Тёмный
No video :(

Shekh Muhammad Idd - Awakosoa Mashekh juu ya Ibada ya Arafa 

BABDEO MILADU
Подписаться 250 тыс.
Просмотров 149 тыс.
50% 1

Опубликовано:

 

22 авг 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 1,1 тыс.   
@abdillahkassim5400
@abdillahkassim5400 5 лет назад
Nami acha nichangie kwa nikielewacho alonijaalia Allah (s.w) Kwanza; Nadhani tukizisoma hadithi vizuri zenye kuonesha Iddy mbili za waislam (Iddil ftri n Hajj) tunaona kuwa ;Allah (s.w) ameziambatanisha sikukuu hizi. Sikukuu ya Iddil fitri imeambatanishwa pale tu baada ya swaumu ambapo waislam hutakiwa wale na wanywe na wasifanye israfu, hivyo iddy hii itamlazimu mt itakapommalizikia Mfunguo wa Ramadhani tu. Ama iddil Hajj hii haikufungamana na kisimamo cha mahujaji ila imefungamana baada ya siku ya kumi ya dhul-hijja, hilo tuelewe kwanza, hivyo basi iddy hii itamalzimu mtu pale tu atakapomaliza masiku kumi ya dhul-hijja ambapo ndio itakuna iddy hio. Ama kwa suala la Siku ya Arafa, pana haja yakuonwa kuwa hata kwa wale wanaofuata mwezi wa muandamo wa nchi yao ambapo utakuwa tafauti na watu wakisimama katika kiwanja kule Makka basi hata kama wao ni mwezi nane kwa tisa basi pana ulazima wakuifunga watu wakiwa wamesimama kule ili sie ambao hatunaenda kuwa pamoja nao kwa kufunga. Hivyo kama ww kwako ni mwezi nane au nchi fulani ipo mwezi nane na watu wamesimama basi wanaweza kufunga hio Arafa wakiwa mahujaji wamesimama halafu kukamilisha masiku hadi yatimie kumi ili wapate kula iddy kwasababu iddil Hajj hainafungamana na kisimamo cha mahujaji ila imefungamana/imeekwa baada ya siku ya kumi ya dhul-Hijja. Hivyo basi kama pana nchi ipo mbele au nyuma kwa siku wao ndo watatafautiana kula iddi na Mahujaji....ila kwa sisi ambao tafauti yetu ni lisaali moja tu ulazima huo haupo. Pili; Japo la ikhtilafu ni la asilu, waliikhtilafiana maswahaba, Malaika na wala hamana mmoja wao alomwambia mwenzake kama hajui, maimamu wanne (Shafii, Malik n.k) wameikhtilafiana na inafika wakati Imam Shafii anaswal sehem ambapo watu hawaleti kunuti katika swala ya Alfajiri n yeye huwa hasomi, na watu walipomuuliza akawambia ni kuwaheshimu hawa wenzetu wa hapa kwasababu wao utaratibu wao hawasomi, hvyo hakuona haja kwamba asome kunuti halafu asimame mbele aseme hawa hawajui, wanapotosha watu, Laaaaaa!! Ikhtilaafu ni jambo lisiloepukika ila inaangaliwa kwa mambo ambayo wameekwa wazi moja kwa moja na sio ambayo yashatolewa hukmu zake. Hivyo kama wapo watu wanaoona kwamba Arafa ni mwezi 9 na wanasohoja zao na sio kububusa basi tusiwaambie kama ni waovu na wapotoshaji kwasababu siku ya kiama kila mmoja ataulizwa kwa alolisimamia so tusiende kububusa. Na pia kama wapo watu wanaoona kwamba Arafa ni kisimamo pamoja na mahujaji kutokana na sulubu wanayoipata pale hvyo fadhila zake tusizikose basi pia tusiwaite waongo au wapotoshaji kwasabbu wao pia wataulizw. Mwisho tuelewe kuwa hamana ajwae hakika ila yeye Allah (s.w) hivyo kwenye ikhtilafu watu waheshimu mawazo ya wengine kwasababu ni jambo la asili haliepukiki. Mwenyezi- Mungu atujaalie tuwe na moyo wa kusoama dini yake/yetu hiina tuifuate njia iliyonyooka. Na pale nilipokosea Allah anisamehe kwani sikuyaandika haya isipokuwa kwa uwezo wake yeye
@rahmamsabah2961
@rahmamsabah2961 5 лет назад
Ukosahihi ndugu.
@harunamkakaro113
@harunamkakaro113 5 лет назад
Inshaallah Allah akujaalie amiin.
@sabraham5308
@sabraham5308 5 лет назад
Uko sawa kama si sawa, kwa hili,ningeomba hadith ya qunut na imam shaafi,reference kitabu,source.jazakallahu lheir
@abdillahkassim5400
@abdillahkassim5400 5 лет назад
@@sabraham5308 Shukran ila sijaelewa swali lako lakini?
@sabraham5308
@sabraham5308 5 лет назад
@@abdillahkassim5400 jazzakallahu lheir,kama ipo hiyo hadithi ya imamu shafi inayohusiana na mambo ya qunut ,nilitaka reference,kwani katika vitabu vyangu,katika asittatu,waandishi sita,na vingine vingi nilivyokuwa navyo,katika usahihi wake,sijaona kwa qunuti kutumiwa katika sala ya fajr.
@tifasofia2955
@tifasofia2955 5 лет назад
Shekh watu tunakuelewa sana
@maawymuhammad6779
@maawymuhammad6779 Год назад
Mashaa allah mambo ya kulazimisha watu wafuate mahujjaj hunu ni upotofu wa mawahabi tu.Alhamdulillah sheikh wetu umewapa hoja za maana sasa na sisi twataka hoja za maana za mawahabi watupe hata kama ni hadith swahih ama hata hadith dhwaifu watupe ya kwamba mtume ansema kwamba ni lazima sisi tufuate mahujjaj.
@ibrahimkhatib2899
@ibrahimkhatib2899 5 лет назад
Jamani mambo yapo wazi kabisaa tusiangalie alie sema maana wengine hawamuamini basi tuamini hivyo vitabu vya maulamaa watukufuu Mashaallaah shekh nimekufahamu
@maulidabdallah25
@maulidabdallah25 5 лет назад
Shekh swadaqta waambie wasome haqq yasimma kwa dalli na pia akuna muungiliano Katie ya swaumu ya arafa na kisimami cha arafa
@NEWMOVIES-ln3gg
@NEWMOVIES-ln3gg 5 лет назад
Shekhe mbona hujasema mawio na machweo twaendana na Makkah shekhe huna elimu yoyote na ya kujiongeza huna.poleeee kwa kukosa kufunga SKU ya arafa ya j,mos..na pole kwa kukaa na njaa leo
@zakariajuma5977
@zakariajuma5977 5 лет назад
mashallah huyu sheikh kawaida yake habahatishi hoja huwa anakuwanga na hoja nzito sana mungu ambariki
@jeykaluz1640
@jeykaluz1640 2 года назад
True huyu shekh ni khatar nondo sana
@mohamedlawa3304
@mohamedlawa3304 5 лет назад
Mashaallah sheikh Allah akulipe kheir mimi binafsi nimekuelewa hata mie huwa najiuliza leo tunalazimishwa vipi tufunge ama kufungua na saudia eti kwa kigezo kuwa makka ndio chimbuko la uislamu ama eti masaa yanafanana kwani ndivyo Mtume alivyotufundisha? hebu tustahimiliane ikiwa wafuata makka na unaona ndio sahihi basi amini wewe sio ukosoe wengine
@mawazoit8070
@mawazoit8070 2 года назад
Dah, nimesikiliza kwa makini sana. Huyu bwana twaweza msifia kumbe twazidi kupotea. Hoja ya mwezi tisa na siku ya Arafa maelezo ya jazba sana. Tujipe nafasi kusikiliza hoja kwa hoja toka kwa masheikh
@zamizozamy5528
@zamizozamy5528 5 лет назад
jazaqallahul kheyr. umenena vyema sheikh.
