Тёмный

MAKONDA AFISA AFYA FISADI WEWE BALAA || UNAKULA HELA ZA VIFAA NA DAWA TIBA || ANAUWA WAGONJWA TIMUA. 

RAI TV
Подписаться 96 тыс.
Просмотров 248 тыс.
50% 1

Опубликовано:

 

3 окт 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 371   
@reenyaysher7639
@reenyaysher7639 7 месяцев назад
Baba katika jina la Yesu namfunika Paul Makonda kwa damu ya Yesu,imeandikwa ufunuo 12:11 tumemshinda Shetani kwa damu ya mwanakondoo Kwa damu ya ushindi Jehova namfunika mtu uyu ikawe ulinzi kwake..Ameni🙏
@DanielTumaini
@DanielTumaini 7 месяцев назад
Je kama na yeye katoa hiyo damu ya wanakondoo?
@Shalom2018
@Shalom2018 7 месяцев назад
Amina
@KhadijaKhatibu-nh4dl
@KhadijaKhatibu-nh4dl 7 месяцев назад
Makonda mungu akutie nguvu kiongozi wetu ila nakuomba baba ebu chungulia Kyle kwenye mfuko wa TASAFU WATU WANA ZULUMIWA BABA 🙏🙏🙏
@richardodoyo7558
@richardodoyo7558 7 месяцев назад
Samia ukisitafu mwachie makonda inchi anaweza ❤
@dalianakerefu490
@dalianakerefu490 7 месяцев назад
Magu konda💪💪piga kazi baba mungu akulinde tunakupenda saana kaka
@lerakalaita6909
@lerakalaita6909 7 месяцев назад
NAMUONA PAULO MAKONDA IKULU THE PRESIDENT OF THE UNITED REPUBLIC OF TANZANIA 🇹🇿 ♥️ wanaoniunga mkono gonga like 👍
@SalumuAlly-d9q
@SalumuAlly-d9q 2 месяца назад
Kamwe hatoweza kuenda ikulu huyo mbwa koko izo sifa anazozitafuta hazina mpango wowote babu acha ushamba hawezi pewa ikulu huyo mbwa koko acha kujidanganya wasukuma wapenda sifa siku zote hawafiki mbali 😂😂😂😂
@khaliphaabubakar9466
@khaliphaabubakar9466 2 месяца назад
@@SalumuAlly-d9q”mbwa koko” anawapiga spana wavivu,warasimu na watu kama wewe
@estherkibajiro3480
@estherkibajiro3480 2 месяца назад
​@@SalumuAlly-d9qChuki ni chukie lakini moyo wake muachie,,,,weweeeeeeee humpendi lakini tizama wimbi la wananchi watanzania wenye kujitambua wanavomfuata😅kati yako wewe na yeye nani mbwa koko??? 😅😅ilooooooo😅😅😅😮😮😮
@Joyce-m5y
@Joyce-m5y Месяц назад
Mungu akiamua makonda kwenda hikulu ataenda tuu Matusi sio hishu swala ni hoja wewe unaye mtukana makonda mungu adhiakiwi apandocho mtu atavuna. Mama yetu samia mungu Alimtumia amchague makonda wacha makonda atambe Damu ya Yesu inamtuza
@Joyce-m5y
@Joyce-m5y Месяц назад
Tutumie mitandao vizhri. Serikali inamkono mrefu kama huna Cha kuongea ni Bora tukaye kimya ndugu zangu wtz Angalia nyuma yko unawatu wanngapi wanakutegemea ? Tukumbuke laini zetu tumesaji na vitambulisho gani Tuache matumizj mabaya ya simj .Mungu atusaidie
@maswamills3161
@maswamills3161 7 месяцев назад
Asante baba MAKONDA,shikilia sawasawa mbele kitaeleweka tu !!.❤ HAPA KAZI TU 👏👏👏👏👏💯
@rose44ngotee33
@rose44ngotee33 Месяц назад
Mungu akutunze Dady..heshima imepatikana Arusha
