Тёмный

SHILOLE AWASHIWA MOTO NA DK SURE, KWANINI UNAWACHEZEA WANAUME 

Mbengo Tv
Подписаться 1,4 млн
Просмотров 15 тыс.
50% 1

Опубликовано:

 

30 май 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 65   
@shersaid7988
@shersaid7988 Месяц назад
Sheikh Sule ana elimu na anajiamini,hodari wa kujieleza huchoki kumsikiliza na unajifunza mengi.
@user-qx9nv8jo6p
@user-qx9nv8jo6p 29 дней назад
Dr. Sure maneno yako sahihi Mungu akujalie uwe mwema na muadilifu
@user-uf4xy4ms2m
@user-uf4xy4ms2m 26 дней назад
Swadaqta doctor Sule.mashaallah Allah akuzidishie akili.
@MartinaMsimbe-qk8ug
@MartinaMsimbe-qk8ug Месяц назад
Nimependa somo❤❤❤
@elizabethmukeba2528
@elizabethmukeba2528 Месяц назад
Shilole we ni mwanamke mwenye muzuri sana tena mpambanaji lakini pesa yako sio fimbo ya kuwachapa wanaume
@maxmiletz4563
@maxmiletz4563 Месяц назад
Asante dokta nimejifunza kitu
@user-pu6pr5jt4n
@user-pu6pr5jt4n Месяц назад
Shekhe smart sana❤❤❤
@ShukurMkan
@ShukurMkan Месяц назад
Upo sawa sana shekhe
@user-ne5cg4vv1h
@user-ne5cg4vv1h Месяц назад
Dr .nimekuelesa sana
@jacklinelyimo7407
@jacklinelyimo7407 Месяц назад
Asante imenisaidia sikujua mambo mengi nimemjua sasa
@MuharamiNgasinda
@MuharamiNgasinda Месяц назад
Dr of drs
@raimajimoto1122
@raimajimoto1122 Месяц назад
Nimekuelewa sana mwamba
@jamilamasoud8544
@jamilamasoud8544 Месяц назад
Jifundishe kutuma handkerchief sheikh, kimawaidha uko sawa.
@CatySungula
@CatySungula Месяц назад
Hongera Sana shehe. Umesema kweli tupu, uko vzr Sana. Yani hapo pa wanaume ndo penyewe, hata mm naliaga na hapo pa elimu ya ndoa kwa wanaume pamesahaulika Sana.
@sudamohamed1439
@sudamohamed1439 Месяц назад
Subhana Allah dunia imekwisha ajiitangaza ataka mume . Waschana Mbona hatuna Haya . Aibuuuuu
@scholarmawala1403
@scholarmawala1403 Месяц назад
Dr eeeh,Hachezei wanaume,anachezea wavulana😂😂😂😂😂
@florakimaro-vw7qj
@florakimaro-vw7qj 27 дней назад
😂😂😂😂😂umenifanya nicheke jamani mwanamke anaweza kuongeza vitu juu ya kitu unaweka kucha juu yakucha nywele juu ya nywele jamani nimecheka
@user-hs1qg2nv4j
@user-hs1qg2nv4j Месяц назад
shilole upo sahii san
@user-lu5vg9kc7y
@user-lu5vg9kc7y Месяц назад
ALLah mtukufu akupe mwesho mwema shehk wetu uko vizurr 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤،،🌹🌹🌹💞💞💞💞💕💕💕💕🍀🍀🍀🍀🌱🌱🌱🌱🌷🌷🌷🌷☘️☘️☘️☘️🌷💓💓💓💓💖💖💖💖🇹🇿
@D1andonlysally
@D1andonlysally Месяц назад
Leo dk kakerwa na mmoja wa wake zake😂😂
@afianzele7571
@afianzele7571 Месяц назад
nkadhani nimeona peke yangu😅
@sallysafisanakijanakazibut1688
@sallysafisanakijanakazibut1688 Месяц назад
Mengine umesema sahihi km kuwa na hasira sana unapokuwa kwenye siku. Ila hili la kutosheka wanaume pia hawatoshiki haswa kwa kutaka wanawake hamtoshi na hicho kitu hata mkiowa wanee bado mnataka zaidi
@sallysafisanakijanakazibut1688
@sallysafisanakijanakazibut1688 Месяц назад
Yaqni hilo la mwanaume kujitetea akiwa na kosa nakupa 100 kwa 100.
@Onlyforfun1992tube
@Onlyforfun1992tube Месяц назад
Shekh toa namba kuna mtu nimtengeneze 😂😂😂😂
@Annalisejg2ur
@Annalisejg2ur Месяц назад
😂😂😂😂😂😂😂
@user-mi7cd8ch1b
@user-mi7cd8ch1b Месяц назад
Tz ndoa nyingi watu hawana herimu na ndoa sasaiv watu wameona mtandaoni ndio makama Yao
@Onlyforfun1992tube
@Onlyforfun1992tube Месяц назад
😂😂😂😂 janja janja dah hatari
@user-po5hd9xi9x
@user-po5hd9xi9x Месяц назад
Roho inakuuma umekosewa eti unaenda kupika na kupakua kwa wakwe😂😂😂😂nijikute
@farhannahkulishwaburekunam5360
@farhannahkulishwaburekunam5360 Месяц назад
Kwani kuachika kwa shilole ni ajabu au kwa vile ni star hamna kitu cha kuzungumzi ktk news
