Тёмный

Simba 3-1 Singida Big Stars | Highlights | NBC Premier League 03/02/2023 

Azam TV
Подписаться 2,7 млн
Просмотров 866 тыс.
50% 1

Simba SC imepata ushindi wa mabao 3-1 dhidi ya Singida Big Stars katika mchezo mkali uliopigwa kwenye Dimba la Benjamin Mkapa.
Magoli ya Simba yamefungwa Jean Baleke dakika ya 8, Saidi Ntibazonkiza dakika ya 21 na Pape Sakho dakika ya 63 huku goli pekee la Singida likitoka kwa Bruno Gomes aliyefunga kwa free kick dakika ya 35.

Спорт

Опубликовано:

 

2 фев 2023

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 236   
@jacobnduya798
@jacobnduya798 Год назад
What a perfomance for Simba players, hii ndio tafsiri ya timu kubwa africa 👋👋 mwaka huu simba watanya makubwa amen
@luqman4030
@luqman4030 Год назад
Wakidroo tu mech moja mnawaita ma bomonda😂
@baumbachogero9410
@baumbachogero9410 Год назад
Kama wachezaji wetu wa SSC wangecheza as a team na kwa ushirikiano wa hali ya juu na kupunguza UMIMI NA UBINAFSI, at least magoili matano yangewahusu hawa SBS.
@ktwentynine4985
@ktwentynine4985 Год назад
Chama moyo wa Simba 💥💥💥💥💥
@afterfull-time1348
@afterfull-time1348 Год назад
Kwa sababu ya simba leo hii Ligi yetu ipo no. 5
@teacherd
@teacherd Год назад
Toka lingi imaeanza hii nimechi yangu Bora ya msimu🔥🔥🔥🔥🔥
@joycemihila4988
@joycemihila4988 Год назад
❤️❤️❤️❤️💪💪
@afterfull-time1348
@afterfull-time1348 Год назад
Namna alivofunga Baleke inadhihirisha uwezo wake♥️
@nabiibrahim6120
@nabiibrahim6120 Год назад
kabsaaaaaaaaaa
@alikokayange1089
@alikokayange1089 Год назад
Huu ndio mpila wa Simba,ninaoujua, hongera wachezaji,na benchi la ufundi na mashabiki kwa ujumla.
@faridamuniss6465
@faridamuniss6465 Год назад
Wamefanya kazi nzur sana hakika
@chusseboywcb2808
@chusseboywcb2808 Год назад
Chama simba hiii bongo batimbaya🔥🔥🔥🙏🙏🙏🤣🤣🤣👇
@mwaijalaizer1613
@mwaijalaizer1613 Год назад
Video namba 3 on trending😅🎉
@ridhwanrashid6473
@ridhwanrashid6473 Год назад
Ila tuache mzaha ,baraka mpenja anajua kutangaza jamani.
@eastafricabrokerkiller8028
@eastafricabrokerkiller8028 Год назад
Huyu kocha wa simba yuko vizuri sana anajichanganya na wachezaji vizuri sana naamini hii timu itakua na deeper energy connection sana zaidi ya hii siku zijazo.. wakiendelea hivi.
@ghasukajoseph6595
@ghasukajoseph6595 Год назад
Thank God 🙏 this is Simba
@deleejn5128
@deleejn5128 Год назад
Kumbe wale sio wabrazili ni wambulu bhana...this is SIMBA🔥🔥🔥
@afterfull-time1348
@afterfull-time1348 Год назад
The MVP chama 🐐❤️
@josephmugala1970
@josephmugala1970 Год назад
Baleke forward ⏩⏩⏩ ya kweri
@shabanmfangavo4973
@shabanmfangavo4973 Год назад
Azam mnafel sana kwenye baadhi ya mambo, maana ya highlights ninkuonyesha matukio yote muhimu yaliyotokea kweny game, lkn naona kuna matukio mengi tu mmeyaacha kama Open chance alokosa baleke, pamoja na goli lililofungwa likaambiwa offside, that's was very important events kwenye highlights ya dakika 20
@adilhabib8988
@adilhabib8988 Год назад
Tengeneza tv yako mtandao wako halafu utoe hizo kasoro
@dominickmahela1581
@dominickmahela1581 Год назад
Fact
@hujjatulasrsocietyoftanzan8420
Mbona ipo mzee sema mwishoni
@mdalamgir-gu9hu
@mdalamgir-gu9hu Год назад
We chizi kuna live na marudio
@abdulmwangu1298
@abdulmwangu1298 Год назад