@allymtito8117
@allymtito8117 2 месяца назад
Muulize shekhe wako je? Duniani kuna tarembe mbili
@hajiseif3255
@hajiseif3255 5 лет назад
Tatzo siku hz masheikh wengi wanaangalia maslahi yao na wanaambatanisha dini na siasa!!!ili kuwafurahisha baadhi ya wanasiasa!!!Mtaulizwa
@salmagulam6619
@salmagulam6619 5 лет назад
Point maana wanataka tuache kumfata mungu tuwafate wao hapana kwa kwel tutamfata mungu na mtume na sio mashekhe
@mohamedsikitu8329
@mohamedsikitu8329 3 года назад
@@hassanissa3203 shekhe kawa fala kisa kisa hayupo upande mmoja na ww kweny swala la arafa ?????? Kisa amepinga unachokiami ww..?? Dini aiendi kwa jazba ivyoo.. tuusome uislam
@alhamdulillah5796
@alhamdulillah5796 2 года назад
@@mohamedsikitu8329, kweli. Hv kabla ya technologia watu wakijua vp km Makka wanasimama Arafa hata leo hii watu wanafarakana? Uisilam ni kufuata Qur-an na sunna na sio shortcut/tecnologia.
@MussaKilongola-hm8xl
@MussaKilongola-hm8xl Год назад
Shekhe mungu kaumba maghalib2 na mashaliki2 hii ni jografi ya dunia ww unauzuilia uma wa waiclam kufanya ibada ya hija kwa ajili ya mungu unatetea maslahi haiweze kani dunia moja kua na karenda 2
@mohammedomar8588
@mohammedomar8588 5 лет назад
Naam sheikh marhabaa huo ndio usahihibwa saumu ya arafa na nikweli niwapotoshaji shukran sheikh allah akupe umri mrefu ili uendelee kuwaambia kweli hao wapotoshaji
@abdulnaseermrisho4342
@abdulnaseermrisho4342 5 лет назад
Nimekuelewa saaana Shekh,wanaendelea kubisha ACHANA nao maana wana tatizo sio bure,Maana sio kwa ufafanuzi huu
@shifaaplusherbalmedicine
@shifaaplusherbalmedicine 2 года назад
Aachene nao nani wakati huyu mohd idi anaoenda kiki sisi twataka dalili sio blas blas iyo unayoongea abuu idi niujinga
@husseindilunga8
@husseindilunga8 5 лет назад
Shekh nakuelewaga vizuri sana Inshaallh Mungu akubariki
@cakesuke1235
@cakesuke1235 5 лет назад
Nimekuelewa shekhe abukum id Muhammad id mungu akupe swiha njema shukrani
@al-aqsamediaonline1489
@al-aqsamediaonline1489 2 года назад
Nimemfuatilia mara nyingi huyo Sheikh wetu kipenzi. Nilichogundua anapenda sana kuamsha mada zenye kuleta malumbano; na hilo huibuka kila mwaka Hii ni mbaya sana. Tunahitaji kuwa umma mmoja siyo vipande vipande. Allah amwongoze.
@hashimmhashim2663
@hashimmhashim2663 5 лет назад
ماشاءالله تبارك الله حفظك الله يا شيخنا محمد عيد
@yusuphkwaya7843
@yusuphkwaya7843 5 лет назад
Jamani shekh anafafanua vizuri hivi Tena mnasema anapotosha acheni kulinganisha fikra zenu zinavo watuma mkazichanganya na mambo ya kielimu
@swahilitherapytv3846
@swahilitherapytv3846 5 лет назад
WEWE NDIO MZUSHI WA KWANZA. MAWASILIANO NI NEEMA ALLAH AMETUPA SISI, NA YANAHAFIKIANA NA SHERIA YA KIISLAM TUNATAKIWA TUFUATE. RUDI UKASOME FIQHI
@saidiharuna3129
@saidiharuna3129 5 лет назад
MASHIKO ONLINE TV dini haibadilishwi na mabadiliko ya teckonolojia hukumu inabaki vilevile
@hassanalhussein3982
@hassanalhussein3982 5 лет назад
Ambae anahitaji kusoma fiqhi ni wewe uso juwa kutafautisha baina ya idd adhha na arafa. Jee wajuwa kuwa nguzo ya hajj ilikuja baada ya idd adhha? Wajuwa kuwa bwana mtume alikuwa akifunga siku tisa na ya kumi akichinja na kusherehekea idd. Hiyo ilikuwa kabla ya nguzo ya hajj kuletwa .Sasa arafa inahusiano gani na idd adhha? Hebu nenda ukasome usilete taabu kwenye mitandao
@athumani543
@athumani543 Год назад
SHKH muogope Allah et tarehe ya kiislam tu ndy haziwezi kuwa sawa zingine inawezekana kwani kuzama Kwa jua au kuchelewa kucha ni Kwa waislam tu ila wakristo wanasherehea Dunia nzima cku moja mche Allah utawala ni duniani tu
@bakaribakari6444
@bakaribakari6444 2 месяца назад
Wakwanza basi atakuwa uthaimin na wapili jopo la mamufut saudia
@sportsentertainmentvideo6633
@sportsentertainmentvideo6633 5 лет назад
Shekh anaongea kwa jazba kama anapiga kampeni!! Ongea taratiib tukuelewe... Tanzania tunahaja gani ya kukhitilafiana na makka hali ya kuwa hatuna mapishano ya Siku wala saa!!?? Hakika!!! Kusoma sana si kuelimika.
@ommarymgeni1536
@ommarymgeni1536 5 лет назад
Juma Witala kwan wew hoj zako nzip leta dalil so mnawakufurish wanzuon toa tu dalil ruk hewn tukuon
@sportsentertainmentvideo6633
@sportsentertainmentvideo6633 5 лет назад
Ni mwanawazuoni yupi niliye mkufurisha!??
@saidthanksjuma295
@saidthanksjuma295 5 лет назад
Kama hunalakusema kaakimya dini hayend kwajzba
@saidthanksjuma295
@saidthanksjuma295 5 лет назад
Bac weka Arafa yko Tanzania
@mussajuma7460
@mussajuma7460 5 лет назад
Alafu cha kushangaza saudia Arabia na Tanzania sasa kuna tofaut gani kufata saudia
@ibrahimkambi9288
@ibrahimkambi9288 5 лет назад
Hiyo point ya mwisho nimeipenda sana Sheikh
@abdiothman346
@abdiothman346 Год назад
Shk uko Sahihi tumekuelewa,na Dalili umezitoa sasa waje na Dalili zao
@majutojohn1968
@majutojohn1968 3 года назад
Hakika Muhammad iddy Mungu amekupa uwezo mkubwa wa ufafa nuzi wa sharia za kiislam tume kupata uzur sana
@abdulazizramadhan5119
@abdulazizramadhan5119 5 лет назад
Kwa uelewa wangu mdogo sijawahi ona wala kusikia uislam una tarehe mbili za tofauti,,,hapo umefeli shekhe
@amohammed3390
@amohammed3390 5 лет назад
Napendekeza kazi ya usheikh iwe na kibali na masheikh kama hawa wasiruhusiwe kupotosha watu kwa maslahi yao
@mustaphaibrahim368
@mustaphaibrahim368 5 лет назад
Unaongelea sunna gani aibu huna umefagia kidevu kama papa Benedict
@allylassuh4947
@allylassuh4947 Год назад
Sai ni papa coz hana ndevu jee akiwa nazo utamuita nani???
@esir6667
@esir6667 Год назад
Matusi hayafai
@latifaabdul5974
@latifaabdul5974 Год назад
Kidevu muachie yeye na mola wake kikubwa ni majibu ya maswal aliyouliza tu
@allyjsimba4249
@allyjsimba4249 5 лет назад
Nimekuelewa. Sana shekhe wangu tatizo ya Aswari wetu Awana hoja mbona makka awafati China au Japan kwa sababu Mara nyingi mwezi waanza kutoka kwao lkn apa Tanzania kila siku mwezi wao ni maka
@electronicstechnician939
@electronicstechnician939 5 лет назад
Kaka hoj ambayo anasema watu wafunge kwa eneo kutokana na tofut ya masaa sasa yz na maka tofaut ni mda gan? Afu hilo eneo analoema ni laukubwa gan?
