@agensimwakalukwa3951 2 года назад
Banda motoo
@doreenemanuel1218
@doreenemanuel1218 2 года назад
Hooooooooooopl
@mariapialakanje3446
@mariapialakanje3446 2 года назад
Dah jmn hiii Tz ni rahaa sanaaas Tz hizo pasi jmni hadi raha unakuta ukitamani wapaziane tu psi mpk kwenye goli duhuuu
@emanuelkamaghe2647
@emanuelkamaghe2647 2 года назад
Banda kweli ni mashine
@haridshaban2716
@haridshaban2716 2 года назад
Tena mashene haswaaaaaà
@afrinmlungilo9579
@afrinmlungilo9579 2 года назад
oy mbona banda wakawaida jamani
@mahengomwenyewe4204
@mahengomwenyewe4204 2 года назад
Banda 10 ndio sawa na konde boy
@duliduli5210
@duliduli5210 2 года назад
😆😆 kweli kk
@mariapialakanje3446
@mariapialakanje3446 2 года назад
Dah mpaka mpenja imebidi atukane duhuuu ila Jmn Tz mnacheza vizuri mpaka Rahaa,utazanishia ni Simba tu iko uwanjani daah
@ezekielandirea868
@ezekielandirea868 2 года назад
😂😂😂😂we simba damu damu
@eyasitiayubu6271
@eyasitiayubu6271 2 года назад
Mbona banda simuoni au hayumo
@zakarialusambo4299
@zakarialusambo4299 2 года назад
Acha usenge wwe utopolo
@michaelchirwa9138
@michaelchirwa9138 2 года назад
Malawi inajuwa mpila bhana
@alhaddadygamazy7023
@alhaddadygamazy7023 2 года назад
Ila ndo washalala
@selector728
@selector728 2 года назад
Mpira sio mpila 🚮
@donc6317
@donc6317 2 года назад
2:45
@djc269
@djc269 3 года назад
Malawi zidzanvaaaaaaaaaaa
@wilisonsalu5358
@wilisonsalu5358 2 года назад
Banda kalibu simbaaaaaaaaaa
@cabowabo4739
@cabowabo4739 2 года назад
sidhan kama hii mech ni sahihi kumuangalia huyu Banda.. maana malaw wenyewe aanacheza sana eneo lap inaonekana wanataka kucheza mpira wa kuwavuta taifa star wakimbize anyway huyu dogo inaonekana ana displine ya mpira.. anapokea anatoa anatafuta nafasi.. sema kwenyw ubishi na mbio kama za mikson hana kabisa.. sio mchezaji wa kumfanye beki asipande mbele
@vumiliasimanamagu4229
@vumiliasimanamagu4229 2 года назад
Kwa Malawi bora chimwemwe kwa Banda Simba wameingia mkengeeee
@madahamakoye2723
@madahamakoye2723 2 года назад
Jaman Simba 2mepigwa kwa pita banda
@official_phay720
@official_phay720 Год назад
Unajuw mpira ww
Далее
Cruise 5 with Tabitha Chawinga
1:11:54
Просмотров 74 тыс.
Mtedza Mtedza Sports - 28 December 2022
25:14
Просмотров 79 тыс.
Life After Football program with Thuso Paipi
38:19
Просмотров 23 тыс.