Yanawekwaga matukio ya muhimu sababu yakiwekwa yote ni dakika 90 saaa hio
@annastaziaandrea9789
@annastaziaandrea9789 Год назад
Ee mungu wajaalie wachezaji wetu waweze kuwa na maelewano zaidi ktk kazi yao kimaongezi ,kiuchezaji,na zaidi upendo udumu ck zote
@afterfull-time1348
@afterfull-time1348 Год назад
Huyu chama itapita miaka mingi mnoo kumpata kwenye hii ligi
@petroerinest6962
@petroerinest6962 Год назад
What a goal for sakho!🙆‍♂️
@jumannemohamedy1456
@jumannemohamedy1456 Год назад
Team nilie tokea kuipenda kama mke wangu
@peterchidakwa9436
@peterchidakwa9436 Год назад
Saido the best from Burundi
@murisaliyahaya8584
@murisaliyahaya8584 Год назад
Alafu anatokea popoma mmoja anakwambia chama hajui mpira
@nasmahkhalfa1337
@nasmahkhalfa1337 Год назад
Ata haturingiii🦁🦁🦁🦁
@iddmtimi7920
@iddmtimi7920 Год назад
Asante sana makocha wangu kwa kuwafundisha mpira mzur
@gnasnassary9475
@gnasnassary9475 Год назад
Unyama unyamani 🦁🦁🦁🦁🦁✔️✔️
@edouardniyongabo9436
@edouardniyongabo9436 Год назад
Simba is simba coz there is a lion n39 Saido Ntibazonkiza 🇧🇮
@mamalamama7010
@mamalamama7010 Год назад
Sakho ni fundi ❤❤❤❤❤
@thomasfrankie1739
@thomasfrankie1739 Год назад
Mashabiki wote wanaoshabikia manyokanyoka aka utopolo mkae kwa kutuliaa mwenye Mpira wake anakula
@azizamihungo9659
@azizamihungo9659 Год назад
Kiukweli Baleke apewe Rushyna
@samuelmlapwa7858
@samuelmlapwa7858 Год назад
Nimejikuta nacheka tu
@narymwamba7723
@narymwamba7723 Год назад
😆😆😆😆
@barakakusa7606
@barakakusa7606 Год назад
Dah 😂🤣🤣🤣
@kingcole60
@kingcole60 Год назад
Daaah 😂
@zabronmbalwa9225
@zabronmbalwa9225 Год назад
Bilian is back
@idaiaseverino3769
@idaiaseverino3769 Год назад
Simba ni baba lao🦁
@malugukushaha6764
@malugukushaha6764 Год назад
Timu kubwa ni timu kubwa tu, Simba nguvu moja.
@tumaintarra9960
@tumaintarra9960 Год назад
Hongeren watani
@tunsumemwakinyuke661
@tunsumemwakinyuke661 Год назад
Asante
@babdulla3779
@babdulla3779 Год назад
Sante
@ayoubsemundi6038
@ayoubsemundi6038 Год назад
Credit to commentator 1 #Baraka Mpenja na commentator 2 #Ayoub hinjo
@dryna9512
@dryna9512 Год назад
Azam ni mbwa hawa 2naonyesha support afu mnafanya kaz chin yaviwango au mnavisa na simba
@mwanajumaraso4637
@mwanajumaraso4637 Год назад
Alhmdhulillah
@AbuubakarJuma-se9cp
@AbuubakarJuma-se9cp 8 месяцев назад
Baraka mpenja anajuw sana apew mauwa yak 🎉🎉🎉🎉🎉🎉
@joelmsella7975
@joelmsella7975 Год назад
This is simbaa,,japo beki bado haijakaaa sawa,makosa mengi wamefanya
@kingcole60
@kingcole60 Год назад
Wanalunyasi 🦁🦁🦁
@bedabenson6576
@bedabenson6576 Год назад
Huu ndo mfumo ambao Simba iko comfortable
@jacksonmenas6026
@jacksonmenas6026 Год назад
Azam mmechelewesha Sana hii kitu
@kisitotatiya5347
@kisitotatiya5347 Год назад
Imagine
@timadex1019
@timadex1019 Год назад
That volley goal is superb and it kills the game!
@mosenrecords5562
@mosenrecords5562 Год назад
Trending hatariii
@johngerald4677
@johngerald4677 Год назад
Kagere bado yuko simba
@midahdivver
@midahdivver Год назад
AZAM ACHENI ROHO ZA CHOYO ZILE PASS ZA MAUDHI MMEZITOA MNATAKA MKAJIKANDIE KWA MAUDHI SIMBA WALIYOWAPA TUONESHE KUANZIA DAKIKA YA 88 MPK YA 93 TUNASHIDA NAZO ACHENI ROHO MBAYA
@slimmtani8236
@slimmtani8236 Год назад
🔥🔥🔥🔥Simba
@massangamaulidi3383