@sharipha-vy9dy
@sharipha-vy9dy 11 месяцев назад
Mashallah taqbirr allah akbarru shuqrani shekhe
@mohamedsalimaljahdhamy1436
@mohamedsalimaljahdhamy1436 5 лет назад
Ukisoma sera utagundua kuwa Eid fitri na Eid Adh ha zimefaradhishwa mwaka wa 2 wa kiislamu. Wakati hija imefaradhishwa mwaka wa 6,7 au 8. Sasa hapo Mtume s.a.w alikuwa akifunga swaum ya na arafa na pia anakula Eid ya mfunguo kwa miaka mingi kabla ya hija kufaradhishwa. Je alikuwa akiwafuata mahujaji gani walosimama na wakati hija ilikuwa haipo? Naomba jibu kwa hoja sitaki povu tafadhalini. Na mkiona jibu hamlipati mujue kuwa funga ya arafa na kisimamo cha mahujaja hakuna mafungamano yoyote. Shekh Abuu Eid kwa hapo yupo sahihi.
@abuunabilherbalmedicine5594
@abuunabilherbalmedicine5594 5 лет назад
Soma vizuri sira acha kubabaika idd Al fitr ndo ya kwanza kufaradhishwa alafu hijjah imefaradhishwa mwaka wa 9 hijiriya na hiyo ndio kauli rajihi na mtume hawezi kufunga Arafa na wakati ilikua saumu ya Arafa haipo Wewe unachanganya swaum ya Arafa na ashuraa soma sira vizuri Kijana acha kukurupuka
@mohamedsalimaljahdhamy1436
@mohamedsalimaljahdhamy1436 5 лет назад
@@abuunabilherbalmedicine5594 Hapana shekh ww ndo bado hujaelewa. Eid zote mbili zimefaradhishwa mwaka wa 2 kwa pamoja. Mtume s.a.w alipofika madina aliwaona watu wa madina wanasherehekea sikukuu nyingi ndo hapo akawaambia Allah ameshawaletea badali ya hizo sherehe zenu nyinyi waislamu mumefaradhishiwa sikukuu zenu 2 yaani Eid Fitri na Eid Al adh ha. Shekh rudi tena darasani ukasome Eid zote mbili zimeletwa wakati mmoja. Na hija imefaradhishwa mwaka wa 9. Hii ndo kauli yenye nguvu. Sasa suali langu lipo pale pale. Hadith sahihi ya mke wa mtume s.a.w Safia alisema kuwa mtume s.a.w alikuwa haachi kufungaa siku ya tisa. Sasa imepita miaka mingi mpaka kufaradhishwa kwa hija. Je mtume s.a.w alipokuwa akifunga alikuwa akiwafuata mahujaji gani walosimama arafa wakati hija ilijuwa bado haijafaradhishwa? Soma vzuri maelezo yangu.
@hassanalhussein3982
@hassanalhussein3982 5 лет назад
@@mohamedsalimaljahdhamy1436 asante sana kwa kuwaeleza vizuri .Hawa mawahabi hawana hoja bali ni ushindani usio na msingi. Hawana jawabu la kujibu maana ni madebe matupu.
@saidmwinyi2501
@saidmwinyi2501 5 лет назад
Mohammed salim ndugu yetu kwan hijja imeamrishw wakt wa Mtume saw au ipo tokea nabii Ibrahim as
@engamidulutta1496
@engamidulutta1496 5 лет назад
Mahujaja ni nn nifaamishe apo sijafahamu
@hassanjr5318
@hassanjr5318 5 лет назад
Tusikilize bila ushabiki na tupate hekima za hoja za pande zote .....Allah atufanyie wepesi kwani yeye ndio mjuzi
@rayanjoseck4458
@rayanjoseck4458 5 лет назад
I do concur with you shekh ...so educative a wise man said a student ll never out weight his master...
@najahyusuf6282
@najahyusuf6282 5 лет назад
sheikh mohamed iddi umepagawa sana hunalolote walachochote kama unanja siumwambiye kishikish akusaidiye akupe birian kwaajili unanja tu halafu humfikiyi nurudin kishikish kwaelimu unakijeli ustadhi mohamed iddi
@nawawisaalim7173
@nawawisaalim7173 5 лет назад
Allah akubarik na akuhifadh Abuu Eid tunakuelewa vyema
@jabirmfinanga8980
@jabirmfinanga8980 2 года назад
Shekhe hawa Mashekhe nia yao nini naona wanaelewa lakini wanapotosha kwa naslahi ya nani?
@usahihinaukweli4921
@usahihinaukweli4921 5 лет назад
waislamu NI KITU KIMOJA NA MUUNGANIKO WETU NI "HAPANA APASAE KUABUDIWA KWA HAKI ISIPOKUA ALLAH(SW), NA MUHAMMAD (SAW) NI MTUME WA MWENYEZIMUNGU) EWE MWISLAM!! (Kama hukusoma dini,USISHABIKIE MIGOGORO!, ushabaki wowote unaleta chuki, ndiomana utaona watu wame comment "mjinga, pumbavu, Kama hawakukuelewa achana nao " hio ni kwa sababu mnashabikia kwahivo mnatengeneza chuki badala ya KUPENDANA. ) ENYI MASHEKHE!! (kama mmesoma dini, msishabikie kuonekana bora kuliko mungine, hivo mtasababisha ambao hawajasoma wafuate SHEKH anaempenda mtajaza chuki baina ya waislam ) SWALI KWA MASHEKHE WETU WOTE!! (KWA NINI HAMTAFUTI SULUHISHO KABLA YA KUTUPIANA VIJEMBE MTANDAONI??? ENYI MASHEKHE KWA NINI MNASUBILI IKIKARIBIA SHEREHE(ARAFA NA RAMMADHAN) NDIO MNASIKIKA?? ENYI MASHEKHE PENDANENI ILI WAISLAM WAPENDANE NA WASHIIKAMANE.
@salimabdalhaomary1858
@salimabdalhaomary1858 5 лет назад
Nakubaliana na ww tunatakiwa tujenge umoja sio mifarakano ukiona shekh mwenzio ama mtu yyt katoa fatwa hujakubaliana nayo na ww toa ila usinyooshe vidole na kujiona ww bor mkamilifu ni allah
@wangwazitv9616
@wangwazitv9616 5 лет назад
Duh! Angalau we ni muelewa,, ila kumbuka kuna njia kuu nne za kupatia elimu hvyo kusiki ni miongoni mwa njia hzo sasa iwapo mtu atadanganya watu wenye utambz na swala hlo wakae kimya?aidha, wale walio mbali na ulimwengu wa wasomi wasio na uwezo wa kusoma wakisikia zilizo rikodiwa kama za huyu jamaa wakubali tu kisa hwakusoma? Kibaya kutukanana ila sasa hv mafundsho y waislam yanatia mashaka
@joauchitlango3547
@joauchitlango3547 2 года назад
Abuu idi mpotoshaji tatizo sijaiona hadidhi inayosema saumu ya arafa Ni mwezi Tisa Swaumu imetajwa fungeni swaumu ya arafa na sio mwezi Tisa Sheykh anapotosha
@mwanakombohajiali9397
@mwanakombohajiali9397 2 года назад
@@joauchitlango3547 ww uciopotosha lete maelezo yak tukufate
@alhamdulillah5796
@alhamdulillah5796 2 года назад
@@joauchitlango3547, km imesemwa fungeni swaumu ya Arafa inamaana miaka ambayo palikua hapana simu, internet wakifungaje kwa kuangalia Arafa? Swaumu ya Arafa ni mwezi tisa mana kila mmoja mwezi utamuandamikia na utafikia mwezi tisa.
