Mashabiki wa soka nchini Tanzania @allyyanga pamoja na @mzeewasalute wamefanya mahojiano na Mpenja TV, na kutambiana kuhusiana na usajili uliofanywa na vilabu vyao huku wakidai kila mmoja anamatumaini na timu yake.
Tatizo la mashabiki wa yanga huwa awajuagi kuongelea mpira wao huwa ni wabwatukaji awaongeagi point honahapo mtu anashindwa kujieleza anahikalia kupiga mziki wameacha kutembea na magazeti kama wahuza chapati leo wameamia kwenye viredio kama wahuzadawa za mbu.