@paulmagese7900
@paulmagese7900 7 месяцев назад
Mungu akuzidishie maisha marefu Paul makonda
@husseinbakary1969
@husseinbakary1969 7 месяцев назад
Asanteee ma samia kwa kutuletea huyu mtu kura yangu moja kwa moja kwako mama yangu
@mohamedwwnurumasagcom8171
@mohamedwwnurumasagcom8171 7 месяцев назад
Nampongeza paul makonda kwa hii kazi ya kufumua majipu yaliyojificha, makonda atumbui ila yeye anafumua ili mama atumbue safi sana mwenezi wetu
@msolekaonlinemedia
@msolekaonlinemedia 7 месяцев назад
Makonda anafanya kazi inayowashinda wateule wa Mama Kizimkazi Mungu akuweke sana Papa Paul
@abdulkarimfarah2336
@abdulkarimfarah2336 7 месяцев назад
Makonda Saidia samia kumaliza ufisadi tanzania na mafissdi warudishe pesa na kufungwa
@SharoComedy-vt5nf
@SharoComedy-vt5nf 7 месяцев назад
🎉daaaa kaka Makonda Mungu akupe maisha malefu mkowa wa tanga uta enda lini mnazi runguza kivingo kuna changamoto kubwa sana Mungu akutye nguvu 😊
@johnmtumishi8554
@johnmtumishi8554 7 месяцев назад
11:23 hongera mweshimiwa makonda una akili sana Mungu akulinde akutunze katika Jina la Yesu Kristo Bwana amina
@aminaomary5567
@aminaomary5567 7 месяцев назад
Yaan Rais watu wako wanamadudu ni hatari na ndio maana Majaliwa uwa anaondokanao. Makonda ❤❤❤❤,Samia ❤❤❤🙏🙏
@TomicSichalwe
@TomicSichalwe 7 месяцев назад
😅😅😅😅😅😅😅😅😅 0:24 0:24 0:25 😅 0:25
@EmilianKomba-sb4kn
@EmilianKomba-sb4kn 7 месяцев назад
Makonda kwenyeee uraisiiiiiiii Moja kwa kwa mojaaaaaasaaaaaa akuna upinzaniii
@angelatarimo1969
@angelatarimo1969 7 месяцев назад
😮
@joycemfuru4752
@joycemfuru4752 7 месяцев назад
jidanganye
@jamesjahasa3348
@jamesjahasa3348 7 месяцев назад
MUNGU ahsante kwa roho ya magufuri tunaanza kuona inafanya kazi ingawa magufuri amepumzishwa wapatie ulinzi Hawa tunaona matumaini mapya
@geraldmakalala6091
@geraldmakalala6091 7 месяцев назад
Safi sana
@njuka3515
@njuka3515 7 месяцев назад
For Makonda i will vote
@GraceKimenanga
@GraceKimenanga 7 месяцев назад
Mwenyenzi mungu akutunze muheshimiwa naona kabisa magufuli baba yetu katokea tena
@hamishatibu699
@hamishatibu699 7 месяцев назад
Uyu Jamaa wakiwa Rais kuna Watu atamkimbia Nchi na wengine watakufa kwa BP hawa ndio viongozi ninao wataka .
@hamzafishten9560
@hamzafishten9560 7 месяцев назад
Hawa ndio viongozi tunataka africa kabisa
@sheckycobb5240
@sheckycobb5240 7 месяцев назад
Roho ya Magufulu inaishi,Asante Mungu kwa kutufariji
@estherkibajiro3480
@estherkibajiro3480 2 месяца назад
Kabisa Magufuli anaishi ❤
@marymessay2768
@marymessay2768 7 месяцев назад
Ameeen Mungu wa mbinguni akulinde tunakufunika kwa damu ya Yesu
@nazarenajoseph2695
@nazarenajoseph2695 7 месяцев назад
Hongera makonda wetu Damu ya yesu ikufunike.