@cydemanchester2368
@cydemanchester2368 5 лет назад
Wewe ndiye mpotoshaji mkubwa na hoja zako ni dhaifu sana. Acheni kuwapotosha waislamu kwa kupewa ruzuku na serikali ili muuangamize umma wa kiislamu
@yuzaaseif3040
@yuzaaseif3040 5 лет назад
Nendq kasome kijqn
@abuhafs4774
@abuhafs4774 2 года назад
Abu idi swali lako lilisha jibiwa zamani sana na sheikh Qaasim Mafuta fuatilia KHUTBA zake za dhul hijja miaka ya nyuma na pia mwaka huu 2022 tar 8 ilipo kutana siku ya arafa na ijumaa
@jumajuma7486
@jumajuma7486 5 лет назад
Mbona hausemi kua sisi na hão wa makka tunaendana mawio na machweo? Allah akuongoze kipofu usieona haqq. Mwemed idi
@aliyhero9857
@aliyhero9857 5 лет назад
Wewe babu ndo zero mbona kweli na yy hajasema ss na makka
@mahfudhakassim9592
@mahfudhakassim9592 3 года назад
Kma umesikiliza vizuri swali lako limejibiwa
@fadhilially5869
@fadhilially5869 5 лет назад
Mashekhye wengine nimtihani wanamacho nivipofuu kama jana masdi jumaa wabadiri tarehe mchanaa waludisha nyumaa tarehee Allah awaongoze katka dunia mtapotosha wengi ila haqi itabaki kuwa haqii tuh
@muhidinali8180
@muhidinali8180 4 года назад
Sijibizani nawatu wanoongozwa Nahawaa zanafsi wakaacha mafunzo Ya Muhammad s a w
@SMG109L
@SMG109L Год назад
Allah amzidishie kheri Sheikh abuu id, pia Mufti wa Oman Allah amhifadhi na Masheikh wengine! Wewe unaekufurisha waislamu wenzako kaa utafakari, Allah atakuongoza
@muntakindamba2053
@muntakindamba2053 2 года назад
Maashaallah Shekh wetu Muhammad idy tunakufahamu sana mungu akuzidishiebarka na afya njema usiache kutuelimisha inshaallah
@saidkibangetandiko3734
@saidkibangetandiko3734 Год назад
Kinachotakiwa hapa mashekhe msiitane wapotoshaji Bali mheshimiane Kwa hoja zenu Kwa kifupi nyingi mashekhe na sisi mnaotuongoza tusilete ligi kwenye dini yaani kama Mimi nimefuata siku ya mahujaji wakiwa kwenye kisimamo Cha arafa sitakiwi kumsema vibaya ambaye hafuati hivyo Wala yeye hatakiwi kuniita mpotoshaji na yeye sitakiwi kumuita mpotoshaji kwakua jambo hili Kila mtu ana hoja au dalili zenye nguvu kuhusu jambo Hilo pia jambo Hilo mlipaji ni Allah subhana huwataala kwahiyo tusisemane vibaya maana sote ni wamoja na ni ndugu.kasoro mashia hao ndio maadui zetu hatutakiwi kuwafuata hata kidogo lakini pia tusiwatukane.
@nurudinramadan6839
@nurudinramadan6839 5 лет назад
acha uchochezi Shekhe leo jumaapili ndo iddi ww kama leo ndo arafa niww
@queenisha6818
@queenisha6818 5 лет назад
Mi nashangaa sana humu ndani matusi ya nn kama anapotosha watu mwenyekumuhukumu ni mungu nyinyi amuwezi kumuhukumu hata mtoe matusi tumuogope mungu yeye ajue kila kitu
@amejuma8194
@amejuma8194 5 лет назад
Shekh Tunakuelewa ww.. Miongon mwa mpotoshaji ni ww no..1
@saidiharuna3129
@saidiharuna3129 5 лет назад
Ame Juma wasomi wanabishana kwa vitabu sio maneno matupu hivyo vitabu ni fatua za mashekhe wamakkah hao
@hassanalhussein3982
@hassanalhussein3982 5 лет назад
Sasa pia huyo Sheikh wenu wa kiwahabi alotajwa pia amepotowa ?
@mkali6167
@mkali6167 5 лет назад
ww kuwa muadilifu wa akili yako ww
@bakaribakari6444
@bakaribakari6444 2 месяца назад
Wa kwanza atakuwa uthaimin 😂😂
@nssjsjzjnznz4531
@nssjsjzjnznz4531 5 лет назад
Alhamdulillah shekhe qassim mafuta abuulfadhili kashatuchapia leo uyu mtu fimbo mingiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii
@akbarosman3892
@akbarosman3892 5 лет назад
Huyu shkh hajui anachoongelea nafikiri njaa inamsumbua Hili ni bonge la zuzu Hoja zako zimepitwa na wakati Mche mungu shkh zuzu
@ajuayeofficial
@ajuayeofficial 5 лет назад
Akbar Osman wewe ndo zuzu kabsa hujielewa shekhe yuko sahh
@akbarosman3892
@akbarosman3892 5 лет назад
@@ajuayeofficial Nyie fungeni siku yenu mnayojua Sisi tutafunga siku ya arafa Mazuzu mko wengi
@mussarashid6752
@mussarashid6752 5 лет назад
Akbar Osman .basi wanawake nao wasikae Eda maana vipo vipimo vya kutambua mimba mapema kabla ya miez mitatu.
@akbarosman3892
@akbarosman3892 5 лет назад
@@mussarashid6752 hizo hoja hazina mashiko msikilize shkh mahamed issa amejibu kwa vizuri kama una akili utamuelewa
@akbarosman3892
@akbarosman3892 5 лет назад
Siku zote mashkh kama hawa wanaopara videvu vyao wako tayari kuuza imani kwa maslahi yao ya dunia Hawa mashkh maslahi hawana mpango
@SalimSalim-ls9lg
@SalimSalim-ls9lg 5 лет назад
WEWE SHEIKH HADITH INAZUNGUMZIA SWAUM YA SIKU YA ARAFA SIYO SWAUM YA SIKU YA TISA YA DHULHIJJAH WACHA KUBABAISHA UMMA NA KUPOTOSHA, SASA MFANO WEWE UNAESEMA MPISHANO WA MASAA VIPI KWAKO UNAPISHANA MDA GANI
@drimazonechoice9822
@drimazonechoice9822 5 лет назад
Hata kuelewa huelew ndo tatizo hilo na zaid unatakiwa urud madaris ukasome uislam si din ya muhemko hii acha kitoa lugha za hovyo ukijua huyo unae mwambia kakuzid umri uwezo wa elim na mambo kam hayo
@abdulkareemseif667
@abdulkareemseif667 5 лет назад
Salim Salim ndo hapo mm nataka kujua yeye anazungumzia kupishana masaaa je Tanzania wamepishana masaaaa mangapi
@mohamedlamimu
@mohamedlamimu 5 лет назад
Vitabu vimeandika siku ya tisa ya dhulhijja mwezi mwandamo, kwa nini muje na fatwa zenu za kisasa!?
@mohammedrashid2455
@mohammedrashid2455 5 лет назад
Salim Salim
@SalimSalim-ls9lg
@SalimSalim-ls9lg 5 лет назад
Ndugu zng ckulizen alichosema hyu sheikh mtetea maulid alichosema kweny dakika 1:15 hadi sekunde ya 22 ndo mtajua kuwa yy tayar amejiblock
@issaabbas5406
@issaabbas5406 5 лет назад
yaani sjaona hata dariri yoyote uliyoitoa iyi nidini ya allah so ulisi wa wazee wako na usiwe unakalili itakukosti kesho kiyama usiuze dini kwa sababu ya dunia.wako wapi wakina filaghuni wote waliacha dunia.subuhanallah
@namelessnameless4868
@namelessnameless4868 5 лет назад
Asante sana Sheikh letu mungu akupe umri mrefu ili tuzidi kunufaika na wewe
@abdulkareemseif667
@abdulkareemseif667 5 лет назад
Nameless Nameless ili azidi kuwapotosha
@namelessnameless4868
@namelessnameless4868 5 лет назад
@@abdulkareemseif667 Hoja hujibiwa kwa hoja kama unaona anapotosha na wewe toa hoja zako tukuskie
@selemankishema5780
@selemankishema5780 Год назад
Katika masheikh wapumbavu duniani,moja hili jamaa
@hassanyusuph9446
@hassanyusuph9446 2 месяца назад
Toa hoja y kumtia upumbavun shekhe!!!
