Wakati ujenzi wa vivuko vitano vinavyojengwa na Serikali ili kutoa huduma kwenye ziwa Victoria mkoani Mwanza ukisuasua kutokana na Mkandarasi Songoro Marine kucheleweshewa malipo ya shilingi bilioni l.11, baadhi ya wanufaika wa wilayani Sengerema wameiomba Serikali kulipa deni hilo ili kukamilisha ujenzi na kuwaondolea adha ya usafiri katika ziwa hilo.
@official_jennifersumi
#azamnewsupdates
29 авг 2024