Тёмный

SHETTA afunguka alivyoachana na MKEWE 'Nilimwachia nyumba, nilibeba kila kitu nikaanza upya ' - Pt 3 

Simulizi Na Sauti
Подписаться 1,4 млн
Просмотров 90 тыс.
50% 1

Shetta anafunguka jinsi alivyoachana na mke wake, Mama Qayllah
#ChillnaSky

Опубликовано:

 

5 мар 2022

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 163   
@oliverkyara8232
@oliverkyara8232 2 года назад
Sema kwa sasa unaona wanao wanaishi vizuri na unawahudumia na wanafuraha lakini niamini endapo utaoa mwanamke mwingine tofauti na mama yao aiseee kaka watapata wakati mgumu sana kama.ningeambiwa niwashauri jipimeni kwa muda mliotengana angalieni uwezekano wa kuwa pamoja muwaleee watoto wenu kwa upendo ukioa mwanamke.mwingine haya unayoongelea hapa hayatakuwepo mawasiliano na wanao au akulelelee wanao duh kaka aiseee kaka Neema ya Mungu Iamue Mioyoni Mwenu kabla hamjamove on.
@anneedward3673
@anneedward3673 2 года назад
Kwakweli mama wa kambo aje atuwavuruga wote
@hamidmweusiii35
@hamidmweusiii35 2 года назад
Umeongea maneno mazima sana
@verenabusanda4044
@verenabusanda4044 2 года назад
Kweli kabisa..
@henricamikambi6147
@henricamikambi6147 Год назад
Umeongea vyema kabisa, for the sake of the kids, wangemaliza tofauti zao. Kama wanaelewana kiasi hiko nini kinawazuia kuwa pamoja!?
@grolykibona3828
@grolykibona3828 Год назад
Amen
@hassanjr5318
@hassanjr5318 2 года назад
umekaaa miaka mingi ...... kuna mnyamwezi Byser salute sana kwake
@alexkalonga5323
@alexkalonga5323 2 года назад
Baba Kyler nakukubali Sana afu upo na bonge la mwandishi
@saidmasika8738
@saidmasika8738 2 года назад
mwanamume anae jielewa Allah akupe uzim
@allthingdranabeauty
@allthingdranabeauty 2 года назад
Safi sana sio wanaume wengine wakigombana wanasusa watoto dhambi ajui watoto wanateseka badae wko vizuri wahanza kusumbua
@saidhassan7779
@saidhassan7779 2 года назад
Brother kwanza hongera sna kwa kweli ktk maisha yangu nakua nakufiatilia sana kaka nakila siku nakuombea sana kaka nakuomba sana,niweze kukupata lkn sijui nakupata wapi kwa kweli kaka,nisaidie nikuone sana kak mm Niko Pemba,
@MaureenMollel
@MaureenMollel Год назад
Shetta anakuaga na akili mingi ..maturity at it's best
@florameza1028
@florameza1028 2 года назад
Nimekupenda kaka endelea kupenda wanao
@munaahmed8499
@munaahmed8499 2 года назад
Sijawah muona mkewe akihojiwa but ombi langu ongeeni mlee watoto family ya baba na mama ni nzur mno mm nimelelewa na momy tu na kisha momy kafarik tukiwa wadogo tukalelewa na bibi now keshafarik tupo wenyew tu na naomba mungu mno nipate mwanaume bora na mwenye hofu ya mungu
@MsAggie5
@MsAggie5 Год назад
Pole Sana lakini endelea kumuamini Mungu na usiwe na haraka atakupatia yule roho yako inamtamani.
@Sarah_gerald
@Sarah_gerald Месяц назад
Amiin
@khadijakheir9323
@khadijakheir9323 2 года назад
Shetta ni mwanaume wa kuigwa💪💪💪
@eladiuspeter586
@eladiuspeter586 2 года назад
Wewe upo tayari unzalie mtoto ni ku treat kama sheta??