@mungholomakalanga8958
@mungholomakalanga8958 7 месяцев назад
Amina
@fbr5113
@fbr5113 7 месяцев назад
AMINA, MUNGU ASIMCHUKIE MAKONDA ADUMU MIAKA 800
@nassorkhamis6233
@nassorkhamis6233 7 месяцев назад
Unapo sema ivi unamanisha nini ndugu naomba elimu juu ya hii kauli yako mm ni muislam naomba kujifunza kupitia hii kauli yako
@MagutaMabawa-hz7if
@MagutaMabawa-hz7if 7 месяцев назад
Kujifunza ni kwamba Damu ya Yesu inalinda pia inaponya ​@@nassorkhamis6233
@josephmussa0625
@josephmussa0625 7 месяцев назад
​@@nassorkhamis6233amini unachoamini mzee
@MajidKarama-f7c
@MajidKarama-f7c 7 месяцев назад
Ndugu Makonda Leo nakuona uko na raha sana MashaAllah
@suleimankigada2106
@suleimankigada2106 7 месяцев назад
Mh hongela sana kazi nzuri unayoifanya usishie huko mikoani use na hapa dar ufukue minimum ya umeme na maji inatutesa saaaaanaaaa.....
@jameskenzedex
@jameskenzedex 7 месяцев назад
Magufuli amefufuka Tanzania back to real life God bless you
@SalumuAlly-d9q
@SalumuAlly-d9q 2 месяца назад
Eti magufuli kafufuka wakiristo bwana akili zao kama nguruwe vile
@aidakamonga5278
@aidakamonga5278 2 месяца назад
Real he is back, nikimuona MAKONDA machozi yananitoka wallah
@estherkibajiro3480
@estherkibajiro3480 2 месяца назад
Magufuli kafufuka
@estherkibajiro3480
@estherkibajiro3480 2 месяца назад
​@user-xd2tg8eq1h Hahaha inaonyesha wewe ni adui wa makonda 😅lakin sisi tunampenda
@PillaAgrniwe
@PillaAgrniwe 7 месяцев назад
Iv kwann huyu mwamba asiwe rais Ila Nora abaki asije tuacha mapema huyu no mwamba wasukuma huwa watu wanyoofu sana ❤❤❤❤❤❤❤❤❤
@philemoncharles5065
@philemoncharles5065 7 месяцев назад
mama samia raisi wetu hongera sana sana kwa kuchagua kaka yetu makonda kwa stahili hii tuna amani sana sana mungu awalinde nina furaha sana sanaaaa ccm oyeeeeeeeeeee
@KulwaMpuya-ph9ib
@KulwaMpuya-ph9ib 7 месяцев назад
Sant kaka mungu akulinde toka afariki mzee jonh sijawai fatilia mambo ya kisiasa lakini ujio wako nimeanza kukufatilia ziara zako zote
@odelalameck
@odelalameck 7 месяцев назад
Makonda nimekupenda kwa namna ulivojitoa kusikiliza kero za wananchi Mungu aendelee kukutunza
@fatemafatema4780
@fatemafatema4780 3 месяца назад
Mashallah kweli mungu kamleta mjasiri.mwenye moyo kama marehemu magufuli.makonda oyeee mimi nipo kufatilia program zako nazipenda sana na watu wengi sana wanapenda sana program zako sababu unatetea haki za wananchi haki za wanyonge makonda oyeee mama samia oyeeee😂😂😂❤
@RamadhanMwinyimku-dw4od
@RamadhanMwinyimku-dw4od 7 месяцев назад
Asante mungu kutuletea mgufuri2
@hidayaswai3119
@hidayaswai3119 7 месяцев назад
Makonda Raisi wetu baada ya mama mkiti. Nakuombea kaka,kwa haya utalipwa na aliye juu. Tunakupenda na kukuombea
@tatukaratatatukarata753
@tatukaratatatukarata753 7 месяцев назад
Mama Samia hyo ndio kiongoz Bora c sio bora viongoz ❤ mauwa apewe 🙏
@kilogreekachananawatuwasio4054
@kilogreekachananawatuwasio4054 7 месяцев назад
YOUNG MAKUFULI KINUKE MKOANI❤❤😂😂
@saratimoth4734
@saratimoth4734 7 месяцев назад
Makonda Yesu baba akuinue akubariki akukumbuke sanasana
@laurentraphael5470
@laurentraphael5470 7 месяцев назад
Nchi hii Ina viongozi mizigo wengi sana wanakula mishahara ya bure kuwatumikia wananchi hakuna . Mhe. Makonda, Mungu akubariki sana.
