Тёмный

#live 

BENTV MEDIA
Подписаться 40 тыс.
Просмотров 20 тыс.
50% 1

Спорт

Опубликовано:

 

6 июл 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 66   
@ismailhamis2331
@ismailhamis2331 9 дней назад
Kaongea points zote.. kudos ticha Zuberi
@naliakafatuma9870
@naliakafatuma9870 9 дней назад
Vyema kabisa hongera Sana kwa uchambuzi bora kila la kheri kazi njema barikiwa Sana shalom
@suleimanmwenyemvua995
@suleimanmwenyemvua995 9 дней назад
Uko guuuud sana bwana Zubeir...😊😊😊😊
@user-vb6zv8ov8v
@user-vb6zv8ov8v 9 дней назад
Uko vzr,wajifunze kwa Nzize wa Yanga kuna mahali tulikuwa tunategemea goli anakosa lile ni suala la umri mature utamuona mwaka huu kisha zoea
@JassonKagaruki
@JassonKagaruki 9 дней назад
Huyu jamaa apewe ulinzi makolo wakiiona hii tumeisha
@KS-iw7qv
@KS-iw7qv 9 дней назад
Ukweli huu naufananisha na UKWELI wa Mchome msimu ulopita.... Watu walimpinga saana hati timu ikaangukia pua....😢
@kayagahamisi572
@kayagahamisi572 9 дней назад
Huyu ndo mchambuzi sio chambuzi halafu shabiki wa timu fulani
@EnockKombolela
@EnockKombolela 9 дней назад
Mwl zuber big up sana
@omarMchoya
@omarMchoya 9 дней назад
Huyo jmaa yupo very Very point san
@EmmanuelBukindu
@EmmanuelBukindu 9 дней назад
Jamaa Yuko vzr
@RichardAmos-eo9dh
@RichardAmos-eo9dh 9 дней назад
Big up zuberi chambuzi la taifa kupitia hii exclusive nimepata madini ya kutosha na baadhi ya facts za kimpira ambazo nilikuwa napata ukakasi kuzielezea.
@bentvmedia
@bentvmedia 9 дней назад
Karibu bentv
@Rarmba
@Rarmba 9 дней назад
Best mchambuzi ever,huna mbwembwe unongea fact bro,wala hauna upande,nakufuatilia sana uchambuzi wako,uchambuzi wako ni waki football zaidi hauna siasa kabisaa.congrats
@NTUSOTV-xx8qe
@NTUSOTV-xx8qe 9 дней назад
Uko sahihi mkuu,,, simba nguvu mbili✊✊
@vincentkatabalo286
@vincentkatabalo286 4 дня назад
Big up Zuberi wewe ni mchambuzi na nusu. Uko very objective haupelekwi na hisia
@DarliotonTumaini
@DarliotonTumaini 9 дней назад
Madin mwanzo mwisho🎉🎉🎉
@mikidadijumanne7441
@mikidadijumanne7441 9 дней назад
Uko sahihi
@anafiselemani3957
@anafiselemani3957 9 дней назад
Big up sana bro zuberi
@veelmng7746
@veelmng7746 9 дней назад
Jamaa ni mchambuzi kweli na anajua mpira
@speciallvoice8091
@speciallvoice8091 9 дней назад
Uyu jamaa Yuko vzr sana
@mohamedikassimu7016
@mohamedikassimu7016 9 дней назад
Fact broo umenena
@suleimanmwenyemvua995
@suleimanmwenyemvua995 9 дней назад
Mchambuzi wape hao mambumbu kicheko baada e kilio😅😅😅
@user-em2sd9tm1n
@user-em2sd9tm1n 9 дней назад
Kaka shikamoo
@ezramichael7038
@ezramichael7038 9 дней назад
Mpira anaujua vizuri
@salumallymngumba
@salumallymngumba 9 дней назад
Umeongea point tupu.
@amanilupembe9788
