Тёмный

SHIILOLE ATUMIA MIL.90 KUIRUDISHA SHISHI FOOD DAR, KUMBE MUME WAKE ALISUSA! 

Bongo5
Подписаться 1,2 млн
Просмотров 34 тыс.
50% 1

Развлечения

Опубликовано:

 

26 окт 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 59   
@joviangeofrey6918
@joviangeofrey6918 Год назад
Hongera sana. Wanawake wengi jifunze Kwa dada shishi. Vipesa kidogo tu vinawatia kibri mnadharau waume zenu na kuvunja ndoa zenu. Kumbe mnaweza kuitumia hao wanaume kufanya mambo makubwa Zaid. Kusapotiana kunawezekana Kwa njia au namma mbalimbali siyo ela tu
@mgosimkome9242
@mgosimkome9242 Год назад
Akipata mzee akampa kisimu tu cha Iphone anakudharau na kukuona huna maana na kukuambia kama vipi tuachane angalia wanawake wanaopambana wamiliki pesa sio unafanya mapenzi ili upate kupiga mizinga wanaume kusumbua tu muda wote nitumie hela nitumie hela huo ni uvivu wa kufanya kazi ila wanawake wale wanaopambana kuwa na vyao sio vya kuomba omba
@joviangeofrey6918
@joviangeofrey6918 Год назад
@@mgosimkome9242 ushamba na umasikini wa fikra huo
@hildafrisch9370
@hildafrisch9370 Год назад
Hongera sana Shilole kwa kupambana. Mungu akusaidie kukupa maisha marefu. Amen.
@aziza9093
@aziza9093 10 месяцев назад
Mashaallah Allah wabaraki kaziya mikonayako
@azzamahamdu7039
@azzamahamdu7039 Год назад
Mungu awazidishie kheri ktk ndoa yenu na upambanaji wenu wa kutafuta pesa shishitipwatipwa 🥰🥰🥰🥰💟👌
@jamilaathumani5481
@jamilaathumani5481 Год назад
Hongera shishi na ROMI ,,unanikumbusha mbali Sana,namimi ninaye mtu ambaye tunapambana pamoja Yani safi kumpata mwanaume wa ivyo hongereni Sana Mr &Mrs romi
@abubakarsaid3860
@abubakarsaid3860 Год назад
dah.rom anazidi kukauka tu inaonekana anapitia mateso sana .inaonekana katengwa na ndugu zake
@annasolomon9855
@annasolomon9855 Год назад
@@abubakarsaid3860 mmh waja mnamaneno .. Sasa Romi lini alishakuwaga mnene.. huyu Toka namjua ndio muda ule wanatambulishana na shishi alikuwa hivihvi.. na hata kipindi kile alikuwa amekauka zaidi.. nafuu ya Sasa acha umbea ..
@kabwelasutiviraka4765
@kabwelasutiviraka4765 Год назад
Wewe ni Ndio wewe ulikuwa unalia lia kwamba umeachana na mtu wako au 😂😂
@tawsi-yc3nk
@tawsi-yc3nk Год назад
Hongera sana dada shish pia mungu awape maelewano mazuri kwenye maisha yenu ❤
@bahatijuma5736
@bahatijuma5736 Год назад
Dada shishi ww ni mwanamke wa nguvu hongera ni mfano wa kuigwa mungu akutangulie🙏🙏🙏🙏🙏
@ashuramhandoashuramhando6798
Mume Bora sana Shishi mshike vizuri hana makuu ❤️🔥🙏🙏
@annaikoti-mr7sb
@annaikoti-mr7sb Год назад
Duuh hongera sana shishi. Nakupenda sana mdogo wangu mpambanaji .
@madamehatibu9324
@madamehatibu9324 Год назад
Romi na Shishi🤗🤗🤗🤗🤗🤗 Shishi umepata Mwanaume ambaye atakua kicheko chako siku zote mstaarabu na mwenye hekima lakini anayekupa kipaumbele Kama mkewe rizki Ni mlango hufunguka kwa yeyote awe mume au mke Ila Siri ya kufanikiwa Ni kujaliana kupendana kuheshimiana na kupeana muda wa kila mmoja kufanya kazi kwa mustakabal wa familia