@JophasJohn-oh8zu
@JophasJohn-oh8zu 7 месяцев назад
Eee Mungu ulio juu mbinguni nakuomba baba kwa unyenyekevu ukamulinde Makonda na familia yake yaani huyu ni ndugu yake na Magufuli
@shaamemchauru1365
@shaamemchauru1365 7 месяцев назад
UMEONA EEEEEEEEEEH DAAAAH ANANIFURAHISHA SAAANA MWAMBA 😅😅😅😅😅
@edrisalusonge4141
@edrisalusonge4141 7 месяцев назад
Aibu sana yani tunajivuta jasho na tishu angali safar ni ndefu na jua kali zaidi
@GraceKimenanga
@GraceKimenanga 7 месяцев назад
Nimekuelewa sana mheshimiwa makonda hata mimi nina kero kubwa sana naamini namimi utanitetea nipewe haki yangu.kwa uwezo wa mungu.naishi arusha
@gadielmungure9711
@gadielmungure9711 7 месяцев назад
Hayo mahojiano kama mh unajua sababu za huo uhamisho haipo sababu ya kumhoji afisa utumishi tena. Waziri wa afya na waziri wa utumishi na waziri wa tamisemi wanafanya nini! Hao ndio wazembe hawafuatilii manunuzi ya fedha walizoomba kuidhinishiwa na bunge. Wadogo hao watatoleaje taarifa kwenye mikutano ya hadhara?
@euniestherwilliam1513
@euniestherwilliam1513 7 месяцев назад
KWELI KABISA. WATUMISHI WA AFYA WAPO CHINI YA WIZARA YA AFYA. KATIBU MKUU AJIBU HAYO MASWALI
@BeullahBujah-lk3sx
@BeullahBujah-lk3sx 7 месяцев назад
Waooo!! CCM ya Makonda Mungu ailinde
@NikolausLucas
@NikolausLucas 7 месяцев назад
Aisee makonda naikubali Sana kazi ya mkono yako mkuu
@tabithaeppyness3867
@tabithaeppyness3867 7 месяцев назад
Kazi unayofanya kuwafuta machozi wanaolia wanyonge hakika Mungu anafurahia sana atakulinda nabaya lolote kwa jina la yesu Amen
@danifani7899
@danifani7899 7 месяцев назад
Watching live from Jordan good work mtumishi makonde
@neemamwaikenja
@neemamwaikenja 7 месяцев назад
Huyu baba huyu mungu amsaidie sana ampe uhai mlefu tyu
@AminaBayo-l5x
@AminaBayo-l5x 7 месяцев назад
Asante kazana tunakutakia kila la heri ziara ina manufaa makubwa sana
@PeterBureta
@PeterBureta 7 месяцев назад
Haya unayoyahoji viongozi wenzio wa Ccm.Walikuwa wapi hayo mahajiano ni kuonesha udhaifu wa serikali dhidi ya utendaji wake wa mazoea.Yanasikitisha sana!!
@idyjumanne9796
@idyjumanne9796 7 месяцев назад
Tulia ww makonda Afanye kz
@DanielTumaini
@DanielTumaini 7 месяцев назад
Hahahahaha Nape alisema kipindi kile ccm litashinda hata kwa goli la mkono sawa likashinda kweli kilichomkuta enzi za mwenda zake Tuliona hadharani kwa huyuuuu Leo yupo makukwani Leo,labda amekuja Tena kupaka damu mikono ya mama Samia isiyotaka damu
@KhadijaKhatibu-nh4dl
@KhadijaKhatibu-nh4dl 7 месяцев назад
Kuna wajanja wanakuja hizo Hela 😭😭😭baba chondechomde na walengwa wanapewa kiduchu au hawapati kabisa nakuomba lifanyike u chunguzi wa kina kiongozi wetu🙏🙏
@AbdulmalikFedrick-ct7nb
@AbdulmalikFedrick-ct7nb 7 месяцев назад
Mueshimiwa Raisi Samia suluu Alha akufanyie wepesi inshallah kwenye uongozi wako Kwakumchagua mueshimiwa makonda
@simonlulenga7062
@simonlulenga7062 7 месяцев назад
Makonda ni mtu wa hovyohovyo tu; lakini kusema ukweli nchi hii inahitaji mtu kama huyu Ili mambo yaende sawa. Viongozi wastaarabu kwa kweli wanadanganywa na wanaonewa sana.