@eladiuspeter586
@eladiuspeter586 2 года назад
Ila nisikuoe
@khadijakheir9323
@khadijakheir9323 2 года назад
@@eladiuspeter586 sawa
@khadijakheir9323
@khadijakheir9323 2 года назад
@@eladiuspeter586 okay
@eladiuspeter586
@eladiuspeter586 2 года назад
@@khadijakheir9323 ntumie namba zako
@lathifaa860
@lathifaa860 2 года назад
Mashaalah kaka yangu allah akupe subara kaka
@margarethpolepole7438
@margarethpolepole7438 2 года назад
Ni vizuri msije mkauana kitu chema ni kujali watoto tu
@estherminnahboaz6956
@estherminnahboaz6956 2 года назад
Sheta kumbe kiumbe safi Sana🙌
@dosianasimon312
@dosianasimon312 Год назад
Huyu jamanaa ndio maana mambo yake yananyooka ingawa katengana na mke wake naamini yule mwanake anamuombea sana mungu azidi kukuinua ili ulee watoto wako kwa upendo huohuo
@starshinetz
@starshinetz 2 года назад
Shetta full inspiration brother
@beatricethomas4061
@beatricethomas4061 2 года назад
Ubarkiwe hadi ushangae bro wanaume wote wa rika lako wangeipata hii akili dah watoto wasngepata tabu kitaa
@legrandmsangi8405
@legrandmsangi8405 2 года назад
Mwanangu san.. sheta the don
@irenembura8045
@irenembura8045 2 года назад
This is real nice👍👌
@meryfrank5272
@meryfrank5272 2 года назад
Vizuri sana , watoto hawana makosa.
@ahz6907
@ahz6907 2 года назад
this is what i call maturity
@user-qr9gd3id1f
@user-qr9gd3id1f 10 месяцев назад
Maturity wapi Uporo unapashwaa 😂
@mwanaishakhamis8069
@mwanaishakhamis8069 2 года назад
Swadakta kuowana Kwa wema kuwatana Kwa Amani👏👏
@JohnJafary-he7tk
@JohnJafary-he7tk 11 месяцев назад
Vip kakah nakuhusu daimond kukut#mbea mke
@estertiffathomas5651
@estertiffathomas5651 2 года назад
Safi kbxaaa hku kwetu mkiachan ni majang matup yaan full kuchamb status nimekutan na x wngu amekonda mmbwa yule na emoji ya kukunyal juuu😏😏😏
@miriamwinston9908
@miriamwinston9908 2 года назад
Nimechekaaaa😁😁😂😂😂🤣🤣🤣
@pendorose8056
@pendorose8056 2 года назад
🤣🤣🤣🤣🤣
@faridadumasalhathoseni
@faridadumasalhathoseni 9 месяцев назад
Masha laah❤
@officialmariamdaudi401
@officialmariamdaudi401 2 года назад
Ni kweli kabisa
@bakariathmanathman2187
@bakariathmanathman2187 6 месяцев назад
Asnte sana kaka sky ni mejifunza ilikua mm na bimkubwa wangu simu yake akini pigia tu mapovu ama sheta amevaa uhalisia wamsanii kioo chajamii umenifunza kaka sheta 😭
@SWAGGELI
@SWAGGELI 2 года назад
Dude you so fucking strong Man eehh sio mchezo
@user-sv1lr5qj6x
@user-sv1lr5qj6x 6 месяцев назад
baba mzuri kwa jamii❤❤❤
@jescajulius8023
@jescajulius8023 2 года назад
Uko vzr san, wanaume jifunzeni kwa huyu kuachana hamna vita
@hildaeliapenda3938
@hildaeliapenda3938 2 года назад
Watoto wawili mrudie mkeo hakuna lisiloweza kurekebishwa miaka 9 mmeishi dah mkataeni shetani salini saana wekeni mambo Sawa Mungu ashindwi na kitu kikubwa kumtanguliza Kwa kila jbo
@MsAggie5
@MsAggie5 Год назад
Kweli warudiane! Imekaa hawaku achana Kwa ugomvi, shetani mbaya huyu!
@efraimrichard6440
@efraimrichard6440 2 года назад
Sema jamaa kawa boss bwana saivi
@trio9911
@trio9911 2 года назад
Mwamba mzungu sana huyu 😂
@MsAggie5
@MsAggie5 Год назад
Mno! Nimempenda bure! Huyu ni Mbongo kweli au ....
@abubakarymsuluzya2195
@abubakarymsuluzya2195 2 года назад
Safi mkuu
@ambrosiamlinga8402
@ambrosiamlinga8402 2 года назад
Unasema uhusiano wako ni mzuri na huyo X wako na upo single? Ngoja upate girlfriend utaona atakavyo badilika
@mariamgaya2
@mariamgaya2 2 года назад
Nice
@sheryphamwenevalley6124
@sheryphamwenevalley6124 2 года назад
ongea kiswahili bwana ,unazingua
@Cyper255
@Cyper255 2 года назад
Sheta akiamua kupasha kiporo hakuna upinzani
@ahz6907
@ahz6907 2 года назад
hilo mbona lipo wazi si kashasema ni washikaji.