@user-qg3kf1ue7z
@user-qg3kf1ue7z Месяц назад
Mie ni Mkristo.... Ila Huyu MR DR Sheikh SURE ni brilliant sana....Awesome....AMESOMA.....BIG UP SIR...
@tonnyojambo1731
@tonnyojambo1731 Месяц назад
Sasa ukristo hapo unakujaje?
@Brunn-mh2bq
@Brunn-mh2bq Месяц назад
​@@tonnyojambo1731Sasa wewe wataka jibu la aina gani? Kasema yeye ni mkristo lakini maelezo ya huyu sheikh yamemwingia. Ubishi tu wa kipuuzi hauna maana. Huyu ni mkristo anayeweza kuingia uislamu.
@sharifahabsi5004
@sharifahabsi5004 Месяц назад
Haswaaa🎉😂😂😂😂
@mwanaikaomar8628
@mwanaikaomar8628 Месяц назад
Kiukweli ata na mimi nampenda huyu dada.sana
@salisali3738
@salisali3738 Месяц назад
Sawa lini niende kuchumbia😂😂😂
@faridseilan4400
@faridseilan4400 Месяц назад
Assalamu alekum naomba Dr.Sule ani fasirie hii Ayaa wayata3allamunna ma yadhuruhum wala yanfa3ahum surrat Bagara Ayaa 101 to 102
@user-ur8cq1ye3b
@user-ur8cq1ye3b Месяц назад
Nawewe kunamaajabu gan usiposikiliza apa Kwan umeitwa au umekewa bando namtu usikilize
@khadjamhozya
@khadjamhozya Месяц назад
Umbea tu
@zayanazayana5518
@zayanazayana5518 Месяц назад
Vipi sheikh anakunywa maji bila Bismilah wala Alhamdulillah
@jamilakhamisshaaban4752
@jamilakhamisshaaban4752 Месяц назад
Bismillah kasema moyoni
@user-ur8cq1ye3b
@user-ur8cq1ye3b Месяц назад
Sio lazima aseme adi wewe usikie
@ashaabdalla924
@ashaabdalla924 Месяц назад
Hio kila mtu anaisahau hata weye hupigi unaisahau
@user-gi1vf3gh1e
@user-gi1vf3gh1e Месяц назад
😂😂😂
@khadijaa815
@khadijaa815 Месяц назад
Aaa sh na wanaume pia wapo wanauliza masuali ya kijinga hayo unoyasema na wanaume wanayo pia wengine
@maryammdoe5801
@maryammdoe5801 Месяц назад
Saa mbona sidiria yangu iko wapi, 😂😂
@mataypanga5262
@mataypanga5262 Месяц назад
Hakuna uhusiano Kati ya dini na ndoa kwa sababu ndoa ipo daima na ni ni lazima.Dini ni hadithi nyingine
@hemedramadhani7946
@hemedramadhani7946 Месяц назад
upo uhusiano wa ndoa na dini kaka.
@mataypanga5262
@mataypanga5262 Месяц назад
Upo uhusiano?. Kivipi​@@hemedramadhani7946
@annasolomon9855
@annasolomon9855 Месяц назад
Kikristo imeandikwa ndoa ni mojawapo ya maisha matakatifu, ikaandikwa Mungu anachukia kuachana 😢
@farhannahkulishwaburekunam5360
@farhannahkulishwaburekunam5360 Месяц назад
Sheghe sio wanawake wa siku hizi si kama wapenda kujaliwa no hawana habari wanapenda pesa tu hata asipokuona
@abdulazizimashaka3275
@abdulazizimashaka3275 Месяц назад
Huyu shekh nae anapenda umaarufu jmn
@Brunotarimo10
@Brunotarimo10 Месяц назад
Shekh yupo visuri . Anaelimisha jamii👏
@Brunotarimo10
@Brunotarimo10 Месяц назад
Shekh yupo visuri . Anaelimisha jamii👏
@nakundwamkubwe7823
@nakundwamkubwe7823 Месяц назад
@abdulazizimashaka3275 Dr Sulle ni maarufu kabla mimba yako haijatungwa. Sulle hana shida ya umaarufu labda wewe umemjua jana.
@hajiramadhanihaji355
@hajiramadhanihaji355 Месяц назад
Dr sule Ni sheikh maarufu tangu zamani . Anaelimisha jamii vizuri . Jamii inahitaji watu Kama hawa.
@salisali3738
@salisali3738 Месяц назад
Sana
@user-hi8le2vb7z
@user-hi8le2vb7z Месяц назад
uyo sule hafai ata kwa chumvi...aachwe kama alivyo...na usipomuelewa hakuna kitu utaelewa mpaka kifo chako
@AbdulkareemNyongoro
@AbdulkareemNyongoro Месяц назад
Kumbe sule hata qur' an hajui kusoma
Далее
HAKUNA NDOA
11:49
Просмотров 219 тыс.
Shilole alivyokuwa Muhudumu wa Hoteli na kumtongoza Ray
19:43
If You Like My Outfit Then You Are Subscribed 👀
00:12
DK SURE AMGEUKIA DIAMOND, AWASHA MOTO KUZAA BILA NDOA
16:42
BIG BOSS | full movie |  { season 1 }
2:20:24
Просмотров 2,7 млн