@sheckycobb5240
@sheckycobb5240 7 месяцев назад
Kwajyo Makonda sio wa hovyo hovyo kivile sema ndivyo ilivyo
@EzekieliKatigizu
@EzekieliKatigizu 7 месяцев назад
Nyanoko bhebhe
@saimongilala8938
@saimongilala8938 7 месяцев назад
Mimi nimependa sana ccm ya makonda
@geraldmakalala6091
@geraldmakalala6091 7 месяцев назад
CCM ya Makonda ndiyo ile CCM ya Magufuli.
@ssekabiradauda7127
@ssekabiradauda7127 7 месяцев назад
Let him be careful because more enemies are being created as it was on magufuli, he should improve his personal security like not eating any how, you fight thieves, they fight you back in secrecy.
@OmaryJumaa-v6z
@OmaryJumaa-v6z 7 месяцев назад
mr makond piga kazi my brother
@oswaldtemba2770
@oswaldtemba2770 7 месяцев назад
Viva Makonda
@sadikishishira8130
@sadikishishira8130 7 месяцев назад
Makonda hongera sana
@OmariAmad
@OmariAmad 7 месяцев назад
Piga kazi makonda mungu yupo pamoja na wewe kwa kutetea watanzania kuna baadhi ya wizara ata bajeti za mapato na matumizi azijulikani ndani ya taifa letu.
@EdwardLushona
@EdwardLushona 7 месяцев назад
Kabla kumpongeza makonda mpongeze mama aliyemteua
@sheckycobb5240
@sheckycobb5240 7 месяцев назад
Safiiiiiii nilisema mama Samia alikua hili jembe litamfanyia kazi
@CharlesTarimo-db6li
@CharlesTarimo-db6li 7 месяцев назад
Wasukumwe ndani kaka mchwa wanatusumbua sana hao. Wezi wa mali za umma mtanyooka
@joeldaniel3348
@joeldaniel3348 7 месяцев назад
Naimani uko aliko lala kipenz chetu magufuri anachekelea kwa majembe aliyo yaacha huko 2030 rais wa Tanzania paul makonda isipo kuwa ivo nipigwe mawe nife
@habibasungur9375
@habibasungur9375 7 месяцев назад
Watanzania woote ambao walimpenda magu nahuyu lazima watampenda kwa hio tuunfane kwa pa1 kumuombea huyu kaka vinginevyo mmh
@shaamemchauru1365
@shaamemchauru1365 7 месяцев назад
KWELI KABISA 😅😅😅😅
@UKWELI-TV
@UKWELI-TV 7 месяцев назад
kinacho mzuia makonda katika nafasi yake nikutumbua tu baadh ya watumishi wa serekali, ila Mungu atamuinua awe na cheo zaid ya alichonacho. ila kufa ni faradhi hakuna atakaebaki, hakuna mkamilifu, ila unaupiga mwingi makonda
@meshack3266
@meshack3266 7 месяцев назад
Icho ndo kinachoniuma mm yani angekua na mamlaka ayo mbona panenoga
@geraldmakalala6091
@geraldmakalala6091 7 месяцев назад
Huyu anatakiwa awe waziri mkuu
@idyjumanne9796
@idyjumanne9796 7 месяцев назад
Naomba makonda Apewe uraisi hata mwakni Anajiamini sana na ninamkubali
@castmasawe3275
@castmasawe3275 7 месяцев назад
Mtu yeyote akifanya Jambo ama Kazi bila ya kuwepo mwajibishaji Ile Kazi itakua chini ya kiwango tarajiwa...nimeipenda hii ya makonda na ninatamani mikoa yote pawepo na viongozi nje ya serikali kufuatilia watendaji wa serikali.nchi itanyooka..ikiwezekana wapewe hata wapinzani potelea mbali ...tuwekane Sawa.
@migombaelinest3500
@migombaelinest3500 7 месяцев назад
Mm naamini kila kiongozi angesimama kwenye nafasi yake kama kaka etu Makonda anavyopambana taifa letu linsingekua na shida yoyote.