@Summerbtz
@Summerbtz 2 года назад
Shetta safi sana
@azzizazizion5056
@azzizazizion5056 2 года назад
mm kuna dem niliachna nae kama leo kesho namkuta na panga mlangon kwangu 😄😄
@MsAggie5
@MsAggie5 Год назад
😂 pole sana 🤗
@mmn7480
@mmn7480 2 года назад
Shetta ana akili
@sarahgaula2220
@sarahgaula2220 2 года назад
Malaki 2:16 NEN “Ninachukia kuachana,” asema BWANA, Mungu wa Israeli, “pia nachukia mtu anayejivika jeuri kama vazi,” asema BWANA Mwenye Nguvu Zote. Kwa hiyo jihadharini wenyewe katika roho zenu, wala msije mkavunja uaminifu. NEN: Neno: Bibilia Takatifu 2014
@davusdedithlweyendela9575
@davusdedithlweyendela9575 2 года назад
p
@rithanaftal8616
@rithanaftal8616 6 месяцев назад
Yani ndo najua leo 31/12/2023 kuwa sheta aliachana na mkewe
@bintyy_sultan3569
@bintyy_sultan3569 6 месяцев назад
Natamani interview iendeleeeeeeeeeeeee
@mozamagaya8618
@mozamagaya8618 6 месяцев назад
Ongera kaka
@bellahappy2119
@bellahappy2119 2 года назад
Mrudie mke wako una watoto wazuri sana
@jojigeorige1056
@jojigeorige1056 2 года назад
@21yrs bado kabisa Shetta alikua hajala ujana, ukizingatia ni msanii na by then alikuja kua maarufu hasa zile tracks kama Shikolobo etc ni wazi alikutana na ngozi nyingi sana waluwalu halaf ni pisi kali mzee damu inachemka pesa ipo, jogoo kick moja tu kavimba kama chuma, weeh sio rahisi kuvuka kituo aisee. Umri ule wa 20-35yrs ni vigumu mno kijana kujifanya una drive mwendokasi express we vituo unauza tu! Hapo kudumu ndoa ni ama mwanamke akuvumilie sana, au nae asilipize kisasi. Vinginevyo sio rahisi ukizingatia mazingira ya kisanii anayoishi Shetta. Nyie Mungu anasisitiza Upendo. Upendo kati ya mwanamke na mwanaume ambao sio ndugu asilimia kubwa hufikia kwenye kuoana na kuishi pamoja, kadhalika upendo huo ndipo Mungu alipoweka amri zake na nyingi huvunjwa na binadamu kwa kua shetani nae achezi mbali kushawishi. Atakuingia kichwani na kukwambia hii ni pisi kali, piga kama vipi, iba pesa ukaspend nayo, ua ie toa mimba maana ishanasa etc . Kifupi ujana maji ya motoo
@Fx_expertmoneymaker001
@Fx_expertmoneymaker001 2 года назад
@@jojigeorige1056 inawezekana ndio sabab waliachana. Nae sasa kashaanza kuchoka hyo lyfstyle ndo anamkumbuka mama watt wake.
@abusalman5139
@abusalman5139 2 года назад
Huyu bwege kweli... Mwanaume unazungumza na mkeo kuhusu mabwana zake? Hovyo sana.