@amanilupembe9788 9 дней назад
Ukopoa bro
@alphoncealmack9240
@alphoncealmack9240 9 дней назад
Hii kichwa imetulia si mchezo jamaa ni mtaatam anajua kuchambua ball. Tunataka wachambuzi kama si kama kina jemdar,oruma,salehe,na wengine km hao
@kibasamohamedi8029
@kibasamohamedi8029 7 дней назад
Uchambuzi mzuri
@fabiandanford3572
@fabiandanford3572 9 дней назад
Big upp umeongea kisoccer zaidi
@EnockKombolela
@EnockKombolela 9 дней назад
Wewe ndio chura nini ulicho kuelewa ktk ichi anacho kiongea
@amanilupembe9788
@amanilupembe9788 9 дней назад
Hupepes macho
@vincentkatabalo286
@vincentkatabalo286 4 дня назад
Kocha awe na uwezo na uzoefu ns sio uwezo
@fredmbossa-kc3qn
@fredmbossa-kc3qn 8 дней назад
sio morata tu hata pale barca kuna kiungo anaitwa thiago alcantara alicheza barca kipindi barca ina viungo wakina inniesta,xavi na busket na hawa wote walikuwa na umri mkubwa lkn barca hawakuwauza mapema hawa wazee ili wamuache thiago ,,mwishowe thiago anaondoka na kwenda timu zingine mpaka jana kastafu
@allysinde6208
@allysinde6208 7 дней назад
Huyu jamaa nimemkubali sanaaa... Yani anaongea points za Maana Sana na sio ushabiki.....
@vincentkatabalo286
@vincentkatabalo286 4 дня назад
Kocha wenyewe hawajiamini si mtoke nje mkaonyeshe maajabu
@salagolusangija8727
@salagolusangija8727 9 дней назад
Bonge la mchanbuzi
@Zaynab-ny6gr
@Zaynab-ny6gr 9 дней назад
Huyu jamaa anajua sana
@andrydengaah7389
@andrydengaah7389 9 дней назад
😅😅😅
@saidmwinyi4437
@saidmwinyi4437 2 дня назад
Eeeh mkaraboko umeuwa
@user-yu1zo9pf4o
@user-yu1zo9pf4o 2 дня назад
Huyu km kaka wa "K" mziwanda
@user-lo9pb1po8l
@user-lo9pb1po8l 8 дней назад
Serikali mpeni ulinzi huyu jamaa ni tunu ya taifa😂
@kichefuchefu2382
@kichefuchefu2382 9 дней назад
Unajua kaka
@salummbuleti6047
@salummbuleti6047 9 дней назад
Huyo mchambuzi wako ni chizi
@athumanmapunda
@athumanmapunda 9 дней назад
Kweli
@suleymanyasinmkufu1570
@suleymanyasinmkufu1570 9 дней назад
Amejaa wivu ,uto.
@AyubuIssa-np3vc
@AyubuIssa-np3vc 9 дней назад
Uyo nichura kama chula wengine
@anicethy6978
@anicethy6978 9 дней назад
Mpira wa miguu unachezwa na wavulana ukishakuwa mwanaume,"jua la jioni"huwezi tena,nimemtizama,Modrich, Pepe na CR7 wamejitahidi sana kwenye Euro lakini unaona tu anhaaa
@errydeo8865
@errydeo8865 9 дней назад
Unaongea nini wewe ,hao aliowataja umeona viwango vyao as individuals!! Umemuona pepe jinsi experience yake vijana walikua hawapiti?? Kuna wachezaji of higher level hawawafikii viwango! Timu lazima iwe mchanganyiko wa vijana na wenye experience! Unajua wenye experience kama CHAMA wanaleta nini dressing room!? Ushauri, uzoefu wa mechi kubwa, confidence,nk kwa vijana bongo shida ni kutojua mpira,as a game! Kuna