Hongera sana. Wanawake wengi jifunze Kwa dada shishi. Vipesa kidogo tu vinawatia kibri mnadharau waume zenu na kuvunja ndoa zenu. Kumbe mnaweza kuitumia hao wanaume kufanya mambo makubwa Zaid. Kusapotiana kunawezekana Kwa njia au namma mbalimbali siyo ela tu
Akipata mzee akampa kisimu tu cha Iphone anakudharau na kukuona huna maana na kukuambia kama vipi tuachane angalia wanawake wanaopambana wamiliki pesa sio unafanya mapenzi ili upate kupiga mizinga wanaume kusumbua tu muda wote nitumie hela nitumie hela huo ni uvivu wa kufanya kazi ila wanawake wale wanaopambana kuwa na vyao sio vya kuomba omba
Hongera shishi na ROMI ,,unanikumbusha mbali Sana,namimi ninaye mtu ambaye tunapambana pamoja Yani safi kumpata mwanaume wa ivyo hongereni Sana Mr &Mrs romi
@@abubakarsaid3860 mmh waja mnamaneno .. Sasa Romi lini alishakuwaga mnene.. huyu Toka namjua ndio muda ule wanatambulishana na shishi alikuwa hivihvi.. na hata kipindi kile alikuwa amekauka zaidi.. nafuu ya Sasa acha umbea ..
Romi na Shishi🤗🤗🤗🤗🤗🤗 Shishi umepata Mwanaume ambaye atakua kicheko chako siku zote mstaarabu na mwenye hekima lakini anayekupa kipaumbele Kama mkewe rizki Ni mlango hufunguka kwa yeyote awe mume au mke Ila Siri ya kufanikiwa Ni kujaliana kupendana kuheshimiana na kupeana muda wa kila mmoja kufanya kazi kwa mustakabal wa familia
Hongera sana mpiga picha usiejulikana sasa rommy vipi hujui matumizi yaliyofanyika ktk mgahawa wenu jiangalie dogo utasifia mpaka basi maana huna kitu eti mtoto wa kiume anasusa
@@stevegastondoctorhuuniukwe7986 unaonekana wewe ndio mwenyekiti wa mashoga puuu aibu kwanini umeruhusu mwanaume mwenzio akuinamishe? Maana umelegea hadi umechanganya rangi hizo sio rang za mashoga kama wewe.tatizo akili yako inawaza kufilwa hata nikikuelekeza rangi zenyewe huwezi amini kwani akili imeshapumbazwa
Ulitaka Adanganye....Amesema kipato chake na mkewe mkewe Kamzidi....shida iko Wapi...kwamba yeye Afanyi kazi...!!!Acha Ushamba Mke na Mume kushilikiana kwa kila jambo ni Muhimu sana kwa Maisha Yenu.
Milioni 90 yaani nimemalizia nyumba Yangu juu kabisaaaa! Nyumba Yangu ni gorofa naishi chini juu bado m90 namalizia juu na huo ndio ukweli wasanii wa kibongo bwana kwa kuongeza sufuri hawajambo
@@highthemetv7857 kiherehere! Nyie ndio wale waongeza masifuri anyway huo uwongouwongo kuna siku utawaumbua kwa mfanyabiashara hiyo hela mpaka ije ikulipe sio leo