Huu wimbo umefanyiwa covers na wasanii wengine hata wasanii wa kubwa lakini hakuna aliyewahi kuitendea haki kama Zuhura alivyoitendea haki.this will remain to be the best of the best
Naupenda sana wimbo huu ukiimba mwili wangu wanisisimka,kweli wastara hasumbuki nazidi kupata neema nimesafi roho yangu hta mkinichukia hupakata yaso yangu na kashfa kunikalia
siadhiriki enyi walimwenguuuu.... enyi walimwengu yangu yaniendeaaaa.... na ishi kwa nguvu za mungu kumbe nguvu za mungu na zimudu shida zangu rizik najipatia.... nashangaaa enyi walimwengu ya shari mwanitafutia.... mola atanistiri madhira hayanifiki.... kaniangazia nuru gizani hamniwekiiii....
Mlitaka niazirike sijui yameanzaje binaadam mumezoa khasama, riziki mafungu saba langu, hamtoliziba binadamu, hawana wema wala shukrani heko mama mtanzania usemayo ni ukweli but never mind dunia ni round , mpanda ngazi huchuka mama
Alisema kama miaka ya nyuma waliweza kupiga muziki wa kiasili wa taarab na kuongeza madoido kidogo, haoni kwa nini wasiendelee kufanya hivyo kwa sasa ili wasipoteze asili ya taarab. "Siku hizi waimbaji wa taarab hawaimbi, wanapiga kelele,"alisema. Kwa mujibu wa Zuhura, wapo waimbaji wengi wazuri hivi sasa kuliko hata enzi zao, lakini wanakosa miongozo mizuri ya kuimba nyimbo za muziki huo kwa namna ya kuvutia. Ameutaja wimbo ambao anaamini aliutendea haki katika kuuimba na hadi leo bado unamvutia kuwa ni 'Siadhiriki', aliourekodi wakati akiwa katika kikundi cha East African Melody
brings back de memories so long time i say remind me tukiwa maskani kila saa ya saa kumi kahawa uchungu uji wa ngano vishete na viazi bajia shantini so far wallai i don't think wy dis time will rewind a gain i say