sidhan kama hii mech ni sahihi kumuangalia huyu Banda.. maana malaw wenyewe aanacheza sana eneo lap inaonekana wanataka kucheza mpira wa kuwavuta taifa star wakimbize anyway huyu dogo inaonekana ana displine ya mpira.. anapokea anatoa anatafuta nafasi.. sema kwenyw ubishi na mbio kama za mikson hana kabisa.. sio mchezaji wa kumfanye beki asipande mbele