Тёмный
No video :(

MAAJABU DARAJA LA MAGUFULI KIGONGO BUSISI, RASMI KUANZA KUTUMIKA, TANROADS WATOA TAARIFA HII KUBWA 

Uhondo TV
Подписаться 592 тыс.
Просмотров 17 тыс.
50% 1

#UhondoTV #Uhondo

Опубликовано:

 

15 авг 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 21   
@Kim19onlinetv
@Kim19onlinetv Месяц назад
Je mama hana mchango kweli? Au mnasahau kwa makusudi?
@KudraWanguvu-em1xw
@KudraWanguvu-em1xw Месяц назад
anao sana tena sana
@deniccgabriel6153
@deniccgabriel6153 Месяц назад
​@@KudraWanguvu-em1xwanamchango wakukabidhi bandari kwa waarabu siombaya😊😊😊
@leokamil6284
@leokamil6284 Месяц назад
Mwendazake kweli ulibadilisha hii nchi kwa muda mfupi sana, sijui nisemeje umetuachia ukiwa nchi haieleweki kabisaa. Pumzika kwa Amani
@user-gv8yn9lg1i
@user-gv8yn9lg1i Месяц назад
Jp Makufuli 😅😅😅
@zachmaselle6635
@zachmaselle6635 23 дня назад
Tatizo langu ni hayo magugu. Tangu yaanze kuonekana, huna hatua zozote zimechukuliwa na waziri wa mazingira yupo!
@Aida-qh3jq
@Aida-qh3jq Месяц назад
Tumuombe maisha bora akhera na huyu mama mwenyez mungu amsimamie kwa uwezo wake mungu maana bila mungu hatuwezi kitu jamani na kila hali mja njia ni moja tu
@Worldunite
@Worldunite Месяц назад
Mbona mnaleta mfarakano? Hili jambo liko wazi kwamba hayati JPM aliona umuhimu wa kujenga hili daraja na akaanza kulijenga, halikuwa jambo rahisi, na baada ya kifo chake mama ndo analimalizia, sasa, tunachoshindania hapa ni lipi?
@MashauriissaMohamed
@MashauriissaMohamed 27 дней назад
Tutakukumbika Kwa mazuri yako
@zobakazizi7637
@zobakazizi7637 Месяц назад
Tanzania inanyanyuka.. .
@modestwenceslaus9
@modestwenceslaus9 Месяц назад
Barabara unganishi za Daraja ziwe na urefu kilometa nyingi na upana wa kutosha ilikulipa thamani ya gharama iliyotumika kulijenga siyo mjenge vibarabara kama vya huku uswahilini kuliunganisha Daraja hilo.
@sylvestercameo6263
@sylvestercameo6263 Месяц назад
Huyu msimulizi ni mgeni kutoka nchi jirani? Pili, anapotosha kudai ya kwamba kuvuka kwa ferry kutoka Busisi hadi Kigongo ferry unatumia saa mbili. Hata kwa kupiga kasia huwezi kutumia zaidi ya saa moja!
@priscillawilliam3603
@priscillawilliam3603 12 дней назад
Mama mama haya kuna jingine
@fauzseif7344
@fauzseif7344 Месяц назад
Sio meta ni metet
@justardzelphine6526
@justardzelphine6526 Месяц назад
Umekosoa nini?
@user-gv8yn9lg1i
@user-gv8yn9lg1i Месяц назад
@@justardzelphine6526 😂😂
@zobakazizi7637
@zobakazizi7637 Месяц назад
Mchango wa mama upo.....
@MalamboSelijusi
@MalamboSelijusi Месяц назад
Mbona nguzo zajuu zinaonekana sio imara mjitafakari
@leokamil6284
@leokamil6284 Месяц назад
Kutalipuliwa sasa mfuatiliaji ayupo
@kambamazig02024
@kambamazig02024 Месяц назад
Engineer wewe? Yaani kwa picha tayari umeshaona ubovu wa daraja?🤣
@MalamboSelijusi
@MalamboSelijusi Месяц назад
@@kambamazig02024 tulia mmh jambo dogo Hilo unapo ambiwa jambo lifanyie kazi
Далее
Insane Coffee trick EXPOSED 😱☕️ #shorts
00:20
Просмотров 4,9 млн
Будзек и рецепт🐝
00:25
Просмотров 118 тыс.
When A Gang Leader Confronted Muhammad Ali
11:43
Просмотров 6 млн
TANZANIA WAUNGA MKONO MAANDAMANO YANAYOENDELEA KENYA
7:00