@athumanmarekano2454
@athumanmarekano2454 Год назад
Hongera sana mpiga picha usiejulikana sasa rommy vipi hujui matumizi yaliyofanyika ktk mgahawa wenu jiangalie dogo utasifia mpaka basi maana huna kitu eti mtoto wa kiume anasusa
@bahatisunga1642
@bahatisunga1642 Год назад
Hongera sana Shilole
@faudhiasalum7279
@faudhiasalum7279 Год назад
Mume wake mpole sana
@angelsylvester4795
@angelsylvester4795 Год назад
Shishi wewe ni mwanamke wa nguvu sana jamani mola akupe kheri zaidi na maisha marefu nakupenda sana
@veronicawilsonmbwambo1054
@veronicawilsonmbwambo1054 Год назад
Hongera San mwanamke wa nguvu
@innocentoisso6869
@innocentoisso6869 Год назад
Kazi nzuri lakini hizo rangi ulizochanganya hapo juu kuna wapuuzi wanazitumia Kama nembo yao
@foodbasiccourt2028
@foodbasiccourt2028 Год назад
Mmeshaanza hizo rangi sio za lgbtq sio kabisa lazima zitimie zote ndio iwe nembo nembo huwa haitakiwi imiss rangi
@stevegastondoctorhuuniukwe7986
@@foodbasiccourt2028 zitimie mala ngapi? Mnaacha kupambana na dalili mnashabikia Tu Uchoko!! Rangi ziko wazi hizo.
@kabwelasutiviraka4765
@kabwelasutiviraka4765 Год назад
Acha kuwa na mawazo mgando Inaonekana unapeo mdogo sana yaani ndio kitu ulichooona
@kabwelasutiviraka4765
@kabwelasutiviraka4765 Год назад
@@stevegastondoctorhuuniukwe7986 rangi ni rangi tu acha kuwa na mawazo finyu comment vitu vya maana
@foodbasiccourt2028
@foodbasiccourt2028 Год назад
@@stevegastondoctorhuuniukwe7986 unaonekana wewe ndio mwenyekiti wa mashoga puuu aibu kwanini umeruhusu mwanaume mwenzio akuinamishe? Maana umelegea hadi umechanganya rangi hizo sio rang za mashoga kama wewe.tatizo akili yako inawaza kufilwa hata nikikuelekeza rangi zenyewe huwezi amini kwani akili imeshapumbazwa
@wilbatnyato4679
@wilbatnyato4679 Год назад
Mtu anaekukimbia wakati wa matatizo hlf anakuja kurudi kwny raha inabidi kufikiri mara mbilimbilu
@auntymaria7003
@auntymaria7003 Год назад
Mashallah
@tarsilabayyo-qt2xu
@tarsilabayyo-qt2xu Год назад
Naomba namba ya shishi me na shda na kazi waitres cashier naweza
@ShadidashafyTv
@ShadidashafyTv 7 месяцев назад
Kazi usiombe mtandaoni mpenz nenda ofisini onana nae
@edinachami4318
@edinachami4318 Год назад
Shishi food karibu Arusha uwekeze
@chifuthedoni8889
@chifuthedoni8889 Год назад
Watu wa dar nyie! Mko waongo sana! Kwanza shilole hata hajawahi kushika 50 milion cash! Hio 90 kaitoa wapi? Mbona mnamwonea? Au ye ndo kawadanganya?
@ShadidashafyTv
@ShadidashafyTv 7 месяцев назад
Acha wivu😂
@ombenmichael3473
@ombenmichael3473 Год назад
Hongera shishi food
@irenegeorge3501
@irenegeorge3501 Год назад
Shishi🔥🔥🔥🔥
@AbdillahSOthman
@AbdillahSOthman Год назад
Izo rangi mchanganyiko zina ashiria kitu gani?