@ja60pallangyo93
@ja60pallangyo93 5 лет назад
A alykum shekh usiwaite mashekhe wengine wapotoaji kwann tusiandae mjadla kwa ajili kuelimishana
@hassansingano1150
@hassansingano1150 5 лет назад
Mmmmmmmmmmmmmmmmmmmm, Apo kazi
@mroojnr.2756
@mroojnr.2756 5 лет назад
Hawataweza mjadala hao watauogopa, elimu gani wanayo hao ya kupambana kwenye mjadala wana elimu za uganga tu hao. Wanapotosha umma
@mohamedmzeeassuufiyy1334
@mohamedmzeeassuufiyy1334 3 года назад
@@mroojnr.2756 Hakuna wahabi awezaye... Niko na Qasimu Mafuta mji mmoja na nimemtaka mdahalo juu ya swaumu ya arafa amekataa
@mroojnr.2756
@mroojnr.2756 3 года назад
@@mohamedmzeeassuufiyy1334 hatuna uthibitisho wowote unaoonyesha ulimuita mfanye madahalo akakataa. Achana na hilo, tuchukue akili ya kawaida tu hata washabiki wa Arsenal ikiwa inacheza timu yao wanaangalia moja kwa moja tukio la mchezo wa timu yao na hawasemi hili tukio sisi kwetu tutaliangalia kesho. Sasa labda kwa elimu yako kubwa utusaidie kutufahamisha Arafa ni siku, sehemu maalum kunakofanyika tukio kwa muda maalum, au arafa ni vipande vya ardhi vilivyotapakaa karibu kila nchi, au ni siku ambayo kila watu wanajichagulie iwe lini?
@mussamalugu1793
@mussamalugu1793 3 года назад
Mimi nawaita mara kibao na i don't care wapotosha wapotoshaji wapotoshaji stupid kabisa
@awadhially1384
@awadhially1384 5 лет назад
Hakuna kazi kubwa kama kutetea uwongo kutaka kuufanya kuwa ni ukweli watu wanazidi kuelewa.
@hamzachinjengwa5013
@hamzachinjengwa5013 2 года назад
Ww shekh nimekuelewa sana tena umeelezea vzr saf san
@AbdulAbdul-pr9qe
@AbdulAbdul-pr9qe 5 лет назад
sheikh amefafanua vizuri kabisa, sasa kama hujamuelewa basi rudi darasani au acha pombe
@electronicstechnician939
@electronicstechnician939 5 лет назад
Hebu nisidie ukubwa waeneo ambalo tunatakowa twende sawa maana weza onekana kigoma tanga hatujaona au wezaonakana tanga mjin pangan na muheza hawajaon so unatushaur nn na ss?
@mohammadkassim9937
@mohammadkassim9937 5 лет назад
Mash allh jazaka allh kheràa
@AbuuHaneef
@AbuuHaneef 5 лет назад
Mimi sikuwa najuwa kama unyoaji wa ndevu unaathiri usomaji wa kiarabu.
@aimanothman394
@aimanothman394 5 лет назад
Hahaa mmecheka wallahi
@ibn_rajab_bilaal
@ibn_rajab_bilaal 3 года назад
hahaha ibara zakosewa
@allylassuh4947
@allylassuh4947 Год назад
Shukran shekh muhammad iddi tunakuelewa vzur sana
@athumankibudo4478
@athumankibudo4478 3 года назад
Mashallah mwalim.mashalllah manen yako.yanaishii mile mile 2021
@issaabbas5406
@issaabbas5406 5 лет назад
shekhe acha msimamo wa kishia soma kwanza uelewe uache kupotosha uma
@salehal-tewany4627
@salehal-tewany4627 2 года назад
Lete dalili yako kufunga ni kufutwa Saudia mana nadhani ukiwauliza wazazi wako na walimu wako watakuambia ukweli kuwa kabla ya kuja teknolojia waislamu wakifuata mwezi na hawajui kuhusu mahujaji mana mawasiliano ya likiwa hayapo na swuala la wenzetu limekuja juzi na ndiyo inayoitwa BIDAA
@muhidinali8180
@muhidinali8180 5 лет назад
nyinyi mnaojua kiarabu sikilizeni khutba ya jana ya ijumaa ndai ya msikiti wa maka mtajua kua muhamed idi na kundilake ni wapotoshaji
@khalifabanka5041
@khalifabanka5041 2 года назад
Shekhe msikhitilafiane hivo mnatukhifilisha sana sisi waumini. Sisi watanzania tunaungana masaa sawa kabisa na hao walio hijja
@binjumaa7072
@binjumaa7072 5 лет назад
‎1 - أن المقصود بيوم عرفة هو اليوم الذي يقف فيه الناس بعرفة ، وفي ذلك عدة أحاديث منها : ‎أ / عن عطاء قال : قال النبي صلى الله عليه وسلم : ( أضحاكم يوم تضحون ) وأراه قال : ( وعرفة يوم تعرفون ) ، أخرجه البيهقي في " السنن الكبرى " ( 5 / 176 ) والشافعي في " الأم " ( 1 / 264 ) عن عطاء مرسلاً ، وصححه الألباني في " صحيح الجامع " ( 4224 ) . ‎ب / عن ابن المنكدر ، عن عائشة رضى الله عنها قالت : قال رسول الله صلى الله عليه وسلم : ( عرفة يوم يعرف الإمام ) ، أخرجه البيهقي في " السنن الكبرى " ( 5 / 175 ) ، قال ابن حجر في " التلخيص " : " تفرد به مجاهد قاله البيهقي ، قال : ومحمد بن المنكدر عن عائشة مرسل ، كذا قال ، وقد نقل الترمذي عن البخاري : أنه سمع منها . " أهـ . ‎قال الشيخ عبد الله الجبرين في في تحقيقه لرسالة الحافظ ابن رجب " أحكام الاختلاف في رؤية هلال ذي الحجة " ( ص 24 ) : " .. إسناده ضعيف، محمد بن إسماعيل- وهو الفارسي- ذكره ابن حبان في الثقات 9 / 78 وقال: '' يغرب ''. وانظر لسان الميزان 5 / 77. ومع ذلك فقد صححه الشيخ أحمد شاكر في رسالته: " أوائل الشهور العربية هل يجوز شرعا إثباتها بالحساب الفلكي " ( ص 26 ) " اهـ . ‎ج / عن مسروق أنه دخل على عائشة رضي الله عنها يوم عرفة فقال : اسقوني ، فقالت عائشة : يا غلام اسقه عسلاً ، ثم قالت : وما أنت بصائم يا مسروق ؟ قال : لا إني أخاف أن يكون يوم الأضحى ، فقالت عائشة : ليس ذلك إنما عرفة يوم يعرف الإمام ، ويوم النحر يوم ينحر الإمام ، أو ما سمعت يا مسروق أن رسول الله صلى الله عليه وسلم كان يعدله بألف يوم ) ، أخرجه البيهقي في " شعب الإيمان " ، والطبراني في " المعجم الأوسط " ، قال الهيثمي في " مجمع الزوائد " ( 3 / 190 ) : " في إسناده دلهم بن صالح ضعفه ابن معين وابن حبان وإسناده حسن " اهـ ، وضعفه الشيخ الألباني في " ضعيف الترغيب والترهيب " . ‎د / عن عبد العزيز بن عبد الله بن خالد بن أسيد قال : قال رسول الله صلى الله عليه وسلم : ( يوم عرفة اليوم الذي يعرف الناس فيه ) ، أخرجه الدارقطني في " سننه " ( 2/224 ) ، والبيهقي في " السنن الكبرى " ( 5 / 176 ) ، وقال : " هذا مرسل جيد أخرجه أبو داود في المراسيل " . ‎وقال ابن حجر في " التلخيص الحبير " : " عبد العزيز تابعي ، قال ابن شاهين عن ابن أبي داود : اختلف فيه ، ورواه أبو نعيم في معرفة الصحابة في ترجمة عبد الله بن خالد ، والد عبد العزيز بهذا من رواية ابنه عبد العزيز عنه " وقال في التقريب ( 1 / 472 ) : " وهم من ذكره في الصحابة " اهـ . ‎هذا ولا يخرج الحديث من الإرسال برواية عبد العزيز عن أبيه ، لأن عبد الله بن خالد بن أسيد ، والد عبد العزيز قال عنه ابن منده : " في صحبته ورؤيته نظر " ، وذكر مثل قوله أبو نعيم في : " معرفة الصحابة " ، وكذلك ابن الأثير في " أسد الغابة " . وقد ضعف إسناد هذه الرواية الشيخ عبد الله الجبرين في تحقيقه لرسالة الحافظ ابن رجب : " أحكام الاختلاف في رؤية هلال ذي الحجة " ، وأعلها بثلاث علل ، وذكر أيضاً أن لها شاهداً لا يفرح به ، لأنها من رواية الواقدي وهو متروك إضافة إلى أنها مرسلة . ( انظر التحقيق في هامش رسالة ابن رجب ص24 ) . ‎الناس بعرفة أنه أضيف الصوم إلى اليوم بعينه ، حيث قال صلى الله عليه وسلم : ( صيام يوم عرفة ) ، أخرجه مسلم ( 1161 ) ، وغيره . ‎وجه الدلالة : أنه أضاف الصيام إلى يوم عرفة ، وليس إلى اليوم التاسع ، ولم ينقل عنه صلى الله عليه وسلم أنه أضاف الصيام إلى اليوم التاسع ، فدل على أن هذه الإضافة معتبرة . ‎3 - أن المسلمين قد أجمعوا إجماعاً عملياً منذ عشرات السنين على متابعة الحجاج فلا يجوز مخالفتهم في ذلك ، وقد نقل الشيخ حسام الدين عفانة عن الدكتور محمد سليمان الأشقر قوله : " إن المسلمين في جميع أقطار العالم الإسلامي قد أجمعوا إجماعاً عملياً منذ عشرات السنين على متابعة الحجاج في عيد الأضحى ولا يجوز لأي جهة أو مجموعة من الناس مخالفة هذا الإجماع " . ‎و قال الشيخ عبد الرحمن السحيم : " .. ولا عبرة هنا باختلاف المطالع ؛ لأن الأمة تجتمع على أن يوم عرفة في ذلك اليوم الْمُحدَّد ، وعادة من يُخالف في ذلك لا يُخالف لأجل اختلاف مطالع ، بل لأمور سياسية ! ..."!! .
@mawazoit8070
@mawazoit8070 2 года назад
Swadakta
@nurdiniathumani9388
@nurdiniathumani9388 Год назад
Nawezaje kuikopi hii
@aminland876
@aminland876 5 лет назад
UYU SHEHE MUONGO SANA IYO ARAFA MWENYEZI ANASEMA WATAKAPO SIMAMA KWENYE VIWANJA VYA ARAFA NYINYI MLIO PEPEZONI MMESUNIWA LIVING A ILI MPATE FADHILA ZA ARAFA UKIFUNGA SIKU YA PILI UTAKUWA HUNA FADHILA YA ARAFA WE WE USIWADANGANYE WAISLAM MUOGOPE ALAAH
@omarkhamis4804
@omarkhamis4804 5 лет назад
Shekhe ametoa kwenye vitabu uongo uko wapi
@drimazonechoice9822
@drimazonechoice9822 5 лет назад
Uislam umeletwa kwa elim na heshima pia adabu waheshim watu walokuzid umri na elim pinga kwa hoja na si kutoa maneno mabovu kwa mashekh
@aliyomar9140
@aliyomar9140 5 лет назад
Huna kitu.....povu tuu mwenzio katoa hoja juu ya vitabu. Wew umetoa wapi?
@abdulkareemseif667
@abdulkareemseif667 5 лет назад
Amin Land huyu ni mtu wa bidaa
@mohamedsalimaljahdhamy1436
@mohamedsalimaljahdhamy1436 5 лет назад
Na ww toa ushahidi wa unayoyasema sio unaropoka tu. Masuala ya kieimu yanahitaji hoja za kieleeimu sio porojo tu shekh
@mustafamsaraka9877
@mustafamsaraka9877 5 лет назад
Allah huwanyima wazuri kufaham hadith na kuzifanyia kazi
@AL-WAARITHUUNTZtv
@AL-WAARITHUUNTZtv Год назад
SHEIKH Abuu Eid uko sahihi bila shaka mimi Nakuelewa sana
@user-qe8xp6ii1u
@user-qe8xp6ii1u 5 лет назад
Wenzio Wanachuoni Huzungumza Kwa Dalili ktk Quraan na Hadith za Mtume. Inakuwa hivi "Kasema Mtume kadha.. au Alikuwa mtume Kadha.. Au Ametuamrisha Mtume Kadha.. Au Allah amesema Kadha... Sasa wew Unatuletea Kauli za Binadam kama Sisi Ambao hata mim naweza nikatunga Vitabu kama Hivyo. Tusomeni Maneno ya Mungu na Mtume wake. Wacheni Ubabaishaji
@gracendeule2567
@gracendeule2567 5 лет назад
Vijana waagano jipya
@allymwabawa1882
@allymwabawa1882 5 лет назад
wap mtume kasem watu wafunge arafa kwa kuangalia mahujaji ktk viwanja vya Arafa?
@alhamdulillah5796
@alhamdulillah5796 2 года назад
Km kufunga ni kuangalia Arafa, wema waliopita hawakujaaliwa technologia waliipataje?
@user-qe8xp6ii1u
@user-qe8xp6ii1u 2 года назад
@@alhamdulillah5796 Kamuulize Mama Aisha Aliyemuambia Yule Mtu Aliyekunywa Maziwa siku ya Arafa na huku akidai kwao Ni Mwez 8.Alijibiwa hivi "Arafa ni siku atakayotangaza Imaamu Mkuu wa Makka...na si Kuangalia Mwezi wa Dhul hijja."maneno haya Yapo ktj Kitab Attarghiib wattarghiib. Ikiwa Mambo nMya swaumu yasiende Kwa teknolojia...Bas iwe hivi Mtu wa Daresalaam Akiuona Mwez Bas Apande punda Au atembee kwa miguu Akapeleke Taarifa kigoma kuwa mwez Umeonekana.Na ni Marufuku Mufti Mkuu wa Tz kutangaz Mwez na sikukuu ktk chanel ya TBC taifa.Wala Ktk Redio yyte isitangaze mwez Kwa sabab Hizo Teknolojia wakat huo hazikuwepo.tumeeelewana Nilichogundua nyiny Mnapelekwa na Matanmmanio tu
@babangida322
@babangida322 5 лет назад
Kwani Tanzania Na Saudia inapishana Kwa masaa mangapi? Wee sheikh Mbona unanipotosha?hivi Tatizo lako Ni elimu au ujanjaujanja.
@yussufdaudi9408
@yussufdaudi9408 5 лет назад
Assalamu aleykum .mwanzo jiongozee wewe usifanane na mwanamke.kunyoa ndevu kuacha misharubu .sasa umefuata mila za kiyahudi
@aminamfaume4244
@aminamfaume4244 5 лет назад
Mm mm naona kila mtu amfate shekhe amuelewaye.ila ww pia wengine watasema wapotosha.kwahivyo nyny mkitoana kasoro kila siku sisi maamu tufanyeje.kwani ss na sudia tumepishana masaa.
