@@adammwakalonge3573haswa hakijui maana ebu tafakari pia ww huone mavazi yenyewe kikahaba kabisa hawajui wanataka nn na ndio wamesoto hata hela hawana 😂😂😂😂😂alafu wanaringa bure kabisa
ni kweli mr right ninkipindo amvacho kinatia fursa kwa wadada na wakaka ,,,lakini kwenye mavazi mnawavisha uchi sana ukivaaa kiheshima mbona mnaonekana embu zingatie hilo waaandaaji,,,,,,km maigizo za bongo movies zaman walikuwa wakivaaa uchi sana lkn sasa hivi ni kiheshima na movie zinapendwa vile vile tuzingatie mavazi kwa hawa mabinti
Ilahiyo Ilishajionesha Sana Kuwa Hafai Hapo Hopa Hapo Juuu Alitosha... Namshakuru Mr.Alitowa Jibu Zuri Kwa Schana Maana Hawajuwi Kwamba Wao Wamekosa Hadhi Mpaka Sasa Wapigwa Mnada Kama Mbuzi N.K..???????
Hahahahahaha leo mmepata wakuwakomesha mana mnawakomeshaga wanaume oooh Sio type yangu hahahahhaa leo mmeipata haswaaa wanawake mnawanyambuaga wanaume leo mmekomeshwajee hahahhaa huyo atakua aliwanywea pombe ili akioanda awachambee hakua hata na shida yamke mumeipata fresh leo warembo na vijinguo vyenu
Mim binafsi nimemuelewa mr light unapo enda kuo jua utamuoa mwalimu wa watoto wako na jamii inayo kuzunguka nawashauri na vijana wengne jitahidi sana. Kutafta sana kusudi la Mungu kwenye kuoa kwenu
Hawa wadada hawafai kuwa wake sababu ni wabishi halafu wanajiona wazur jamaa inawezekana amekuka kuwaweka sawa katika mr right kuwe na muda wa hao wadada kukaa wamekuja kuuza sura tu wanamashauzi sana nikwel hapo hamna mke.
Kwakweli anaonyesha ni mkali sana alafu anazarau sasa Mimi ivi nilivyokuwa jeuri tungewwzana kwelii akwendeeee pumbavu zake kwanza mijitu kamaiyo Ata siipendagi ety dear x anampigia cm anataka kurudi muongo uyo mbaba atakuwa ameachwa na mkewe kwajiri ya tabia zake mfyuuuu😏
Safi sana kaka umewapa ukweli wamezidi mno kukaaa uchi kwan ukivaa stara ndio hupati mme au waende mbele huko hasaaa huyo dayana na mashauzi yake asubirie wahuni wenzake
@maryamconstantine1230 yes tunajuaga mda wa kudate for show off uzur shep na matako ni kigezo cha kwanza ila wakat wa kutafta mke tabia ndo kigezo cha kwanza.... uzur shape na matako ni kigezo cha mwisho😀😀