@husseinshabani9522
@husseinshabani9522 Год назад
Tupe jibu Wewe...Maana Unaonekana kama Una Iman na Mungu...
@amanimusa5744
@amanimusa5744 Год назад
Hapo weende mahakamani wakaandikishiane hata baadae kusije ndugu wakatifuana. Bora wakaandike zangu asilimia ngapi zame ngapi.
@isaachakim31
@isaachakim31 Год назад
Ongera
@elimidakashumba2422
@elimidakashumba2422 Год назад
Hongera
@neemajames2073
@neemajames2073 Год назад
Yani eti mwanaume unasema sio mm niliefanya kwahiyo ww unalelewa ??
@husseinshabani9522
@husseinshabani9522 Год назад
Ulitaka Adanganye....Amesema kipato chake na mkewe mkewe Kamzidi....shida iko Wapi...kwamba yeye Afanyi kazi...!!!Acha Ushamba Mke na Mume kushilikiana kwa kila jambo ni Muhimu sana kwa Maisha Yenu.
@kennethbenjamin275
@kennethbenjamin275 Год назад
Rangi hizooo
@faidhamyovela179
@faidhamyovela179 Год назад
Hel imeend nying umetoa sh ngapii 🙄🙄🙄🙄🙄🙄 viwanaume vingine
@RommyCareMovies
@RommyCareMovies Год назад
Wewe ndio shishi?
@zawadichalale4047
@zawadichalale4047 Год назад
Milioni 90 yaani nimemalizia nyumba Yangu juu kabisaaaa! Nyumba Yangu ni gorofa naishi chini juu bado m90 namalizia juu na huo ndio ukweli wasanii wa kibongo bwana kwa kuongeza sufuri hawajambo
@highthemetv7857
@highthemetv7857 Год назад
Hujaulizwa acha kiherehere
@abdibilali4186
@abdibilali4186 Год назад
Ghorofa yako inakuingizia bei gani
@zawadichalale4047
@zawadichalale4047 Год назад
@@abdibilali4186 nikimaliza napangisha M kwa mwezi na sijajengea pesa zaidi ya hizo zinazotamkwaga na wasanii upo baba!
@zawadichalale4047
@zawadichalale4047 Год назад
@@highthemetv7857 kiherehere! Nyie ndio wale waongeza masifuri anyway huo uwongouwongo kuna siku utawaumbua kwa mfanyabiashara hiyo hela mpaka ije ikulipe sio leo
@Boaz22
@Boaz22 Год назад
Mnaweka mbao, mnapaka rangi,mnasema million 80 kwenda 90 😅😅😂😂😂, nyie, hivi mnajua wasanii wana fake life sana??😂😂😂
@stanslauschatata3483
@stanslauschatata3483 Год назад
Jaribu kuheshimu hustle za wenzio! We umefanya kipi cha maana ukiacha hiyo tekno ulioazima kucomment usenge
@khadjamhozya
@khadjamhozya Год назад
Ndomana hakajaweka picha iritukaone nahisi ni kamaraya kachafu kanakojiuza kwa500 tu
@khadjamhozya
@khadjamhozya Год назад
Kanapinga biashara ya mwanamuke shujaaako kamalaya kachafu
@agnesspetro6695
@agnesspetro6695 Год назад
Nilijengaga Banda la kuku tu kabanda, kwakutumia mbao ohoooo subutu, mbao sio masihara wewe
@hashymharun9337
@hashymharun9337 Год назад
Milioni 90 ya makaratasi🚮
@joycekaguo8476
@joycekaguo8476 Год назад
We uon
Далее
skibidi toilet 77 (part 4)
05:20
Просмотров 11 млн
Salama Na Baba Levo Ep 26 | ALL IN ALL Part 1
41:27
Просмотров 477 тыс.
Кто взял шашку?
0:35
Просмотров 1,6 млн
Кто взял шашку?
0:35
Просмотров 1,6 млн
Brother..😂💀#trollface #prank #funny #memes
0:17