@JenithaMligo-kc5uj
@JenithaMligo-kc5uj Месяц назад
Mwanangu makonda nimeumia sana walifo sema unaumwa Sasa ujiangalie mwanangu tumbo la uzazi linauma
@rajabumalupu4184
@rajabumalupu4184 7 месяцев назад
Mkuu mm niko namibia nakupata hewan kupitia tv zetu za online ila 2025 nakuja kupiga kura ya ccm japo nilikuwa nimeishakata tamaa
@nasrahassan7346
@nasrahassan7346 7 месяцев назад
Mh Makonda muulize pole pole afisa wetu jamani mengine siri
@KhalfanShaban-x4x
@KhalfanShaban-x4x 7 месяцев назад
Hizo sir asilimia kubwa ndio ufisad wenyewe
@chefmikeyfrancisco6735
@chefmikeyfrancisco6735 7 месяцев назад
Thubutu siri ukoo kwenu,.
@geraldmakalala6091
@geraldmakalala6091 7 месяцев назад
Makonda anafaa kuwa waziri Mkuu ,Mungu ikimpendeza Mama samia umchague Makonda kuwa waziri Mkuu, Ili awanyoshe vizuri
@josephrubanda282
@josephrubanda282 7 месяцев назад
Makonda yesu akusimamie
@PeterBureta
@PeterBureta 7 месяцев назад
Nasikitika sana utawala wa ccm ndio wenye haya anayoyaeleza huyu sielewi.Wawatoe wote basi waajiri wengine!Inatuumiza sana.
@daudimwita-bk6mg
@daudimwita-bk6mg 7 месяцев назад
Jaman watanzania kuwen macho sasa kama utendaji wa viongozi wa serikali ndo huu, this is exactly systemic failure. John pombe alisimamia maadili ya watumishi ila kwa sasa eee...
@DanielTumaini
@DanielTumaini 7 месяцев назад
The time will tell ngoma ikivuma Sana lazima ipasuke
@saratimoth4734
@saratimoth4734 7 месяцев назад
Amen Amen Amen Amen kaka makonda
@habibasungur9375
@habibasungur9375 7 месяцев назад
Masikini makondaaaa namuonea huruma jamani mmh mungu amlinde la sivyo mmh haya tuone
@JophasJohn-oh8zu
@JophasJohn-oh8zu 7 месяцев назад
Huyu tumuombee Mungu aisee wasije wakamumaliza maana duu hii nchi haitaki watu wa kusema ukweli yaani Mungu amulinde huyu mwamba 🙏🙏🙏
@SylasJacobo
@SylasJacobo 7 месяцев назад
Wezi hao wanamishara bado wanaiba pesa za umma fyeka hao waje walime waone kama nivyepesi nasisi tunalima ile hali tunasifa kama wao
@AminaNgadu
@AminaNgadu 7 месяцев назад
Honger kak makonda
@husseinmaula4965
@husseinmaula4965 7 месяцев назад
Ukimtoa mungu mitume yake baba na mama pamoja na raisi samia mtu muhimu tuliebakia nae ni mheshimiwa Paul makonda ndio mtetezi wa wanyonge kwa sasa.