@massangamaulidi3383 Год назад
Jamani tushakubaliana wana simba chama apewe rushyna mchana kweupeee, bila hatar mahali
@sandravisram461
@sandravisram461 Год назад
Simba nguvu moja
@kaburaakbar4838
@kaburaakbar4838 Год назад
simba baba lao
@michaeltungu1600
@michaeltungu1600 Год назад
Hatareee
@mkohoexperience7322
@mkohoexperience7322 Год назад
Singida sijui kuna shida gani, wanaleta competition mwanzoni mwa mechi wanaonana fresh ila baadae wanalowa, imetokea kwa Yanga walivyoshinda nne na hata hii, we need competition ya hatari watu wengi wapende timu za kwao ligi izidi kupanda, namba tano naweza sema si kiwango chetu sisi ligi hii ni ya moto zaidi upande wa media hata utayari wa wachezaji wa kigeni kuitamani ligi hii VIVA TANZANIA
@radhiakabyero3223
@radhiakabyero3223 Год назад
Singida wamechezeshwa kama watoto
@jumamenge2
@jumamenge2 Год назад
Simba to the world
@fredysosiya345
@fredysosiya345 Год назад
😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊
@honeem
@honeem Год назад
Hatutaki tena kusikia habari za Kibu hapa!Kikosi hiki kikilindwa kinaweza kufanya makubwa kuishangaza Afrika kwa misimu miwili ijayo..viongozi tafadhali tusiweke mbele tamaa ya pesa, mchezaji asiuzwe bila kupata mbadala yasijirudie ya msimu ule wa kuwauza miquison na chama kwa pupa
@mwajumaabdallah3254
@mwajumaabdallah3254 Год назад
Hatari sana
@teresiamgimba5498
@teresiamgimba5498 Год назад
Hii ndo simba tuliyoizoea hongereni simba ila mabao mengi tumeyakosa
@rahmahassan6534
@rahmahassan6534 Год назад
simba damu
@rhodamboje7156
@rhodamboje7156 Год назад
Wa kwanza
@afterfull-time1348
@afterfull-time1348 Год назад
Wachezaji wa simba wanawaka waka kudadeeki kule utopolo sikuiz hata goli halingii wavuni bila fei toto
@salomelucas7218
@salomelucas7218 Год назад
Niceeeeeee
@cityhuntermkali2468
@cityhuntermkali2468 Год назад
Chama
@ismailmasoud6001
@ismailmasoud6001 Год назад
Hahaaa, kagere tumekushtukia...!
@monicachacha455
@monicachacha455 Год назад
Waaaaaooooo
@starlonejadamskp8224
@starlonejadamskp8224 Год назад
🦁🦁
@gaudencehaule7398
@gaudencehaule7398 Год назад
LEO AZAM MEDIA WAMETUKOSEA WANA SIMBA WOTE NCHI NZIMA🙆🏼‍♀️🙆🏼‍♀️😖😖😖😖
@saidijuma1656
@saidijuma1656 Год назад
Azam mnazingua sana miaka 10 mmelekebisha nn! Leo mpila hatujaangalia mpila kwa laha
@queeneliza8283
@queeneliza8283 Год назад
Jifunze kiswahili fasaha
@dweenyoyo2836
@dweenyoyo2836 Год назад
Bruno gommez ni hatari kubwa
@nguombagalarang3jfashioncl524
Ira Chama 🤣🙏 Bac tu Murungu ankare pamozi na Imwe 🙏🙏🙏
@moreenmichaelmichael1079
@moreenmichaelmichael1079 Год назад
Walimtemwa chama
@stephenking3602
@stephenking3602 Год назад
Mnafel pakubwa! Maana mtu kalipia alafu mitambo inakatika na hakuna fidia,,, na hakuna sanduku la maoni hamtaki kushauriwa,,, pesa mko makini lkn mitambo yenu hovyo lazima tuwaseme....
@evefesto7454
@evefesto7454 Год назад
Hiyo michezo Huwa mnaiga wapi mbona haeleweki kama vichaa vile, kama hamuwezi Bora muache
@starlonejadamskp8224
@starlonejadamskp8224 Год назад
🦁🦁🦁
@kiutamambi8514
@kiutamambi8514 Год назад
SIMBA mnatIsha
@StarDugs
@StarDugs Год назад
05:38 kagere nyieeee nyieee😁😁
@angelasenga5800
@angelasenga5800 Год назад
Duuuh trending 2
@moricemorice75
@moricemorice75 Год назад