kitu kinaitwa SENIOR PRAYERS Kwenye timu,unajua maana yake!? Senior players wanakua na umri mkubwa ,wana uzoefu,wamekaa mda mrefu kikosini,! Hao husaidia vijana kukua! Simba hao watoto watajifunza kwa nani!? That means watachukua mda mrefu to catchup ,to gel,to learn,and to GAIN experience! Utaona Yanga wakikutana na hao watoto! Kijana mwenye umri mdogo kumkaba mtu kama pacome, Aziz nk ni shida! Akimwangalia Aziz anataka amsalimie🤣🤣🤣Thats how football WORKS!
@franccoz94
@franccoz94 9 дней назад
Wachezaji wengi wa yanga wanamsimu mmoja tuu wa kucheza baada ya hapoo n angukoo
@user-mg1yl2rl8s
@user-mg1yl2rl8s 9 дней назад
Eng. Hersi sio mangungu. Yanga kila mwaka wanabalance timu kwa kuacha wachezaji wanaotegemewa kushuka kiwango na sio kusubiri hadi washuke kiwango. Watafute kina Djuma, Saidoo, Moloko, Lomalisa, Shaibu, Bangala orodha ni ndefu. Yanga ni timu kubwa inasajiri kwa mahitaji na performance.
@Evance-op4jw
@Evance-op4jw 9 дней назад
nani kakwambia wewe? hawa ni wachezaji wenye uwezo unaoweza kudumu miaka mingi hadi wanakuwa na umri mkubwa zaidi bora wanaume bora kuliko wavulana wasio na uwezo
@reonardchatanda6371
@reonardchatanda6371 9 дней назад
Pole sana. Inaonekana hufwatilii usajili.yanga imeongeza mikataba wachezaji wake wengi muhimu.
@Evance-op4jw
@Evance-op4jw 9 дней назад
umasema ukweli mtupu ingawa itawauma baaddhi humu
@AyubuIssa-np3vc
@AyubuIssa-np3vc 9 дней назад
Aowachezaji wa simba wanamuonekano gani
@mwanangusana
@mwanangusana 9 дней назад
​@@AyubuIssa-np3vc😂😂😂 tulia kk
@AyubuIssa-np3vc
@AyubuIssa-np3vc 9 дней назад
Uyo nimweu tu mpira sio umri .simba wakisajili wakubwa unasema wazee
@mwanangusana
@mwanangusana 9 дней назад
😂😂😂 mmeleta wachezaji kwaajili ya tamasha la saba Saba
@gerowadamwandika669
@gerowadamwandika669 9 дней назад
Mchambuzi wa mchongo wewe, umetumwa na vyura kwendaaaa hukoooo
@erasmuskwayu5643
@erasmuskwayu5643 9 дней назад
Sawa tutaonana kwenye Ligi na Shirikisho Afrika tutajua huyu anajua au hajui
@maryjkiosa3380
@maryjkiosa3380 9 дней назад
Huna jipya wewe ebu tupishe
@mwanangusana
@mwanangusana 9 дней назад
Tupisheee wewe
@user-ds3oi3tt8u
@user-ds3oi3tt8u 9 дней назад
Utopolo huyo hakuna Anachoongea hapo maneno meengi lengo Lake limeeleweka
@mwanangusana
@mwanangusana 9 дней назад
😂😂😂😂 Nenda kasikilize mapambio kwa akina jemedariiii, oruma na Jeff
@user-rp8ke2nb5i
@user-rp8ke2nb5i 9 дней назад
Bonge nysnya wachambuzi wa tz vinyonga
@user-cm7yl9ej7i
@user-cm7yl9ej7i 9 дней назад
Kuma ya mama zenu
@KS-iw7qv
@KS-iw7qv 9 дней назад
Ukweli huu naufananisha na UKWELI wa Mchome msimu ulopita.... Watu walimpinga saana hati timu ikaangukia pua....😢
Далее
Показал узбекский дух! #shorts
0:38