Pole dada tunajua akina mama hawapikiki chungu kimoja haswa mkubwa akihisi threat kutoka kwa mdogo. I can feel uchungu ila hayo ndiyo maisha songa mbele na chuchumia yajayo ukijaribu kusahau yaliyopita; God is always in control and he sees the end from the beginning.
Among the women in leadership I admire deeply down my heart. And you showed it between the presidents. Keep GOING my dada......so many goods to come. 💪🤲
Ulikuwa vizuri sana wakati wa anko Magu (Mwenyezi Mungu amrehem) ulipiga kazi ipasavyo, ulijua thamani ya Watanzania ulijitoa muhanga kweli kweli kipindi kigumu cha korona ulikuwa mbele sana mpaka mataifa ya mbali na karib yetu yalikubali utendaji wako BUT kwa wakati huu cjui umeingiwa na nn dada yangu.... Umi mwalimu huyu cyo yule wa enzi ya anko Magu.... Pumzika mama umechoka sasa
Mwenyezi Mungu hamrehemu mtu ambaye hakumuabudu, kama vile una mume wako huduma za matunzo upate kwa mume wa jirani. Ndio ilivyo huko siku ikifika, kama mungu wako ni n'gombe wewe ni baniani, ama mungu wako zumaridi au Yesu, usitaraji Rehema toka kwa Mungu Mwenyezi.
Nakupenda sana waziri bidii, uwezo ni mfano mzuri, pia kauli isiyo na unafiki, hongera yako, lakini naamini kazi ni kupeana vijiti wala hakuna haja ya kuwa na hofu ni mambo ya kawaida kwenye kazi ya aina yeyote, siku nyingine utapewa tena majukumu mengine kama hayo.
Mh samia huyu Dada mpe wizara nyingine bado ana pumzi ya kutosha .Nimuungwana watanzania bado tunamhitaji kwenye hili baraza.ukimpa wizara huyu dada umetufuta machozi watanzania
Mwache apumzike kwani hakuna watu wengine wanaweza kuwa mawaziri??? Kila siku hao HAO tuuuu aaaash wapo watu wengine waziri Tu. Mwache afanye mambo mengine
Dada yangu kamwe usivunjwe moyo na maneno ya wasio kutakia kheri ogopa sana kupendwa na watu wote bila kuwepo wanao kuchukia,hata mitume wa Mungu walitukanwa na kuchukiwa,mema yako kwao atakulipa aliye kuumba wala si mwanadamu. na hataTanga yetu umeifanyia mema hasa pale Bombo na kwenye michezo tupo tunao fahamu, Ubarikiwe sana Dada yangu.
Shida ni 1 wanasema tuiombee nnchi nnchiyetu tanzania iposalama. Tuseme tuu tuwaombee viongozi waliemo ndani yainchi. Wanachuana sana kama simba nayanga sijui hawajaapishwa kipindi chakuchaguliwa. Wanawekeana sana hila mbaya kitakqchofata nivita yauchumi waokwawao. Tuwaombeesana sisi laiya watanzania.
Haya ni mambo ya KAWAIDA ya kuachiana NYADHIFA kazi amefanya kama ni kutetereka (BIMA YA AFYA) basi ni sehemu ya yeye na wengine kujua na kuepuka mahali pa KUTELEZA .Heshima aliyoitumia kumshukuru RAIS nimeipenda haionyeshi KINYONGO , hivi mtu akichomwa na mwiba huanza kupuliza KIDONDA alichokipata au huanza kupuliza MWIBA uliomchoma ?
Najiuliza tuu kwa kipindi chote ulichokuwa waziri hivi hapakuwa na watu wanaostaafu ili zipatikane nafasi za ajira kwa vijana? Vijana wamesoma insurance and risk management hapo ifm na IAA arusha sahiv wapo mitaani mwaa wa kumi sasa wameamua kuchukua boda na kuendesha. Maarifa yao yamepotea fedha za ada zimepotea mikopo mliyowap wasome marejesho yamepotea. Ni tatizo kwa kweli. Ajira za kiwaki na kichomekana hazina afya kwa Taifa.
Umi nakukubali sana toka mtihani ule wa covd ulichapa kazi natumai mama akifanya masmuz analo kusudio njema .natumai kwa uchapakazi wako mama anajuwa pakukuweka najua iponafasi Allah amekuandalia na mama atapewa muongozo na Allah wapi nafasi gani tena yenye heshma kubwa Allah akubark insha Allah
Umevuruga sana mifumo ya utoaji huduma za NIHF wapo walioathirika kutokana na misimamo yako na unapaswa kumrudia Mungu wako kwa hili kwani uongozi ni dhamana na dhamina hiyo uliitumia vibaya na ndiyo maana yamekutokea, "yaliyo tokea"
Anasema tuu. Lakini ukimtizama. Vzr haongei tokamoyoni . Sifa zote anzotoa kwa Rais . Nikuomba huruma tuu na sikingine. Na ninge kuea mm mama. Ningempa wizara ya ulinz na Jeshi la kujenga taifa