@aminamfaume4244
@aminamfaume4244 5 лет назад
Dunia imesha mashekh kusutana hivi ....mtume alitabiri haya jamn.kiama kipo chalinze chataka kufika daar
@musaabdullahalhabsi1121
@musaabdullahalhabsi1121 5 лет назад
Jina lako tu linaakisi akili yako
@rahmahkhalfan1178
@rahmahkhalfan1178 4 года назад
baba ngada.unapo comment lazima ujue hoja ya msingi.hoja hapa siupishanaji wa masaa.hoja nikwamba hakuna ushahidi wowote wakisheria unaosefa tufunga saumu ya arafa kwa kuwaangalia mahujaji.Hizo ni siasa za kiwahabi tu
@maniraguhahamza3511
@maniraguhahamza3511 2 года назад
Wewe haujajielewa kbsa na muomba Allah akupe hisaya
@saadmbaraqa5272
@saadmbaraqa5272 2 года назад
Uyu shekh anapenda ubishani wa kujionesha kwenye mambo ya ikhtilafah sijui anapata faida gani
@chinemaentertainment1110
@chinemaentertainment1110 4 года назад
hapo muhamed iddi nimekuelewa
@muhidinali8180
@muhidinali8180 5 лет назад
sio miyaka yakaribuni msimamo umeletwa na rasulu محمد kasomezaidi
@ndembondembo8122
@ndembondembo8122 5 лет назад
Huyo sio shekh. Ni shehena
@ndembondembo8122
@ndembondembo8122 5 лет назад
@@omaryhamisi7521 uyo mnafiq tu hana lolote akasome tena
@AaAa-kr9nb
@AaAa-kr9nb 5 лет назад
uyu mm simuelewi kabisa namsikia kelele tu mpotoshaji mwewe
@mhinakaswahili3100
@mhinakaswahili3100 4 года назад
Muhidin Ali Aisee kwan nyie hamuwaoni hao wanaopinga uislam umechukua hatua gani
@hutisaleh2320
@hutisaleh2320 4 года назад
Cklzeni maneno ya elim nyny wehu mcpnge kichuki...wachen kupotolew na waxo na elim
@hamissnjumba3034
@hamissnjumba3034 3 года назад
sheikh asalaam alaykum mimi binafsi naridhika na fatua zako illa, nakunasihi fanya na sema kwa ajili ya Allah tu, na wala usiseme kumkomoa mtu ila uelekezaji wako unaelekeza kwa kuonesha ile asili ya uislam , mmarhabaa lhamdullaah , Allah jalaal akuengeze elmu enye manufaa'' inshaallah
@abdulqaadrilaurian3700
@abdulqaadrilaurian3700 Год назад
Sheikh vip uko sawa kweli ebu ludi darasa kafanye baadhi,swali Tanzania na Saudi Arabia tunatofautiana mda gani na kama hatutofautiani kwann hatuendani nao
@ramlakassim2014
@ramlakassim2014 5 лет назад
sheikh unachosema kipo sahihi, lakin pia tusisahau kua Saudi Arabia na Tanzania haitofautian Kwa Massa ni dakika tu kama sio kwa sekunde xo hata wanaofunga Kwa kufuata mahujaji wa makka wapo sahihi.(Kwa kutumia kigezo hicho cha utofauti wa Masaa)....
@hutisaleh2320
@hutisaleh2320 4 года назад
Ha2anglii uxawa huo xhekh 2naanglia jee mwez umeandam hp kwe2 ili 2anze kuhexabu cku??
@firdaussaif8709
@firdaussaif8709 3 года назад
Kwel,
@firdaussaif8709
@firdaussaif8709 3 года назад
@@hutisaleh2320 kama wee huangalii usawa mwengn usawa wake so hamna haja ya mjadala mkubwa allah ndie anaejua nan sahihi na nan sio sahihi
@abuuyaasinrashidirashidi9638
@abuuyaasinrashidirashidi9638 5 лет назад
Allah atuhurumie maana huna cha kuongea zaidi ya kuwahimiza watu wazidi kupotea
@allymugisha9203
@allymugisha9203 5 лет назад
Sheee anaacha sharubu ndevu anyoa wallah mwalimu wako huyo muhammadi sijui nani duuu kweli anajua
@rahmjuma4495
@rahmjuma4495 5 лет назад
Sheh ukosahihi zamani mambo aya yalikuwa amna sasaivi kilamuislamu anajiamliatu kwakuwa kunavyombo vingi vya habali basi munaamuwa kutugawanya jamaa wanafulahi sana munavyolumbana
@abduhamzasungura1642
@abduhamzasungura1642 5 лет назад
Funguweni Hiyo Tupate Kuelimika Inn Shaa Allah👇
@mohamedseifpaz3248
@mohamedseifpaz3248 5 лет назад
Nn iyo
@rajabumasanja2818
@rajabumasanja2818 3 года назад
Wewe idi umefika meisho waufahamu wako kapembeni tupite kielimu hapo hujatwambi sudia na tz majila yakoje?.
@SalimSalim-ls9lg
@SalimSalim-ls9lg 5 лет назад
Masheikh kama hawa c wakuskilizwa
@omarkhamis4804
@omarkhamis4804 5 лет назад
Wasikilize wenye tamaa wachana na huyu mwenye kutumia vitabu
@aliyomar9140
@aliyomar9140 5 лет назад
omar khamis tukucklize wew na hoja zako za akil?
@SalimSalim-ls9lg
@SalimSalim-ls9lg 5 лет назад
Hyu ni muongo na ni mzushi mkubwa sana mpigania maulid na khitma
@aliyomar9140
@aliyomar9140 5 лет назад
Salim Salim tunaopigania maulid ni wengi sana.....
@MudathirOmar-hh5ow
@MudathirOmar-hh5ow 2 месяца назад
Maa shaa Allah unafaidisha ummah
@bakarmatlui9571
@bakarmatlui9571 4 года назад
Kusoma mashekh zangu ni muhimu mim nayaafiki maneno ya sheikh maana aliyemsomesha ni sheikh aliesoma kwa masheikh
@mussajangwa4878
@mussajangwa4878 3 года назад
Naam hilo ni zao la sheikh Muhammad ayyuub tanga
@rashidbusanya7166
@rashidbusanya7166 5 лет назад
Kama ni ikhtilaafu zilikuepo kwanzia hapo awali usiseme et waliyo sema tufunge siku ya arafa pamoja na makka hawana ushahid ushahid upo mashekh walisha toa IKUMBUKWE KWAMBA ALLAH NDIE MJUZI NANDIE ANAE JUA ZAID
@athumanikadaika5817
@athumanikadaika5817 5 лет назад
Ni kweli hitilafu zipo na zilikuwepo tangu zamani lkn sio kila ushahidi unazingatiwa katika hukumu.... Hukumu hutoa haki kwa ushahidi wenye mashiko tu na kutupilia mbali shauri au ushahidi usio na mashiko.....
@saidiharuna3129
@saidiharuna3129 5 лет назад
Rashid Busanya walitoa maneno yanayotoka kwenye vitabu au utashi wa mtu
@Badooyusuf
@Badooyusuf 5 лет назад
Rashid Busanya nilekeze na mm nikautafute
@mohamedlamimu
@mohamedlamimu 5 лет назад
Hivi ni kwanini ninyi mnaokoment kumpinga Sheikh hapa hamleti dalili zaidi ya kuelezea utashi wenu na kuleta lugha chafu!?
@mohamedlamimu
@mohamedlamimu 5 лет назад
Hivi ni kwanini ninyi mnaokoment kumpinga Sheikh hapa hamleti dalili zaidi ya kuelezea utashi wenu na kuleta lugha chafu!?
@showfive4413
@showfive4413 5 лет назад
Wafata mkumbo ni wengu kuliko waliosoma. kama ulikimbia fimbo madrasa huwez kumuelewa huyu sheikh.
@xalamlutfih6014
@xalamlutfih6014 5 лет назад
Naona sheikh anazungukaa kwa mtume amesema tufunge tarehe au 9 tufunge Arafat ? Mbna ajaanzia kutujibu kwa Qur'an na hadithi
@assalaamt4766
@assalaamt4766 3 года назад
Kabisaaa ndugu, wengi wa watu siku hizi hawaelewi dini, waelewa miziki tu, akili zao ziko kwenye miziki wataona haki hao?