@samueljeremiah2671
@samueljeremiah2671 15 дней назад
We need leadership like this
@StevenLyimo-u4y
@StevenLyimo-u4y 7 месяцев назад
Mimi makonda nina barua yangu ya kurejeshwa kazini nateseka Sana naomba unipe njia gani suala langu ulipate vyema
@sheckycobb5240
@sheckycobb5240 7 месяцев назад
We mtafute kny mizunguko huko km wenzako wanamfukuzia kila anapokwenda
@ROZITHOMAS-y4q
@ROZITHOMAS-y4q 7 месяцев назад
Hakuna cha umri. Hao ni waajiriwa na wameajiriwa na serikali ya chamade cha mapinduzi. Boss kaja anataka majibu wananchi wanafanyiwa nini? Wewe jibu maswali mama
@FrankMalila-v3e
@FrankMalila-v3e 2 месяца назад
Makonda endelea kutetea wanyonge nasi tunakuombea amina
@MohamedMrija
@MohamedMrija 2 месяца назад
Hongera sana makonda chapa kazi
@furahakefa4806
@furahakefa4806 7 месяцев назад
Wa Mara Tanzania naomba namba za mh makonda
@PillaAgrniwe
@PillaAgrniwe 7 месяцев назад
Ah makonda mwamba kweli kweli😂❤
@vumilialeonardi109
@vumilialeonardi109 Месяц назад
Tusaidie Mh, pauro Makonda jamani watanzania
@khadijathani9064
@khadijathani9064 7 месяцев назад
Tena awa wezi sana kama pale general hospitali uozo upo watu wanateseka sana
@samwelyalamayaningaisungui4936
@samwelyalamayaningaisungui4936 Месяц назад
Msh utakakuja kuwa rais 🇹🇿🇹🇿
@liannsambu7264
@liannsambu7264 7 месяцев назад
Hon. Makonda je si sawa kuleta wakoloni watutawale tu , maana kama ndo madudu ya watendakazi wa serikali yenu hii na wanalipwa kodi za wananchi si aibu hii jamani ??? Mbona kuna watu nje huko wanatafuta ajira hawapewei wanapewa watu wa hovyo hivi kweli , hakika hii ni aibu na laana
@husseinmaula4965
@husseinmaula4965 7 месяцев назад
Ukimtoa mungu mitume yake baba na mama pamoja na raisi samia mtu muhimu tuliebakia nae ni mheshimiwa Paul makonda ndio mtetezi wa wanyonge kwa sasa.
@erickmsigala138
@erickmsigala138 7 месяцев назад
Nchi hii inawajinga wengi sana ni vigumu sana kujikwamua
@SaadiyaMohammad-og5bg
@SaadiyaMohammad-og5bg 3 месяца назад
Hakee makonda astahelia kuwa rais mungu tu afanye miujiza mm from kenya bro unaweza nakupongiza bro
@HappyNdelwa-ut1cp
@HappyNdelwa-ut1cp 7 месяцев назад
Hongera baba mungu akubariki
@Kiggy22
@Kiggy22 7 месяцев назад
Makonda Oyeeee
@joycemnanka3985
@joycemnanka3985 7 месяцев назад
Magu amerudi kivingine asante mungu
@HajjiHajji-k7t
@HajjiHajji-k7t 7 месяцев назад
kweli kabsa
@obednyagani506
@obednyagani506 7 месяцев назад
Natabiri kuwa atakuwa makamo wa rais mwakani
@bennychawala2776
@bennychawala2776 7 месяцев назад
Mmmh huyu tuwe makini mbona anamasihara sana,duuh anakauli za ajabu sana
@dionisiajohn519
@dionisiajohn519 7 месяцев назад
Makonda safi sana, safisha mchwa hao.
@LinahSumaye
@LinahSumaye 7 месяцев назад
Ubarikiwe
@azizamvungi1871
@azizamvungi1871 7 месяцев назад
Mungu akulinde mdogo wangu
@calvinrichard4591
@calvinrichard4591 7 месяцев назад
Next president after mama Suluhu
@MenruphKahimba
@MenruphKahimba 7 месяцев назад
Makonda usiiache kwenda morogolo mang'ula wakazi wa mang'ula wamenyang'anywa mashamba yao na kugawana baazi ya viongozi na kusababisha wananchi wakichukie chama cha ccm na kuhamia upinzani lakini ukweli nikwamba ccm mang'ula inawapiga kura wengi sana makonda nenda mang'ula
@nassirsbahock6710
@nassirsbahock6710 7 месяцев назад
Kwetu hatuna uongozi tunapowaangalia uongozi unaofanyika tanzania huwa tunatamani na kenya tupate uongozi kama huu
@saimongilala8938
@saimongilala8938 7 месяцев назад
Yesu mlinde mama yetu Samia pamoja na makonda
@miltonjohn9779
@miltonjohn9779 7 месяцев назад
Mungu mbariki, umlaani Samia na mzoga group
Далее
🦊🔥
00:16
Просмотров 584 тыс.
У КОТЕНКА ПРОБЛЕМА?#cat
00:18
Просмотров 633 тыс.
小路飞嫁祸姐姐搞破坏 #路飞#海贼王
00:45
Israel Mbonyi - Nitaamini
12:58
Просмотров 28 млн
🦊🔥
00:16
Просмотров 584 тыс.