@jescajulius8023
@jescajulius8023 2 года назад
Kwan kuna shida gan c wameachana
@mumukinga8327
@mumukinga8327 Год назад
hovyo mwenyew
@estellemwai5402
@estellemwai5402 2 года назад
🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪❤️❤️❤️❤️❤️
@herryignasy8711
@herryignasy8711 2 года назад
Profeda jay amekaa muda gan
@beatricejoseph3537
@beatricejoseph3537 2 года назад
Ulioa mdog sana lakin umekoamaa akili mapema hongera sana
@melensianakemanzi8325
@melensianakemanzi8325 2 года назад
Asije akadanganyika kuoa Tena na kuanza kuzaa atakiona Cha moto
@kingsanya6860
@kingsanya6860 Год назад
jaman kiswahili kitume sana
@TheSalma1999
@TheSalma1999 2 года назад
Mungu akusaidie ikiwezekana msameheane mrudiane Maisha ni yale yale mama k au Kaka shetta ebu jaribuni ku angalia kama mrudiane tena if it’s possible please
@melensianakemanzi8325
@melensianakemanzi8325 2 года назад
Mimi naomba mwangalie kusameheana Ili watoto wawe na utulivu na akili ya kulelewa na baba na mama inapendeza zaidi
@rhodafredy2251
@rhodafredy2251 2 года назад
Shetq ni mwanaume wa kuigwa wallah sijapata kuona
@ngutuismail6945
@ngutuismail6945 2 года назад
Sheta ulifanya kama mimi nilichofanya ukiachana na mkeo na mna watoto ni bora baba ukaondoka wewe ukawaachia nyumba ukiendelea kutoa support kuliko kumfukuza mwanamke
@jasmineshechambo3401
@jasmineshechambo3401 2 года назад
🙏
@elinamilyatuu7337
@elinamilyatuu7337 6 месяцев назад
Vp kama mama ndio chengachenga?yani yy ndio kaharibu unamfanyaje?😂
@IBENGM
@IBENGM 6 месяцев назад
Hilo ni jambo la busara sema hapo inategemea na mmeachana kwasababu zipi na mwanamke ni mtu wa aina gani!
@liannsambu7264
@liannsambu7264 6 месяцев назад
Ndugu zangu kama ni jambo liliwatenganisha , kaeni TU MUONGEE maana MUNGU HAFURAHII na EX ni EX TU labda kama mnapendana ndani Kwa ndani
@winnieamanya1550
@winnieamanya1550 2 года назад
Kizungu ilikuja na meli 🤣🤣 Tz "", We do co-parenting...
@unclepwechnov1381
@unclepwechnov1381 2 года назад
He is still learning, practicing is the only way. Waliojifunza ukubwani wanapambana na challenges nyingi lakini mdogomdogo tu aendelee kukaza.
@liviaG87
@liviaG87 2 года назад
What is wrong with that statement?? Acha ushamba. Hata waitaliano, wajerumani, wafaransa wana kiingereza kibovu vilevile
@King_Of_Everything
@King_Of_Everything 2 года назад
🇹🇿🇹🇿🇹🇿✌✌
@mussajabiry3891
@mussajabiry3891 2 года назад
Mm ndonapend mfumo uo WA maisha cy mmetengan mnakua madui
@kibongephotographer9224
@kibongephotographer9224 2 года назад
Kwahiyo wote mna dimpoz anhaaa
@AminaIhera-cg2xr
@AminaIhera-cg2xr 10 месяцев назад
yani huyu nibaba hongera
@aisharamadhani1948
@aisharamadhani1948 2 года назад
Asa kingereza cha nini nakwazikaga mimi ,,, duhhh
@aminakipande5645
@aminakipande5645 2 года назад
🤣🤣🤣
@ashurahatibu5069
@ashurahatibu5069 2 года назад
Jamani nipeni tu huyo shetta
@ahz6907
@ahz6907 2 года назад
usiamini kila uonacho kwenye social media.huyo ni msanii hawezi kuongea vibaya.
@ashurahatibu5069
@ashurahatibu5069 2 года назад
@@ahz6907 nimecheka kifala love jast joke
@lucynelsonmungure1719
@lucynelsonmungure1719 2 года назад
Uzungu mwingi
@michaelsamson9663
@michaelsamson9663 2 года назад
Ni Jambo zuli kuacha nyumba na kuondoka
@godsson5954
@godsson5954 2 года назад
Shetta ajarib kutafuta hela yeye kama yeye kiume tuone na sio kupewa pewa kwa bahati hyku anajitamba kuwa maisha mazur ni yake hahahhha ww know this dude anawwza hata sema sns ni ya kwake😀
@veronicasteven1731
@veronicasteven1731 2 года назад
Ukioa lazima abadilike tu
@mwajumaabeidy8137
@mwajumaabeidy8137 2 года назад
Swadakta
@khalossalim3723
@khalossalim3723 2 года назад
Dunia ingekua na wanaume kama shetta ingekua raha sana
@chuchudorice8531
@chuchudorice8531 2 года назад
Wabongo hamjui kizungu si mkubali tu 🤔🤔🤔🤔🤔
@magzakky2781
@magzakky2781 2 года назад
😂😂😂😂ma ribs tuwaombee watajua with tym
@fridasky1019
@fridasky1019 2 года назад
Kwani kuna alité zaliwa Nacho?