@assalaamt4766
@assalaamt4766 3 года назад
@@xalamlutfih6014 Mtume swallallahu alaihi waalihi wasallam alisema siku ya tisa ya dhul-hijah, sio tuangalie walioko uwanjani, je kusipokuweko na kisimamo cha Arafa itakuwaje, saum ya Arafa itaondoka? Dini inakwenda sambamba na kinacho kubaliana na akili na kutumika kila wakati.
@chagogegereka2889
@chagogegereka2889 5 лет назад
Kwahiyo tuwafate mashekhe au mtume wa Allah alivyo tufundisha katika utaratibu wa kufanya ibada, Dunia ni Moja sio mbili Na iddi ni Moja siombili, majina ya nchi ya meanzishwa Na makafiri lengu kuu ni kuwagawa waislamu wote Dunia ni ili wasiungane, Leo hii waislamu wanaokufa Iraq siria Yemen Afghanistan hatuna habari kwasababu ya utaifa. Dini nikuelewa sio sheikh kasema, mashekhe pia huteleza
@fatmanamoya750
@fatmanamoya750 2 года назад
Alhamdhulilah nimepewa vzuri sana Sheikh Allah akupe umri tahwil
@humairashembago4953
@humairashembago4953 5 лет назад
Mungu akulipe sheikh letu
@yasinsaid6354
@yasinsaid6354 5 лет назад
Wewe Sheikh cjui unapotosha hivyo kwa maslahi ya nani
@user-mf5vb3sz4b
@user-mf5vb3sz4b 5 лет назад
Toa dalili sio unasema tu anapotosha
@pekomisegese7724
@pekomisegese7724 5 лет назад
WAISLAM SASA HIVI WANAZIKILIZA KISHA HAWAFATI, KWASABU ASILIMIA 90 WATAFUNGA KUFATA MWEZI 9 WATAKAPO SIMAMAMA MAHUJAJI KATIKA MAJABALI YA ARAFA, INGAWA KUSALI HAWATOSALI SIKU YA MWEZI KUMI YA MAHUJAJI. NA HAWATOFUNGA PIA MWEZI 10 YA MAHUJAJI KWANI WANATAMBUA KABISA KUWA NI SIKUKUU INGAWAJE KUSALI WATASALI JUMATATUUUUUUU. ANAEBISHA NAE RUKSA ANZA KUWAFATILIZIA UTAGUNDUA.
@samonlinetv6106
@samonlinetv6106 5 лет назад
TRUE THEY NOT FOLLOW THEM
@suleimanmwalimu3018
@suleimanmwalimu3018 5 лет назад
shekhe muhammadi wasomeshe hao mashekhe wapotofu wanaopotosha watu nimekuelewa shekhe hongera kwa ufafanuzi mzuri
@mohamedchobu7252
@mohamedchobu7252 5 лет назад
Hiyo ni Manhaji ya Tamta
@abdulhalimkibela4396
@abdulhalimkibela4396 5 лет назад
Asalam alaykum jaman kama ww hukiamin anacho kiamin mwenzio usitukane jaman waislam sote kitu kimoja
@user-hb8vi9fx6g
@user-hb8vi9fx6g 5 лет назад
UNA ELEWEKA SHEIKH MWENYEZI MUNGU AKUHIFADHI
@mussamalugu1793
@mussamalugu1793 3 года назад
Tumekuelewa sana shekh achana nao hao mashekh ubwabwa
@abuunabilherbalmedicine5594
@abuunabilherbalmedicine5594 5 лет назад
Sasa Shekh unazungumzia nchi yako au nchi zingine Alafu unasoma ibara za kiarabu na kuzifafanua tofauti kwakua unajua kila anaekusikiliza ni zuzu Saumu ya Arafa Tanzania itakua siku ya jumamosi ambayo ni tarehe 9 ambayo mahujaji wanasimama Arafa na sisi hatutofautiani ki muda na Makkah sasa Shekh usitoe fatua za nchi nyingine kwakua wewe unaishi Tanzania ambayo ipo sawa na Makkah hiyo ndo point usifuate masuala ya dunia marekani watafunga Arafa kutokana muda wao na sisi tutafunga siku ya jumamosi in Sha Allah na iddi itakua juma pili Na Allah ni mjuzi zaidi سبحانك اللهم وبحمدك أشهد أن لا إله إلا أنت أستغفرك وأتوب إليك
@princeganji2779
@princeganji2779 5 лет назад
Pumba uyoo achana nae
@abdulkareemseif667
@abdulkareemseif667 5 лет назад
Adam Hussein ndio hapo sasa elimu ipo wazi
@allymnzava3818
@allymnzava3818 5 лет назад
Huyu sheikh anapotosha wengi hasa wale wanaofuata dini kishabiki. Na jinsi Allah alivyomjalia uwezo wa kuongea na kushawishi.
@mohammedsgereza220
@mohammedsgereza220 5 лет назад
Wewe nimekuelewa
@hassanalhussein3982
@hassanalhussein3982 5 лет назад
@@allymnzava3818 lete hoja zako usi payuke bure.
@fredquinbi2389
@fredquinbi2389 5 лет назад
Umejitahid kutafuta elimu lkn umekosa hikma,hao mashekh wenzako walitoa rai zao kwa mujibu wa ushahid waliokua nao lkn hawakumuita yoyote mnafiq,mpotoshaji au jina lolote baya..wewe umezidiwa na jazba na kibri cha kuonesha kua unajua
@abdisalim1157
@abdisalim1157 2 года назад
MMungu akulipe kheir Shk
@mustafamsaraka9877
@mustafamsaraka9877 5 лет назад
Allah huwanyima wazushi kufaham hadith na kuzifanyia kazi zile zilizo sahihi na badala yake hufuata rai zao na za mashekhe zao
@jafarimruke9111
@jafarimruke9111 2 года назад
Aya gani ALLAH kasema hayo na mm nikaisome?
@mohamedrajabu6723
@mohamedrajabu6723 5 лет назад
Hekima unayo anae sema huna hekima bc yy Hana hekima hio hekima ulio sema ndio hekima ya kiislam upo vizuri
@ahmadazubeir5112
@ahmadazubeir5112 5 лет назад
Tatizo miongoni mwa wenye kukoment hapa na Mayahudi,manaswara na makafiri
@hajiseif3255
@hajiseif3255 5 лет назад
Muombe Mola wako msamaha unawaita watu mayahud makafir una uthibtxho gani wee ndyo muumin au unayakin na unayo yasema!!!utakuja ulizwa hyo xku ikfika
@aishaally2793
@aishaally2793 5 лет назад
شكرن ياشيخ ابوعيد جزكالله خير muhammed abdul wahaabi kisha pandikiza ubishi wa marekani ktk vichwa vya watu shekh toa elim asio kuelewa hana elim
@mohamedamour2735
@mohamedamour2735 2 года назад
Safi sana akuzidishie kuweza kututoa ktk ujinga
@mohammedamour9281
@mohammedamour9281 5 лет назад
A.aleykum.kwa hiyo tanzania na saudia tuko sawa kimasaa.sasa vipi tunapishana Arafah?unatuchanganya Sheh
@firdaussaif8709
@firdaussaif8709 3 года назад
Swali zuri saana
@arafalubuva3855
@arafalubuva3855 2 года назад
Alaah akulinde shekh Kuna wanafi humu
Далее
MASWALA YA ARAFA | SHEIKH NIZAR BWANA
10:06
Просмотров 29 тыс.
Мама приболела😂@kak__oska
00:16
Просмотров 655 тыс.
Новый фонарик в iPhone с iOS 18
00:49
Просмотров 539 тыс.
Sheikh Mohamed Idd - Usahihi Wa Maulidi Part 2
30:20
Просмотров 29 тыс.
Siku ya Arafa ni Lini?  ::: Sheikh  Mbarak Ahmed Awes
40:01
Sheikh Mohamed Idd
35:09
Просмотров 3,4 тыс.