Mbona mnayumba sana kwenye mitambo saiz huyo fundi wa mitambo anazingua
@angelasenga5800
@angelasenga5800 Год назад
Waoooh
@maliatabuerenesti6681
@maliatabuerenesti6681 Год назад
Et azama anasherekea miaka 10 ya utandaji kazi hivi ndio nn imeonyesha vinini
@GodfreyMushy-nq9sv
@GodfreyMushy-nq9sv 10 месяцев назад
❤❤❤
@katoivan8212
@katoivan8212 Год назад
Simba in Simba tu
@faridamuniss6465
@faridamuniss6465 Год назад
Uwiiiiiiii nakufa mie Kwa raha hizi
@amossbubu
@amossbubu Год назад
🙏🙏🙏
@giftsiwakwi4079
@giftsiwakwi4079 Год назад
🥰🥰🥰🥰🇹🇿
@kwilasajunior5367
@kwilasajunior5367 Год назад
Dah Simba ispo cheza Raha hakunà nchin
@mbwetetv
@mbwetetv Год назад
HII NDIO SIMBA SASAAAA SIO ILEEEE YA AWALI TUMERUDI TENA KAMA ZAANIIIIIII
@abeidkarume1644
@abeidkarume1644 10 месяцев назад
Kikosi cha singida
@sadicksally8139
@sadicksally8139 Год назад
Azam angalieni ni wapi mnakwama
@ukweli255
@ukweli255 Год назад
Azam Media fanyeni usafi kwenye timu yenu ya Production
@gloriakalisa
@gloriakalisa Год назад
Kwakeli watu wamechoka
@aminarashidi1621
@aminarashidi1621 Год назад
Jaman mbona Wawa Makonda sana
@superherotv1750
@superherotv1750 Год назад
Hawakawii kusema 2mebebwa hahaha
@peterchidakwa9436
@peterchidakwa9436 Год назад
Saido
@fatimasoliman967
@fatimasoliman967 Год назад
Number 17 also
@elizabethismile6827
@elizabethismile6827 Год назад
Huyu kipa hafaii mamae ,anapewa mshahara wa bure tu
@adamufundikira7878
@adamufundikira7878 Год назад
Elizabeth ismile imeuma ee puliza iingie vizuri
@janethmbaga3515
@janethmbaga3515 Год назад
Ila Manula unamanuliwa magol ya free Kiki sana
@fatimasoliman967
@fatimasoliman967 Год назад
Today alhil catch osman and numerous 4
@xaverisunday699
@xaverisunday699 Год назад
#aboi_4rm_makambako huyu manula mtakuja mua
@allyflavour8005
@allyflavour8005 Год назад
Hizi team Zina hitaji pongezi...ndio zinafanya ..ligi...kuwa Bora nasiyo wenzetu...eti team yao ndiyo iliyo fanya ligi ..kuwa 5 bora
@noorbazaar9063
@noorbazaar9063 Год назад
Washamba sana Utopolo 🐸!
@JayLastkingof
@JayLastkingof Год назад
Hahaha
@ramoballawa5783
@ramoballawa5783 Год назад
huyo kagere cjui walimpanga kiwe nn!! huyo ndie kauza mechi
@shaabansungura3205
@shaabansungura3205 Год назад
Kazadi kafanya nn cha maana? Si bira hata kagere kasumbua
@rashidimkongewa3927
@rashidimkongewa3927 Год назад
Yanga bingwa 2022-2023
@cadsonesmo
@cadsonesmo 6 месяцев назад
Simb my team tyupe rahaaa cads@
@faridamuniss6465
@faridamuniss6465 Год назад
Kagere kaona asiwafunge maboss zake au co
@jacksonmtonyore9871
@jacksonmtonyore9871 Год назад
Yan Singida hamna kitu kbs biti nyingi yan mmenpotezea time tuu sheeeh
@edsonjonas229
@edsonjonas229 Год назад
Goli la kwanza Kanoute alitambaa dah nimecheka sana
@destianjackson4195
@destianjackson4195 Год назад
Leo vjaangalia boli kwa ubora wenu
@ramadhanichilumba3610
@ramadhanichilumba3610 Год назад
😂😂😂😂😂😂huyu chama aiseeeeee
Далее
Базовый iPhone 16
00:38
Просмотров 347 тыс.
Она Может Остановить Дождь 😱
00:20
PENZI LA JINI LATIFA (Part 01)
16:59
Просмотров 3,5 млн
SNAKE BOY | ep 29 | SEASON TWO
31:40
Просмотров 187 тыс.
But how??
0:16
Просмотров 10 млн
Shtrafnoy challenge Bekvines fudbol
0:54
Просмотров 946 тыс.
Yamal Rare Moments 😂
0:28
Просмотров 8 млн