@victorsanga2229
@victorsanga2229 2 года назад
Miaka 21-30 umeoa na kuacha?
@michaelthobias9967
@michaelthobias9967 Год назад
Inspection Haroon yupo kwenye ndoa miaka 23 hivyo sio msanii wa kwanza kukaa muda mrefu
@jacksonwilson5772
@jacksonwilson5772 2 года назад
Harmonize Jana alijaza??????
@safariadrien5348
@safariadrien5348 2 года назад
Kumbe show ilikua jana😂
@saidimkome3818
@saidimkome3818 2 года назад
Sasa shetta na mr bluu asemaje Kama wewe umekaa kwenye ndoa miaka Tisa😁😁😁
@MrNdanguza
@MrNdanguza 2 года назад
Ndoa za bongo kuachana sana juu ya kupenda ngono wanaume wengi tunapenda kucheat na kuvuruga ndoa ,ni bora kukaa mbila ndoa kuliko kupoteza mdaa kwa ndoa
@nurdinchilambo1486
@nurdinchilambo1486 2 года назад
sio bongo tu ila fatilia vzur had ulaya hao wazungu unao ona labda wana maana hua wanaachana sana
@simonmwandu2214
@simonmwandu2214 2 года назад
@@nurdinchilambo1486 wanachana san lakini siyo kwa kusalitiana eti akatiwe au akatie nje ya ndo wanachan kwa mfumo jike kwa sabb Europe mwanamke ndiyo mwenye sauti ndan ya nyumba
@jumamohamed7720
@jumamohamed7720 2 года назад
Pete lake ilo 😳😳
@spreadlove5300
@spreadlove5300 2 года назад
Bora hata wewe kuliko wale watoa povu na lawama kibao
@nasibugunda7927
@nasibugunda7927 2 года назад
Mmh watarudiana tu hawa
@sleimbh
@sleimbh 2 года назад
Kiswahili kinatosha bwana shetta!
@petermachoka2977
@petermachoka2977 2 года назад
Nenda shule bwana. Go to school
@obrigadoofficial1506
@obrigadoofficial1506 2 года назад
👏👏 Hekima ya bongo flavor Kutoka kwa Shetta kuachana sio vita.ru-vid.com/video/%D0%B2%D0%B8%D0%B4%D0%B5%D0%BE-m3AN6xvTgEA.html
@maryamtanzania9743
@maryamtanzania9743 Год назад
Yeye ndo alimchoka ndo mana
@solvia4306
@solvia4306 2 года назад
Kwani watu kama sheta wako wapi na mimi nikaokote😄
@ahz6907
@ahz6907 2 года назад
nipo hapa
@solvia4306
@solvia4306 2 года назад
@@ahz6907 😄😄😄
@solvia4306
@solvia4306 2 года назад
Wapi huko sasa nije kuokota
@ahz6907
@ahz6907 2 года назад
Dar
@solvia4306
@solvia4306 2 года назад
@@ahz6907 wee na mm niko dar afu sijui wanakopatikana,ebu toa location
@user-jw9dq3qt3d
@user-jw9dq3qt3d 7 месяцев назад
Akili nying uyu jamaa
@rithanaftal8616
@rithanaftal8616 6 месяцев назад
Yan ndo najua leo kama waliachana
@sarahtaste2876
@sarahtaste2876 Год назад
Tuacheni bhna hawa wanapasha viporo 😂😂😂hivi mnajua kuachana nyie au Mnasema tu
@swaumamiriy2234
@swaumamiriy2234 Год назад
Hahaha wanatania hawa
@francismwacha253
@francismwacha253 2 года назад
Da! Aisee ni ngumu kumeza.. kuachana kwa amani sawa ila mawasiliano close kama hayo cwez aisee..
@unclepwechnov1381
@unclepwechnov1381 2 года назад
Ni rahisi sana ukikubali matokeo kiroho safi, ila wanawake ndiyo huwa inakuwa ngumu kwao mpaka labda akipata baharia mwingine.
@stn4873
@stn4873 2 года назад
@@unclepwechnov1381 sure
@ivodaman6236
@ivodaman6236 6 месяцев назад
km tunaoana ili tuje kuachana ni bora kuzaa nao tu na kulea watt
@rashidahmed8071
@rashidahmed8071 2 года назад
Mademu wanatamaa
@JacksonThobias-wc6ml
@JacksonThobias-wc6ml 6 месяцев назад
Kitu kizito umepigwa
@safariadrien5348
@safariadrien5348 2 года назад
Kizungu cha nini baba 😅😅
@aminakipande5645
@aminakipande5645 2 года назад
Sijui anajikuta naniii mdomo koma mimi naona aongee tu kiswahiliii🤣🤣🤣🤣
@daughters1226
@daughters1226 2 года назад
Siwez kuacha kuwahudumia wanangu eti kisa nimeachana na mama yao ila siwez kumuhudumia mama yao bora nichinjwe f**c nilipe Kodi yake ,,nilipe Fees za wanangu,,kula yake na tuligawana sawa kila tulicho chuma pamoja kama yeye n homeless aniachie wanangu
@Fx_expertmoneymaker001
@Fx_expertmoneymaker001 2 года назад
Anamtunza kwasabab bado hajaolewa, pia kulinda saikolojia ya watoto. Akiolewa bas atachukua watot wake na kumuachia maisha yake mazima. Maneno ni sumu, hzo chuki ndizo hupandikiza ubaya kwenye akil za watoto mpaka wanakuwa wakubwa wanakua wanaishi kimatabaka na wazaz. Unashangaa mzaz flan anapendelewa na mtoto kumbe mtt alikuwa na mentality mbov kuhusu mzaz mwngne tangu utoto
@MsAggie5
@MsAggie5 Год назад
Hiyo roho ya kimaskini! Hiyo nyumba anaishi x wake au na watoto? Chakula anakula kiasi gani hadi umapowalisha watoto ushindwe kumlisha na mama Yao? Futa hayo mawazo kichwani mwako sio afya.
@jacqueli18
@jacqueli18 6 месяцев назад
Umaskini ndo tatizo
@japhettobisha5481
@japhettobisha5481 2 года назад
wewe jishaue tu lkn ukweli ni kuwa bado unampenda,sasa jifanye mzungu lkn cku ukisikia anafunga ndoa ndio hakuna rangi utaacha kuona
@registrationphone3593
@registrationphone3593 2 года назад
Ndo hapo n km km bado washkaji nn imeshindikana kuendelea kua pamoja...maana ndoa yenye urafik ndo nzr na hudumu zaid
@sashahauke2032
@sashahauke2032 2 года назад
Hivi jamani naomba niulize huyu ndo yule anaejiita shetani?
@aminakipande5645
@aminakipande5645 2 года назад
🤣🤣🤣🤣ndiooo siku hiz mpk kinge anaongeaaaa🙄😂😂😂😂
@sashahauke2032
@sashahauke2032 2 года назад
@@aminakipande5645 😭😭😭haya bwana
@jescajohn6619
@jescajohn6619 2 года назад
Zero
@levinamaico7064
@levinamaico7064 2 года назад
Kwakwel kama wanaume wote wangekuwa kama sheta 900 ingependeza sana😂😂😂
@iranangole7007
@iranangole7007 2 года назад
Mama Kaila Malaya Dereva wa Kaila Alikuwa anakula mzigo
@victaboy7273
@victaboy7273 Год назад
Unamjua sana?
@victaboy7273
@victaboy7273 Год назад
Mbona kiherehere
@frankmlinda1181
@frankmlinda1181 6 месяцев назад
Ukizubaa nawew anakukula mzigo.
@jchriss4269
@jchriss4269 2 года назад
Bunduki ya hewa inayotengenezwa mbeya Tz na kijana mdogo tazama hii ru-vid.com/video/%D0%B2%D0%B8%D0%B4%D0%B5%D0%BE-Lg84vXtWlWI.html
@japhettobisha5481
@japhettobisha5481 2 года назад
wewe jishaue tu lkn ukweli ni kuwa bado unampenda,sasa jifanye mzungu lkn cku ukisikia anafunga ndoa ndio hakuna rangi utaacha kuona
@hakimalia2275
@hakimalia2275 2 года назад
Kwaiyo sheta una miaka30😂
@paulokasera3470
@paulokasera3470 2 года назад
Possibly...Sheta kamaliza Shule ya Msingi Boman pale ilala 2004...Kamaliza Form IV benjamin Mkapa 2008....Kama alimaliza Mdogo sana form IV anaweza akawa alikuwa na miaka 16 na Kama alimaliza Mkubwa sana alikuwa na Miaka 18....Pigia Mahesabu kuanzia hapo na kuendelea.....So it is possible akawa ana hiyo Miaka
Далее